tag:blogger.com,1999:blog-4810178052628190092024-03-13T13:19:01.493-07:00gmbongo tha intertainergmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.comBlogger508125tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-5691072024042416112015-04-08T01:18:00.001-07:002015-04-08T01:19:53.367-07:00MADEREVA WA VYOMBO VYA MOTO WATISHIA KUGOMA IJUMAA KWA MADAI YA KUFANYIA UNYANYASAJI<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div style="font-weight: normal; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="font-family: Comic Sans MS, cursive;"></span></b></span></div>
<div style="font-weight: normal; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="font-family: Comic Sans MS, cursive;"><a href="http://3.bp.blogspot.com/-_QnewaWjZZE/VSTjfoBvBCI/AAAAAAAAEmE/VBFzcb2brz8/s1600/mabasi.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://3.bp.blogspot.com/-_QnewaWjZZE/VSTjfoBvBCI/AAAAAAAAEmE/VBFzcb2brz8/s1600/mabasi.jpg" height="322" width="640" /></a><span style="font-size: large;"><b><span style="font-family: Comic Sans MS, cursive;"> <span style="font-size: small;">Mabasi ya Abiria yakiwa yamepaki stand kusubiri</span></span></b></span></span></b></span></div>
<br />
<div style="font-weight: normal; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="font-family: Comic Sans MS, cursive;">Madereva
wa vyombo mbali mbali vya moto nchini Tanzania, wanakusudia kushiriki
mgomo wa nchi nzima siku ya Ijumaa wiki hii, kuishinikiza serikali
kuondoa kero mbali mbali zinazowakabili ikiwemo ukosefu wa ajira za
uhakika pamoja na agizo la kutaka madereva hao waende kusoma kila
wanapotaka kuhuisha leseni zao za udereva.</span></b></span></div>
<span style="font-size: large;"><b>
</b></span>
<div style="font-weight: normal; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><b><br /></b></span>
</div>
<span style="font-size: large;"><b>
</b></span>
<div style="font-weight: normal; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="font-family: Comic Sans MS, cursive;">Wakizungumza
kupitia Katibu wa Muungano wa vyama vya Madereva Bw. Rashid Saleh,
madereva hao wamesema kuwa suala la kurudia
kusoma ni aina nyingine ya unyanyasaji kwa maelfu ya madereva nchini,
ambao kwa kipindi kirefu wamekuwa hawana mfumo mzuri wa ajira licha
ya kutupiwa lawama kibao kuwa wao ndio chanzo cha ongezeko la ajali
nchini.</span></b></span></div>
<span style="font-size: large;"><b>
</b></span>
<div style="font-weight: normal; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><b><br /></b></span>
</div>
<span style="font-size: large;"><b>
</b></span>
<div style="font-weight: normal; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="font-family: Comic Sans MS, cursive;">Katibu
huyo wa Muungano wa Vyama vya Madereva ameitaja kero nyingine kuwa ni
hatua ya Chuo cha Taifa cha Usafirishaji NIT kutamka hadharani kuwa
vyeti walivyonavyo madereva hao sio halali na kwamba Ijumaa wiki hii
wanakusudia kukutana na Waziri wa Kazi na Ajira kwa ajili ya
kuzungumzia kero hizo kwa lengo la kuepusha kutokea kwa mgomo huo.</span></b></span></div>
</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-5040500993319471892015-03-30T01:07:00.000-07:002015-03-30T01:07:23.011-07:00MUGABE AWATAKA VIONGZI WA AFRIKA KUACHA KUWA VIBARAKA WA MATAIFA YA ULAYA NA MAGHARIBI NA WAJISHUGHULISHE KUINUA WANANCHI WAO<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div style="margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Book antiqua, serif;"><span style="font-size: small;"><b><a href="http://2.bp.blogspot.com/-clpDXQvpXt4/VRj8sdqMWMI/AAAAAAAAElo/rKeMSyl-Ngw/s1600/mugabe.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://2.bp.blogspot.com/-clpDXQvpXt4/VRj8sdqMWMI/AAAAAAAAElo/rKeMSyl-Ngw/s1600/mugabe.jpg" height="490" width="640" /></a></b></span></span></div>
<br />
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Book antiqua, serif;"><span style="font-size: small;"><b> <i><span style="color: red;"> </span></i></b></span></span><i><span style="color: red;"><span style="font-family: Book antiqua, serif;"><span style="font-size: small;"><b>Rais
wa Zimbawe na Mwenyekiti wa umoja wa Africa Robert Gabriel Mugabe
</b></span></span></span></i></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Book antiqua, serif;"><span style="font-size: small;"><b>Rais
wa Zimbawe na Mwenyekiti wa umoja wa Africa Robert Gabriel Mugabe
amewataka viongozi wa nchi za Africa kukataa kuwa vibaraka wa mataifa
tajiri duniani na badala yake wajitoe katika kuwatumikia waafrika
ili kufikia mafanikio ya kimaendeleo katika ustawi wa bara hili.</b></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<br />
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Book antiqua, serif;"><span style="font-size: small;"><b>Rais
Mugabe ametoa mwito huo wakati akizungumza katika mkutano wa
kimataifa wa viongozi Vijana kutoka nchi mbalimbali za Bara la Afrika
na China unaofanyika katika ukumbi wa mikotano wa Ngurdoto nje kidogo
ya Jiji la Arusha.</b></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<br />
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Book antiqua, serif;"><span style="font-size: small;"><b>Katika
hotuba yake ya ufunguzi wa Mkutano huo Rais Mugabe ametumia muda
mwingi kuwaasa na kutoa mwito kwa viongozi hao vijana akisistiza kuwa
Bara la Afrika linategemea mchango wa Fikra zinazojali uwajibikaji na
nidhamu ya hali ya juu katika utumishi.</b></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<br />
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Book antiqua, serif;"><span style="font-size: small;"><b>Awali
akizungumza katika Mkutano huo,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dakta Jakaya Kikwete ameonyesha imani aliyoanayo kupitia
mkutano wa viongozi vijana kutoka Afrika na Uchina kwamba utatoa
fursa ya kutoka na maazimio yatakayokuwa na tija kwa mustakabali wa
watu wote</b></span></span></div>
</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-81198963219068114782015-03-24T02:22:00.002-07:002015-03-24T02:22:48.429-07:00SERIKALI KUTUNGA CHOMBO CHA KUCHUNGUZA, KUPEKUA NA KUKAMATA WATUHUMIWA WA MADAWA YA KULEVYA<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Book Antiqua, serif; font-size: large;"><b></b></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Book Antiqua, serif; font-size: large;"><b><a href="http://3.bp.blogspot.com/-HJ2r7inJj7c/VREr_vN1goI/AAAAAAAAElE/IHvhByvqYGc/s1600/jeni.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://3.bp.blogspot.com/-HJ2r7inJj7c/VREr_vN1goI/AAAAAAAAElE/IHvhByvqYGc/s1600/jeni.jpg" height="512" width="640" /></a></b></span></div>
<br />
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Book Antiqua, serif; font-size: small;"><b> </b></span><span style="font-family: Book Antiqua, serif; font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-size: small;">Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu sera, uratibu na bunge
Mh. Jenista Mhagama </span></span></b></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Book Antiqua, serif; font-size: large;"><b>Serikali
leo imewasilisha mswada wa sheria ya kudhibiti na kupambana na dawa
za Kulevya ya mwaka 2014, kutokana na tatizo hilo kuongezeka zaidi
kuanzia mwanzoni mwa miaka ya 1980 na kutishia uhai wa taifa kutokana
na vijana wengi kujiingiza katika biashara na matumizi ya dawa hizo.</b></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
</div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Book Antiqua, serif; font-size: large;"><b>Akiwasilisha
mswada huo Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu sera, uratibu na bunge
Mh. Jenista Mhagama amesema matumizi ya dawa za kulevya yameongezeka
ambapo takwimu zinaonyesha kuwa watumiaji wa dawa hizo kati ya
laki mbili na 20 hadi laki nne na 20 hapa nchini wengi wakiwa ni vijana
kati ya miaka 15 hadi 38.</b></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
</div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Book Antiqua, serif; font-size: large;"><b>Mh.
Mhagama amesema ili kurekebisha matatizo ya kimfumo katika udhibiti
ya dawa hizo serikali imekusudia kuanzisha chombo kinachojitegemea
chenye mamlaka ya kiutendaji ya kuchunguza, kupekua na kukamata
watuhumiwa tofauti na ilivyo tume kwa sasa.</b></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-67239511303177977022015-03-06T00:53:00.000-08:002015-03-06T00:53:24.113-08:00WASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA KUWAUA WATU WATANO KWA KUWATUHUMU WACHAWI<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"></span></b></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<b><span style="font-size: large;"><a href="http://4.bp.blogspot.com/-MlsRsyDTaQg/VPlpRF3rn5I/AAAAAAAAEkA/Rnhn5HoGd3w/s1600/KALAGI.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://4.bp.blogspot.com/-MlsRsyDTaQg/VPlpRF3rn5I/AAAAAAAAEkA/Rnhn5HoGd3w/s1600/KALAGI.JPG" height="360" width="640" /></a></span></b></div>
<br />
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"> </span></b><span class="irc_su" dir="ltr" style="text-align: left;"> <span style="color: red;"><i><span style="font-size: large;">Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Mara, Philip Kalangi akizungumza na wanahabari </span></i></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Jeshi la polisi mkoa wa mara
limewakamata watu saba wakiwemo viongozi wawili wa serikali
ya kijij cha park nyigoti katika kata ya ikoma wilayani
serengeti mkoani mara baada ya kutuhumiwa kuwakamata na
kuwafunga vitambaa usoni watu wanane wanaowatuhumu kwa uchawi
kisha kuwachapa viboko na kusababisha vifo vya watu watano.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa
mara,kamishina msaidizi wa jeshi la polisi Acp Ernest Kimola,amesema katika tukio hilo ambalo limesababisha watu
wengine watatu kujeruhiwa kwa kuchapwa viboko hivyo na
kulazwa katika hospitali teule ya nyerere ddh mjini mugumu
wilayani serengeti.</span></b></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Mbali na mwenyekiti na mtendaji wa serikali ya
kijiji hicho kukamatwa pia viongozi wawili wa jadi
wamekamatwa wakihusishwa na mauaji hayo</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">nao baadhi ya ndugu wa marehemu
wameelezea jinsi unyama huo ulivyotekelezwa kwa kisingizio cha
ushirikinai</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">hadi sasa askari wa jeshi la
polisi kutoka makao makuu ya mkoa wa mara kwa kushirina na
polisi mjini wilayani serengeti wanaendesha na operesheni
kali katika kuwasaka watu wote walihusika kufanya mauaji
hayo ya kinyama.</span></b></div>
</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-8814792524169520882015-03-03T21:51:00.001-08:002015-03-03T21:51:37.709-08:00VIKONGWE WAUAWA MKOANI DODOMA KWA TUHUMA ZA USHIRIKINA ETI WANAZUIA MVUA ISINYESHE MAENEO YAO<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"></span></b></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<b><span style="font-size: large;"><a href="http://4.bp.blogspot.com/-vYH76rsuEoI/VPac-Lsd1YI/AAAAAAAAEjo/QbdjVkL56gc/s1600/RPC%2BDodoma%2B%2C%2BSACP%2BDavid%2BMisime.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://4.bp.blogspot.com/-vYH76rsuEoI/VPac-Lsd1YI/AAAAAAAAEjo/QbdjVkL56gc/s1600/RPC%2BDodoma%2B%2C%2BSACP%2BDavid%2BMisime.JPG" height="480" width="640" /></a></span></b></div>
<br />
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"> <span style="color: red;"><i>Kamanda wa Jeshi la Polisi Dodoma David Misime</i></span></span></b></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Vikongwe watatu akiwemo mganga wa
kienyeji Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma, wameuawa kwa tuhuma za kuzuia
mvua isinyeshe Wilayani humo.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya
habari na kamanda wa polisi mkoa wa Dodma, David Misime inasema kuwa
tukio la kwanza lilitokea Machi mosi mwaka huu majira ya saa saba
usiku katika kitongoji cha Golani, kijiji cha Masinyeti, kata ya
Iduo, tarafa ya Mlali.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Kamanda amesema katika tukio hilo mtu
mmoja aliyefahamika kwa jina la Saidia Chakutwanga (80) ambaye ni
mganga wa kienyeji aliuawa na watu waliojichukulia sheria mkononi
kwa kupigwa na kitu kizito kichwani na kutobolewa macho.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Amesema uchunguzi wa awali unaonyesha
chanzo cha mauaji hayo ni imani za kishirikina wakimtuhumu marehemu
kuwa anazuia mvua kunyesha katika eneo hilo.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Katika tukio lingine amesema tarehe
hiyo hiyo majira ya saa nane usiku kwenye kitongoji cha Majengo,
kijiji cha Ihanda Kata na Tarafa ya Mlali mtu mmoja aliyemtaja kwa
jina la Peter Kaluli (85) akiwa na mkewe aitwaye Kaila Kaluli (80)
wakazi wa kitongoji cha Majengo wakiwa wamelala ndani ya nyumba yao
ya tembe, waliuawa na watu wasiofahamika kwa kuangushiwa ukuta wa
nyumba yao kisha kuchoma moto na kubomoa nyumba mbili za tembe.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">“Watu hao walifanya uharibifu
mwingine kwa kuwaua nguruwe mmoja na ng’ombe mmoja kumkata miguu
ambao ni mali za marehemu hao,” alisema Misime.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Kwa mujibu wa Kmanda uchunguzi wa awali
unaonyesha kuwa chanzo cha mauaji na uharibifu huo ni imani za
kishirikina wakiwatuhumu marehemu kuwa wanazuia mvua kunyesha.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Kutokana na tukio hilo watu wanne
akiwemo Mwenyekiti wa Kijiji cha Ihanda na wazee wawili wa kimila wa
kijiji wanashikiliwa na Polisi kuhusiana na tukio hilo kwani taarifa
zinaonyesha waliandaa vikao vya kutekeleza mauaji hayo.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Upelelezi wa matukio yote mawili
unaendelea ikiwa ni pamoja na kuwatafuta watuhumiwa wengine
waliohusika na matukio haya ili sheri aiweze kuchukua mkondo wake.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Kufuatia tukio hilo Mkuu wa Mkoa wa
Dodoma, Chiku Gallawa amewataka viongozi wa dini mkoani hapa kuhubiri
amani kwa waumini wao ili vitendo vya mauaji kwa vikongwe viweze
kukomeshwa.</span></b></div>
</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-32267375583576904862015-03-02T22:42:00.000-08:002015-03-02T22:42:19.364-08:00HATUA KALI ZINAFUATA JUU YA WAUAJI WA WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI TAYARI ADHABU YA KIFO ISHATOLEWA KWA BAADHI YAO-KIKWETE<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<b><span style="font-size: large;"></span></b><br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<b><span style="font-size: large;"><a href="http://4.bp.blogspot.com/-_wD6Gn6FG-M/VPVW4Uw7JwI/AAAAAAAAEjQ/5Fd_XNnFIK0/s1600/rais-kikwete.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://4.bp.blogspot.com/-_wD6Gn6FG-M/VPVW4Uw7JwI/AAAAAAAAEjQ/5Fd_XNnFIK0/s1600/rais-kikwete.jpg" height="438" width="640" /></a></span></b></div>
<b><span style="font-size: large;"><i><b><span style="font-size: large;"> </span></b><span style="color: red;"><b><span style="font-size: large;">Rais wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete</span></b></span></i></span></b><br />
<br />
<b><span style="font-size: large;">Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikweteamesema kuwa Serikali haitafumbia macho suala la mauaji ya walemavu wa ngozi kama hali ilivyokuwa kwa miaka ya nyuma.</span></b><br />
<br />
<b><span style="font-size: large;">Akiongea katika Hotuba yake kwa wananchi kwa kila mwisho wa mwezi Rais Kikwete amesema kuwa matukio hayo ambayo yaliibuka mwaka 2006 Serikali iliweza kukabiliana nayo na mpaka kufikiwa mwaka 2011 kukawa hakuna tukio lolote la mauaji ya watu hao.<br /></span></b><br />
<b><span style="font-size: large;">Aidha rais Kikwete ametumia fursa hiyo kuwaomba wananchi kuwafichua watu wote wanajihusisha na biashara ya viungo vya watu wenye Albinsim ili kwa pamoja kukomesha mauaji ya watu hao.<br /><br />Kikwete amesema ni ujinga uliokithiri kwa mtu kutegemea ushirikina hasa kuwa na viungo vya ulemavu wa ngozi ndio kuna kufanya mafanikio katika shughuli zao hivyo kutaka juhudi zifanyike kueleimisha juu ya kuacha watu kuamini imani potofu.<br /><br />Aidha Rais Kikwete amesema atakuata na watu wenye Ulemavu wa ngozi wiki ijayo ili kusikiliza maoni yao juu ya nini kifanyike katika kusaidiana kukomesha mauaji dhidi yao.<br /><br />Katika hatua nyingine Rais Jakaya Kikwete amesema kazi ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura nchini kwa kutumia mfumo wa BVR katika Halmshauri ya Makambako mkoani Njombe imevuka lengo la tume hivyo kulazimu kuongeza muda ili wananchi wote waliojitokeza waweze kujiandikisha.<br /><br />Tume ilitegemea kuandikisha wapiga kura 9541 katika halamashauri hiyo lakini kutokana na mwitikio wa wananchi wameandikishwa watu 13.042.<br /><br />Aidha Rais Kikwete amewataka viongozi wa vyama vya siasa,Serikali,dini na asasi za kiraia kuungana na tume katika kuwahamasisha wananchi kujiandikisha badala ya kuwachanganya kwa kutoa taarifa zisizo za kweli.</span></b></div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-1202678249853764772015-03-02T20:32:00.001-08:002015-03-02T20:32:15.110-08:00ETI TANESCO WAMESEMA WATALETA MFUMO MWINGINE WA KUNUNUA LUKU BAADA YA TATIZO LA MITANDAO KUKOSA NETWORK YA KUNUNUA UMEME<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div style="margin-bottom: 0in;">
<a href="http://4.bp.blogspot.com/-irBQyngCifQ/VPU4OgZj8YI/AAAAAAAAEjA/7eLuGjvxB0g/s1600/mvungi.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://4.bp.blogspot.com/-irBQyngCifQ/VPU4OgZj8YI/AAAAAAAAEjA/7eLuGjvxB0g/s1600/mvungi.jpg" height="460" width="640" /></a><b><span style="font-size: large;"> </span></b><span style="color: red;"><i><b><span style="font-size: large;">Meneja Mawasiliano wa
Tanesco Adrian Mvungi </span></b></i></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Wakazi na wajasiriamali wa jiji la Dar
es salaam wamelilalamikia Shirika la Ugavi wa Umeme nchini Tanesco
baada ya Mtandao wa kuuza umeme kwa njia ya Luku kugoma kufanya kazi
toka juzi usiku,
</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Wakizungumzana kutoka makao makuu ya
Tanesco Ubungo jijini Dar es salam huku wakiwa na jazba wamesema
biashara zao zimehathirika sana na kuwa sababishia hasara kutokana na
kushindwa kununua Umeme kwa njia ya Luku huku biashara zao
zikitegemea umeme wakati wote,
</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Kwa Upande wake Meneja mwandamizi
Teknolojia ya Habari na mawasiliano wa Tanesco Kusenha A. mazengo
amesema wamelifanyia kazi tatizo hilo na kuhaidi hivi karibuni
wataleta mfumo mpya wenye njia mbadala wa kununua Umeme,
</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Wakati huo huo Meneja Mawasiliano wa
Tanesco Adrian Mvungi amewaomba radhi wateja wao kwa usumbufu
walioupata na kuhaidi kutorudia tena.</span></b></div>
</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-21739397893032126092015-02-27T00:52:00.000-08:002015-02-27T01:04:28.538-08:00KILIMANJARO INAONGOZA KWA UKATILI WA KIJINSIA<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div style="margin-bottom: 0in;">
<a href="http://2.bp.blogspot.com/-p8WcPmeMdxs/VPAoKG5R_PI/AAAAAAAAEiI/WROgnxajUqU/s1600/PICS.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://2.bp.blogspot.com/-p8WcPmeMdxs/VPAoKG5R_PI/AAAAAAAAEiI/WROgnxajUqU/s1600/PICS.JPG" height="360" width="640" /></a></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"> <span style="color: red;"><i>Wajumbe wa SHIVYAWATA baada ya kutoka Ziarani Austaria</i></span></span></b></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">VYAMA vya Watu wenye ulemavu nchini,
wanakusudia kuishitaki serikali kwenye vyombo vya kimataifa, endapo
mauaji ya watu wenye ulemavu wangozi (Albino) yataendelea.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b>
<br />
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b>
<br />
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Akizungumza leo kwenye warsha ya
ujumuishaji wa watu wenye ulemavu, katika nyanja za maendeleo
iliyowezeshwa na EDAN ambayo ni programu ya Jumuiya ya Makanisa
Duniani, Mshauri wa mradi wa watu wenye ulemavu, kuhusu haki na
maendeleo yao,Dk. Elly Macha amesema Tanzania imesaini</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b>
<br />
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">mkataba wa kutetea haki za watu wenye
ulemavu,lakini imeshindwa kuwalinda na matokeo yake wanauwawa ovyo.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b>
<br />
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b>
<br />
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Amesema kuwa hali ya mauaji ikiendelea
kuwa kama ilivyo sasa, wataelewa wazi kuwa serikali imewaacha peke
yao na watalazimika kwenda kwenye vyombo vya kimataifa kuishtaki
serikali kw akushindwa kuheshimu mkataba huo.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b>
<br />
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b>
<br />
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Aidha amesema kuwa mbali na hilo katika
warsha hiyo wamkubaliana na kutoa wito kwa serikali
kusimamia,kuelekeza, kutekeleza na kufuatilia ujumuishaji wa watu
wenye ulemavu katika nyanja za maendeleo hususani, kuhakikisha
sera,sheria, mipango na upatikanaji wa rasilimali unawezesha
ujumuishaji wa masuala hayo.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b>
<br />
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b>
<br />
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Dk.Elly amesema kupitia warsha hiyo
wametoa tamko la kulaani mauaji ya kinyama ya Albino yanayoendelea
kutekelezwa kw akasi, hasa kanda ya ziwa na kuitaka serikali kuchukua
hatua madhubuti kukomesha tatizo hilo.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b>
<br />
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b>
<br />
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Naye Katibu Mkuu wa Shirikisho la
Vyama vya watu wenye ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA), Felician Mkude,
amesema kuna kesi nyingi zimeamuliwa na wengine wamehukumiwa
kunyongwa, ila mpaka sasa hakuna aliyenyongwa wapo magerezani,hivyo
wanaomba hukumu ikitolewa</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b>
<br />
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">izingatiwe, kwani isionee huruma
wahusika hao wanaoua wenzao kama wanyama.</span></b></div>
</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-67607813865433969962015-02-26T23:46:00.000-08:002015-02-26T23:46:15.786-08:00JELA MIAKA MAISHA KWA KUMBAKA MTOTO WA MIAKA MINNE<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div style="margin-bottom: 0in;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-JCprGyJfPac/VPAgZzuER0I/AAAAAAAAEh4/0MR2ZK37cXo/s1600/LAW.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://3.bp.blogspot.com/-JCprGyJfPac/VPAgZzuER0I/AAAAAAAAEh4/0MR2ZK37cXo/s1600/LAW.jpg" height="322" width="640" /></a></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"> Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la
Yusufu Chatambala (45) mkazi wa Kijiji cha Makutupa Kata ya Lupeta
Wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma, amehukumiwa kifungo cha maisha jela
baada ya kukiri kosa la kumbaka mtoto mdogo mwenye umri wa miaka
minne.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Mwendesha mashtaka wa polisi Godwill
Ikema ameiambia mahakama ya Wilaya ya Mpwapwa kuwa mshtakiwa alitenda
kosa hilo Feb 20 mwaka huu majira ya saa 12 jioni katika kijiji cha
Makutupa kilichopo Wilayani Mpwapwa ambapo alimbaka mtoto mdogo wa
kike mwenye umri wa miaka minne
</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Mwendesha mashtaka huyo amesema kuwa
mshtakiwa alitenda kosa hilo kinyume cha sheria za nchi chini ya
Kifungu namba 130 (1) 2 (a) na 131 (1) cha Kanuni ya Adhabu kama
kilivyofanyiwa mapitio mwaka 2002.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Amesema kuwa mshtakiwa alitenda kosa
hilo baada ya kumkamata alipokuwa akicheza na watoto wenzake jirani
na nyumbani kwao kisha kumpeleka kwenye shamba la mahindi kisha
kumbaka mtoto huyo na kusababishia majeraha na maumivu makali.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya
Wilaya ya Mpwapwa Paschal Mayumba alimtia hatiani mtuhumiwa huyo leo
baada ya kukiri kutenda kosa hilo.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Akisoma hukumu hiyo, hakimu Mayumba
amesema Mahakama inamhukumu kwenda jela kifungo cha maisha kwa kosa
la kubaka mtoto ili iwe fundisho kwake na kwa wengine wanaotenda
makosa kama hayo.
</span></b></div>
</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-63576060446698219102015-02-26T23:25:00.001-08:002015-02-26T23:25:37.652-08:00MAHAKAMA KUU YAKALIA SHAURI LINALOTAKA SERIKALI KUTOA ULINZI KWA JAMII YA ALBINO.<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div style="margin-bottom: 0in;">
<a href="http://2.bp.blogspot.com/-zG4STzmL7fg/VPAbjaTGdRI/AAAAAAAAEhs/GSnQe2ItkrM/s1600/Helen-Kijo-Bisimba.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://2.bp.blogspot.com/-zG4STzmL7fg/VPAbjaTGdRI/AAAAAAAAEhs/GSnQe2ItkrM/s1600/Helen-Kijo-Bisimba.jpg" height="426" width="640" /></a></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"><span style="color: red;"><i> Mkurugenzi wa kituo cha haki za Binadamu Helen-Kijo Bisimba</i></span></span></b></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;">Mahakama
Kuu ya Tanzania imeshindwa kusikiliza kesi ya kikatiba iliyofunguliwa
na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kwa kipindi cha miaka saba
iliyopita, </span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;">shauri
ambalo kituo hicho kinaitaka mahakama iilazimishe serikali kutoa
ulinzi wa uhakika kwa watu wenye ulemavu wa ngozi nchini maarufu kama
albino.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;">Mkurugenzi
Mtendaji wa Kituo hicho Dkt. Hellen Kijo-Bisimba, amesema hayo leo
katika mahojiano na East Africa Radio na kufafanua kuwa kuchelewa
kusikilizwa kwa kesi hiyo kwa namna moja inaweza kuwa imechangia
kuzorota kwa usalama dhidi ya jamii ya albino nchini.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;">Kwa
mujibu wa Dkt. Bisimba, matukio ya ukatili dhidi ya albino nchini
yanayoendelea hivi sasa yanahitaji mbinu na njia nyingi katika
kukabiliana nayo, mojawapo ikiwa ni ulinzi wa uhakika kwa jamii hiyo
ya Watanzania.</span></b></div>
</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-18000251068312056262015-02-26T01:28:00.002-08:002015-02-26T01:28:25.643-08:00CHANGAMTO ZAENDELEA KULIKUMBA ZOEZI LA UANDIKISHAJI BVR, WANANCHI WAGOMEA MASHINE MPYA, UMEME WAKATIKA VITUO VYAFUNGWA MAPEMA KWA MASHINE KUKOSA CHAJI<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<b><span style="font-size: large;"><a href="http://1.bp.blogspot.com/-TJis5dEAZ5U/VO7mVc6iorI/AAAAAAAAEhU/FIjNuiZY7nQ/s1600/bvr%2B2.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://1.bp.blogspot.com/-TJis5dEAZ5U/VO7mVc6iorI/AAAAAAAAEhU/FIjNuiZY7nQ/s1600/bvr%2B2.jpg" height="322" width="640" /></a></span></b></div>
<br />
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"> <span style="color: red;"><i> </i></span></span><span style="color: red;"><i><span style="font-size: large;"><span class="irc_su" dir="ltr" style="text-align: left;">Mashine ya kisasa ya kujiandikisha kitambulisho cha kura</span></span></i></span></b></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Uandikishwaji wa Uboreshaji wa Daftari
la Kudumu la Wapiga kura Mkoani Njombe nchini Tanzania leo asubuhi
lilisimama kwa muda katika baadhi ya vituo kutokana na wananchi
kuzigomea mashine mpya zilizoongezwa kwa ajili ya Uandikishaji.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Akizungumza na East Africa Radio
msimamizi wa mashine za BVR, Astori Mgwame amesema kuwa wananchi hao
waligomea mashine hizo kwa kuwa zilikua hazina muendeshaji wa
kuziendesha kwa ufasaha na kusema kuwa hawatajiandikisha mpaka
wahakikishiwe kuwa kuna mtaalamu wa kuzitumia.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Mgwame ameongeza kuwa hali hiyo
inatokana na changamoto waliyokuwa nayo ya kuwa na upungufu wa wa
wataalamu wa kuziendesha mashine hizo hivyo kufanya zoezi kuenda
taratibu kushinda ilivyotarajiwa.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Aidha amesema changamoto nyingine
iliyojitokeza jana jioni mpaka kupelekea kufungwa kwa vituo hivyo
mapema kabla ya wakati ni kukatika kwa umeme na mashine kuishiwa
chaji na kuzima hivyo kushindwa kuendelea na zoezi hilo.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Mgwame amesema kuwa licha ya changamoto
hizo kujitokeza lakini uandikishwaji huo bado unaendelea vizuri na
wananchi wamejitokeza kwa wingi ili kuweza kupata haki yao hiyo ya
kujiandikisha.</span></b></div>
</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-84567853633901602152015-02-26T00:59:00.001-08:002015-02-26T00:59:36.456-08:00ASKARI WATANO WAJERUHIWA VURUGU ZA IRINGA KATI YA ASKARI NA WANANCHI<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div style="margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<b><span style="font-size: large;"><a href="http://4.bp.blogspot.com/-CMd0Z0ke4sQ/VO7fuoVTQBI/AAAAAAAAEhA/ItfCkswgc2E/s1600/kamanda%2Bmkoa.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://4.bp.blogspot.com/-CMd0Z0ke4sQ/VO7fuoVTQBI/AAAAAAAAEhA/ItfCkswgc2E/s1600/kamanda%2Bmkoa.JPG" height="640" width="636" /></a></span></b></div>
<br />
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"> <span style="color: red;"><i> Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa Ramadhani Mungi</i></span></span></b></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Askari watano wamejeruhiwa kufuatia
vurugu zilizotokea baina ya jeshi la polisi pamoja na wananchi
katika mji wa Ilula kijiji cha dinginayo wilaya ya kilolo mkoani
iringa pamoja na raia wawili kujeruhiwa.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Kaimu kamanda wa jeshi la polisi
PUDENSIANA PROTAS amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema
kuwa tayari jeshi la polis linawashikilia watuhumiwa kumi na nane kwa
mahojiano huku upelelezi ukiendelea.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Tukio hilo limetokea majira ya saa 4
asubuhi na limesababisha kifo cha mwanamke mmoja aliyefahamika kwa
jina la mwanne mtandi na katika vurugu hizo kumesababisha uharibifu
wa mali za jeshi la polisi ambayo ni gari,pikipiki pamoja na gari
moja ambayo ilikuwa ni kielelezo katika kituo pamoja na kuharibu
jingo la polis kwa kuvunja vioo.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Aidha kamanda amesema kuwa fujo hizo
zilisababishwa na oparationi kuhusu uuzaji wa pombe za kienyeji na
makosa mbalimbali kwa wananchi huku akiwataka wananchi
kutokujichukulia sheria mkononi ili kuepusha majanga kama hayo.</span></b></div>
</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-52687718861743298742015-02-26T00:03:00.000-08:002015-02-26T00:03:02.624-08:00WATU KADHAA WASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI MWANZA KWA TUHUMA ZA UTEKAJI WA MTOTO MWENYE ULEMAVU PENDO EMANNUEL<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"><b></b></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"><b><a href="http://2.bp.blogspot.com/-FRPnabqubNU/VO7SHZBllhI/AAAAAAAAEgo/ijotY6w11UU/s1600/magesa%2Bmulo.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://2.bp.blogspot.com/-FRPnabqubNU/VO7SHZBllhI/AAAAAAAAEgo/ijotY6w11UU/s1600/magesa%2Bmulo.jpg" height="446" width="640" /></a></b></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<br />
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="color: red;"><i><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"><b>Mkuu
wa mkoa wa Mwanza, Bw. Magesa Mulongo</b></span></i></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"><b>Mkuu
wa mkoa wa Mwanza, Bw. Magesa Mulongo, amesema watu wote waliohusika
kumuiba mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino) Pendo Emmanuel mwenye
umri wa miaka 4 katika kijiji cha Ndami wilayani Kwimba, Mwanza,
Disemba 27 wamekamatwa.</b></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
</div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"><b>Akizungumza
leo wakati akiwaapisha wakuu wapya wa wilaya wa mkoa huo, Bw. Mulongo
amesema watu wote waliohusika wamekamatwa na hivi sasa bado
hawafahamu kama mtoto huyo yupo hai ama mfu.</b></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
</div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"><b>Amesema
kuwa wezi baada ya kumuiba mtoto Pendo walimleta katika hoteli moja
Jijini Mwanza, kisha kuwakabidhi watu walionekana wanunuzi, lakini
wote hao wamekamatwa akiwamo mmiliki wa hoteli hiyo.</b></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
</div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"><b>Hata
hivyo, amesema watu hao waliofanya uhalifu huo akiwamo baba wa mtoto
huyo, Emmanuel Shilinde, wanashikiliwa na polisi huku mtu wa mwisho
aliyetoweka na mtoto huyo toka hotelini hapo akiendelea kutafutwa</b></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"><b> </b></span>
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Hata hivyo, alisema watu hao waliofanya
uhalifu huo akiwamo baba wa mtoto huyo, Emmanuel Shilinde,
wanashikiliwa na polisi huku mtu wa mwisho aliyetoweka na mtoto huyo
toka hotelini hapo akiendelea kutafutwa.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Mulongo hata hivyo hakuweza kuitaja
hotel wala mmiliki wake na wangine waliohusika na tukio hilo
lilitokea Desemba 27 mwaka jana, lakini Shilinde akituhumiwa kuhusika
zaidi na tukio hilo kutokana na kuamua kufanya hivyo kwa sababu
alikuwa ana watoto wawili albino.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Mkuu wa mkoa huyo aliwataka wakuu wa
wilaya wapya, kuhakikisha kushughulikia changamoto za wapiga ramli,
kuangalia utoaji wa vibali kwa waganga wa jadi ili kudhibiti matyukio
ya utekaji na mauaji ya albino.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Hata hivyo, alishangazwa na maneno
yanayotolewa na watu kuhusiana na mauaji hayo kuwa yanatokana na
masuala ya kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Katibu wa chama cha maalbino mkoa wa
Mwanza, Mashaka Tuju, aliishutumu serikali kwa kushindwa kuchukua
hatua stahili tangu mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino)
yalipoanza miaka tisa iliyopita.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Amesema kwa miaka tisa serikali
inahangaika na kudai inachukua hatua lakini hakuna hatua yoyote
inayoonekana mpaka sasa huku albino wengi wakiwa wanaishi vijijini
katika nyumba zisizo na ulinzi thabiti, lakini utakuta viongozi wa
serikali wanaenda huko pale linapotokea tatizo la mauaji ya watu hao.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Tuju amewashambulia mwenyekiti wa CCM
mkoa wa Mwanza, Antony Diallo, naibu waziri wa nishati na madini,
Charles Kitwanga na mbunge wa Magu, Dk. Festus Limbu, kwa kushindwa
kufanya juhudi zozote za kuwalinda na kuwatetea albino.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Katika kipindi cha miezi miwili, watoto
Pendo Emmanuel wa Kwimba na Yohana Bahati (mwaka mmoja) wa kijiji cha
Ilelema Chato, walitekwa na watu wasiojulikana.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-34806459352389540692015-02-25T00:11:00.000-08:002015-02-25T00:11:02.124-08:00WANAWAKE WANASHINDWA KUTAMBA KATIKA MUZIKI KUTOKANA NA UKIRITIMBA ULIOPO KATIKA TASNIA<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div style="font-weight: normal; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: medium;"></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-size: medium;"><a href="http://3.bp.blogspot.com/-kad-rp2OANI/VO2CU_7kI9I/AAAAAAAAEgQ/S4tEzSeEiIQ/s1600/NYANGI.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://3.bp.blogspot.com/-kad-rp2OANI/VO2CU_7kI9I/AAAAAAAAEgQ/S4tEzSeEiIQ/s1600/NYANGI.jpg" height="425" width="640" /></a></span></div>
<br />
<div style="font-weight: normal; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: medium;"> <span style="color: red;"><i><b> Deborah Nyangi akiitumikia Kalunde Band.</b></i></span></span></div>
<div style="font-weight: normal; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: medium;">Mwanadada
anaetamba na Band ya Kalunde Band, Deborah Nyangi ambae anatikisa na
wimbo wake wa FINGO amesema wanawake wanashindwa kutamba katika game
la muziki wa kizazi kipya kutoka na ukiritimba uliopo katika tasnia.</span></div>
<div style="font-weight: normal; margin-bottom: 0in;">
<br />
</div>
<div style="font-weight: normal; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: medium;">Nyangi
amesema anaamini kuna vipaji vingi sana vya kuimba kwa watoto wa kike
ila tayari wameshajenga woga wa kujitokeza kutokana na kuamini kwamba
ukitaka kufanya vizuri lazima uhonge kama sio pesa basi hata kutumia
mwili wake.</span></div>
<div style="font-weight: normal; margin-bottom: 0in;">
<br />
</div>
<div style="font-weight: normal; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: medium;">Nyangi
ambae kwa sasa anajipanga kuachia wimbo wake mpya amewataka watoto wa
kike wajiamini kwa kile wanachokifanya na wasikubali kuyumbishwa na
watu wachache ambao wanajihisi wameshikilia game ila kazi nzuri ndio
itawafikisha wanapotaka.</span></div>
</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-53114057417669544382015-02-24T23:53:00.002-08:002015-02-24T23:53:48.528-08:00HAJI RAMADHANI AIBUKA NA BABY LOVE ASEMA ANAAMINI ITALETA MAPINDUZI KATIKA TASNIA YA MUZIKI ATAMBA KUACHIA NYIMBO BAADA YA NYIMBO<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div style="font-weight: normal; margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"> </span></b><a href="http://2.bp.blogspot.com/-CoIox6BqwDg/VO1-H7L-fpI/AAAAAAAAEgE/wWupM-GUl60/s1600/haji%2Bramadhani.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://2.bp.blogspot.com/-CoIox6BqwDg/VO1-H7L-fpI/AAAAAAAAEgE/wWupM-GUl60/s1600/haji%2Bramadhani.jpg" height="640" width="425" /></a></div>
<div style="font-weight: normal; margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"> <span style="color: red;"><i> Haji Ramadhani Makuke akiwajibika Jukwaani</i></span></span></b></div>
<div style="font-weight: normal; margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Msaanii
wa Kizazi kipya alitokea kwenye mashindano ya kuibua vipaji Bss na
sasa anatamba na band ya Twanga Pepeta Haji Ramadhani Makuke amekuja
na ujio mpya wa kazi nje ya band yake na kuachia Singo mpya alioipa
jina mpya la BABY LOVE.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="font-weight: normal; margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="font-weight: normal; margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Haji
amesema nyimbo hiyo ina vionjo vya kiasili amesema ameitoa ili
kuwaonyesha watanzania kipaji kingine tofauti katika uimbaji na pia
kuleta ladha mpya katika muziki wa kizazi Kipya.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="font-weight: normal; margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="font-weight: normal; margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Hajji
amesema ameamua kufanya kazi kwenye band na nje ya band kama Solo
ili kujiongezea mashabiki na pia kubadilisha ladha ya mziki ila pia
kujitafutia kipato kutokana kuuza nyimbo kwa mtindo wa singo kwa kuwa
album kwa sasa ni ngumu kuuzika.</span></b></div>
</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-82128148865114765742015-02-23T23:48:00.001-08:002015-02-23T23:48:37.528-08:00WAANDISHI WA HABARI WATAKIWA KUTUMIA KALAMU ZAO KUFICHUA MAUAJI YA ALBINO<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"></span></b></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"><a href="http://2.bp.blogspot.com/-tDqXJMl_Iu8/VOwsIhJ7oLI/AAAAAAAAEf0/ctHVberdZW8/s1600/12%2BWaandishi%2Bwa%2Bhabari%2Bwakiwa%2Bkazini%2Bkwenye%2Bmkutano%2Bhuo.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"> <img border="0" src="http://2.bp.blogspot.com/-tDqXJMl_Iu8/VOwsIhJ7oLI/AAAAAAAAEf0/ctHVberdZW8/s1600/12%2BWaandishi%2Bwa%2Bhabari%2Bwakiwa%2Bkazini%2Bkwenye%2Bmkutano%2Bhuo.jpg" height="267" width="400" /></a><b><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-size: small;"> </span></span></span></b></span></b></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"><b><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-size: small;"> </span></span></span><span style="color: red;"><span style="font-size: small;"><span class="irc_su" dir="ltr" style="text-align: left;">Waandishi wa habari wakiwa kazini kwenye mkutano</span></span></span></b></span></b></div>
<br />
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"> Waandishi
wa habari nchini, wametakiwa kutumia kalamu zao kufichua</span></b><b><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"> chanzo
cha mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi Albino, ambao</span></b><b><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"> umeibuka
kwa kasi kubwa siku za karibuni.</span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;"></span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;">Akizungumza
leo Mjini Moshi na waandishi wa habari kwenye warsha ya</span></b><b><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"> siku
tatu iliyoandaliwa na Chama cha waandishi wa habari wanawake</span></b><b><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"> Tanzania,
(TAMWA),kwa lengo la kufichua ukatili wa kijinsia, Mshauri</span></b><b><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"> wa
vyombo vya habari, Deo Peter, alisema kuna hajana ya kufichua</span></b><b><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"> chanzo
cha mauaji hayo.</span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;"></span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;"><br /></span></b>
</div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;">Amesema
inasikitisha kuona watu hao wanaendelea kuuwawa kikatili, huku </span></b><b><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;">waandishi
wakijikita kuandika tu jinsi wanavyouwawa, bila kufanya</span></b><b><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"> utafiti
kujua chanzo cha mauaji hayo ni nini, jamo ambalo halisaidii</span></b><span style="font-size: large;"><span style="font-family: Bookantiqua, serif;"><b> </b></span><b>kukomesha
kiini cha mauaji hayo.</b></span></div>
<b><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"></span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"> </span><span style="font-size: large;"> </span></b></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Aidha amesema sambamba na hilo pia hata
kwenye seuala la ukeketaji nao waandishi wa habari wakijikita kufichua
chanzo cha ukeketaji katika jamii husika ni zipi itasaidia
kukomesha pia ukeketaji.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Amesema ukatili wowote ule unapofanyika
unamyima mtu kukosa uhuru na kinaleta athari za kisaikolojia
miongoni mwa wahusika wa ukatili huo.
</span></b></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Naye Mwakilishi wa Chama cha Waandishi
wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA),ambaye alikuwepo katika warsha
hiyo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Tamwa, Judica Losai, amesema kuwa
wanahabari wanapaswa kuunganisha nguvu ili kufichua ukatili wa kijinsia
ambao kwa sasa umeshika kasi
</span></b></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">kubwa.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Amesema kinachopaswa kuzingatiwa katika
uandishi wa habari za kufichu ukatili wa kijinsia ni umakini,
kuzingatia lugha ya kutumia na kuhakikisha waathirika wanapata msaada
mwisho wa siku.</span></b></div>
<b><span style="font-size: large;">
</span></b><div style="margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><span style="font-size: large;">Amesema kuwa ukatili wa kijinsia nchini
mkubwa ambao kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Afya za mwaka
2013 inaonyesha Mkoa wa Manyara unaongoza ukeketaji kwa asilimia 71,
ikifuatiwa na Dodoma asimilia 64 na Arusha asilimia 59.
</span></b></div>
</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-12060592958393161372015-02-12T00:28:00.001-08:002015-02-12T00:28:18.865-08:00SERIKALI IMEANZA KUSAMBZA NAKALA MILIONI MBILI ZA KATIBA INAYOPENDEKEZWA NCHINI NZIMA<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://4.bp.blogspot.com/-Lg58qgji-7Y/VNxi4LnIFGI/AAAAAAAAEeo/hVQyuArB3gg/s1600/migiro.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://4.bp.blogspot.com/-Lg58qgji-7Y/VNxi4LnIFGI/AAAAAAAAEeo/hVQyuArB3gg/s1600/migiro.jpg" height="338" width="400" /></a></div>
<div align="JUSTIFY" style="line-height: 100%; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Arial, sans-serif;"><span style="font-size: small;"> <i style="color: red;">Waziri wa Katiba na Sheria Dkt, Asha Rose Migiro</i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="line-height: 100%; margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div align="JUSTIFY" style="line-height: 100%; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Arial, sans-serif;"><span style="font-size: small;">Serikali
imeanza kusambaza nakala milioni mbili za Katiba Inayopendekezwa
nchini kote ili kuwawezesha wananchi kuisoma na kushiriki katika Kura
ya Maoni iliyopangwa kufanyika tarehe 30 Aprili mwaka huu.</span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="line-height: 100%; margin-bottom: 0in;">
<br />
</div>
<div align="JUSTIFY" style="line-height: 100%; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Arial, sans-serif;"><span style="font-size: small;">Waziri
wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro amesema leo (Jumatano,
Februari 11, 2015) jijini Dar es Salaam kuwa kati ya nakala hizo
zilizochapwa jijini Dar es Salaam, nakala 1,800,000 zinasambazwa
Tanzania bara na nakala 200,000 zinasambazwa Tanzania Zanzibar.</span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="line-height: 100%; margin-bottom: 0in;">
<br />
</div>
<div align="JUSTIFY" style="line-height: 100%; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Arial, sans-serif;"><span style="font-size: small;">Kwa
mujibu wa Waziri Migiro, hadi kufikia jana (Jumanne, Februari 10,
2015), jumla ya nakala 707,140 zilikuwa zimesambazwa katika mikoa 12
ya Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar ambayo imepata nakala 200,000
na kuwa kazi hiyo inaendelea vizuri na inatarajiwa kukamilika katika
muda mfupi ujao.</span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="line-height: 100%; margin-bottom: 0in;">
<br />
</div>
<div align="JUSTIFY" style="line-height: 100%; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Arial, sans-serif;"><span style="font-size: small;">Mikoa
hiyo na nakala ziliozosambazwa katika mabano ni Katavi (15,640),
Rukwa (27,040), Ruvuma (47,740), Mbeya (78,640), Simiyu (34,840),
Mara (52,540), Tabora (58,540) na Kigoma (41,440). Mikoa mingine ni
Kagera (54,340), Geita (36,940), Mwanza (57,040) na Pwani ambapo
usambazaji umeanza kwa wilaya ya Mafia ambayo imepata nakala 2,400. </span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="line-height: 100%; margin-bottom: 0in;">
<br />
</div>
<div align="JUSTIFY" style="line-height: 100%; margin-bottom: 0in;">
“<span style="font-family: Arial, sans-serif;"><span style="font-size: small;">Idadi
ya nakala ya Katiba Inayopendekezwa kwa kila mkoa inategemea na wingi
wa kata katika mkoa, ndiyo maana baadhi ya mikoa unaona imepata
nakala nyingi,” amesema Dkt. Migiro ofisini kwake wakati akiongea
na baadhi ya waandishi wa Habari waliotaka ufafanuzi kuhusu hatua
iliyofikiwa katika kazi ya uchapishaji na uasambazaji wa nakala za
Katiba Inayopendekezwa.</span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="line-height: 100%; margin-bottom: 0in;">
<br />
</div>
<div align="JUSTIFY" style="line-height: 100%; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Arial, sans-serif;"><span style="font-size: small;">Kwa
mujibu wa Waziri Migiro, kuna zaidi kata 3,800 nchini kote na lengo
la Serikali ni kusambaza nakala 300 katika kila kata ambazo
zitasambazwa kwenye vijiji, vitongoji na mitaa kupitia Ofisi za Wakuu
wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri za Miji, Manispaa na
Majiji.</span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="line-height: 100%; margin-bottom: 0in;">
<br />
</div>
<div align="JUSTIFY" style="line-height: 100%; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Arial, sans-serif;"><span style="font-size: small;">Kuhusu
taasisi za elimu na dini, Waziri Migiro amesema Serikali imepanga
kusambaza nakala 658,400 kwa taasisi za elimu, dini, vyama vya siasa
na asasi za kiraia na kuwa usambazaji huo utaanza hivi karibuni.</span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="line-height: 100%; margin-bottom: 0in;">
<br />
</div>
<div align="JUSTIFY" style="line-height: 100%; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Arial, sans-serif;"><span style="font-size: small;">Pamoja
na usambazaji huo, Waziri Migiro amewakumbusha wananchi ambao bado
hawajapata nakala za Katiba Inayopendekezwa, kuisoma kupitia tovuti
ya Wizara ya Katiba na Sheria (</span></span><span style="color: blue;"><u><a href="http://www.sheria.go.tz/"><span style="font-family: Arial, sans-serif;"><span style="font-size: small;">www.sheria.go.tz</span></span></a></u></span><span style="font-family: Arial, sans-serif;"><span style="font-size: small;">)
na tovuti ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (</span></span><span style="color: blue;"><u><a href="http://www.agctz.go.tz/"><span style="font-family: Arial, sans-serif;"><span style="font-size: small;">www.agctz.go.tz</span></span></a></u></span><span style="font-family: Arial, sans-serif;"><span style="font-size: small;">).</span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="line-height: 100%; margin-bottom: 0in;">
<br />
</div>
</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-48990973074788905052015-02-10T23:48:00.001-08:002015-02-10T23:48:33.558-08:00TANZANIA YASHUTUMIWA KUWAFADHILI WAASI WA FDLR KUPANGA MASHAMBULIZI CONGO<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div style="margin-bottom: 0in;">
<a href="http://1.bp.blogspot.com/-4jOZ1SImKy4/VNsI1VG4n0I/AAAAAAAAEeU/SdN-bo1s4oI/s1600/kikwete.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"> <img border="0" src="http://1.bp.blogspot.com/-4jOZ1SImKy4/VNsI1VG4n0I/AAAAAAAAEeU/SdN-bo1s4oI/s1600/kikwete.jpg" height="228" width="400" /></a><span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"><b> <span style="font-size: small;"> </span></b></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"><b><span style="font-size: small;"> <i style="color: red;"> Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaJakaya Kikwete</i></span></b></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"><b> Umoja
wa mataifa imezituhumu serikali za Tanzania na Burundi kuhusiana na
hali katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.</b></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"><b>Ripoti
mpya ya kundi la wataalamu wa umoja huo kuhusu Congo, imeituhumu
Tanzania kwa kuwaruhusu viongozi wa kundi la waasi wa FDLR kuandaa
mikutano nchini humo.</b></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"><b>Taarifa
hiyo ya Umoja wa mataifa inasema kuwa tangu mwaka wa 2013, viongozi
wa FDLR na baadhi ya washirika wao wa kisiasa kutoka Ulaya wamekuwa
wakikutana nchini Tanzania.</b></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Bookantiqua, serif; font-size: large;"><b>Hata
Hivyo katika kujibu madai hayo serikali ya Tanzania ilikanusha kabisa
kuwahi kuakaribisha mikutano yoyote ya waasi ndani ya ardhi yake na
kuongeza kuwa hakujawahi kuwa na mazungumzo yoyote kati ya majeshi
yake na wapiganaji wa FDLR.</b></span></div>
</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-62404531945300495822015-02-10T21:56:00.000-08:002015-02-10T21:56:14.736-08:00WAFANYABIASHARA WATAKIWA KUENDELEA NA BIASHARA WAKATI MWENYEKITI WAO AKIFIKISHWA MAHAKAMANI LEO<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div style="margin-bottom: 0in;">
<a href="http://4.bp.blogspot.com/-o5UjDLkamdE/VNruMzqk_6I/AAAAAAAAEeE/9GZzViQYmes/s1600/MWENYIKITI.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><span style="font-size: large;"> </span><img border="0" src="http://4.bp.blogspot.com/-o5UjDLkamdE/VNruMzqk_6I/AAAAAAAAEeE/9GZzViQYmes/s1600/MWENYIKITI.jpg" height="400" width="330" /></a><span style="font-size: large;"> </span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"> <b><i style="color: red;"> Mwenyekiti wa wafanyabiashara Tanzania Johnson Minja</i></b></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Wafanya biashara nchini wametakiwa
kuendelea kufanya biashara zao wakati mwenyekiti wa jumuiya ya
Wafanyabiashara Johnson Minja akipandishwa kizimbani leo mjini Dodoma
nchini Tanzania.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Wito huo umetolewa jana na Minja wakati
akifungua kikao cha </span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Halamshauri Kuu ya Taifa ya Jumuiya hiyo
kilichofanyika mjini hapa ambapo alisema tayari viongozi wa ngazi za
juu wa Jumuiya hiyo wameshawasili kuhudhuria kesi hiyo.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">“Ni siku moja tu kabla ya siku ya
kesi ambayo imefunguliwa Dodoma, jumuiya ya wafanyabiashara
wanahudhuria kesi kwa pamoja kama taifa,” alisema Minja na kuongeza
kuwa,</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">“Lakini pia, kumekuwa na muunganiko
wa watu wengi ambao wanataka kujua maendeleo ya kesi na kitu gani
kinaendelea, naomba wafanyabiashara wawe na amani na utulivu wakati
kesi hiyo ikiwa inaendelea.”</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Amesema tunaamini kwamba mahakama
itatenda haki na mwisho wa siku yale ambayo tumejadiliana na Mamlaka
ya Mapato Tanzania (TRA) na Serikali kwa ujumla, yanaweza kufanyiwa
kazi kwa aajili ya manufaa na maslahi mapana zaidi ya Taifa ,
wafanyabiashara na wananchi wote kwa ujumla.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Amesema, haitakuwa na maana kama
viongozi wote watakuwa mahakamani na wafanyabiashara nao wakafunga
maduka yao hali itakayosababisha wao na Serikali kukosa mapato na
wananchi kukosa huduma.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">“Haina maana sisi tuna kesi na wao
waendelee kupoteza wanapofunga maduka yao, wao wanapoteza ,wananchi
wanakosa huduma na Serikali inakosa mapato, kikubwa tunachoomba kwao
ni sala, watuombee lakini wasisitishe huduma, ili watoe huduma kwa
wananchi na Serikali ipate mapato,” alisema Minja</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Vile vile amesema, kitendo cha
wafanaybiashara kufunga maduka yao yao wakati kesi hiyo ikiendelea
mahakamani,inaweza kusababisha Jumuiya hiyo kushindwa kufikia azma
yao kwa Serikali ya mazungumzo katika kuwasaidia kufikia muafaka wa
changamoto zinazowakabili , kwa njia ya majadiliano.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Leo Minja anatarajiwa kufikishwa
mahakamani kwa mara ya pili, mara ya kwanza alifikishwa katika
mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma mjini mnamo Januari 28 mwaka huu
kwa tuhuma ya kuwachochea wafanyabiashara wasilipe kodi ya Serikali.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Pia Minja anatuhumiwa kwa kosa la
kuwapa maelekezo wafanyabiashara ya kutotumia mashine za Kilektoniki
(EFDs).</span></div>
</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-14265545173206265672015-01-25T23:07:00.001-08:002015-01-25T23:09:08.528-08:00MWIGIZAJI WA FILAMU ZA KISWAHILI ASHELY TOTO AZUA UTATA WA AMBER ROSE MITANDAONI PICHA ZAKE ZASAMBAA<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<h1 class="entry-title" itemprop="name">
<a href="http://www.umojaradio.nl/2015/01/25/picha-ya-sexy-ya-mwigizaji-ashley-toto-yavuja-mitandaoni/" itemprop="url" rel="bookmark" title="PICHA YA SEXY YA MWIGIZAJI ASHLEY TOTO YAVUJA MITANDAONI">PICHA YA SEXY YA MWIGIZAJI ASHLEY TOTO YAVUJA MITANDAONI</a></h1>
<a href="http://www.umojaradio.nl/wp-content/uploads/2015/01/jmmaa.jpg"><img alt="jmmaa" class="alignnone size-medium wp-image-5094" src="http://www.umojaradio.nl/wp-content/uploads/2015/01/jmmaa-300x289.jpg" height="289" width="300" /></a><br />
Mwigizaji tena promoter wa muziki raia wa Kenya ambaye makao yake
yako nchini Ujerumani, Ashley Toto, amewaacha midume vinywa wazi baada
ya picha zake za kitandani kuvuja kwenye mitandao ya kijamii huku sehemu
muhimu za mwili wake zikiwa wazi.<br />
<a href="http://www.umojaradio.nl/wp-content/uploads/2015/01/10893289_10205138225722838_1824582473_o.jpg"><img alt="10893289_10205138225722838_1824582473_o" class="alignnone size-medium wp-image-5095" src="http://www.umojaradio.nl/wp-content/uploads/2015/01/10893289_10205138225722838_1824582473_o-300x169.jpg" height="169" width="300" /></a><br />
Ashley Toto anayetamba katika filamu ya Moyo wangu aliyo higiza
pamoja na wasanii wa V.A.D Production nchini Danmark, alikuwa
matembezini katika nchi ya Mweshimiwa Jakaya Kikwete kwa mipangilio ya
mahandalizi ya kucheza filamu pamoja na waigizaji wa nchi hiyo ya
Tanzania.</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-6325371269861183192015-01-22T00:45:00.000-08:002015-01-22T00:45:31.734-08:00JESHI LA POLISI LAZINDUA MPANGO WA KUKABILIA NA MAJAMBAZI GEITA,KAGERA NA KIGOMA<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://4.bp.blogspot.com/-vZ-QyQ95XiA/VMC3CvgHv-I/AAAAAAAAEcQ/u8DSs3VvVW4/s1600/kamanda_kagera.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://4.bp.blogspot.com/-vZ-QyQ95XiA/VMC3CvgHv-I/AAAAAAAAEcQ/u8DSs3VvVW4/s1600/kamanda_kagera.jpg" height="300" width="400" /></a></div>
<b><i>Kamanda wa polisi mkoa we Kagera
Kamishna msaidizi mwandamizi wa polisi Henry Mwaibambe </i></b> <div style="margin-bottom: 0in;">
JESHI la Polisi mikoa ya Kigoma,Kagera
na Geita limezindua mpango endelevu wa kuuangamiza mtandao wa
uhalifu wa kutumia silaha kwa kuwatahadharisha wananchi kuepukana na
tabia ya kuwakarimu wageni wanaowatilia mashaka na badala yake
wawaripoti Polisi au kwa mamlaka zingine.</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<br />
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
Tahadhari hiyo imetokana na baada ya
wananchi wa Kitongoji cha Mhama, kijiji cha Ilyamchele Wilayani
Bukombe Mkoani Geita Januari 19 mchana kujikuta wakiwakirimu
majambazi wakiwemo kutoka nchi jirani kwa chakula na vinywaji
wakidhania ni Askari wa hifadhi kutokana na nguo walizokuwa wamevaa
kufanana na sare za Askari wa hifadhi kumbe ni majambazi kabla ya
kuwageuka na kutoa silaha za kivita na kuwapora.</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<br />
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
Sanjari na kuchukua tahadhari hiyo
wananchi wameombwa kutoa ushirikiano kwa polisi kwa kutoa taarifa za
siri zitakazoiwezesha polisi kuwanasa watu wote wanaoendesha vitendo
vya uhalifu wakiwemo wanaowaficha na wanaoshirikiana na watu kutoka
nchi jirani katika mikoa ya Kagera,Kigoma na Geita.</div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://2.bp.blogspot.com/-9ICcwKJhSwU/VMC4Kaixj7I/AAAAAAAAEcc/szp7VLS3EDY/s1600/KONYO.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://2.bp.blogspot.com/-9ICcwKJhSwU/VMC4Kaixj7I/AAAAAAAAEcc/szp7VLS3EDY/s1600/KONYO.JPG" height="266" width="400" /></a></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<b><i> Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita
Kamishna msaidizi mwandamizi wa polisi Joseph Konyo</i></b>
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita
Kamishna msaidizi mwandamizi wa polisi Joseph Konyo amesema hayo leo
baada ya kikao maalum kati ya Kamanda wa polisi mkoa we Kagera
Kamishna msaidizi mwandamizi wa polisi Henry Mwaibambe cha
kuzindua mkakati kabambe wa kuusaka mtandao wa uhalifu
kilichonfayika katika kijiji cha Nyakanazi Wilayani Biharamulo Mkoani
Kagera Juzi januari 20.</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
‘’Wananchi wabadilike ..kama siyo
mjambazi hao kuingiwa na hofu baada ya kupata taarifa ya kuwepo
porini kwa Kikosi cha kupambana na Uhalifu wa kutumia Silaha cha
mkoani Geita majambazi hao wangeweza kufanya kufuru lakini kwa
kuhofia hilo waliamua kufyatua risasi juu na kisha kuiba mchele kilo
60 na baiskeli tatu walizotumia kubebea mchele walioiba kabla ya
kuzitupa kwa kuhofia kukutana na kikosi cha Antroberry’’alidai
Konyo.</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<br />
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
Aliongeza majambazi hao wanadaiwa
walifika katika kijiji hicho wamevaa nguo zinazofanana na sare za
Askari wa hifadhi na wanakijiji waliwakarimu kama watumishi wa
serkali kwa kuwanunulia chakula na vinywaji lakini mwanakijiji mmoja
aliwadokeza wenzake kuwa wale watu pamoja na kuvaa sare za Askari wa
hifadahi kwa juu lakini ndani walikuwa wamevaa sare za jeshi kama la
wananchi Jwtz lakini wenzake walimpuuza.</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<br />
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
‘’Baada ya kukirimiwa pombe na
chakula ghafla watu hao walitoa bunduki za kivita ikiwemo bunduki
nzito inayodaiwa kuwa Light Mchine Gun[LMG]na kuwaamuru wananakijiji
waliokuwepo kukaa chini ya ulinzi kwa muda kwa kufyatua risasi hewani
na kisha kuondoka na kilo 60 za mchele na baiskeli tatu ambazo
baadaye walizitupa wakihofia kunaswa’’alisema Konya</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
Wakati wakitoka eneo la tukio
wakiondoka majambazi hao walichoma kibanda[Kijumba]kwa moto kwa lengo
la kuwafanya wanakijiji wasiwafuate na badala yake washughulikie
uzimaji moto kibanda kile na ndicho kilichofanyika na wakatumia fursa
hiyo kutoweka huku wanakijiji wakiwarushia mishale bila ya
mafanikio.</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
Kamanda Konyo alisema uchunguzi wa
kiintelijensia umebaini watu hao walivuka na kuingia nchi jirani
bila ya kuitaja kwa sababu za kiupelelezi…na ni sehemu ya mtandao
ambao umekuwa unaedesha uhalifu katika mikoa ya Kagera,Kigoma na
Geita huku pori la akiba la Kigosi lililopo wilayani Bukombe
linalopakana na wilaya za Biharamulo mkoani Kagera na mkoa wa Kigoma
likitumiwa kama maficho ya wahalifu hao.</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
Hata hivyo watu hao walitupa baiskeli
hizo baada ya kuhofia kukutana na Askari wa kikosi maalum cha
kupambana na Uhalifu wa kutumia silaha[Ant-robberry]na kufanikiwa
kutokomea kabla ya Askari kufika eneo la tukio hata hivyo taarifa
zilizokwishapatikana za kiintelijensia zimedaiwa zitasaidia kuunasa
mtandao huo na kuwataka wahalifu wote kujisalimisha wao au silaha zao
kwani siku zao zimehesabiwa kutoka sasa iwapo wananchi nao watasimama
kidete kutoa ushirikiano kuwafichua wahalifu hao kwani wanawatambua
na baadhi wanaishi nao.</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
Inasadikiwa mtandao huo ni sehemu ya
mitandao ya uhalifu wa kutumia silaha iliyopo katika Miji ya
Lunzewe,Namonge,Kasanda na Mabamba iliyopo katika mikoa ya
Geita,Kagera na Kigoma na baada ya hapo huvuka na kuingia nchi
jirani na hushirikiana na wenyeji ambao wao huratibu utekelezaji wa
matukio hayo na wageni huja kutekeleza.</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
Kikosi nguvu kazi hicho
kitakachowashirkisha makachero na wale wa Kikosi cha kupambana na
unyang’anyi wakutumia silaha katika mikoa mitatu kitakuwa kiungo
mhimu katika utekelezaji mkakati huo huku ukiwemo mfumo wa
kubadilishana taarifa za uhalifu na zile za
kikachero’’kiintelejensia’’katika mikoa hiyo mitatu kwa lengo
la kuufyeka kabisa mtandao huo ambao umekuwa kero kubwa katika mikoa
ya Geita,Kagera na Kigoma</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
Hata hivyo wadau waliohojiwa mkoani
Geita kwa masharti ya kutotajwa majina yao juu ya hali ya uhalifu
mkoani humo wamesema idadi ya matukio ya uhalifu wa kutumia silaha
yamepungua ikilinganishwa na miaka miwili iliyopita kulikochangiwa
na ushirikishwaji wa wananchi kwa kuhakikishiwa usalama wao katika
kufichua uhalifu…baada ya kutoa taarifa za siri badala ya
kusalitiwa na Askari wasio waadilifu kwa kuzigeuza kuwa dili.</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<br />
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
Wamesema hatua hiyo inatokana na Timu
madhubuti iliyopikwa na uongozi uliopo sasa wa polisi mkoani hapa kwa
kurejesha imani kwa wananchikwa kuwalindawatoa taarifa za siri na
kusikilizwa,pia kikosi cha Kuapambanana uhalifu wakutumia silaha
kimekuwa imara wakati wote tofuati na awali.</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<br />
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
Mwaka jana watu wanaosadikiwa kuwa
majambazi walivamia kituo kikuu cha polisi wilaya ya Bukombe Mkoani
Geita na kuua Askari wawili na kupora silaha,lakini kutokana na
ushirikiano kati ya polisi na wanachi watuhumiwa waliweza kukamatwa
pamoja na silaha zote zilizokuwa zimeibiwa.</div>
</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-54188017881754892722014-12-31T20:19:00.001-08:002014-12-31T20:19:26.235-08:00KAMA HUKUBAHATIKA KUMSIKILIZA RAIS JAKAYA KIKWETE NA SALAMU ZAKE ZA MWISHO ZA MWAKA MPYA AKIWA KAMA RAIS HII NDIO HOTUBA YAKE KUHUSU HALI YA NCHI ILIVYO NA MATARAJIO YA BAADAE<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div align="CENTER" style="background: #d9d9d9; margin-bottom: 0in;">
<br />
</div>
<div align="CENTER" style="background: #d9d9d9; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>SALAMU
ZA MWAKA MPYA ZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA
DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE KWA WATANZANIA,</b></span></span></div>
<div align="CENTER" style="background: #d9d9d9; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>TAREHE
31 DESEMBA, 2014</b></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"> </span></span></div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Utangulizi</b></u></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<a href="http://1.bp.blogspot.com/-2Y8sNtubnhE/VKTJ4RuvFMI/AAAAAAAAEa4/no9yUvrJgM4/s1600/kikwetesensa.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://1.bp.blogspot.com/-2Y8sNtubnhE/VKTJ4RuvFMI/AAAAAAAAEa4/no9yUvrJgM4/s1600/kikwetesensa.jpg" height="320" width="221" /></a><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b> </b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
zangu;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Watanzania
Wenzangu;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Kama
ilivyo ada imefikia siku ya kuuaga mwaka mmoja na kuukaribisha mwaka
mwingine. Leo tunauaga mwaka 2014 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2015.
Tunamshukuru Muumba wetu mwingi wa rehema kwa kutujaalia uzima na
kutuwezesha kuifikia siku ya leo. Kwa ndugu na jamaa zetu ambao
hawakujaliwa kuiona siku ya leo tuzidi kuwaombea mapumziko mema.
Nasi tumuombe Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema atujaalie umri mrefu,
afya njema na mafanikio tele kwa kila tuliombalo katika mwaka 2015 na
miaka ijayo. </span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"> Hizi
ni salamu zangu za mwisho za mwaka mpya kutoa nikiwa Rais wa nchi
yetu. Mwakani salamu kama hizi zitatolewa na Rais wetu mpya. Mimi
wakati huo nitakuwa raia wa kawaida kijijini kwangu Msoga
nikifuatilia kwenye TV na radio hotuba ya Rais wa Awamu ya Tano ya
uongozi wa nchi yetu akitoa salamu zake za kwanza za mwaka mpya,
itakuwa siku ya furaha na faraja kubwa kwangu.</span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b> </b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Hali
ya Usalama</b></u></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b> </b></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b> </b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Tunaumaliza
mwaka 2014 kwa salama na amani. Mipaka yetu iko salama na hakuna
tishio lolote la kiusalama kutoka ndani au nje ya nchi yetu. Uhusiano
wetu na nchi jirani na nyinginezo duniani ni mzuri. Hakuna nchi
iliyo adui au tunayoitilia shaka kuwa na njama za kuhatarisha usalama
wa Tanzania. Nawapongeza wanadiplomasia wetu pamoja na viongozi na
watendaji wa vyombo vya ulinzi na usalama kwa kuendelea kuifanya nchi
yetu kuwa salama. </span></span>
</div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Uhalifu
Unapungua</b></u></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"> Taarifa
za Polisi zinaonyesha kuwa, mwaka 2014 vitendo vya uhalifu vimepungua
ikilinganishwa na mwaka 2013. Mwaka huu, matukio ya uhalifu
yaliyoripotiwa</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>
</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Polisi
yalikuwa </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>64,088</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
ikilinganishwa na matukio </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>66,906
</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">katika
mwaka 2013. Haya ni matokeo ya kazi nzuri inayofanywa na Jeshi la
Polisi wakishirikiana na vyombo vingine vya usalama pamoja na raia
wema. Naomba ushirikiano huu uendelee mwaka ujao na miaka ijayo ili
tuweze kupata mafanikio makubwa zaidi. </span></span>
</div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Ajali
za Barabarani</b></u></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b> </b></i></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Nimefarijika
kusikia pia kuwa matukio ya ajali za barabarani nchini nayo
yanaendelea kupungua. Mwaka huu kumetokea ajali </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>14,048</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
zilizosababisha vifo vya watu </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>3,534</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
na wengine </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>16,166</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
kujeruhiwa. Mwaka 2013 kulitokea ajali </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>22,383</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
zilizosababisha vifo </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>3,746</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
na majeruhi </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>19,433</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">.
Hivyo mwaka huu kulikuwa na ajali </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>8,335,
</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">vifo</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>
212 </b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">na
majeruhi</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>
3,267</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
pungufu kuliko mwaka jana. Huu ni mwelekeo mzuri na wa kutia moyo
ingawa bado ni nyingi mno. Naomba yale tuliyoyafanya yaliyotuwezesha
kupata unafuu huu mwaka huu yaendelezwe maradufu mwaka 2015 na miaka
ijayo. </span></span>
</div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Ugaidi</b></u></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"> Mwaka
huu tumefanikiwa kutambua mtandao wa viongozi na washirika wao
wanaotuhumiwa kupanga na kufanya mashambulizi ya kigaidi kwa kutumia
mabomu na kumwagia watu tindikali Tanzania Bara na Zanzibar. Watu
</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>112</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
wanaotuhumiwa kujihusisha na vitendo vya ugaidi wametiwa nguvuni.
Tayari watuhumiwa </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>87</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
kati yao wameshafikishwa mahakamani na waliosalia watafikishwa wakati
wo wote. Uchunguzi unaendelea ili kuwatambua wahusika wengine ambao
hawajakamatwa. </span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"> Kwa
niaba ya Watanzania wenzangu wote, natoa pongezi nyingi kwa vyombo
vyetu vya ulinzi na usalama kwa kazi nzuri waliyofanya ya kutambua
mtandao wa ugaidi nchini na kuchukua hatua thabiti za kuudhibiti.
Hali kadhalika nawashukuru raia wema waliotoa taarifa zilizowezesha
haya kufanyika. Hatupaswi kubweteka wala kudhani kuwa mambo
yamekwisha. Lazima tuendelee kuchukua tahadhari muda wote kwani
hatujui adui anapanga kufanya hujuma gani, lini na wapi. </span></span>
</div>
<div align="CENTER" lang="en-US" style="line-height: 115%; margin-bottom: 0in; orphans: 2; text-indent: 0.5in; widows: 2;">
<span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Dawa
za Kulevya</b></u></span></span></span></div>
<div lang="en-US" style="line-height: 115%; margin-bottom: 0in; orphans: 2; widows: 2;">
<span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi; </b></i></span></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" lang="en-US" style="line-height: 115%; margin-bottom: 0in; orphans: 2; widows: 2;">
<span style="color: black;"><span style="font-family: Century Gothic, sans-serif;"><span style="font-size: small;"><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"> Tumeendelea
kupata mafanikio ya kutia moyo katika vita dhidi ya biashara na
matumizi ya dawa za kulevya nchini. Mwaka huu watuhumiwa </span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>935
</b></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">wakiwemo
vigogo wa biashara hii haramu duniani wamekamatwa. Jumla ya kesi </span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>19</b></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
zimefunguliwa Mahakamani. Aidha, kiasi cha </span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>kilo
400</b></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
za heroine, kilo </span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>45</b></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
za cocaine na </span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>kilo</b></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
</span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>81,318</b></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
za bangi zimekamatwa. Narudia kutoa pongezi nyingi kwa Kikosi Kazi
Maalum cha Kukabiliana na dawa za kulevya nchini kwa mafanikio
yanayoendelea kupatikana. Matunda ya kazi yao tunayaona. Naomba
juhudi ziongezwe maradufu mwaka ujao na miaka ijayo. Serikali
itaendelea kuwaunga mkono. </span></span></span></span></span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" lang="en-US" style="line-height: 115%; margin-bottom: 0in; orphans: 2; widows: 2;">
<span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
wananchi;</b></i></span></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" lang="en-US" style="line-height: 115%; margin-bottom: 0in; orphans: 2; text-indent: 0.49in; widows: 2;">
<span style="color: black;"><span style="font-family: Century Gothic, sans-serif;"><span style="font-size: small;"><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Kama
nilivyoahidi mwaka jana, Muswada wa Sheria ya Kuthibiti na Kupambana
na Dawa za Kulevya umeshasomwa kwa mara ya kwanza katika Mkutano wa
Novemba, 2014 wa Bunge letu tukufu. Pamoja na kupendekeza kuongeza
adhabu kwa makosa ya kujihusisha na dawa za kulevya, Muswada huo pia
unapendekeza kuanzisha chombo kipya chenye nguvu cha kuzuia na
kupambana na dawa za kulevya. Muswada huu ukipitishwa na kuwa Sheria
tutakuwa tumeongeza nguvu ya mapambano dhidi ya biashara na matumizi
ya dawa za kulevya nchini. </span></span></span></span></span></span>
</div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Ujangili
wa Wanyamapori</b></u></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b> </b></i></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Katika
mwaka tunaomaliza leo mapambano dhidi ya</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>
</b></i></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">ujangili
na biashara haramu ya bidhaa zinazotokana na wanyama pori
yameimarishwa. Kwa ujumla kasi ya ujangili imeendelea kupungua.
Katika mwaka 2014 ndovu </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>114</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
waliuawa ikilinganishwa na ndovu </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>219</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
waliouawa mwaka 2013 au ndovu </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>473</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
mwaka 2012. Aidha, majangili </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>1,354</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
wamekamatwa na pembe za ndovu </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>542</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
na silaha mbalimbali </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>184</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
nazo zilikamatwa. Naamini uamuzi wa kuifanya Idara ya Wanyamapori
katika Wizara ya Maliasili na Utalii kuwa Wakala yaani </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i>Tanzania
Wildlife Agency</i></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
(TAWA) kutaongeza nguvu ya kuhifadhi wanyama pori na mapambano dhidi
ya ujangili.</span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"> Natoa
pongezi nyingi kwa askari wa wanyamapori, Jeshi la Polisi na vyombo
vingine vya Serikali na raia wema kwa kazi nzuri wanayoendelea
kufanya na mafanikio yanayoendelea kupatikana. Juhudi za kupambana
na ujangili na biashara haramu ya bidhaa zinazotokana na wanyama pori
zitaendelezwa kwa nguvu zaidi mwaka ujao 2015 na miaka inayofuatia.
Napenda kutumia fursa hii kuwashukuru kwa dhati marafiki zetu wa
maendeleo wanaotuunga mkono kwa hali na mali katika mapambano haya.
Naomba waendelee kutusaidia. </span></span>
</div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Hali
ya Uchumi Jumla</b></u></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"> Mwaka
2014 ulikuwa mzuri kwa uchumi wa taifa. Uzalishaji katika sekta
nyingi ulikuwa ni mzuri. Ndiyo maana tunategemea kuwa tutafikia au
hata kuvuka lengo tulilojiwekea la pato la taifa kukua kwa </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>asilimia
7.4</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
mwaka huu. Mwaka 2013 pato la taifa lilikua kwa </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>asilimia
7.3</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">.
Mfumuko wa bei uliendelea kushuka na kufikia </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>asilimia
5.8 </b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Novemba,
2014 ukilinganisha na Januari 2014 ulipokuwa </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>asilimia
6.0</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">.
Hali nzuri ya upatikanaji wa chakula nchini imesaidia sana kufanya
mfumuko wa bei kuendelea kushuka. Ni matumaini yangu kuwa mfumuko wa
bei utaendelea kushuka na kufikia </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>asilimia
5 </b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">ifikapo
Juni, 2015. </span></span>
</div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.5in;">
<span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><u><b>Mauzo
Nje </b></u></i></span></span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.5in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Mauzo
nje yameendelea kuongezeka. Katika kipindi kilichoishia Oktoba 31,
2014, Tanzania iliuza nje bidhaa na huduma zenye thamani ya dola za
Marekani </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>milioni
</b></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>8,503.9</b></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
</span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">ukilinganisha
na mauzo ya dola </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>milioni
</b></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>8,332.5
</b></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">katika
kipindi kama hicho mwaka</span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
2013. Mapato yetu yangekuwa makubwa zaidi kama bei za kahawa, chai,
korosho na pamba zisingeanguka au bei ya dhahabu nayo isingepada. </span></span>
</div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><u><b>Akiba
ya Fedha za Kigeni</b></u></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.5in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Akiba
yetu ya fedha za kigeni ilikuwa Dola za Marekani </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>milioni
4,251.8 </b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">kwa
kipindi kilichoishia</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>
</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
Novemba 30, 2014. Kiasi hicho kinatuwezesha kuagiza bidhaa toka nje
kwa miezi </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>4.1.</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
Hii ni chini ya lengo letu la kuwa na akiba ya fedha za kigeni ya
kuagiza bidhaa kwa miezi </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>minne
na nusu</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">.
</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>
</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Hata
hivyo,</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>
</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">sina
wasiwasi kabisa kwamba tofauti hii ndogo tutaweza kuiziba mwaka 2015</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>.
</b></span></span>
</div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.5in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><u><b>Mapato
ya Serikali </b></u></i></span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.5in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Makusanyo
ya mapato ya Serikali kwa mwezi, kati ya Julai hadi Novemba, 2014
yaliongezeka kutoka shilingi </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>bilioni
3,555.5</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
kipindi kama hicho mwaka 2013 hadi shilingi </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>bilioni</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>3,924.1</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
mwaka huu. Hata hivyo, makusanyo hayo yalikuwa </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>asilimia
90</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
ya lengo tulilojiwekea la kukusanya shilingi </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>bilioni
4,459.7</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">.
Kwa mujibu wa Mamlaka ya Mapato, zipo sababu mbalimbali
zilizosababisha lengo lisifikiwe katika nusu ya kwanza ya mwaka wa
fedha wa 2014/2015. Hatua zipasazo zinaendelea kuchukuliwa
kurekebisha mambo hayo ili katika nusu ya pili ya mwaka huu wa fedha
makusanyo yafikie lengo na ikiwezekana yazidi ili kufidia pengo la
nusu ya kwanza. </span></span>
</div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><i><u><b>Takwimu
Mpya za Pato la Taifa</b></u></i></span></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" lang="fr-FR" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
wananchi,</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.5in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">Ni
utaratibu wa kawaida wa nchi zote duniani kuwa na mwaka unaotumika
kuwa kizio (base year) cha kukokotoa takwimu za Pato la Taifa. Ni
utaratibu wa kawaida pia kwa kila baada ya muda fulani mwaka wa kizio
hubadilishwa. Lengo ni kuboresha takwimu husika. Katika marekebisho
hayo pia huingizwa thamani ya bidhaa na huduma mpya katika pato la
taifa na kuziondoa zilizotoweka ili kutoa picha halisi ya ukuaji wa
shughuli za kiuchumi. </span></span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.5in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">Katika
miaka ya hivi karibuni nchi za Ghana (mwaka 2010), Nigeria (mwaka
2013) na Kenya (mwaka 2014) wamefanya marekebisho ya takwimu zao za
pato la taifa. Na sisi Tanzania tumefanya hivyo mwaka huu (2014).
Hii ni mara ya tano kwa nchi yetu kurekebisha takwimu za pato la
taifa. Mara nne zilizopita ilikuwa mwaka 1966, 1976, 1992 na 2001. </span></span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" lang="fr-FR" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.5in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">Ofisi
ya Taifa ya Takwimu imekamilisha marekebisho ya takwimu za pato la
taifa na kukokotoa takwimu mpya kwa kutumia mwaka 2007 kama mwaka wa
kizio. Kutokana na marekebisho yaliyofanyika, pato la taifa kwa
mwaka 2013 ni </span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><b>shilingi
trilioni</b></span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">
</span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><b>70
</b></span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">kwa
kutumia bei za mwaka 2007. Ukitumia bei za mwaka 2001, pato la taifa
kwa mwaka 2013 ni </span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><b>shilingi
trilioni 53.17.</b></span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">
Kuongezeka kwa pato la taifa kumeongeza pia pato la wastani la kila
Mtanzania kutoka </span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><b>shilingi
1,186,200</b></span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">
(sawa na </span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><b>US$
742</b></span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">)
kwa bei za mwaka 2001 hadi </span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><b>shilingi
1,560,050</b></span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">
(sawa na </span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><b>US$
977</b></span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">)
kwa bei za mwaka 2007. </span></span></span>
</div>
<div align="CENTER" lang="fr-FR" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Kilimo
na Chakula</b></u></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" lang="fr-FR" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.5in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">Mwaka
2014 ulikuwa mzuri sana kwa uzalishaji wa mazao ya chakula nchini.
Uzalishaji ulikuwa tani </span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><b>milioni
16.02</b></span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">
ukilinganisha na uzalishaji wa tani </span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><b>milioni
14.38</b></span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">
mwaka wa jana 2013</span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><b>.
</b></span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">Hili
ni ongezeko la tani </span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><b>milioni
1.64</b></span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">.
Kwa mujibu wa mahitaji yetu ya chakula nchini kuna ziada ya </span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><b>tani
milioni 3.25. </b></span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">Katika
ziada hiyo, mahindi yanachangia tani</span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><b>
milioni 1.55,</b></span></span></span><span style="color: red;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><b>
</b></span></span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">mchele
tani </span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><b>794,000</b></span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">
na kiasi kinachobakia kinachangiwa na mazao mengine ya chakula. </span></span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" lang="fr-FR" style="margin-bottom: 0in; margin-right: -0.3in;">
<span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
wananchi;</b></i></span></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; margin-right: -0.3in; text-indent: 0.5in;">
<span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">Kuna
jambo moja muhimu kuhusu ununuzi wa nafaka ambalo ningependa
kulifafanua. Naomba ieleweke kuwa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya
Chakula (NFRA) sio mnunuzi wa mahindi yote, mpunga wote na mtama
wote unaozalishwa na wakulima nchini. Wakala hununua sehemu ndogo
tu ya nafaka ya ziada iliyozalishwa na hununua kwa ajili ya kuweka
akiba ya taifa ya chakula cha kutumika wakati wa dharura ya watu
kupata tatizo la njaa. Aidha, Wakala hununua kiasi kinacholingana na
uwezo wa maghala yake kuhifadhi. Kwa sasa uwezo wa maghala yetu ni
kuhifadhi </span></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><b>tani
246,000 </b></span></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">ingawaje
tunaendelea kujenga maghala mengine mpaka tufikie uwezo wa kuhifadhi
</span></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><b>tani
400,000 </b></span></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">ifikapo
2015</span></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><b>.
</b></span></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">Hivyo
basi kwa Wakala kununua</span></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><b>
tani 292,415.41 </b></span></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">mwaka
huu </span></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">ina
maana kwamba kiasi cha karibu </span></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><b>tani
50,000</b></span></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">
zinahifadhiwa nje ya maghala kwa kutumia maturubai. Huu siyo
utaratibu mzuri na haifai kuendelea nao kwani kuna hatari ya nafaka
hiyo kuharibika na kuzua mgogoro mkubwa siku moja. </span></span></span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; margin-right: -0.3in;">
<span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><i><b>Ndugu
wananchi;</b></i></span></span></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; margin-right: -0.3in; text-indent: 0.5in;">
<span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">Baada
ya NFRA kununua </span></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><b>tani
292,415.41</b></span></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">
kuna takribani </span></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><b>tani</b></span></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">
</span></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR"><b>milioni
2.96</b></span></span></span></span><span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">
za nafaka ya ziada ambayo iliyobaki mikononi mwa wakulima. Mategemeo
yetu ni kuwa wafanyabiashara wetu watanunua nafaka hiyo kwa ajili ya
kuuza mijini na kwingineko inakohitajika. Bahati mbaya mwaka huu
kama ilivyokuwa mwaka wa jana, wafanyabiashara wetu hawakuweza
kununua nafaka yote ya ziada ambayo Serikali haikuweza kununua
kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula. Hali hii imezua tatizo
ambalo Serikali kwa kushirikiana na wafanyabiashara nchini hatuna
budi kulitafutia majawabu. Tunalazimika kutafuta masoko mengine
ndani na hata nje ya nchi ya kuuza mahindi, mpunga na mtama wa ziada.
Nimeagiza Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika na Wizara ya Viwanda
na Biashara kukaa chini na kushirikiana na wafanyabiashara
kulitafutia ufumbuzi suala hili lenye maslahi makubwa kwa wakulima na
nchi yetu kwa jumla. </span></span></span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" lang="fr-FR" style="margin-bottom: 0in; margin-right: -0.3in;">
<span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; margin-right: -0.3in; text-indent: 0.5in;">
<span style="color: black;"><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="fr-FR">Katika
mazingira haya, ninapopata taarifa ya kuwepo watu wanaotaka kuuza
mahindi nje ya nchi lakini wanawekewa vikwazo na maafisa wa Serikali
inanishangaza na kunisikitisha. Nawataka wale wote wanaofanya hivyo
waache mara moja na badala yake wawasaidie wafanyabiashara hao
kufanikisha azma yao. Hali kadhalika, tuwashawishi watu wengine nao
wajitokeze kufanya biashara hiyo. Jambo muhimu ninalopenda
kulisisitiza ni kwamba pawepo na utaratibu mzuri ili biashara hiyo
ifanywe kwa kutumia njia halali na zilizo wazi. Kutumia njia za
panya hakukubaliki na wala hakuna sababu ya kufanya hivyo. </span></span></span></span>
</div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Miradi
ya Kimkakati</b></u></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
wananchi;</b></i></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
</span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.5in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Katika
mwaka 2014 utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati kwa mujibu wa
Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano (2011/12 – 2015/16) umeendelea
vizuri. Tunayo matumaini makubwa kwamba katika mwaka 2015 miradi
mingi itakamilika. </span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.5in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Tuanze
na Mradi wa ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara na Songosongo hadi
Dar es Salaam. Mradi huu unategemewa kukamilika Januari, 2015.
Utakapokamilika utatuwezesha kutimiza lengo letu la kuzalisha </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>MW
2,780 </b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">za</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>
</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">umeme
ifikapo 2016. Mipango ya kupata ardhi ya ujenzi wa mitambo ya
kuchakata gesi asili kuwa ya kumiminika (LNG) ili iweze kusafirishwa
kwenda kwenye masoko, inakwenda vizuri. </span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.5in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Utekelezaji
wa mradi mkubwa wa kimkakati wa kusambaza umeme vijijini umeendelea
vizuri na tumepata mafanikio makubwa yasiyokuwa na mfano wake katika
historia ya nchi yetu. Hadi kufikia Novemba, 2014, jumla ya vijiji
</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>3,836</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
vimepatiwa umeme na vingine </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>1,500</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
vinategemewa kupatiwa umeme ifikapo Juni, 2015. Hivyo basi, vijiji
</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>5,336</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
kati ya vijiji </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>12,423</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
vya Tanzania Bara vitakuwa vimepatiwa umeme. Hii ni sawa na </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>asilimia
43</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
ya vijiji vyote nchini vitavyokuwa vimepata umeme. Hivi sasa
wananchi </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>milioni
17.3 </b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">nchi
nzima sawa </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>asilimia
36 </b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
wamefikiwa na huduma ya umeme ikilinganishwa na watu </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>milioni
8.1</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
sawa na </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>asilimia
18.4</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
waliokuwa wamefikiwa na huduma hiyo mwaka 2012. Mwaka 2015
tunatarajia watu </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>milioni
18.2</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
sawa na </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>asilimia
38</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
watafikiwa na umeme. Kwa upande wa vijijini mwaka 2012 watu </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>milioni
2.3 </b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">sawa
na </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>asilimia
7</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
walikuwa na umeme. Ifikapo Juni 2015, idadi hiyo itaongezeka na kuwa
</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>milioni
7.4</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
sawa na </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>asilimia
21</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">.
Haya ni mafanikio makubwa kwa wananchi wengi vijijini na mijini
kupata umeme katika kipindi kifupi kiasi hiki. Ni mageuzi ya aina
yake yatokayotoa mchango muhimu katika kuinua hali za maisha ya
Watanzania.</span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.5in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Tunaanza
kuiona nuru ya matumaini kwamba siku si nyingi kutoka sasa, makaa ya
mawe ya Mchuchuma na madini ya chuma ya Liganga yataweza kutumika kwa
maendeleo ya nchi yetu na watu wa Ludewa. Maandalizi yote muhimu
yamekamilika kwa ajili ya Januari, 2015 kuanza ujenzi wa mgodi wa
makaa ya mawe kule Mchuchuma, mtambo wa kufua umeme, ujenzi wa mgodi
wa chuma kisichoyeyushwa pale Liganga na ujenzi wa kiwanda cha
kuyeyusha chuma. </span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.5in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Natoa
pongezi maalum kwa Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) na wabia
wenzao, Kampuni ya Sichuan Hongda ya China kwa hatua iliyofikiwa.
Inakadiriwa kuwa miradi hii ikikamilika itatoa ajira </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>33,000
</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">za
moja kwa moja na zisizokuwa za moja kwa moja.</span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.5in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Mradi
mwingine mkubwa wa kimkakati ni ule wa kujenga Eneo Maalumu la
Kiuchumi (Special Economic Zone) la Mbegani, Bagamoyo. Kwa mujibu wa
mpango kazi wa wabia wa mradi huo yaani Mamlaka ya Kuendeleza Maeneo
huru ya Uwekezaji (EPZA), </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="es-ES">Kampuni
ya </span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="es-ES"><i>China
Merchants Holdings International </i></span></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><span lang="es-ES">na
Mfuko wa Uhifadhi wa Akiba ya Mali za Serikali ya Oman (Oman State
General Reserve Fund), ujenzi wa bandari na miundombinu mingine
itakayowezesha viwanda kujengwa imepangwa kuanza Julai 2015. </span></span></span>
</div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Miundombinu
ya Usafiri na Uchukuzi</b></u></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi</b></i></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>;</b></u></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Katika
mwaka huu wa 2014 kazi ya kujenga barabara za lami na kuimarisha
barabara za udongo ili ziweze kupitika wakati wote ziliendelea kote
nchini. Huu nao ni mradi mkubwa wa kimkakati. Barabara za lami </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>19</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
zenye urefu wa </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>kilometa</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>1,459</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
zimekamilika kujengwa mwaka huu katika Mikoa ya Ruvuma, Mbeya, Rukwa,
Kagera, Dar es Salaam, Dodoma, Tanga, Morogoro, Arusha, Tabora na
Shinyanga. Ujenzi unaendelea kwa barabara nyingine </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>24</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
katika mikoa ya Dodoma, Iringa, Mbeya, Kilimanjaro, Rukwa, Simiyu,
Katavi, Tabora, Mwanza, Dar es Salaam, Kagera na Pwani ambazo wakati
wo wote mwaka 2015 zitakamilika. Maandalizi ya kuanza ujenzi wa
barabara nyingine </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>nane</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
yanaendelea vizuri sehemu mbalimbali nchini. </span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Kwa
kutumia fedha za Mfuko wa Barabara, tumeendelea kufanya kazi ya
ujenzi na ukarabati wa barabara za udongo kote nchini. Mwaka huu
Mfuko huo umetengewa </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>shilingi
bilioni 751.7</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
ukilinganisha na </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>shilingi
bilioni 504.4</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
mwaka jana. Aidha, mwaka huu tumeweka jiwe la msingi la ujenzi wa
Daraja la Mto Kilombero. Matumini yetu ni kuwa ujenzi wa daraja hilo
na Daraja la Kigamboni utakamilika mwaka 2015. Ujenzi wa Daraja la
Malagarasi ulishakamilika mwaka jana, kinachosubiriwa ni sherehe ya
uzinduzi. </span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"> Kwa
upande wa jiji la Dar es Salaam, tunategemea kukamilisha ujenzi wa
Awamu ya Kwanza ya barabara za mabasi yaendayo kasi. Ni matarajio
yetu pia kwamba mabasi yataanza kusafirisha abiria katika kipindi cha
nusu ya kwanza ya mwaka 2015. Halikadhalika, tunategemea katika
mwaka 2015 ujenzi utaanza wa barabara zinazozunguka jiji la Dar es
Salaam (ring roads), barabara ya Mwenge - Morocco na ile ipitayo juu
ya nyingine (flyovers) eneo la TAZARA. Vile vile, daraja jipya la
Salenda litaanza kujengwa. Aidha, kivuko cha abiria </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>300</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
cha MV Dar es Salaam kitaanza kusafirisha abiria kati ya Dar es
Salaam Kaskazini na Ferry mapema mwakani. Hatua zote hizi zinalenga
kupunguza msongamano wa magari katika jiji la Dar es Salaam. </span></span>
</div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Usafiri
wa Anga na Reli</b></u></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"> Jitihada
za kuboresha huduma ya usafiri katika Reli ya Kati zimeendelea kwa
mafanikio. Mwaka huu vichwa </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>vi</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>nane</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
vya treni vimekarabatiwa, mabehewa mapya </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>22</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
ya abiria na mabehewa </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>274</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
ya mzigo yamenunuliwa. Mabehewa hayo yameanza kuwasili nchini kati ya
Novemba na Desemba mwaka huu. Kati ya Januari na Mei, 2015
tunatarajia kupokea vichwa vipya vya treni </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>13</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">.
Uboreshaji huu wa huduma za treni unakwenda sambamba na ukarabati wa
reli yenyewe, ujenzi wa madaraja na kuimarisha maeneo yaliyo korofi
katika reli hiyo. </span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Kuhusu
ujenzi wa reli iliyo pana zaidi (standard guage), yenye uwezo wa
kubeba mabehewa mengi na kuwezesha treni kwenda kwa mwendo wa kasi
zaidi, juhudi za kutafuta fedha za ujenzi au wabia wa kushirikiana
nasi kujenga zinaendelea. Wakati huo huo, tunaendelea na juhudi za
kutafuta ufumbuzi kwa matatizo ya reli ya TAZARA ili mambo yaende
vizuri. Tutashirikiana kwa karibu na wabia wenzetu wa Zambia. Bahati
nzuri Serikali ya China iko tayari kuunga mkono juhudi zetu za
kufufua reli ya TAZARA. </span></span>
</div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Usafiri
wa Anga</b></u></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"> Sekta
ya usafiri wa anga imeendelea kukua katika mwaka 2014. Idadi ya
abiria wanaowasili na kutoka katika viwanja vyetu vya ndege nchini
imeongezeka kutoka abiria </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>milioni
2.5</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
mwaka 2013 hadi abiria </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>milioni</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>3.5
</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">kufikia
Septemba, 2014. Safari za ndege kati ya Tanzania na nchi za nje
zimeongezeka kutoka </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>274</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
Januari, 2013 hadi </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>295</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
kufikia Septemba, 2014. Hili ni ongezeko la </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>asilimia
8</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">.
Safari za ndege ndani ya nchi nazo zimeongezeka kutoka safari </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>230,458</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
mwaka 2013 hadi safari </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>241,922</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
mwaka 2014. Hii ni sawa na ongezeko la </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>asilimia
39</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">.
Maongezeko haya ni kielelezo na ushahidi kuwa shughuli za utalii na
biashara nchini zimeendelea kukua. </span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"> Ujenzi
wa Jengo la </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>3
(</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Terminal
</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>3)
</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">la
Abiria</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>
</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">katika
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere unaendelea vizuri.
Jengo hilo litakapokamilika mwakani, litakuwa na uwezo wa kuhudumia
wastani wa abiria </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>milioni
8</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
kwa mwaka. Aidha, ukarabati wa Jengo la </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>2</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
(Terminal </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>2)</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
utafanyika ili liweze kutoa huduma iliyo bora zaidi. Sambamba na
ujenzi huo, Wakala wa Viwanja vya Ndege wameendelea kukarabati na
kuboresha viwanja vya ndege vya </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>KIA,
Mwanza, Songwe, Bukoba, Tabora</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
na </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>Kigoma</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">.
Tunatarajia ukarabati wa viwanja vya ndege vya </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>Shinyanga
</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">na
</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>Sumbawanga
</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">kuanza</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>
</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">mapema
mwaka 2015. </span></span>
</div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Elimu</b></u></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"> Tumeendelea
kupiga hatua za kuridhisha katika kuboresha elimu nchini.
Tumefanikiwa kupunguza tatizo la upungufu wa maabara, vitabu na
walimu wa shule za msingi na sekondari. Mwaka huu tumeajiri walimu
</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>36,339</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
kati ya </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>81,562</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
wanaohitajika. Tumebakiwa na upungufu wa walimu</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>
45,223 </b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">yaani</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>26,946
</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">wa
shule za msingi </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">na
</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>18,277
</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">wa
shule za</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>
</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">sekondari
hususan wa masomo ya sayansi</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>.</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
Hivi sasa hatuna tatizo la walimu wa masomo ya sanaa katika shule za
sekondari.</span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"> Mwaka
huu </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">tumeanza
mpango maalumu wa kutoa mafunzo ya Diploma ya Ualimu kwa masomo ya
sayansi na hisabati katika Chuo Kikuu cha Dodoma ambapo jumla ya
wanafunzi </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>5,602</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
wa masomo hayo wamedahiliwa</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">.
Mpango huu utatuwezesha kupunguza pengo kubwa tulilonalo la walimu wa
sayansi katika muda mfupi zaidi.</span></span></div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Ujenzi
wa Maabara</b></u></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.5in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Ujenzi
wa maabara za Fizikia, Kemia na Baiolojia katika shule za sekondari
za Kata </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>3,463</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
umekwenda vizuri kiasi. Kwa idadi hiyo ya shule inatakiwa zijengwe
maabara </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>10,389</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
ilipofika Novemba, 2014. Taarifa kutoka TAMISEMI zinaonyesha kuwa
hadi kufikia Desemba 29, 2014, maabara 4</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>,207</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
sawa na </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>asilimia</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>40.5</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
zilikuwa zimekamilika, maabara </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>5,688</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
sawa na </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>asilimia
54.8</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
zilikuwa katika hatua mbalimbali za ukamilishwaji, na maabara </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>494</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
sawa na </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>asilimia
4.</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
zilikuwa katika hatua za awali za ujenzi. </span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Natoa
pongezi nyingi kwa Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wenyeviti na
Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Wilaya na Miji nchini pamoja
na wananchi, kwa jitihada kubwa iliyofanyika. Kwa kutambua jitihada
hizo, nimeongeza </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>miezi
sita</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
zaidi kwa wale ambao hawajakamilisha ujenzi wa maabara hizo wafanye
hivyo. Sikusudii kuongeza tena muda baada ya hapo. Naomba watumie
kipindi hicho kitumike kutafuta vifaa vya maabara. Serikali itasaidia
upatikanaji wa watunza maabara (</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i>laboratory
technicians</i></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">)
ambao tumeanza programu kubwa ya mafunzo yao na mahitaji mengine ya
maabara. </span></span>
</div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.5in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Ununuzi
wa Vitabu</b></u></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
Tumeendelea kupunguza tatizo la uhaba wa vitabu na vifaa vya
kufundishia katika shule za msingi na sekondari. Tumekuwa tunanunua
vitabu kwa kutumia Bajeti ya Serikali na misaada kutoka kwa marafiki
zetu wa maendeleo. Kwa mfano, Serikali ya Marekani imetupatia vitabu
</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>milioni
2.5</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
vya masomo ya sayansi na hisabati kwa shule za sekondari. Ongezeko
hili la vitabu linashusha uwiano uliopo sasa wa </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>kitabu
kimoja</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
kwa </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>wanafunzi
wanne</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
na kufikia </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>kitabu
kimoja</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
kwa </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>wanafunzi
wawili</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">.
Lengo letu ni kila mtoto kuwa na kitabu chake kwa kila somo ifikapo
mwaka 2016.</span></span></div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Sera
Mpya ya Elimu na Mafunzo</b></u></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.5in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Mafanikio
mengine tuliyopata mwaka huu ni kukamilika kwa Sera ya Elimu na
Mafunzo ya mwaka 2014. Hii ni hatua muhimu sana katika maendeleo ya
elimu nchini hakuna badala yake. </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Sera
mpya inalenga kuinua ubora wa elimu na mafunzo na kuweka mifumo na
taratibu zitakazowezesha </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Watanzania
wengi zaidi kupata fursa za elimu iliyo bora na inayolinga na wakati
tulionao. Jambo jipya sana na la kihistoria katika Sera mpya ya
Elimu ni dhamira ya Serikali ya kuondoa ada katika elimu ya sekondari
kuanzia mwaka 2016. Mpaka sasa hatuna ada kwenye shule za msingi,
sasa wakati umefika kufanya hivyo pia kwa elimu ya sekondari. Kwa
mujibu wa maelezo hayo ya Sera, nimekwishatoa maagizo kwa Wizara ya
Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za
Mitaa, Wizara ya Fedha na Tume ya Mipango kuanza kutafakari namna
jambo hilo litakavyotekelezwa.</span></span></div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Afya</b></u></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Katika
mwaka 2014 jitihada za kuboresha huduma ya afya kwa Watanzania
ziliendelea. Tulipambana kwa mafanikio na mlipuko wa homa ya dengue
iliyowapata watu </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>1,039</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
na kusababisha vifo vya watu </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>3
</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">kati
yao. Kwa upande wa maradhi ya ebola tumejiandaa vya kutosha kutambua
watu wenye maradhi hayo wanapoingia nchini kupitia viwanja vya ndege
vya kimataifa na vituo vyote vya mpakani. Aidha, tumejipanga vyema
kuwahudumia wagonjwa wa maradhi hayo iwapo watatokea.</span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Mwaka
huu pia, Madaktari wetu </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>watano</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
wamekwenda Liberia kusaidiana na ndugu zetu wa huko katika
kukabiliana na ugonjwa wa ebola. Madaktari wetu hao wako salama na
wanaendelea vizuri kutoa huduma. Madaktari hao watakaporejea nchini
watakuwa hazina kubwa ya taifa katika kupanga mipango ya kukabiliana
na ugonjwa huu hatari. Hali kadhalika, watakuwa viongozi wa wengine
katika kutibu wagonjwa wa maradhi ya ebola iwapo watatokea nchini. </span></span>
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b> </b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Katika
kipindi cha Januari hadi Desemba, 2014, tumeweza kuajiri watumishi wa
sekta ya afya </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>8,345</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
ambao kati yao kuna madaktari </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>244</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">,
madaktari bingwa </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>75</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">,
wauguzi </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>2,555</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
na wataalamu wa kada nyingine za afya </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>5,471</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">.
Mwaka huu pia tumefanikiwa kuongeza udahili wa wanafunzi kutoka
wanafunzi </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>7,956</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
katika mwaka 2012/2013 hadi wanafunzi </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>9,730.
K</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">wa
ongezeko hilo, sasa tumefikia </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>asilimia
97</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
ya lengo letu la kudahili wanafunzi </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>10,000</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
ifikapo mwaka 2017.</span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Jitihada zetu za
kuongeza fursa za mafunzo kwa Madaktari, Wauguzi na wataalamu wengine
wa afya zina muelekeo mzuri. Ujenzi wa hospitali ya kufundishia pale
Mloganzila unaendelea vizuri na hospitali ya kufundishia ya Chuo
Kikuu cha Dodoma umekamilika. Ni matarajio yangu kuwa wakati wo wote
mwakani ujenzi wa kampasi mpya ya Chuo Kikuu cha Muhimbili pale
Mloganzila utaanza. Ujenzi huo ukikamilika Chuo kikuu cha Muhimbili
kitaweza kudahili </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>wanafunzi
12,000 </b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">kutoka
</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>wanafunzi
2,500</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
wa sasa jambo ambalo litafanya upungufu wa Madaktari, Wauguzi na
Wataalamu wa Afya kupata jawabu la uhakika. Tumeendelea kufanya mambo
mengine ikiwemo ujenzi wa jengo la tiba za ubongo na mishipa ambalo
limekamilika pale Muhimbili, sasa tunahangaikia kupata vifaa. </span></span>
</div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Maji</b></u></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b> </b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Katika
mwaka huu wa 2014 tumeendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya
kuwapatia wananchi maji safi na salama mijini na vijijini. Kwa ajili
hiyo miradi </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>498</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
ya maji vijijini imekamilika na miradi </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>740</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
ipo katika hatua mbalimbali za ujenzi. Miradi mingine </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>378</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
ipo katika maandalizi ya ujenzi kuanza. Ni matarajio yetu kwamba
katika mwaka ujao wa 2015, miradi mingine </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>731</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
itatekelezwa na vituo </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>25,790</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
vya kuchota maji vitajengwa. Miradi hii ikikamilika tutaweza
kuwafikia </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>asilimia
71 </b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">ya
wananchi wanaopata maji safi na salama vijijini kutoka </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>asilimia
58</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
ya sasa. Kwa ajili hiyo, tutakuwa tumevuka lengo tulilojiwekea la
kuwapatia watu maji </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>asilimia
65</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
ya Watanzania waishio vijijini ifikapo 2015. Ombi langu kwa ndugu
zetu wa Hazina waiangalie sekta hii ya maji kwa ukaribu zaidi na
wawapatie fedha kwa wakati. </span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"> Utekelezaji
wa mradi wa kuipatia maji miji ya M</span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>wanga
– Same – Mkomazi </b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">pamoja
na miji na vijiji vyote vya njiani, utaanza Februari, 2015. Fedha
zimekwishapatikana na Mkandarasi wa Awamu ya Kwanza ameshapatikana.
Makandarasi wa Awamu ya Pili na Tatu watapatikana muda si mrefu
kutoka sasa. Hii pia itahusu kupata Mkandarasi wa mradi wa maji wa
mji wa Orkesment.</span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi; </b></i></span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Mwaka
huu miradi ya kuipatia maji miji kadhaa nchini ilikamilika na tatizo
la upungufu wa maji litakuwa limepatiwa ufumbuzi. Ipo miji kadhaa
ambayo miradi imefikia hatua ya juu na kwamba wakati wowote mwakani
itakamilika. Jiji la Dar es Salaam lipo katika kundi hili. Kazi ya
upanuzi wa miradi ya maji ya Ruvu Juu na Ruvu Chini kwa msaada wa
Serikali ya Marekani na mkopo kutoka Serikali ya India imefikia hatua
nzuri. Inatarajiwa kukamilika katika nusu ya kwanza ya mwaka 2015.
Mwaka ujao pia visima virefu vya Kimbiji na Kipera vitachimbwa na
Bwawa la Kidunda litaanza kujengwa. </span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Serikali
ya India pia imekubali kutupatia mkopo wa </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>Dola
za Marekani milioni 268.2</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
kwa ajili ya kugharamia mradi wa kuipatia maji miji ya Tabora, Nzega
na Igunga kutoka Ziwa Victoria. Uwezekano wa kujumuisha miji ya
Sikonge na Urambo katika mradi huo utaangaliwa.</span></span></div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<br />
</div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Bunge
na Mahakama</b></u></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b> </b></i></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Katika
mwaka 2014, mihimili ya Bunge na Mahakama iliendelea kutekeleza vyema
majukumu yao. Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeweza
kuendesha shughuli zake kama ilivyopangwa pamoja na kulazimika
kugawana Ukumbi ule wa Bunge na Bunge Maalum la Katiba. Bunge
limefanya mikutano </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>mitatu,</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
Miswada </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>17</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
ya Sheria ilisomwa kwa mara ya kwanza, Sheria </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>tano</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
na maazimio </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>saba</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
yalipitishwa. Maswali ya msingi </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>569</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
na ya nyongeza </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>1,541</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">yaliulizwa
na kujibiwa. </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Aidha,
sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow nalo lilijadiliwa na kutolewa
maazimio. </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
Tumeshaanza kuchukua hatua kuhusu maazimio hayo na bado tunaendelea.</span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Napenda
kuitumia nafasi hii kutoa pongezi nyingi kwa Wabunge wetu kwa
kutekeleza vizuri wajibu wao wa Kutunga Sheria na kusimamia Serikali.
Nawasihi waendelee na msimamo huo mwema na chanya kwa maslahi ya
nchi yetu na watu wake.</span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"> Kwa
upande wa Mahakama napenda kutambua kazi kubwa na nzuri inayofanywa
ya kupunguza mrundikano wa mashauri katika Mahakama za ngazi zote.
Wahenga wamesema </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>“mcheza
kwao hutunzwa”</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">.
Hatuna budi kutoa pongezi maalum kwa Jaji Mkuu, Mheshimiwa Mohamed
Chande Othman kwa uongozi wake mahiri. Chini ya uongozi wake Majaji
wa Mahakama ya Rufani, Majaji wa Mahakama Kuu na Mahakimu Wakazi na
Mahakimu wa Mahakama za Mwanzo wamejiwekea malengo ya kusikiliza na
kutoa hukumu kwa mashauri yasiyopungua </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>200
</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">kwa
mwaka kila mmoja wao. </span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"> Habari
njema na ya kuleta faraja ni kwamba utekelezaji unaendelea vizuri.
Mashauri </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>870
</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">yalisikilizwa
na kuamuliwa kwenye Mahakama ya Rufani, mashauri </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>11,334</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
kwenye Mahakama Kuu, mashauri </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>8,715</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
kwenye Mahakama ya Mahakimu Wakazi na Mashauri </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>25,683</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
katika Mahakama za Wilaya. Aidha, mkakati wa kupeleka timu ya
Majaji wa Mahakama Kuu kwa wakati mmoja kwenye maeneo yenye mashauri
mengi kama ilivyofanyika Kigoma, Shinyanga na Tabora umesaidia sana
kupunguza mrundikano wa mashauri ya siku nyingi. Haijawahi kutokea
mashauri mengi kiasi hicho kusikilizwa na kumalizwa katika historia
ya Mahakama nchini.</span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi; </b></i></span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Mkakati
huu mpya umeleta matumaini mapya kwamba tatizo la kuchelewesha kwa
mashauri ambalo lilidhaniwa kuwa ni tatizo sugu sasa limeanza
kupatiwa ufumbuzi. Kwa niaba ya Watanzania wenzangu wote natoa
shukrani na pongezi nyingi kwa Jaji Mkuu, Majaji wa Rufani, Jaji
Kiongozi, Majaji wa Mahakama Kuu na Mahakimu wa ngazi zote kwa kazi
nzuri waifanyayo. </span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Hali
kadhalika, nampongeza Mtendaji Mkuu wa Mahakama na watendaji wote wa
Mahakama kwa kazi nzuri waifanyayo ya kuwawezesha Majaji na Mahakimu
kutimiza ipasavyo majukumu yao. Hakika utendaji Mahakamani
umebadilika na kuwa bora zaidi. Mimi naahidi kuendelea kusaidia
Mahakama kwa kuwahimiza ndugu zetu wa Hazina kutoa kwa wakati pesa
zilizotengwa katika bajeti.</span></span></div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Mapambano
Dhidi ya Rushwa</b></u></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"> Mapambano
dhidi ya rushwa na matumizi mabaya ya madaraka yameendelea bila ya
ajizi. Katika mwaka huu wa 2014 TAKUKURU wamepokea taarifa </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>237
</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">na
wamekamilisha uchunguzi wa mashauri </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>545</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">.
Watuhumiwa waliofikishwa Mahakamani ni </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>428</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">.
Mashauri yaliyomalizika ni </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>205</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">,
kati ya hayo </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>125</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
watuhumiwa waliachiliwa na </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>80</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
walipatikana na hatia na kuhukumiwa. Mwaka huu wa 2014 mali na fedha
taslimu zenye thamani ya </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>shilingi
bilioni 38.96</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
zimeokolewa. Katika kuimarisha Taasisi hiyo kiutendaji, maafisa
wapya </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>394</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">
wameajiriwa. </span></span>
</div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<br />
</div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Sherehe
za Miaka 50 ya Muungano</b></u></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Mwaka
huu wa 2014 tuliadhimisha miaka 50 ya Muungano wa nchi zetu mbili
yaani Jamhuri ya Watu wa Zanzibar na Jamhuri ya Tanganyika kwa
heshima inayostahili. Maadhimisho yalifikia kilele tarehe 26 Aprili,
2014 na zilifanyika sherehe nchini kote na sherehe hizo zilifana
sana. Ni ukweli usiopingika kuwa kwa Muungano wetu kuweza kudumu kwa
nusu karne ukiwa bado imara na unazidi kustawi ni mafanikio makubwa.
Matumaini kwa siku za usoni ni mazuri. Naamini Muungano wetu
utaimarika zaidi iwapo Katiba Inayopendekezwa itapitishwa kwani yale
mambo yenye kuleta matatizo hivi sasa yatakuwa yamepatiwa ufumbuzi.</span></span></div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Miaka
50 ya JWTZ</b></u></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Wakati
nchi inasherehekea miaka 50 ya Muungano, baadhi ya vyombo na taasisi
muhimu kitaifa zilifanya hivyo hivyo. Miongoni mwa walioadhimisha
nusu karne ya kuundwa kwake ni Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa
Tanzania kama mjuavyo JWTZ ilizaliwa tarehe 1 Septemba, 1964. Jeshi
letu liliadhimisha siku yao hiyo kwa kufanya zoezi kubwa la kivita
lililoanza Kibaha mkoani Pwani na kumalizikia Monduli Mkoani Arusha.
</span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Nilibahatika
kushuhudia siku ya mwisho ya zoezi hilo. Nilifurahishwa sana na
kiwango cha utayari kivita cha Jeshi letu. Wanajeshi wetu walionesha
weledi wa hali ya juu, umahiri mkubwa, ujasiri, ukakamavu na
uvumilivu wa aina yake wakati wa kutekeleza majukumu yao katika
mazingira magumu ya uwanja wa medani za vita. Niliwapongeza siku ile
na narudia tena leo kuwapongeza. Niliyoyaona yamenihakikishia mimi na
Watanzania wote kuwa Jeshi letu la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania
liko imara kulinda mipaka ya nchi yetu na kuhakikisha usalama wa
taifa letu na watu wake. Jeshi letu bado ni lile tunalolijua sisi
sote, lakini limezidi lile lililomng’oa mvamizi Dikteta Iddi Amin
wa Uganda, tena limezidi kwa mbali. </span></span>
</div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Mchakato
wa Katiba Mpya</b></u></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Mwaka
huu pia tumeshuhudia kukamilika kwa zoezi muhimu la kuandika Katiba
Inayopendekezwa. Kama tujuavyo sote, mchakato uliozaa Katiba
Inayopendekezwa ulikuwa na changamoto nyingi ndani na nje ya Bunge
Maalum la Katiba. Pamoja na hayo, Bunge hilo lilikamilisha kazi yake
kwa salama siku mbili kabla ya tarehe 4 Oktoba, 2014 ambayo ndiyo
ilikuwa siku ya mwisho. Mimi na Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Dkt.
Ali Mohamed Shein tulikabidhiwa nakala za Katiba Inayopendekezwa
tarehe 8 Oktoba, 2014. Nimeshatimiza wajibu wangu wa kuchapisha
katika Gazeti la Serikali na kutangaza siku ya kupiga kura ya maoni
kuwa tarehe 30 Aprili, 2015. Nimeshatoa maagizo kwa Tume ya Uchaguzi
kufanya matayarisho husika ya kuwezesha Kura ya Maoni kufanyika. </span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi; </b></i></span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Moja
ya mambo muhimu ambayo Tume ya Uchaguzi inafanya kwa sasa ni
kuandikisha wapiga kura katika Daftari la Mpiga Kura. Tume imeamua
kutumia mfumo mpya wa Biometric Voters Register. Uandikishaji wa
majaribio umefanyika katika baadhi ya Kata katika Majimbo ya Mlele,
Kawe na Kilombero. Matatizo yaliyojitokeza yatasaidia kuboresha
mfumo huo kabla ya uandikishaji wa watu wote wenye sifa stahiki
kuanza. </span></span>
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"> Napenda
kutumia nafasi hii kuwafahamisha Watanzania wenzangu wote kuwa mfumo
mpya unatengeneza Daftari Jipya la Mpiga Kura ingawaje lugha
inayotumika ni uboreshaji wa Daftari la sasa. Uboreshaji huu wa
Daftari la Mpiga Kura ni tofauti na ule tuliouzoea ambapo walikuwa
wanaandikishwa wapiga kura wapya na wale waliopoteza vitambulisho
vyao. Safari hii wanaandikishwa wote wapya na wa zamani na wote
watapata vitambulisho vipya. Hivyo basi, sisi wenye vitambulisho vya
kupiga kura vya zamani tusifanye ajizi, tujitokeze kujiandikisha
wakati ukifika.</span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Jambo
la pili ni kwamba, Daftari la Mpiga Kura linalotayarishwa siyo kwa
ajili ya Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa peke yake, daftari
hilo hilo litatumika pia kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2015. Hivyo
basi, kujiandikisha ni jambo muhimu sana. Usipofanya hivyo siyo tu
utajinyima fursa ya kushiriki kuamua kuhusu Katiba Inayopendekezwa
bali pia utakosa fursa ya kuchagua Rais wako, Mbunge wako na Diwani
wako. Katu usikubali yakukose hayo. </span></span>
</div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Uchaguzi
wa Serikali za Mitaa</b></u></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"> Kama
mjuavyo tarehe 14 Desemba, 2014 na 20 Desemba, 2014 ulifanyika
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kuchagua viongozi wa vitongoji, vijiji
na mitaa. Uchaguzi umekwisha na viongozi wamekwishapatikana. Sasa ni
wajibu wa viongozi hao kufanya kazi waliyoiomba. Kwa walioendesha
uchaguzi ni wakati mzuri wa kufanya tathmini ili wapate mafunzo
yatokanayo na uchaguzi huo. Kwa TAMISEMI na Wakurugenzi Watendaji wa
Halmashauri, lengo liwe ni kuona namna ya kuimarisha mazuri na
kusahihisha makosa na matatizo yaliyojitokeza. Kwa walinzi wa amani
watambue matatizo ya kiusalama yaliyotokea na kuona namna ya
kutengeneza mikakati ya kuzuia matatizo ya namna hiyo yasijitokeze
tena. Hatma ya yote, shabaha yetu ni kutaka kufanya vizuri zaidi
katika chaguzi zijazo za Serikali za Mitaa na kufanya vizuri zaidi
katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.</span></span></div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Jumuiya
ya Afrika Mashariki </b></u></span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Mwaka
huu Tanzania imechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika
Mashariki. Ni zamu yetu kwa mujibu wa mzunguko wa uongozi wa Jumuiya
yetu kati ya nchi wanachama. Ni dhamana kubwa na kwamba wenzetu wa
Afrika Mashariki wanatutegemea tuwaongoze katika kutekeleza malengo
na madhumuni ya Jumuiya kama yalivyoainishwa katika Mkataba
ulioanzisha Jumuiya ya Afrika Mashariki. Hali kadhalika,
tunategemewa kuongoza katika utekelezaji wa maamuzi mbalimbali ya
vikao vya Jumuiya. Hii inahusu maamuzi yaliyokwishafanywa kabla yetu
ambayo utekelezaji wake unaendelea na uamuzi mpya utakaofanywa katika
kipindi cha uongozi wetu. </span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Kwa
niaba ya Watanzania wote napenda kuwashukuru ndugu zetu wa Burundi,
Kenya, Rwanda na Uganda kwa kutuamini. Napenda kuahidi kuwa
hatutawaangusha. Sisi Watanzania tutafanya kila tuwezalo kuimarisha
Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa manufaa ya Jumuiya yenyewe, nchi zetu
na wananchi wa Afrika Mashariki. Tutajitahidi kuwa wabunifu kwa nia
ya kuona utangamano unakua na kustawi kwa kasi na kuzaa matunda ya
maendeleo tunayoyatarajia sote. Matunda tuliyoyatarajia tulipoamua
kuanzisha Jumuiya hii na matunda tuliyoyapata tulipoamua kwa hiari
yetu kujiunga nayo kuwa wanachama. </span></span>
</div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><u><b>SADC,
AU NA UN</b></u></i></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Kuhusu
Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC), Umoja wa Afrika na
Umoja wa Mataifa, tunaahidi kuendelea kuwa wanachama waaminifu na
kushiriki kwa ukamilifu katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali za
mashirika haya ya kikanda na kimataifa. Kwa upande wa SADC
tutaendelea kushiriki katika utekelezaji wa mikakati na mipango ya
maendeleo ya kiuchumi na kijamii na ile ya kisiasa na kiusalama kama
ilivyoainishwa katika RISDP (Regional Indicative Strategic
Development Plan) na SIPO </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">(SADC
Strategic Indicative Plan for the Organ). </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Kwa
ajili hiyo Tanzania, itaendelea kutoa mchango wake katika kukuza
utangamano wa kiuchumi katika SADC na </span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">kusaidia
kuimarisha uhusiano mwema na usalama miongoni mwa nchi wanachama wa
SADC. Hii ni pamoja na kusaidia katika kutatua migogoro ya kisiasa na
kusalama kati ya nchi wanachama. </span></span>
</div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in; text-indent: 0.49in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Kwa
upande wa Umoja wa Afrika tutaendelea kutekeleza maamuzi ya vikao na
taasisi mbalimbali za Umoja huo. Daima tutakuwa wanachama waaminifu
wa Umoja wa Afrika na kuchangia katika uimarishaji wake. Kuhusu
Umoja wa Mataifa tutaendelea kutimiza wajibu wetu kama wanachama wa
Umoja huo wa kimataifa ulio adhimu na muhimu kwetu na dunia nzima.
Tutaendelea kushiriki katika shughuli za ulinzi wa amani chini ya
Umoja wa Mataifa. Hivi sasa tunao wanajeshi wetu katika majeshi ya
kulinda amani ya Umoja wa Mataifa katika nchi za Jamhuri ya
Kidemokrasi ya Kongo, Sudan na Lebanon. Tuko tayari wakati wote
kuchangia zaidi iwapo Umoja wa Mataifa watatutaka tufanye hivyo. </span></span>
</div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><u><b>Hitimisho</b></u></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b>Ndugu
Wananchi;</b></i></span></span></div>
<div align="JUSTIFY" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><i><b> </b></i></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">Namaliza
hotuba yangu hii ndefu kwa kuwashukuru Watanzania wote kwa kuiunga
mkono Serikali yetu na kwa mchango wenu uliowezesha nchi yetu kupata
mafanikio haya makubwa tunayojivunia katika mwaka 2014. Tumeweza
kuvuka mitihani na nyakati zenye majaribu mengi. Umoja wetu na
mshikamano wetu ndivyo vilivyotuwezesha kufika hapa. Tunauanza mwaka
2015 kwa matumaini makubwa. Mwaka 2015 unatupa fursa kubwa ya
kuendelea kuliimarisha zaidi taifa letu. Mwaka ujao ni mwaka wa
Uchaguzi Mkuu, hivyo huenda ukawa na changamoto na majaribu magumu
zaidi kuliko mwaka huu. Uelewa wetu, umoja wetu, mshikamano wetu na
moyo wetu wa uzalendo ndivyo vitakavyotuvusha kama ilivyokuwa kwa
miaka ya nyuma. Mimi nina imani kubwa kwa uwezo na utayari wa
Watanzania wenzangu kuidumisha sifa nzuri ya nchi yetu ya umoja na
mshikamano wa watu wake uliozaa amani na utulivu. Tumeweza mwaka huu
na miaka ya nyuma, tutaweza tena mwakani na miaka ijayo. Inawezekana,
Timiza Wajibu Wako! Nawatakia heri ya mwaka mpya.</span></span></div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>Mungu
Ibariki Afrika!</b></span></span></div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>Mungu
Ibariki Tanzania!</b></span></span></div>
<div align="CENTER" style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;"><b>Asanteni
kwa kunisikiliza</b></span></span><span style="font-family: Palatino Linotype, serif;"><span style="font-size: medium;">.</span></span></div>
</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-47894387442703411142014-12-30T23:21:00.000-08:002014-12-30T23:22:18.245-08:00MWAKYEMBE AMTAKA MKURUGENZI TICTS KUJIELEZA JUU YA GHARAMA ZA UTOAJI WA MIZIGO<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><a href="http://1.bp.blogspot.com/-AYjnsvymvBc/VKOi0F5dTWI/AAAAAAAAEao/PKSC289msW4/s1600/Waziri%2Bwa%2BUchukuzi%2C%2BDk.%2BHarrison%2BMwakyembe...JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://1.bp.blogspot.com/-AYjnsvymvBc/VKOi0F5dTWI/AAAAAAAAEao/PKSC289msW4/s1600/Waziri%2Bwa%2BUchukuzi%2C%2BDk.%2BHarrison%2BMwakyembe...JPG" height="327" width="400" /> </a></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><i style="color: red;">Waziri wa Uchukuzi Dkt, Harrison Mwakyembe </i></span></div>
<br />
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Serikali ya Tanzania imesema udhibiti
wa vitendo vya wizi pamoja na idadi ya wateja wanaotumia bandari
kumechangia kuongezeka kwa kiwango cha mapato kutoka shilingi
bilioni 428 mwaka 2012 hadi kufikia shilingi bilioni 529 Juni mwaka
huu.
</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Akizungumza jana jijini Dar es salaam
Waziri wa Uchukuzi Dr. Harrison Mwakyembe katika mkutano wake na
wadau wa sekta ya uchukuzi wakiwemo wawakilishi wa wafanyabiashara
kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kuongeza kuwa pia Mizigo
nayo ikiongezeka toka Tani Million 13.7 mwaka jana na kufikia Tani
Million 15.4 mwaka huu iliyoingia kupitia bandari hiyo</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Kwa upande Mwingine Mwakyembe amemtaka
Mkurugenzi wa Kampuni ya Kimataifa ya Huduma za Makontena katika
bandari ya Dar es Salaam – TICTS, kufika kesho saa mbili kamili
asubuhi,ofisini kwa waziri kutoa maelezo kuhusiana na tuhuma kuwa
kampuni yake imekuwa ikitoza gharama za juu kubadilishia fedha za
kigeni tofauti na viwango vinavyotolewa na benki kuu ya Tanzania.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Kwa upande wao Wafanyaiashara toka
Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo wameulalamika mfumo mpya wa utoaji
na uingizaji migizo bandarini unaosimamiwa na mamlaka ya mapato
Tanzania kuwa umekuwa ukisababisha usumbufu na gharama zisizo na
msingi, tuhuma ambazo zimeungwa mkono na wamiliki wa bandari za nchi
kavu nchini.</span></div>
</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-18754012208285207222014-12-29T00:31:00.003-08:002014-12-29T00:32:54.464-08:00TANZANIA NDIO NCHI PEKEE INAYOUZA MAFUTA KWA BEI YA JUUU LICHA YA KUPUNGUA KATIKA SOKO LA KIMATAIFA<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div style="margin-bottom: 0in;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-bdNxmGuO7qA/VKEPIEmXyuI/AAAAAAAAEaY/otS-dRdqK6c/s1600/sugunamistari.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"> <img border="0" src="http://3.bp.blogspot.com/-bdNxmGuO7qA/VKEPIEmXyuI/AAAAAAAAEaY/otS-dRdqK6c/s1600/sugunamistari.jpg" height="265" width="400" /></a><span style="font-size: large;"><span style="font-size: small;"> </span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-size: small;"> <i style="color: red;">Mbunge wa Mbeya mjini Mh. Joseph Mbilinyi Maarufu kama Sugu</i></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Tanzania ndiyo nchi pekee ambayo bado
inayowauzia wananchi wake mafuta kwa bei ya juu licha ya kuwa bei ya
mafuta katika soko la dunia kushuka kwa zaidi ya asilimia 50.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi
ameyasema hayo wakati akiongea na Wananchi wa Halmashauri ya mamlaka
ya mji mdogo wa Kyela na kusema kuwa kumekuwepo na bei kubwa ya
mafuta nchini ikilinganishwa na nchi nyingine.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Mh. Sugu amedai kuwa bei hiyo ya
mafuta ni kubwa ukilinganisha na nchi nyingine duniani ambazo gharama
za mafuta imeshuka zaidi ya nusu kutoka na kupatika kwa wingi kwa
bidhaa hiyo kwa sasa duniani.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Chadema
Mkoa wa Mbeya, Joseph Mwachembe maarufu kwa jina la China amesema
kuwa katika maeneo ambayo Chadema imeshinda kuongoza serikali za
mitaa na vijiji, viongozi wake watafanya kazi kwa kuzingatia matakwa
ya wananchi na sio maelekezo kutoka serikali ku.
</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Nao viongozi wa Ukawa mkoani Mbeya
wamesema kuwa muungano wa vyama vinavyounda umoja huo umeonesha
mafanikio makubwa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na moto huo
huo utaendelea mpaka kwenye uchaguzi mkuu ujao.</span></div>
</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-481017805262819009.post-47448392245185978062014-12-29T00:08:00.000-08:002014-12-29T00:08:21.889-08:00MIGOGORO YA ARDHI IMEANZA KULETA ATHARI ZA KIUCHUMI NA KIJAMII MIKOA YA KASKAZINI<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div style="margin-bottom: 0in;">
<a href="http://2.bp.blogspot.com/-fnVCBIXWMLQ/VKEKtpQZkrI/AAAAAAAAEaM/z8oRiSLQ9RM/s1600/mkuu%2Bwa%2Bwilaya.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"> <img border="0" src="http://2.bp.blogspot.com/-fnVCBIXWMLQ/VKEKtpQZkrI/AAAAAAAAEaM/z8oRiSLQ9RM/s1600/mkuu%2Bwa%2Bwilaya.JPG" height="300" width="400" /></a><span style="font-size: large;"><i style="color: red;"><b><span style="font-size: small;"> </span></b></i></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><i style="color: red;"><b><span style="font-size: small;"> Mkuu wa wilaya ya siha Dk. Charles Mlingwa</span></b></i></span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Migogoro baina ya wafugaji na
wawekezaji katika maeneo mbalimbali nchini, imeanza kuleta athari za
kijamii na kiuchumi, baada ya taasisi za kielimu huko West
Kilimanjaro, kulalamikia hatua ya usitishwaji wa huduma ya chakula
mashuleni, pamoja na wasambazaji wa mazao kukosa soko kutokana na
migogoro hiyo.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Kituo hiki kimelazimika kufuatilia moja
ya mkasa uliojiri mwezi Novemba 2014 katika Ranchi ya Ndarakwai
iliyopo Wilaya ya Siha Magharibi mwa Kilimanjaro ambapo athari za
migogoro hiyo zinajionyesha wazi</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Novemba 14 mwaka huu Kambi iliyopo
ndani ya Ranchi ya Ndarakwai iligeuka majivu matupu pamoja na mali
zingine kuharibiwa vibaya baada ya watu wanaodaiwa kuwa ni wafugaji
kutekeleza mpango huu kwa madai ya kugombea malisho.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Uongozi wa Wilaya ya Siha kupitia kwa
Mkuu wake wa Wilaya Dr.Charles Mlingwa unalitafsiri tukio hili kuwa
la kihalifu ambalo limejiri baada mifugo ya vijiji vinavyozunguka
Ranchi hiyo pamoja na maeneo ya Longido kuingizwa ndani ya Ranchi na
baadaye askari kulazimika kuitoa kitendo kilichozua tafrani na
baadaye wafugaji kulipiza kisasa kwa kuteketeza kambi ya mwekezaji.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Kituo hiki kimeangazia namna athari za
mgogoro huu zinavyozikumba sekta zingine ambapo pia uongozi wa Ranchi
umeeleza kusitisha mikataba ya wafanyakazi wake zaidi ya70 kutokana
na janga hilo.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Shule ya Msingi Olmolok yenye wanafunzi
mia nne ambayo ilikuwa ikinufaika na mpango wa chakula shuleni
kutokana na uwekezaji katika Ranchi ya Ndarakwai sasa mpango huo
umesitishwa na Mwalimu Mkuu wake msaidizi Betwel Mwasha anasema
mahudhurio na kiwango cha taaluma vimeporomoka kwa kasi.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Mfanyabiashara wa Nyama katika kijiji
cha Ngarenairobi Samwel Lizer aliyekuwa akisambaza kitoweo hicho kwa
wanafunzi wa Shule ya Vetenari anasema mapato aliyokuwa akikusanya
kwa kusambaza kilo 40 kila mwezi sasa yamesitishwa na hivyo
kumsababishia hasara.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Katika Kijiji cha Miti Mirefu mfugaji
mmoja wa kuku mama Julieta Baltazari aliyengia mkataba wa kusambaza
mayai amebainisha kuathiriwa na mgogoro huo baada ya kusitishwa kwa
mkataba.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Mkurugenzi Mkuuu wa Ranchi ya Ndarakwai
Peter Jones anasema wameaua kusitisha huduma zote za kijamii kwa sasa
kutokana na hasara iliyotokea baada ya nyumba ishrini ,magari sita
pamoja na mali zingine zilizokuwa katika kambi yake kuteketezwa kwa
moto na hivyo kufanya hasara inayofikia dola milioni moja..</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
</div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Uwekezaji wa kipindi cha miaka 19
unaoendena na biashara ya utalii wa upigaji picha katika eneo hili
lililo umbali wa kilometa 50 tokea katika hifadhi ya wanyama ya
Amboseli nchini Kenya huwenda ukatoweka iwapo hakutakuwepo kwa hatua
za dharura kumaliza mgogoro huu ambao ni taswira ya kile kinachojiri
katika maeneo mbalimbali hapa nchini.</span></div>
</div>
gmbongo tha entertainerhttp://www.blogger.com/profile/02796769044364485891noreply@blogger.com0