Thursday, August 29, 2013
BAADA YA KUFUNGA NDOA HIVI KARIBUNI CHALZ BABA ASEMA NDOA YAKE NDIO CHACHU YA KUMFANYA KAZI NZURI ZAIDI APANIA KUCHUKUA TUZO NYINGINE
Bwaba Harusi CHALZ baba kingunge rais wa mashuja musica band asema anaamini ndoa yake ndio chachu ya kuweza kumfanya aendelee kufanya kazi nzuri zaidi na kuweza kuendelea kuwa kuwa mtunzi bora wa mashairi ya band ambapo mwaka jana aliweza kuchukua tuzo hiyo kwa wimbo alioutunga wa risasi kidole ambao ndio ulikua bora wa mwaka wa band 2012/2013 na sasa amesea yupo kikazi zaidi na kusema nyimbo ambazo wataingiza studio hivi karibuni kuzirekodi kama vile USIIDHARAU SIFURI, NA USHAMBA WA MZIGO anaamini zitakua moto wa kuotea mbali kutokana na sasa zimeshakua gumzo katika sehemu mbalimbali wanazopiga wimbo hizo kabla ya kurekodi na kusema kuwa ataendelea kuwa mtunzi bora wa band mpka kufa kwake,
licha ya hayo chalz baba amesema mashujaa musica band wako mbioni kukamlisha album yao ya pili tangu yeye afike katikaband hiyo na kuongeza kuwa nyimbo nyingi zimeshakamilika na ziko katika hatua za mwisho za kuwekza kurekodiwa ili ziweze kuwafikia wadau na mashabiki wao
bwana harusi chalz na bi harusi rehema
licha ya hayo chalz baba amesema mashujaa musica band wako mbioni kukamlisha album yao ya pili tangu yeye afike katikaband hiyo na kuongeza kuwa nyimbo nyingi zimeshakamilika na ziko katika hatua za mwisho za kuwekza kurekodiwa ili ziweze kuwafikia wadau na mashabiki wao
bwana harusi chalz na bi harusi rehema
Tuesday, August 27, 2013
Wednesday, August 21, 2013
JUMA NATURE AFUNGUKA KWANINI TUNDA MAN HAJATOKEA NGOMA YAKE YA HAIPOTEI ASEMA WATU WASIBUNI VITU ILA NI MIPANGO TU YA KIMUZIKI LAKINI PIA MSIKILIZE KALA JEREMIAH AKIFUNGUKA KUHUSIANA NA MAPOKEZI YA NGOMA YAKE MPYA PIA UTAMSIKIA MWANADADA MARY LUCAS AKIFUNGUKA KURUDI KWA KWENYE GAME YA BONGO FLEVER MOJA KWA MOJA BAADA YA KUPATA EXPIRIENCE KWENYE BAND
Tuesday, August 20, 2013
RAIS WA SERIKALI YA MPITO NDANI YA VICTORIA BAND KASSIM BASS AFUNGUKA KISA CHOTE KILICHOPELEKEA UGOMVI WA PRINCE MUUMINI MWINJUMA NA WAZIRI SONYO KUMBE NI KISA KIPYA SIO KILE CHA ZAMANI WATU WALICHOKUA WANAFAHAMU LAKINI ASEMA BODI IKIKAA ITATOA HATUA ZAIDI DHIDI YA WANAMUZIKI HAO LAKINI TAYARI MZOZO WA KIPOLISI WAMEUMALIZA KIUNGWAANA ZAIDI SIKILIZA HAPA
Monday, August 19, 2013
Sunday, August 18, 2013
Wednesday, August 14, 2013
Tuesday, August 13, 2013
.

