WELCOME TO GMBONGO BLOG

To keep the body in good health is a duty... otherwise we shall not be able to keep our mind strong and clear.

TANGAZA NASI SASA

Tuwasiliane kwa Email: gmbongo.chuma@gmail.com

WE ARE HERE TO SERVE YOU

Keep you Entertained always

WE ARE HERE TO SERVE YOU

Habari na Burudani

WELCOME TO GMBONGO WORLD

Kwa habari za Burudani na zenye uhakika.

WAY

Monday, April 23, 2012

HATIMAYE MPIGA TUMBA MAARUFU NA MKONGWE NA MUASISI WA TWANGA ANG'OKA TWANGA NA KUTUA MASHUJAA MUSICA DUH!!

Wenyewe wanasema sio kuivunja twanga pepeta bali kukiimarisha kikosi cha katika kuwapa burudani mashabiki wake hiyo ndio kauli ya msemaji wa MASHUJAA BAND baada ya kumuuliza kwanini ni twanga pepeta na hayo yamekuja baada ya kumng'oa nguli wa tumba ndani ya twanga MCD na kutua katika band hiyo huku akiwa ni msanii wa tatu kutoka twanga na kutua MASHUJAAA wa kwanza akiwa ni CHALZ BABA akifuatiwa na LILIAN TUNGARAZA INTERNET, na sasa ni MCD
                                     MCD AKIFANYA VITU VYAKE KAMA KAWA
 na nilipomuuliza mkurugenzi wa twanga kuhusiana na ishu hiyo amesema huo ni mchezo mchafu na tayari amekwisha ripoti baraaza la sanaa la taifa kkuwa watu wanatumia nguvu ya pesa bila kujali mikataba ya wasanii hivyo basata ndio watajua watafanyaje, Nae meneja wa twanga MARTINalisema hawatampeleka mahakamani wasanii wanaovunja mkataba kutokana na kutotaka kuonekana wanawaonea wasanii hao ila itabidi sasa wafanye hivyo kwa yoyote mwengine atakae vunja mkataba na band hiyo ili kuweza kujiimarisha zaidi lakin pamoja na hayo wamejipanga kuchukua mpiga tumba mwengine ambaye ataziba pengo la MCD ingawa hajasema watamtoa kundi gani lakini pia alisema katika kujiimarisha washamchukua BADI BAKULE katika kuongeza nguvu zaidi.

Tuesday, April 17, 2012

WAKATI KALIDJO MWANA KITOKOLOLO KUKU WA FM ACADEMIA AKISHANGALIA KUPATA TUZO YA RAPER BORA WA MUZIKI WA DANSI MARAPA WA KUTOKA BAND ZINGINE WAKATAA KATAKATA

Niliongea na rapa kiongozi wa mashujaa musica ibra mirinda amepokeaje ushindi wa kitokororo kuku wa fm academia kwa kupokea tuzo ya rapa bora wa musiki wa dansi alichokisema ibra mirinda kua yeye hajashindana na kalijo kwa hiyo kivovyote vile kalijo hamuwezi hata kidogo na anashangaa mchakato wenyewe wa kuwapata washiriki hajui hata unaendaje anasema angekubali tu endapo kwenye category hizo na jina lake lingekuwepo na akasema ni bora wangechukua marapa kutoka band zote kubwa kuliko kuchukua au kuchagua vile wanavyojua wao kwa ushindi ho anasema ni swa na hakuna na anaamini yeye ni bora kuliiko rapa mwengine yoyote katika muziki wa dansi hadi pale na yeye atakapowekwa kwenye mashindano na akashindwa na pia akazungumizia upigaji kura pia ubadilike ndio na yeye aweze kushiriki katika tuzo hizo za mwakani.

                                    MIRINDA NYEUSI ANAEKATAA USHINDI WA KALIDJO
Aidha amesema mashindano hayo yanakosa msisimko kutokana na band za muziki wa dansi kushindwa kualikwa katika kusherehesha shughuli hizo na mwisho tuzo hizo kuonkana ni za wasanii wa bongo flever tu.

          NIKIWA NA FURGUSON AMESMEA MAESHIKIRIKISHWA BILA RIDHAA YAKE
Nae rapa anaetikisa kwa sasa akitokea extra bongo wazee wa kizigo furguson amesema yeye alikwisha jitoa katika kinyang'anyiro hicho na alishasema hataki kabisa kushiriki katika tuzo hizo na hata ushindi huo hautambui na kusema kuwa na endapo watamjumuisha tena katika mashindano hayo basi atawashtaki na itabidi wamlipie fidia kutokana na usumbufu huo. Furguson alikuwepo kwenye category hiyo akiwa na khalid chokoraa,msafiri diof,kalidjo mwana ambapo mwisho wa siku kura ziliamua kitokololo ndio kiboko yao.
 KHALID CHOKORAA ANASEMA YEYE NI KURA TU HAZIKUTOSHA KUMPA USHINDI
Wakati hayo yakiendelea kwa upande wake rapa alieshikiliza tuzo hizo kwa miaka miwili mfululizo KHALID CHOKORAA amesema tuzo zilienda poa ila kilichomfanya ashindwe ni  kutokana na utaratibu wa kupiga kura kwa hiyo dhahiri kura hazikutosha kwa yeye kuweza kuchukua tuzo hizo kwa mara nyingine tena ingawa na yeye amebleam kuhusiana na uendeshaji wa tuzo kwa kudai kuwa umejaa zaidi wanamuziki wa bongo flever.

Friday, April 6, 2012

DOGO RAMA AIINGIZA SOKONI ALBUM YAKE NA AIUZA KWA STYLE YA AINA YAKE NI KWA MTANDAO WA SIMU UNAJUA INAKUJAE? PIGA NUMBER 0715370365 AU 0659 158334 KWELI ATAWAWEZA MAHARAMIA!?

Msanii na mkali wa sauti kutoka twanga pepeta dogo rama a.k.a VUALLA ameachia album yake ya kilometa 10000 sokoni ikiwa kaja na style ya kuuza kazi yake kiaina yake ikiwa amtoa number za simu kwa atakaetaka album yake hiyo iliyosheheni nyimbo kali za rhumba tofauti na ilivyo katika album ya band yake ya twanga
 album ya kilometa yenye nyimbo kama MAMA NA BABA,SIRI YA MAPENZI,IMANI YA MAPENZI,CHUKI YA NINI,UZURI WANGU mbao amrudia wimbo wa zamani,pamoja na wimbo alipiga katika mtindo wa sebene na ndio uliobeb JINA LA ALBUM KILOMETA 10000.
                                    DOGO RAMA a.k.a JEMBE a.k.a VUALLA a.k.a kilometa 1000
akizungumzia kuhusu kuchelewa kuingia sokoni kwa album yake anasema alikua anatafuta njia sahihi ya kuweza kuiza kazi yake kwa faida zaidi kutokana na kazi za wasinii wengi kuibia pasi kuwa na faida yoyote amesmea amejifunza mengi sana ss kuhusu hilo anaona kidogo anaweza kuzuia wizi huo!


Thursday, April 5, 2012

LICHA YA ALLY CHOKI KUKIRI KUONDOKA KWA FURGASON.. RAPA HUYO ASEMA YEYE NI MWANAMUZIKI HALALI WA EXTRA BONGO HUKU VIONGOZI WA MASHUJAA WANAJIKANGANYA MENEJA ANASEMA HAWAJAMCHKUA RAIS WA BAND ANASEMA WAMEMCHUKUA KAZI HIYO!

Licha ya mkurugenzi wa EXTRA BONGO le KAMARADE ALLY CHOKI kukiri kuwa mwanamuziki furguson si wa kwake tena lakini mwanamuziki huyo azidi kung'ang'ana kuwa bado ni mwanamuziki halali wa band hiyo kwa kuwa bado ana mkataba wa mpka mwezi wa kumi na mbili kwa hiyo uvumi wa kuwa anahamia mashuja ni uvumi mtupu na ameshanga kwanini mkurugenzi wake huyo amekana kuwa si mwanamuziki wake tena,

                                 LE KAMARADE ALY CHOKI ASEMA FURGERSON SI WAKE
lakini nilipomuuliza kiongozi wa band hiyo ya extra bongo rogert hegga cartapila ameseme yeye anamtambua furguson kuwa ni mwanamuziki wa band hiyo na siku atakapohama basi umma wote utajua ila kwa sasa yote yanayosikia ni habari za uzushi
                                FURGURSON RAPA ANAESUMBUA VICHWA VYA WATU
Nilivyozungumza na furguson mwenyewe yeye anasema bado yupo extra bongo ila endapo kama kuna band itamtaka basi yupo tayari kwenda sa long watakua na pesa ya kumlipa


                                 RAISI WA MASHUJAA BAND CHALZ BABA AKIRI KUWA FURGUSON WATAMCHUKUA                    

wakati hayo yakijiri nae Rais wa MASHUJAA BAND chalz baba amesema kuwa furguson ni mwanamuziki wao kasoro mambo madogo tu ambayo hawajakamilisha lakini hivi karibuni atatambulishwa rasmi katika jukwaa la mashujaa band

Wednesday, April 4, 2012

ALLY CHOKI AKIRI KUONDOKA KWA RAPA WAKE FURGUSON KUTIMKIA MASHUJAA LAKINI UONGOZI WA MASHUJAA UMEKANA KUMCHUKUA FURGUSON JE UNAJUA ALIPO FURGASON! a.k.a MASKINI JEURI a.k.a DUME LA MBEGU!? KWELI ANAWEZA KURUDI TWANGAAAAA!?

Raper anaeumiza vichwa vya maband nchini furguson inasemekana amejitoa extra bongo na kujiunga na mashujaa musica band ambayo inakuja kwa kasi sana katika tasnia ya muziki wa dansi inayoongozwa na nguli wa muziki wa dansi presdaa CHALZ BABA lakini meneja wa MASHUJAA BAND anaejulikana kwa jina la MAX LUHANGA amekataa kataka kuwa rapa huyo katua katika band yake.
                                  G.MBGONO NIKIWA NA FURGASON a.k.a MASKINI JEURI

                                FURGUSON AKIFANYA VITU VYAKE AKIWA NA EXTRA BONGO Lakini nilivyoongea na kiongozi wa extra bongo kamarade ali choki yeye alikiri kuwa furguson tayari amekwisha jitoa katika band hiyo ingawa aliktaa kusema kama kweli ameelekea mashujaa au la
                           MASHUJAA WAKIFANYA VITU HAPA NDIP FERG ANASADIKIWA KUTUA

Hata hivyo meneja wa mashujaa kwa upande mwingine amesema kuwa kwa kuwa furguson anauwezo kuna uwezekano wa kuweza kumchukua endapo atahitajika katika kikosi hicho kinachotamba na vibao kibao huku wakitarajia kutoa kibao cha mwisho cha RISASI KIDOLE ambayo imetungwa na rais chalz baba FURGUSON alitamba sana na rap za SUGUA KISIGINO,akiwa twanga pepeta na akiwa na band ambayo ameikacha hivi karibuni ametamba na vibao kama NASIKIA BARIDI,CHAKACHUA na nyingine kibao.
  Nae raper FURGUSON amesema hvi karibu atasema anatua band gani ingawa pia anahusishwa na kurudi TWANGA PEPETA
                               TWANGA PEPETA WAKIFANYA VITU VYAO!
Lakini nilivyo muuliza kiongozi wa twanga LUIZA NYONI MBUTU amesema yeye hajui lolote kuhusu hilo na pindipo atakapotua basi umma mzima utajua lakini kwa sasa wao wako kwenye tour kanda ya ziwa kwa hiyo wakirudi ndio watajua zaidi

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...