WELCOME TO GMBONGO BLOG

To keep the body in good health is a duty... otherwise we shall not be able to keep our mind strong and clear.

TANGAZA NASI SASA

Tuwasiliane kwa Email: gmbongo.chuma@gmail.com

WE ARE HERE TO SERVE YOU

Keep you Entertained always

WE ARE HERE TO SERVE YOU

Habari na Burudani

WELCOME TO GMBONGO WORLD

Kwa habari za Burudani na zenye uhakika.

WAY

Tuesday, August 30, 2011

JE UNATAKA KUFURAHI IDD NA MUZIKI WA DANSI TANZANIA SASA NIFUATE MIMI HAPA CHINI

EXTRA BONGO a.k.a WAZEE WA KIZIGO
Watakua meeda pub pande za sinza ambapo watapiga show idd mosi na kuzitambulisha nyimbo zao mpya kabisa ambazo ambazo zitakuwepo kwenye album yao mpyaa kabisa ambayo itazinduliwa mwishoni mwa mwezi wa tisa au mwishoni mwa mwezi wa kumi
extra  bongo inaundwa na wakali kibao ambao walitamba na wanatamba katika muziki wa dansi kama mkurugenzi wa bendi nguli wanamwita le KAMARADE ALLY CHOKI a.k.a mzee wa farasi mzee wa kijiko a.k.a KIBABU CHA LOLIONDO na nguli mwengine le GENERAL BANZA STONE a.k.a mwalimu wa walimu,Osama bin laden,roho ya paka,mabreka,binadamu, na kiongozi wa bendi ROGERT HEGGA CATAPILA a.k.a kilimanjaro na kwenye upande show
anasimama mtu mzima SUPER NYAMWELA, na mwanadada tishio katika show AISHA MOHAMED (MADINDA).





        FM ACADEMIA (WAZEE WA NGASUMA)
Wao watakua katika uwanja wao wa nyumbani new msasani club ambapo watazipiga nyimbo mpya ambazo zitakua kwenye album yao mpya walioipa jina la chuki za nini ambayo itazindulia miezi michache ijayo itakua imesheheni nyimbo kibao lakini zitakazo kwenda kupigwa hiyo kesho ni
ndoa ya kisasa ambayo mtunzi wake mulemule
fataki-mtunzi king blaise
otilia-mtunzi president wa bendi nyoshi el-saadat sauti ya simba
dai chako-mtunzi kichinja
pia ead pili watakua katika ukumbi wa makumbusho na keshokutwa watakua lufita



  MASHUJAA MUSICA
Wao watakua wanazitambulisha nyimbo zao pale makumbusho ambapo watapiga nyimbo mpya kama tatu au nne hivi katika kujiweka saw na maandalizi ya album yao ambapo singo moja tayari bado kuitupa redioni na nyimbo watakazo kwenda kuzipiga siku ya idd kama utambulisho ni
ungenieleza-mtunzi akiwa ni raja
Hukumu ya manafiki utunzi wake jadoo
Uchungu wa moyo utunzi wake jimmy beell huku sauti ya radi rapa number er aliewahi kuitikisa na diamond musica anakuja na rap mpya nasema
"PAKA AKILIA USIKU WANAJUA MCHAWI KUMBE NI PAKA KAPIGWA NA PKA MWENZIE,
na nyingine inasema NIPE KIDUCHU


Monday, August 29, 2011

KAA TAYARI KWA TWANGA PEPETA SIKUU YA EAD NDANI YA MANGO GARDEN NA UTAMBULISHO WA NYIMBO ZAO MUPYAAA


Baada ya mapumziko wa mwezi mzima kuupisha mwezi mtukufu wa ramadhani sasa bendi ya kitanzania inayotikisa TWANGA PEPETA INTERNATIOL a.k.a SUGU wanafungukia pande za Mango Garden kwa show moja ya hatari huku safu ya ushambuliaje ikiwa inaongozwa na wakali kibao wa kuimba na kucheza pia.
 TWANGA PEPETA inaundwa na wakali kama DOGO RAMA a.k.a vualla au chezea dogo,CHALZ BABA,LIUZA MBUTU a.k.a mamaa B, KHADIJA MNOGA a.k.a kimobitel,JANET ISINIKE,mkongwe AMIGOLAS, SALEHE KUPAZA na marapa watatu machachari MSAFIRI DIOF a.k.a sokoine,GREYSON SEMSEKWA na J4  na wengine kibao


Dogo rama a.k.a chezea dogo akiwa na amigolas ndani ya mazoezi makali kujiandaa na show ya idd


mtu amig amigola akiwa mzigoni kujifua na kitu cha ead hatari tupu!


nguli wa muziki wa dance MUUMI MWINJUMA akitia vocal katika moja ya nyimbo zilizopo kwenye album yao mpya hii nadhani itakua ni penzi la shemeji stay tune utaickia tu!
hizo drum zitapigwa mpka ziseme hiki nini c unaona jamaa anavyozikaanga?


wakali wa vocal toka twanga ni khadija mnoga kimobitel,Janet isinike,na dadaa luizer mbutu chek nao uone!














Sunday, August 28, 2011

JE WAIJUA ILIPOTEKEA Q BAND? NI BAND YENYE WASANII LUKUKI NA WENYE VIPAJI VYA HALI YA JUU

                                                      LET'S GO AFRICA
the q band imeanzishwa miaka mitatu iliyopita ikiwa miaka miwili ya kujenga band na mwaka mmoja wa kazi mpaka sasa,the q band ni band inayongozwa na watu wawili ambao wote ni waimbaji.ambao ni: LEAH MOUDDY alieye wahi kushiriki mashinndano ya kimuziki na kutambulika kitaifa na kimataifa kama: bongo star seach shindano la kutafuta vipaji maalumu Tanzania na kuweza kuibuka mshindi wa nafasi ya pili na aliweza kuchaguliwa kuiwakilisha Tanzania katika mashindano yajulikanayo kama TUSKER PROJECT FAME mashindano yaliyofanyika nchini Kenya na kufika nafasi ya robo fainal na hapa nyumbani Tanzania amewahi kuajiriwa ka mwimbaji katika BAND YA TANZANITE na B Band. Mwimbaji mwingine ni SIZ Q aliyewahi kushiriki mashindano ya pop star na hakufanikiwa kushinda na baada ya hapo alijiunga katika band ya B. band kama muasisi wa band hiyo na aliweza kutoa  nyimbo itwayo kasoro akiwa amemshirikisha mwanadada Ray c iliyomtambulisha kitaifa na kimataifa na aliweza kudumu kwenye band ya b band kwa miaka kumi mpaka alipo kutana na Leah na kuamua kuanzisha band yao na kuipa jina la Q Band. Q Band ilianza tarehe 5/9/2009 nailifanya mazoezi kidogo kidogo kutokana na ufinyu wa pesa Q Band ilipumzika mazoezi na kuanza kujipanga upya mwaka 2010 Q Band  ilirudi tena kambini na wanamuziki wapya na walifanya mazoezi kwa muda wa miezi sita na likatokea tatizo la vyombo ndipo tulipo pumzisha band na kujipanga na kuepuka tatizo la vyombo ambavyo tulikuwa tunavikodi ndipo tulipoagiza vyombo uingereza kwa mtu ambae tunafamiana alitupa msaada huo wa vyombo vyote vya band hapo tuka wa kamili na tarehe 3/1/2011 tukanza mazoezi rasmi na tarehe mwezi wa sita mwaka 2011 walianza kazi ya kwanza kufanya moja ya show za washiriki   walioiwaikilisha tusker project fame kutoka Tanzania nao ni PETER MSECHU LEAH MOUDDY na Aneth Kushaba show ilikuwa nzuri na ilikuwa changamoto kwa Q Band na kuanzia hapo Q band ikanza kujulikana hapa na pale na kuweza kuendelea kutafuta kazi tofauti tofauti kwa sasa Q Band ina toa burudani katika Club Le Mambo na Trinity zote za Dar es salaam Tanzania
 Q Band ipo katika mfumo wa hotel band ambayo inatoa burudani ya muziki tofauti wa copy kama Kwaito,Zouk,Afro Jazz,R&B,Bolingo,Pop,Zilipendwa na nyimbo zetu wenyewe muziki wa kizazi kipya Bongo Flaver malengo ni kuweza kutambulika dunia nzima na kuitambulisha Tanzania katika ulimwengu wa muziki wa live Band.

Facebook: Qband live
Email:theqband@live.com


                   hapa ni Q Band wakiwa mzigoni siz q na nuruely wakiongoza mashambulizi


   hapa utamu wa Q.BAND HATARI TUPU AISEEEEEEEEEEEEEEE!




Kwa wanaojua mziki ukiambiwa utaje watu kumi wenye sauti hautamuacha nuruely sasa hapa yupo mzigoni na Q Band.


presidaa wengine wanaita rais lkn huyu ni wa Q band akiwa na mtazamo wa kimataifa zaidi


vice presidaa wa Q.Band natamani kusema first lady ni vocalist wa kike kati ya wale watatu tanzania wanamwita LEAH MOODY hapa mzigoni na wana Q.band

Saturday, August 27, 2011

KAA TAYARI KWA PABLO MASAI a.k.a Mr.WATER

msanii nguli wa bendi ya fm academia Pablo masai mashabiki wamempa jina la water yaani maji usipoyanywa utayaoga kama si ivo basi utaosha tu yupo studioni akirekodi album yake ambayo itaitia sokoni ikiwa ni solo project,
kwa mijibu wa pablo masai tayari amekwisha tayarisha nyimbo tatu za albuma hiyo huku moja tayari ikiwa inakimbiza katika vituo vya redio.
Wimbo ambao kashautia katika vituo vya radio na sasa akiwa mbioni kutengeneza video yake unaitwa majukumu ambayo amewashirikasha wasanii kama jose mara toka mapacha watatu,toscanee nzimbu na jesus ambao wanapiga wote mzigo fm academia wazee wa ngwasuma, wazee wa mujini,
pia pablo amesema maekishwa maliza nyimbo nyingine mbili ambazo bado ziko kapuni moja ikiitwa MATESO YA MAPENZI na nyingine ikiwa bado haijaipa jina bado.
Pablo masai maesmea baada ya bendi yake kumaliza kuitoa album yao inayokuja mabayo imepewa jina la CHUKI ZA NINI. kwa taarifa zaidi kuhusu album hiyo endelea kunifatilia basi yeye ataitoa ya kwake
Mr.WATER amewashirika wasanii mbalimbali katika album yake hiyo ambayo bado haijakamilika lin itakamilika kuwa wa kwanza kujuia kwa kumfatilia
G.MBONGO tha intertainer

kilometa 10000 ya dogo rama kiraka wa twanga pepeta international ishaiva punde tu sokoni!

msanii dogo rama a.k.a vualla. a.k.a kiraka toka twanga pepeta internataional amakamilisha albam yake yenye nyimbo sita ambazo amewashirikisha wasanii mbali kutoka band mbalimbali za muziki wa dance akiwemo rogert hegga(catapila)a.k.a kilimanjaro tanzania toka extra bongo wazee wakizigo mtu kama erick cantona aka mgogo wa mazizini toka diamond musica,mwanadada mkongwe na vocalist wa twanga pepeta khadija mnoga a.k.a kimobitel toka twanga pepeta sauti ya radi toka mashujaa muzika, msafiri diof a.ka sokoine wa twanga,beno villa,amigolas
 album ya kilometa 10000 kumi ya dogo rama ina nyimbo sita ambazo zimeshiba mashairi na zikiwa katika miondoka tofauti kuna nyimbo za rhumba peke yake pia sebene humo ndani utakuta nyimbo kama
KILOMETA 1000 FT MSAFIRI DIOF AND SAUTI YA RADI
SIRI YA MAPENZI FT ROGERT HEGGA NA ERIC CANTONA
CHUKI ZA NINI.
BABA NA MAMA FT KHADIJA MNOGA KIMOBITEL.
IMANI YA MAPENZI FT BENNO VILLAH ANTONY
UZURI WANGU-FT AMIGOLAS
Albam ya kilometa ya dogo rama imetengenezwa katika studio bora kabisa za muziki amoroso sound na ontime production.
 sasa ladies n gentleme ma mabibi na mabwana kaeni tayari kupokea mziki wa ukweli kutoka kwa dogo rama na baada ya album kuingia sokoni ndipo mtapo waona wana kilometa wanavofanya kwenye show mbalimbali mikoani na dar-es-salaam vile vile!
 na ripoti kutoka kwa dogo rama ni kwamba pia ndani ya albam ijayo ya twanga pepeta ambayo itakua na nyimbo mbili walizozifanya na bozi boziana kuna wimbo unaoitwa mtoto wa mwisho ni utunzi wa dogo rama a.k.a vualla!
hili ndio ndio kasha la kilometa 10000 ya dogo rama ukipata jingine jiulize mara mbili

dogo rama a.k.a vualla a.k.a jembee .au .apana chezea dogo

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...