WELCOME TO GMBONGO BLOG

To keep the body in good health is a duty... otherwise we shall not be able to keep our mind strong and clear.

TANGAZA NASI SASA

Tuwasiliane kwa Email: gmbongo.chuma@gmail.com

WE ARE HERE TO SERVE YOU

Keep you Entertained always

WE ARE HERE TO SERVE YOU

Habari na Burudani

WELCOME TO GMBONGO WORLD

Kwa habari za Burudani na zenye uhakika.

WAY

Tuesday, August 28, 2012

MAPACHA WATATU YADHIIRISHA BADO IMARA LICHA YA KUONDOKA KWA PACHA MMOJA YAACHIA MBILI KALI MOJA WAKIMSHIRIKISHA ALLY KIBA NA NYINGINE KHADIJA KOPA WAKO MBIONI KUREKODI NA FERRE "SHETANI"GORA

HUKU wengi wakidhani kuwa kuondoka kwa kalala jounor mapacha watatu basi ndio mwisho wake hilo wamesema sio kweli na sasa wameachia wimbo mbili moja wakiwa wamemmshirikisha gwiji wa bongo flever ALLY KIBA ikipiewa jina la NAONEWA na nyingine ambayo wametoa video tu wakiwa wamemshirikisha malikia wa mipasho tanzania KHADIJA OMARY KOPA ambayo nyimbo hiyo ipo katika mahadhi ya mduara na kusema sasa wameamua kuaznisha mtindo wa kutoa nyimbo two in one yaani moja audio nyingine video na ikitoka ya video nyingine inatoka audio hayo ni kwa majibu wa meneja wa mapacha watatu KHAMIS DACOTA wakati nikfanya nae mahojiano ya moja kwa moja.
                             KHALID CHOKORAA,JOSE MARA AND JANUARY
KATIKA mikakati waliyo nayo kwa mujibu wa manger wa mapacha watatu khamic dakota kama mambo yakienda kama walivyopanga basi wako mbioni kutengeneza rhumba moja kali na mwanamuziki wa kimataifatoka congo kinshasa FERRE GORA akatika kuwafanya wao kimataifa aaid na hivi karibu wataweza kwenda kufanya show nchi za nje ingawa hajaweka wazi ni nchi gani hasa ambazo wataenda kufanya hizo show ila kwa wapenzi wa mapacha wawe tayari kupata nyimbo kali ya MAPACHA WATATU WAJUBA WAWILI NA FERRE GORA
               JUU NIKIWA NA MENEJA DACOTA CHINI NA JOSE MARA
MBALI na hilo pia dacota kasema mwishoni mwa mwezi wa kumi watakwenda kuizindua album yako kimataifa huku kwa sasa safu yake ikiwa imeongezeka wakali kibao ambapo kwa sasa pia wapo na mwandada CATHERIN ambae amekwisha zoea kufanya muziki lakini pia yupo mwanamuziki mweningine aneitwa KAMBI huku yule wa zaman JANUARY nae akiipa nguvu ya ajabu mapacha watatu huku akise jina litabaki kuwa lile lile na pacha watatu aliebaki sasa ni shabiki wa mapacha watatu

                                   KHALID CHUMA CHOKORAA MZIGONI

Monday, August 27, 2012

FM ACADEMIA MBIONI KUIACHIA CHUKI YA NINI

Kwa mujibu wa rasi wa FM ACADEMIA,NYOSHI -EL-SAADAT amesema tayari wamekwisha maliza kurekodo album yao ya CHUKI YA NINI ambayo inaenda kufanyiwa mastering nchini uingereza ili kuweza kupunguza maharamia wa kazi za wasanii na vile vile kuweza kuweka ubora zaidi katika usikivu wa nyimbo zao ambapo kwa mujibu wa nyoshi watafanya kama mwaka jana kuwa watatoa album mbili kwa moja wakiwa na maana watatoa album yenye jina moja lakni zitapatikana katika cd mbili huku akisema tayari wamekwishaanza kupiga nyimbo zao mpya katika show zao mbali mbali wanazoendelea kuzifanya ndani na nje ya jiji la dar

                                   WAZEE WA NGWASUMA MZIGONI
NYOSHI ameongeza kusema kuwa sasa wapo mbioni kuzipeleka nyimbo mbili radio kama utambulisho na wa album yao ambao watapeleka sebene moja na wimbo wa kawaida mmoja na baadae kuweza kuzindua album yao ya chuki ya nini ambayo itakua na nyimbo takaribani nane
                                  PATCHO MWAMBA AKIFANYA MAZOEZI YA SHOW
 mbali na hilo pia nyoshi mwenyewe ameingia kwenye ulimwengu wa filam na kwa mara ya kwanza katika movies siriaz ataoneka kwenye movie ya mwanadada mahiri katika uingiza SINTAH aktika filam ya the rutern of the j.lo
                MOJA YA SCEN ZITAKAZO PATIKANA KATIKA THE RETURN OF THE J.LO

Thursday, August 23, 2012

BAADA YAVUGUVUGU REEEFU LA KALALA AMA MASHUJAA MA TWANGA SASA LAPATIKANAKAULI YA KWANZA YA KALALA JUNIOR MARA BAADA YA KUTANGAZA RASMI KUJIUNGA NA TWANGA PEPETA!

KALALA JOUNIOR RASMI AREJEA NYUMBANI NI NYUMBANI TWANGA PEPETA INTERNATIONAL KISIMA CHA BURUDANI

Kalala arejea Twanga Pepeta na zawadi nono!
 
UONGOZI wa kampuni ya African Stars Entertainment Tanzania (ASET) umemtambulisha rasmi mwanamuziki mwenye vipaji vingi, Kalala Hamza Kalala maarufu kwa jina la Kalala Junior.
Kalala alitambulishwa kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye ukumbi wa  Mango Garden ambapo mbali ya kusema kuwa amerejea kwa lengo la kuendeleza bendi yake hiyo aliyokuwa nayo kabla ya kujiunga na Mapacha Watatu.
Mwimbaji huyo maarufu alisema kwa  fumbo kuwa “Koti limembana akiwa na bendi yake ya Mapacha na kuamua kulivua na kuacha kuendelea kulivaa tena” na kujiunga na Twanga.
“Nimefurahi kujiunga na Twanga tena na nimekuja na zawadi za nyimbo mbili, wimbo wa kwanza unaitwa Nyumbani ni Nyumbani ambao  kwa sasa upo katika hatua ya mwisho na utatambulishwa rasmi wiki ijayo, ni wimbo ambao unazungumzia mambo mbali aliyokutana nayo katika muziki mpaka  kuamua kurejea Twanga,”  alisema Kalala.
Alisema kuwa  ujio wake wa Twanga siyo wa kulazimishwa, bali umetokana na mapenzi yake mwenyewe na hasa akikumbuka  fadhira za ASET ambapo ndipo alipata umaarufu mkubwa.
“Nawaomba  wadau wa Twanga wakae mkao wa kula, kwani nimerejea kivingine na watarajie kupata mambo mengi mazuri, nitafanya zaidi ya yale niliyoyafanya zamani, lengo ni kuendelea kushika hatamu katika muziki wa dansi,” alisema Kalala ambaye vionjo vyake ‘vimewashika’ mashabiki wengi wa muziki wa dansi.
Afisa Habari wa ASET, Mohamed Pizaro alisema kuwa ujio wa Kalala umetokana na mpango wao waliouanzisha ujulikano Amsha Amsha Twanga Pepeta Nyumbani ni Nyumbani .
Pizaro alisema kuwa mpango huo ni maalum kwa kuhimarisha bendi yao na hasa kwa wanamuziki ambao wameonyesha nidhamu nzuri wakiwa chini ya ASET na sasa wanatumikia bendi nyingine.
Kiongozi msaidizi wa Twanga Pepeta, Saleh Kupaza alimpokea kwa mikono miwili mwimbaji huyo na kusema kazi ya kujiiimarisha zaidi imeanza.
“Karibu nyumbani, si unajua nyumbani ni nyumbani, tunaamini hata hao wengine wanajifanya vichwa ngumu, nao watarejea tu,” alisema Kupaza.

Kalala Junior akizungumza katika mkutano wa utambulisho kwenye ukumbi wa MangoGarden, kulia ni kiongozi msaidizi wa Twanga Pepeta, Saleh Kupaza huku kushoto ni Msemaji wa ASET, Mohamed Pizaro na meneja wa ASET, Hassan Rehani.
Msemaji wa ASET, Mohamed Pizaro (Katikati) akimtambulisha Kalala Junior  (Kulia) kwenye mkutano na waandishi wa habari . Kulia ni Meneja wa ASET, Hassan Rehani.
Kalala Junior ( Katikati) akiweka hadharani vionjo vya wimbo wake mpya, Nyumbani ni Nyumbani kwenye mkutano na waandishi wa habari  akiwa na wanenguaji wa bendi hiyo, Frida Joseph aka Beckham, Sabrina Mathew na Mary Khamis aka Mary Kimwana wakionyesha staili yao mpya.

Tuesday, August 21, 2012

MASHUJAAAAA WAFANYA BALAA MTWARWA WAACHA BONGE LA GUMZO

                                PRESDAAAA WA MASHUJAA CHALZ BABA KINGUNGE
                                 WATOTO WA MAMA SAKINA WAKAVAMIA
                                  RYTHIM AND SOLOLISTE PROFA SOLO AKILIZA
                                             AMOSI NABII SOLOLIST
                                BASS GIUTER- KASIM BASS YA MASHUJAA
                                    DRUMS TUNTUU MACHINE

                                NATALIA,SUZY,MARIAM WAKIFANYA BALAAA

                            FURGASON AKIWA RAPA MPYA WAMELALA KAMA PONO
                                 SAUTI YA RADI AKIWAPA RAPA KOROSHO
                                              MIMI,MASOUD NA MCD
                              PRESDAA YA WATANGAZAJI NA PRESDAA WA MASHUJAA

Friday, August 17, 2012

SINTA AFUNGUKA KUHUSIANA NA MOVIE YAKE YA THE RETURN OF THE J.LO LAKINI PIA AFUNGUKA KUHUSIANA NA SAKATA LAKE NA QUEEN WA VIDEO ZA BONGO FLAVER AGNES MASOGANGE

CHRISTINE JOHN a.k.a SINTAH a.k.a J.LO WA AFRICA amefuinguka kuhusiana na ujio mpya wa movie uyake mpya ya the return of the J.LO ambayo ndani yake amewashirikisha msaniii kama NYOSHI EL SADAAT,BEN KINYAIYA na wengine kibao na hiyo akiwa ameifanya katika prodction yake ya preety sintah ambapo  baada ya hiyo  zitakuja nyingi zaidi.
                                                          CRISTINE JOHN a.k.a SINTAH
Aidha kwa upande mwingine sintash amefunguka kuhusina na bifu lake na mwadada anaejitoka kwenye video nyingi za bongo flever AGNES GERARD a.k.a AGNES MASOGANGE ambae kwa mujibu wa magazeti ya ya udaku kuwa anamshutumu sinata kuwa ndie anaesambaza video zake za utupu hivi ndivyo sinta alivyofunguka.
                                                            
                                                        AGNES GERARD


"AGNES NI KAMA MDOGO WANGU NA TUNAONGEA VIZURI NA ALIVYOFANYA NILIKUA NAMKANYA NA NI KWELI VITU HIVYO KAVIFANYA ILA MIMI SIE NINAESAMBAZA HIZO VIDEO NA YEYE MWENYEWE ANAJUA NA WALA SIO YEYE ANASEMA MANENO HAYO BALI MAGAZETI NDIO YANAMPACHIKIA MANENO LAKINI YEYE HAJAWAHI KUNILAUMU HATA SIKU MOJA NA KILA SIKU NAONGEA NAE" NA KUONGEZA KUSEMA KKUWA HAJUI LOLOTE KUHUSIANA NA KUTAMBAA KWA VIDEO HIYO
zaidi ya hilo pia SINTAH amayatupia lawama magazeti hayo kwa kuandika vitu visivyo vya ukweli.

Baada ya kuachana na swali hilo la skendo hiyo alifunguka pia kuhisiana na production au wao kama maproducer kuwa wanawalalia wasanii wachanga kufanya nao filamu kwa kulipa gharama ndogo katika kuepuka cost ambazo zipi kwenye kuandaa filamu na kusema vinara wakiwa ni wawili basi wengine watachukua chini ili kuepuka gharama zisizo za lazima na kusema kwa style hiyo tutafika lakini baadae sana.
LAKINI SINTAH ambae ni balozi wa DARFUR pia sintah ni msomi ambae anafanya vitu vingi sana ikiwemo foundation ambayo ameungana  na JOKATE MWANGELO katika kuweza kusaidia wasio jiweza lakini pia SINTAH anamiliki website ya www.sintah.com
mbali na hilo PRETTY SINTAH yupo mbioni kuanzisha kipindi cha  televisheni ambacho kitaitwa HARUSINI NA SINTAH.
 
                                              SINTAH HARUSINI
MENGI KUHUSU SINTAH SOON UTASIKILIZA INTERVIEW YAKE NA MIMI KWA NJIA YA SIMU LAKINI ENDELEA KUFATILIA BLOG HII KWA MORE UP TO DATE ZA BONGO FILAMU.








Thursday, August 16, 2012

DRC: Mwanamuziki Koffi Olomidé ahukumiwa kifungo cha miaka mitatu

 

Mahakama ya mjini Kinshasa katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, imemhukumu kifungo cha miezi 3 jela mwanamuziki mashuhuri Koffi Olomidé kwa kukutwa na hatia ya kuvuruga usalama wa umma.
KOFFI OLOMIDE AKIWA NA CIDY LE COUR
Koffi Olomide alikamatwa hapo jana baada ya kumrushia ngumi na kumuumiza meneja wake wa muziki. Olomidé ambaye alijipatia sifa kutokana na muziki wa rumba,amewahuzunisha wakongo wengi kufuatia kitendo chake hicho.

                                                    KOFFI OLOMIDE
ikumbukwe pia koffi amekwisha wahi kuchapwa viboko na wanajeshi kutoka na kugoma msafara wake kugoma kupisha barabarani 
huku hukumu hiyo ikimkabili koffi lakini pia koffi alikua na tuhuma za unyanyasaji wa kijinsia  kwa mcheza show wake ambae kesi yake ilipigwa danadana

MASHUJAA MUSIC BAND WATOTO WA MAMAA SAKINA NA PAPAA MAISHA KUIVURUGA MTWARA BILA HURUMA SIKUU YA IDD MOSI NA IDD PILI MASASI NA MTWARA MJINI

BAND ambayo ni talk of the year MASHUJAA MUSIC BAND ikiongozwa na rasi waoCHALZ BABA KINGUNGE FERNANDO TORES watafanya show mbili ndani ya mtwara katika sikuku za idd ambaopo siku ya idd mosi watakua pale MASASI ndani ya ukumbi wa EMIRATES halafu show ya pili ambayo ndio itakua funga kazi itafanyika ndani ya mtwara town ndani ya ukumbi wa wastaarab MAKONDE BEACH CLUB
                                    CHALZ BABA NA MASOUD
AKIZUNGUMZA NA SAFARI RADIO RAIS CHAlZ BABA amesema kila kitu kipo tayari na watakuja kupiga nyimbo zao mpya na hadi hii leo karibu wanamuziki wote wapo fiti kuweeza kuwapa burudani wana mtwara
                                   CHALZ BABA AKIWA KAZINI
Watakaoshuka na kuwasha moto kusini ni CHALZ BABA MWENYEWE RAIS,FURGUSON MASKINI JEURI,YANIK NOAH SAUTI YA RADI,JADOH FFU MBISHI WA MAISHA,MASOUD NAMBA YA MWISHO na wengine wengi huku safu ya wanenguaji ikiongozwa na mwadada gwiji kaitka show LILIAN INTERTET TUNGARAZA ambae atasimama vyema katika kuhakikisha wanatoa burudabi ya kutosha kwa wakazi wa mtwara

Wednesday, August 15, 2012

YVONE CHERRY a.k.a MONALISA AFUNGUKA KUHUSIANA NA SOKO LA FILAMU TANZANIA NA KUSEMA MADISTRIBUTER NDIO WANAFANYA WATU KUTOA PARTY NA PARTY TWO ISIPOLAZIMA LAKNI PIA AFUNGUKA KUHUSIANA NA SCANDEL ZA WASANII

KWA mtu anaefatilia tasnia ya uigizaji au filamu jina MONALISA si geni masikoni mwake na huyu pia alishawahi kuchukua tuzo mwaka 2010 kama msanii bora wa kike katika lile tamasha kubwa la ZIFF kwa wasiojua basi ni mwamama wa watoto wawili tu lakini kujitunza anaonekana bado msichana kabisaaa.
LEO NIMEZUNGUMZA NAE katika KONA YA BONGO FILAMU na ameweza kufunguka mengi sana kuhusiana na tasnia hiyo huku moja mambali aligusia ni kuhusiana na mlipuko wa movies ambazo karibu zote zina party one na twoo je kweli story zote zina party one na two!!? hapa akafunguka
                                           YVONE CHERRY AKIPOKEA TUZO YA ZIFF
"ZIPO STORY  zinazoweza kuwa mbili ingawa mtindi wa huu wa kutoa storymoja kwenda ya pili ni style isiyopendeza ambayo anaamini soon  mtindo huu utaweza kutokomea kwa mikakati iliyopo na wengi wanatengeneza moja na mbili kwa mara nyingi distributer wengi wao ndio wanaona faida yake badala ya kutengeneza ffilamu moja inayoisha,
                                   MLELA.MONALISA.MZEE CHILO
NA HILO lakini pia mona yuko mbioni kuanzisha talk show ya kwenye tv wakati huo pia anaendesha kipindi cha filamonata ndani ya times radio.
nilipo muuliza kuhusiana na skendo kuwachafulia na mwisho wa siku kuonekana wasanii wote wa filamu wanakua hawana maana AKAFUNGUA TENA NA KUSEMA
"Hadhani kama kwa kufanya hivyo kunawachafua wote ila hao ambao wanaandamwa na skendo ambazo anasema hataki kusema ni  za kutengeza ila mazingira mengine ya sknedo hizo ni za kutengeneza kwa sababu pich nyingine unakuta zimepigwa kabisa chumbani na anakua amejiandaaa sasa hapo ni biashara zaidi lakini tunapoelekea watanzania watajua nini hatma yake.

Monday, August 13, 2012

BAADA YA KUIBUKA KUWA MKALI WA MIC NA SAUTI KATIKA MUZIKI WA DANSII DOGO RAMA SASA KUANZA PROJECT MPYA YA ALBUM YAKE YA PILI

MSANII anechipukia kwa kasi ya ajbu katika muziki wa dansi ambae kwa sasa pia ni nguzo muhimu katika band kongwe tanzania TWANGA PEPETA huyu zamani alikua akijiita DOGO RAMA lakni kwa sasa masema amekua na mashabiki wanamwita KING RAMA a.k.a DISMINDER BOY,VUALLA sasa yupo mbioni kuandaa album yake ya pilia baada ya ile ya kwanza kufanya vizuri kiasi chake hapa naizungumzia KILOMETER 10000 ambayo ndani yake kuna nyimbo inayotikisa kwa sasa ya SIRI YA MAPENZI,na IMANI YA MAPENZI pampja na sebene la kilomete 10000 sasa anasema andaa kilometa 10000 party two ambayo nyimbo nyingi ataweza kufanya peke yake ili kuonyesha uwezo zaidi na nyimbo moja ambayo itapatika katika project hiyo imekwisha kamilika akiita TUSICHUKIA BURE ambayo ipo katika hatua za mwisho kuweza kuakamilika ambapo ndani yake kaimba pamoja na kurap yeye mwenyewe KING RAMA
                                  DOGO RAMA AKIWA NA LUIZA MBUTU
MBALI NA HILO pia dogo rama tayarii ameshaanda nyimbo ambayo itakuwemo ndani ya album ya kumi na mbili ya TWANGA PEPETA ambayo itaitwa KUNGURU HAFUGIKI ambayo tayari washaanza kuifanyia mazoezi na hvi karibuni itaanza kuimba katika show zao za dar-es-salaam na itatoka baada ya kuachia single yao pili ya MAPAMBANO YA KIPATO ambayo imtungwa na muumini mwinjuma.
                                    KING RAMA AKIWAIMBISHA
AIDHA DOGO RAMA alifunguka kuhusiana na ushidi wake na kusema siri ya ushindi ni kujituma tu akiwa stage na sio kuuza sura kama wengine wanavyofanya na ndio maana sasa anaamini ni moja kati ya wasanii wanazungumzika nchini tanzania
                                KING RAMA AKIWA NA SAFU YA WANA TWANGA

Saturday, August 11, 2012

MIRIAM JOLWA a.k.a JINI KABULA AFUNGUKA KUHUSIANA SKENDO ZINAZOWAANDAMA WASANII NA KUSEMA NYINGI NI ZA KUTENGENEZA akiri kuwa kuna baadhii ya wasanii wana bifu baina yao

MSANII WA FILAMU NA MAIGIZO MIRIAM JOLWA MAARUFU KAMA JINI KABULA
amesema magazeti mengi yanaandika habari za wasanii kwa kukuza mambo hata kama jambo wanalofanya ni la kawaida lakini waandishi wanaweza kulikuza na kuonekana ni bay katika jamii na kukusitiza kuwa sometym huwa anajua hata kwanini alijiingiza katika tasnia hiyo kutokana na mambo mengi yanayomfanya ashindwe kuishi vile aakavyo kutoka na kufatiliwa sana na waandishi,
                                                JINI KABULA KWA POZI

LAKINI pia alisema mbali ya kuwa na bif au ugomvi binafsi baina yao lakni yeye kwenye kazi ni kazi na baada ya hapo kila kivyake kwa sababu hiyo ndio kazi yake,
PIA JINI KABULA alijitetea kuhusuina na mavazi yake anayovaa na kusema hayo ndio yaliyomkuza na sio kwamba baada ya kuwa muigizaji ndio kaanza au star ndio kaanza kuvaa kwa hiyo watu wanaomfahamu toka zamani hawawezi kushangazwa na hilo kwa kuwa ndio malezi aliyokulia.
                                   JINI KABULA NA RAFIKIZE
MWISHONI KABULA amsema mashabiki wasiwe wa kusikiliza sana yale yanayoandikwa na magezeti kwa kuwa mengi kati ya hayo sio ya kweli na yana lenga kuuza magazeti yao na kuwachafulia wao kwa kuwa magazeti mengi yaanamini kuwa habari mbaya ndiio zinazouza
JINI KABULA amesema sasa wako mbioni kutoa cd za JUMBA LA DHAHABU ili kwa wale walioukosa mchezo huo waweze kuzipata kiurahisi zaidi lakni pia kuna movie mpya inakuja ambayo na yeye yupo ndani huku akisema bado sana kutoa movies zako na bado yupo chini ya kampuni ya TUESDAY ENTERTAIMENT
MBALI NA HILO KABULA amesa pia ana ujio mpya wa kundi lake la muziki ambapo yupo YEYE KABULA,ISABELA MPANDA aliewahi kuwa miss ruvuma na RASHIDA WANJARA ambae aliwahi kuwa miss tanzania namba ya tano na yeye mwenyewe ambae alishawahi kuwa miss kariakoo.

Monday, August 6, 2012

EXTRA BONGO KUTUA TANZANIA NA VIDEO MPYA KALI WAMEWACHEZESHA WAZUNGU,WAKATIZA ZIARA YAO ULAYA KBLA YA MWEZI

Wakiwa mbioni kurejea tanzania extra bongo wazee wa kizigo ambao walikua wanatour ya karibu mwezi mzima ambayo imekatizwa katika baadhi ya nchi kutokana na mwezi wa ramadhani katika nchi kama NORYWAY lakini wamemaliza show yao ya mwisho SWEEDEN.

LE KAMARADE CHOKI
Akiongea kutoka SWEEDEN mkurugrnzi wa EXTRA BONGO,ALLY CHOKI amesema licha ya kukatiza ziara yao lakini pia wanampango wa kurejea tena huko kwa show zaidi za kulizinguka bara la ulaya ambapo kuna nchi zaidi watazunguka kama vile holland na noryway

Lakini pia CHOKI alisema kuwa hata hivyo wakirudi na washapata mkataba wa kufanya show kwenye baadhi ya mikoa ya kaskazini kupita kampuni moja ya ulizni inayomilikiwa na CHIEF KIUMBE na mwenzie kutoka kenya na watafanya show katika mikoa ya MWANZA,SHINYANGA,MUSOMA na kwingine huku pia wakitaraji kuzuru kusini kwa ajili ya show zaidi.
                                    ALLY CHOKI OFISINI

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...