WELCOME TO GMBONGO BLOG

To keep the body in good health is a duty... otherwise we shall not be able to keep our mind strong and clear.

TANGAZA NASI SASA

Tuwasiliane kwa Email: gmbongo.chuma@gmail.com

WE ARE HERE TO SERVE YOU

Keep you Entertained always

WE ARE HERE TO SERVE YOU

Habari na Burudani

WELCOME TO GMBONGO WORLD

Kwa habari za Burudani na zenye uhakika.

WAY

Friday, November 30, 2012

J.B SALVAROLA BA SWAHILI BINADAMU SHTUKA SUVERAIN PRIMIER NA MASHUJAA MUSIC BAND KUFANYA BALAA LEO NDANI YA LEADERS CLUB NI KATIKA UZINDUZI WA ALBUM YA RISASI KIDOLE YA MASHUJAA MUSIC BAND

MASHUJAA BAND a.k.a Wazee wa KIBEGA, wanakuletea uzinduzi wa album yao ya pili ya RISASI KIDOLE wakiwa na mwanamuzi gwiji kutoka jamhuri ya kidemokrasia ya kongo si mwingine bali ni JB MPIANA akiwa na kundi zima la WENGE BCBG leo siku ya ijumaa katika viwanja vya LEADERS CLUB kuanzia saa 2 usiku.
Ni siku ambayo mpenzi wa muziki wa dansi hutaisahau kwani JB MPIANA ameapa kuwaachia zawadi ya kumbukumbu ya show kubwa,atapiga nyimbo zote za zamani zilizotamba na mpya ambazo utazisikia kwa mara ya kwanza.

 
JB MPIANA atafanya show kubwa sana huku MASHUJAA BAND nao wakitambulisha album yao ya RISASI KIDOLE yenye nyimbo 9
KUMBUKA NI IJUMAA HII NDANI YA LEADERS CLUB ni JB MPIANA TSHITUKA akiwa na kundi zima la WENGE BCBG wakiwasindikiza MASHUJAA BAND wazee wa KIBEGA katika uzinduzi wao.

Wahi ticketi yako mapema kwa sh 25,000 tu katika vituo vifuatavyo:

1.BUSINESS PARK-Grean acres house victoria kijitonyama
2.EDO CHIPS - Namanga
3.BRILLIANT - Mayfair plaza
4.TEXAS BAY WASH
5.CENTURY CINEMAX - mlimani city
6.ROBBY ONE FASHION - kinondoni
7.ROSE GARDEN - mikocheni
8.MASHUJAA PUB - vingunguti
KUMBUKA NI NAFASI PEKEE YA KUMUONA JB MPIANA na WENGE BCBG pamoja na MASHUJAA BAND wakikuletea RISASI KIDOLE
pia utapata bahati ya kuwashuhudia mastar wa bongo fleva H-BABA,NAY WA MITEGO na MB DOG
=====ni masebene na marhumba kutoka kwa JB MPIANA na MASHUJAA BAND wazee wa KIBEGA. leo IJUMAA ndani ya LEADERS CLUB==
==

MSAKO WA POLISI WAKISADIANA NA WANANCHI SONGA KIBAONI WASAIDIA KUVIPATA VITU VYA MAREHEMU HUSSEIN MKIETI a.k.a SHAROMILIONEA IKIWEMO SIMU NA VITU VINGINE AMBAVYO VILIIBIWA BAADA YA AJALI

BAADA ya watu wasio na  huruma ambao walishindwa kutoa msaada kwa marehemu sharomilionea katika kumuokoa na kuona ni bora vitu alivyokua navyo wakavichukua lakini baada ya uchunguzi wa polisi kwa kushirikiaana na wananchi na kuweza kupitisha msako mkali baadhi ya vitu vilivyochukuliwa katika tukio hilo vimepatikana.
AKIONGEA kwa njia ya simu na blog hii aliekua rafiki wa karibu wa sharo milionea KITALE amevitaja vitu vya marehemu vilivyopatikana ni pamoja na SPEAR TYERE,RADIO YA GARI,BETRI YA GARI,SAA YA MKONONI,na pia kwa masaada ya jeshi la polisi uliweza kusaidia kupatikana kwa simu yake ya mkononi ya SHAROMILIONEA 
huku  vitu vingine ikwemo SURUALI AINA YA JINSI NA T-SHIRT YAKE BADO HAVIJAWEZA KUPATIKANA  na polisi  jijini tanga wanaendelea na msako wa kuvikamata vitu vingine vilivyopotea katika eneno la tukio

Thursday, November 29, 2012

MENEJA AKUDO IMPACTI AFUNGUKA ASEMA AKUDO BADO IPO NA CRISTIAN BELLA BAD NI MWANAMUZIKI WA AKUDO ILA YUPO MAPUMZIKONI TU NA HIVI KARIBUNI KUIZINDUA ALBUM YAO YA HISTORY NO CHANGE WAONGEZA SAFU YA WAIMBAJI KUTOKA KONGO

BAADA ya tetesi za muda mrefu za chinichini kuwa akudo impact inaelekea kugawanyika habari za kuaminika kutoka katika uongozi wa band ambapo nimezungumza na meneja wa akudo impact RAMA AKUDO ambae amefunga kuhusiana na mustakabali mzima wa akudo impact na kusema wanoitakua mabaya akudo wameshindwa kwani wao wanazidi kusonga mbele na wamechelewa kutoa album kutokana na kuwa katika maandalizi ya kufanya wimbo ambao umeibwa na wanamuziki wapya wa akudo ambapo wimbo huo utakuwepo ndani ya album ya akudo impact.

Akizungumza na blog hii na kipindi cha EXTRA AFRICA rama alisema kuna watu wengi wanaongea mengi kuhusu akudo lakini ukweli ni kwamba akudo bado inapiga sow katika kumbi tofauti na bado inajaza watu  vile vile na tayari wako mbioni kutoa album yao ya history no change ambayo wanasema ni album ya ukweli sana yenye nyimbo zilizokwenda shule.
KUHUSIANA na band kuwa na wanamuziki wengi wa kongo alisema sio kwamba wanapenda wao ila uhalisia wabongo wengi wanaogopa kujiunga na AKUDO kutokana na vipaji viliyopo hapo ambapo ambpo kuna masauti sana ukimuangalia cristia bella.tarsis masela,alain kabasele ni watu tosha ambao wanaweza kumfanya mtu agope ndio maana wanenda kuchukua viaji kongo kuweza kuongeza utamu zadi na saivi safu ya ishakalilika kabisa

Monday, November 26, 2012

HABARI ZILIZONIFIKIA HIVI PUNDE KUWA SHARO MILIONEA AMEAGA DUNIA KWA AJALI YA GARI NA NIMEONGEA NA NDUGU YAKE WA KARIBU SNURA MUSHI KANITHIBITISHIA HILO

MSANII WA VICHEKESHO NA MUZKI SHARO MILIONEA INASEMAKANA AMEFARIKI LEO HUKO MUHEZA MWANZA KWA AJALI YA GARI AMBAPO HABARI HIZO  NQA NILIVYONGEA NA NDUGU YAKE WA KARIBU SNURA MUSHI KANITHIBITISHIA HILO KWA NJIA YA SIMU SNURAH MUSHIHUKU AKILIA KWA UCHUNGU,AMESEMA NI KWELI BHASSI BAADA YA HAPO AMEENDELEA KULIA ILA HABARI ZAIDI NITAENDELEA KUKULTEA KUPITIA BLOG HII.
                                                      R.I.P SHAROMILIONEA
MARA YA MWISHI NIMEONGEA NA SHAROMILIONEA JUMAMOSI KUTAKA KUWATAKIA KHERI YA CRISSMAS NA MWAKA MPYA WADAU WAKE WOTE DAH! MUNGU AMTWA MUNGU AMETOA.

LICHA YA KUJAZA WATU KATI SHOW ZAKE TATU KANDA YA KUSINI ISHA MASHAUZI AWABOA MASHABIKI WAKE KWA KITENDO CHA KUCHATI NA SIMU KILA MARA AKIWA JUKWAANI WAKATI WATU WANATAKA LADHA SASA SIJUI NDIO MASHAUZI YENYEWE HAYO!?AU NDIO KUWAONA WAKAZI WA KUSINI HAWAJUI BURUDANI

ISHA MASHAUZI akiwa na MASHAUZI CLASSIC walifanya ziara ya siku tatu kusini mwa tanzania MTWARA MJINI,MASASI,NA LINDI, ambapo aliweza kufanya vizuri kwa kuweza kuwakusanya mashabiki vya kutosha licha ya kuburudisha na kujituma wakati mwingine kucheza mapanga na viduku na mastage show wake lakini wakati mwingi alikua akionekana kuchat na simu na kuacha waitikiaje wake wa mashauzi wakiimba baadhi ya vipande wakati ye akichati na simu sasa watu wakawa wanajiuliza sasa sijui ndio mashauzi au ndio style au kuwachukulia poa mashabiki wake wa kusini kwamba hawajui burudani.

Wakiongea kwa nyakati tofauti mashabiki walioshudiia show ya isha mkoa wa mtwara na lindi wanasema tabia aaliyoionyesha isha mtwara ndio alioifanya lindi vile vile lakini licha ya kufanya ivo ila aameweza kukonga nyioyo kwa vionjo vyake vizuri lakini alikua anatupa utamu na kuukata kwa sababu anacheza kidogo kisha anaanza kuchat na simu wakati akijua kabisa akiwa jukwaani anatakiwa kukonga mashabiki simu angeweza hata kuiacha chini huku wakimsifu AISHA OTHMAN Ambae aliweza kukonga nyoyo kwa kucheza sambamba na madancer na huku na kuweza kuwafanya mashabiki kushangilia kwa nguvu sana.
LAKINI licha ya kasoro hiyo ndogo iliyotolewa na mashabiki wa burudani kusini wamesema bado anafanya vizuri kwa kuwa na wapigaji wazuri na wanaojituma huku wakongoza na mpiga kinanda maarufu tanzania THABIT ABDUL ambe ane aliweza kuwakonga nyoyo mashabiki baaday a kuonyesha umahiri wake kwa kupiga gitaa la solo na kufanya mashabiki kushangilia sana hasa style ya kidali ambayo ndio watu iliwafurahisha zaidi
                                      ISHA MASHAUZI KAZINI

Sunday, November 25, 2012

ZIKIWA ZIMEBAKI SIKU CHACHE KWENDA KUZINDUIA ALBUM YA RISASI KIDOLE MASHUJAA MUSICA BAND WAMEJIFUNGIA WAKIJIFUA KUPAMBANA NA J.B MPIANA

Akizungumza nami meneja wa band hiyo MARTIN SOSPETER amesma kwa sasa wako kambini wakijifua zaidi ili kuweza kutoa burudani tofauti na walioizoea mashabiki wa mashujaa band siku ya uzinduzi wa album yao ambapo watasindikizwa na nguli wa muziki wa blolingi africa J.B SALVARORA BINADAM MPIANA ambapo wataenda kufanya nae show tatu katika majiji matatu ya tanzania ambapo ndio watafanya rasmi uzinduzi wa album yao ya RISASI KIDOLE ambayo itakua na nyimbo nane zote zikiwa zimesima

Akiongea na blog hii RASI WA MASHUJAA BAND CHALZ BABA KINGUNGE amezitaja nyimbo zilizomo humo ni pamoja na HUKUMU YA MNAFIKI,UNGENIELEZA,UMENINYIMA,TIKISIKA,RISASI KIDOLE ne nyingine ambazo zote zitaenda kupigwa siku hiyo ndani ya leader club utakapo kwenda kufanyika uzinduzi wa kihistoria katika medani za muziki wa dansi TANZANIA
                                             RAIS WA MASHUJAA CHALZ BABA
Nae kiongozi mwandamizi na mratibu wa uzinduzi huo KING DODOO LA BAUGE amesema kwa sasa timu yake iko vizuri na hivi karibuni na yeye ataanza kuandaa vibao vyake vitakavyoimbwa na band hiyo ikimbukwe kuwa king dodoo ni mmoja kati ya magwiji wa siku nyingi katika medani ya muziki wa dansi tanzania kwa sasa ndio anaiongoza MASHUJAA MUSIC BAND

Friday, November 23, 2012

SUPER NYAMWELA KUGEUKIA UIMBAJI NA UTUNGAJI NDANI YA EXTRA BOGNO MBIONI KUANDAA ALBUM YAKE YA TATU,AKAMILISHA MOJA AKIMSHIRIKISHA AMINI,ASEMA KAMWE HATOACHA KUCHEZA SHOW

MKALI wa show tanzania ambaye pia ni mkongwe aliewahi kushika ubingwa mbalimbali wa taifa na africa mashariki ambae maesema kwa sasa nageukia uimbaji rasmi baada ya kufanya kazi ya kucheza show kwa muda mrefu sasa ameamukugeukia uimbaji rasmi hasa wa band ambapo kwa sasa atakua muimbaji rasmi wa extra bongo ambapo kwa sasa ameshaweka wimbo wake ndani ya album ambayo imekishwa kamilika ya MTENDA AKITENDEWA.
                                      SUPER NYAMWELA NDANI YA EXTRA BONGO
AMESEMA licha ya album zake mbili zilizopita ambazo zilikua kiafrica zaidi kufanya vizuri zaidi lakini amsema safari hii atachanganya bongoflever na muziki wa kiafrica ambao itakua ni morden zaidi na ataweza kuuza kimataifa zaidi na kusema ameamua kufanya na wanamuziki wa bongo flever illi kupanua wigo kwa mashabiki wake. 
AIDHA NYAMWELA amesema kwa sasa wacheza show wanathaminika zaidi kushinda zamani ambapo kazi hiyo ilionekana kama ya watu waliokosa kazi lakini amesema kwa kuna wacheza show wamewazidi hadi waimbaji na wapiga vyombo vile vile kwa kuwa watu wameanza kuelewa kazi wanaoifanya na kusema kwa sasa wanapewa kipaumbele kwa kuwa bila wao kazi haiwezi kwenda vizuri

Thursday, November 22, 2012

DOGO RAMA MBIONI KUANDAA ALBUM YAKE YA PILI AMBAYO NDANI YAKE ATAMSHIRIKISHA JUMA NATURE,ISHA MASHAUZI,NYOSHI EL-SADAAT ASEMA NI ZAWADI KWA MASHABIKI WAKE ASEMA TWANGA PEPETA NIKISIMA CHA BURUDANI NA HAITETEREKI HATA IWEJE

Msanii aliekuja kwa ksai sana katika chati za musiki wa dansi na mwimbaji wa twanga pepeta DOGO RAMA a.k.a. KING RAMA a.k.a VUALLA asema kwa mwka ujayo tayari amekwisha anza matayarisho ya nyimob tatu ambazo zipo tayari huku moja akiwa amekwisha irekodi kabisa na na sasa akiwa katika mchakato wa kuzitengenza nyingine mbili ambazo alizitaja nyimbo zilizokua tayari ni CHUKI BILA SABABU,NDIVYO NILIVYO NA UMASIKINI WANGU ambazo tayari zimekwisha kamailika lakini kwa sasa akiangalia uwezekani wa kutafuta wasanii ambao ametaka waingie katika album yake ili kuleta ladha tofauti tofauti.
DOGO rama emeongeza kuwa kwa sasa anafikilia zaidi kuzifunika nyimbo zake mbili kwenye album yake ya kilometa 10000 ikiwamo kilometa yenyewe pamoja SIRI YA MAPENZI na kusema kwa sasa kutokana na kubadilika kwa muziki hawezi kutengeneza album ya rhumba tupu kama ya kwanza atachanganya abmapo na sebene zitakuwepo ambazo atarap yeye mwenyewe.
                                        DOGO RAMA KAZINI
Akizungumzia kuondoka kwa MUUMINI MWINJUMA amesema ni kama hakuna kililchotoka ingawa wimbo alioondoka nao ulikua ni mzuri sana lakini kwa sasa kampuni imempa majukumu yeye kuweza kuandika wimbo mwingine ambao utakuwemo kwenye album yao ijayo ambayo inaweza kupewa jina la SHAMBA LA TWANGA AU NYUMBANI NI NYUMBANI
 PIA dogo rama amezungumzia kuhusiana na nyimbo nyange nyingi kulenga swala la chuki ni kutookana na watanzaniqa wengi kwa sasa wameandwamwa na chuki zisizo na sababu wala msingi wowote na ndio maana ameweza kuzingumzia chuki huku akiongeza pia chuki smtime zinaleta changmoto ya mtu kufanya vizuri zaidi ingawa si vizuri kuchukiana

Wednesday, November 21, 2012

BAADA YA KIMYA CHA MUDA MREFU MSANII NDUMBANGWE MISAYO a.k.aTEA KUIBUKA NA KAMPUNI YAKE NA KUTENGENEZA FILAMU ZAKE PIA BAADA YA KUONA KUFANYA FILAMU ZA WENZAKE KUNAKUWA HAKUNA MASLAHI SASA KUINGIZA SOKONI MWEZI UJAYO FILAMU YA MALAIKA WANGU ASEMA SASA WASANII NDIO WANAANZA KAZI RASMI

MUIGIZAJI maarfu na mwenye kipaji cha hali ya juu nchini ambae pia alishawahi kutamba katika michezo mbalimbali ya kuigiza wakati akiwa na kundi la kaole lakini aliewahi kutamba katika filamu mbalimbali nchini na ambazo ziliweza kutikisa na pia aliweza kuchukua tuzo ya msanii bora wa kike ambae kwa sasa amekaa kimya kwa muda mrefu na blog hii nilijaribu kumtafuta na kumpata na kueleza kinagaubaga ni kitu gani kilimfanya awe kimya kwa muda
                                                            THEA MAMAA NA MIKE
akifunguka kuhusiana na ukimya wake alisema amekaa kwa muda mrefu sana katika game na kuweza kutengeneza jina lakini mwisho wa siku alikua haoni anachopata zaidi ya kuwafanyia kazi wakati umri unakwenda na familia inamtegemea na kazi anayoitegemea ni kufanya filamu kwa baada ya kuolewa na aliaumua kukaa kidogo nje ya filamu akitafakari jinsi ya kurudi kwenye game na kuanza kutengeneza filamu zake mwenyewe
Akizungumzia filamu yake anayotarajia kuipeleka sokoni mwezi ujao amesema imefanya kwa kiwango cha hali ya juu na amewachukua wale wasanii ambao walika nguvu zao katika sanaa kipindi hicho lakini skendo na vitu vingine vya kibinaadamu ndio vikawafanya mpka waache kufanya sanaa kama kina winter na wengine wengi ambao ataweza kushirikiana nao katika kampuni yake mpya.
MBALI na hilo pia tena amewza kufunguka kuhusiana na ulipuaji wa filamu na story kufana na kusema maisha ya kiafrika yanafaanana kwahivyo wakati mwengine na story zinafanana pia ingawa wapo ambao wanacopy na kupest pia

STEVE NYERERE AITIA SOKONI FILAMU YAKE YA SITA GET OUT ASEMA KWA SASA AMEKUJA KUFANYA FILAMU ZIPENDWE NA RIKA ZOTE NA KUITOA ILE DHANA YA SANAA YA FILAMU BONGO NI UHUNI NA ZISIZO ELIMISHA ATETEA MATUMIZI YA FILAMU ZA KINGEREZA

MSANII wa vichekesho na na mwenye kiipaji cha kuigiza sauti tanznaia ambae pia kwa sasa ni mtayarishaji wa filamu za kibongo amefunguka kuhsuiana na kuiachia filamu yake mpya aliyoipa jina la GET OUT amesema kwa kuna baadhi ya filamu zinakua hazitazamiki na rika zote kwa hiyo kwa sasa alichofanya yeye ni kuja siriaz comedy ambazo ndani yake kunakuwa na mafundisho na pia filamu zake zinaweza kutazamwa na wasanii wa rika zote tofauti na sasa mtu akitaka kutazama filamu ya kibongo basi lazima ategee watoto wamelala na baba au mama mkwe hayupo karibu
Aidha steve nyere amesema amejpanga vizuri kuwainua wasanii upcoming kwa kuwa scen ndeefu na nyingi ili kuonyesha kipaji chake tofauti na wengine ambao wanawapa scene mbili tatu na kusema kuwa wanawasaidia ila yeye atawapa nafasi zaidi ili kuweza kuwatoa wengine katika tasnia ya filamu kwa ujumla na ksema kuwa kampuni yake ipo kwa ajili ya biashara na kusema kichwa chake ndio kitakachouza sokoni na wala si jina la mtu
PIA steve nyerere amesema kwa wale ambao wanaodhani kuwa skendo zinauza kwa sasa wananchi wamefunguka na kujua ni nani anefanya kazi nzuri na nani ni msanii wa magazeti na kusema kwa sasa wengi skendo zinawamaliza bila wao kujijua na sasa wameshuka hata kimauzo
                                       STEVE NYERERE KATIKA KAMPENI ZA CCM

Tuesday, November 20, 2012

MUUMINI MWINJUA AICHA RASMI TWANGA PEPETA NA ATUA RASMI KWENYE BAND YA VICTORIA SOUND JE ATAIINUA!? LUIZA ASEMA MASKINI HANA KIAPO ALISEMA UZEE WAKE ATAUMALIZIA TWANGA ILA AMPKA BARAKA TELE AENDAKO JE MUUMINI ATARUDI KAMA ENZI ZA DOUBLE M!?

Kocha wa dunia ndio jina ambalo anapenda kujiita hivi karibu niliongea nae na akasema anataka kuonyesha ukocha wake kwa kufanya album ya taarabu lakini siku si nyingi baada ya kuongea nae jana RASMI AMEIVUA MIKOBA YA TWANGA PEPETA na kutua band ya VICTORIA SOUND ambayo atasiamama nayo kwa sasa katika muziki wa dansi huku akisema ni uamuzi tu ndio ulimuondoa twanga pepeta na utafutaji wa maisha na si vingine.
muumini amesema kwa anaitazam zaidi VICTORIA SOUND na kazi nyingine za kimuziki zilizopo mbele yake.
 akuzungumza na mimi kiongozi wa wanga pepeta akimnukuu MUUMINI WAKATI AKIHAMIA TWANGA ansema alisema kuwa amehangaika sana kimuziki na sasa ameamua kumalzia mziki wake akiwa na band ya twanga pepeta na ndio njia aliyoingilia kupata kazi ndani ya twanga pepeta ambayo hata mkurugenzi wa band asha baraka aliamini hilo huku luiza akimalizia kwa usemi usemao kuwa hakukumbuka kuwa wakati anasema msemo huo kumbe kuna kauli inasema MASIKINI HANA KIAPO.
kw mujibu wa luiza mbutu anasema muumini kaondoka kwa hiyari yake na wla hakuna mikwaruzano yoyote ndani ya uongozi ni katika kujitafutia riziki zaidi kwa hata nyimbo ambayo aliindaa kwa ajili ya labu ijayo ya kumi na mbili haitakuwepo tena kwa sababu bado hawajairekodi ndio maana!
                                MUUMINI MWINJUMA KAZINI WAKTI WA TWANGA

Wednesday, November 14, 2012

BAADA YA KIMYA KINGI NIKITA AINGIZA 3 KALI SOKONI NI CID,WELLDONE MY SON,NA COMEDY MOJA YA HATARI ASEMA ACTION NDIO FILAMU ANAZOPENDA KUZIFANYA ASEMA PARTY ONE TWO HADI 3 INAWEZEKANA KWA MTUNZI MZURI

MMOJA KATI YA wasanii waliotikisa kaika tasnia ya filamu ELIZABETH CHIJUMBA a.k.a NIKITA amesema baada ya kipya cha muda mrefu kwa sasa ameziingiza sokoni tatu kwa mpigo ikiweo ya CID ambayo ni filamu ya action ya aina yake ambayo amecheza kwa ubora wa hali ya juu na kuweza kubadilsiha kabisa tasnia ya filamu kutoka kwenye filamu za love story tupu hadi in action.

AIDHA NIKITA amesema filamu nyingine ambayo ameiingiza sokoni ni WELLDONE MY SON ambayo nayo imeigizwa kwa kiwango cha hali ya juu ambapo nadani yake yupo yeye mwenyewe ambae amfanya vizuri zaidi

mbali na hiyo nikita amsema katika kuonyesha kiwango zaidi ameweza kufanya siriaz comedy moja na msanii gwiji aktika COMEDY,MBOTO ambae amesema ni stardan comedy ambao ina ujumbe mkali ndani yake wakati ukiburudika huku unapata ujumbe huyo ndio nikita ambae amesema kuwa bado hajafikia maauzi ya kurudi katika kampuni ya TUESDDAY KIHANGALA mpka pale watakapokubaliana jinsi ya malipo.
MBOTO

DK CHENI APANIA KUTAFUTA MRITHI WAKE KATIKA MIKOA YA KUSINI MBIONI KUFANYA FILAMU STAR SEARCH MTWARA NA LINDI AAHIDI KUFANYA NAO KAZI BEGA KWA BEGA KWA HUKO NDIO KWAO,MBIONI KUINGIZA SOKONI FILAMU YAKE YA MAJANGA

MSANII nguli wa maigizo tanzania ambae anatamba sana katika ulimwengu wa bongo filamu kwa sasa lakini alianzia mbali DK CHENI amesema kwa sasa yupo kimya kutokana na kuzongwa na kazi nyingi za biahara yake anazo fanya kwa sasa lakini amesema mwezi wa kumi na mbili ataingiza filamu moja kabambe itakayoizidi one by one ambayo ameipa jina la MAJANGA ambapo ndani yake kazungumzia vitu vingi ikiwemo mmomonyoko wa maadili katika baadhi ya familia kwa sasa watoto karibu wote kuharibikiwa na hadi wazazi nao kukosa maadili.
                                            DK CHENI AKIWA NA IRENE UWOYA
DK CHENI amesema kwa sasa anauchungu sana na kuwainua upcoming artist hasa kutoka mikoani ambapo ataanza kazi ya kuwasaka kwa kuanzia mikoani akizan mkoa wa LINDI NA MTWARA ambapko anasema ndio asili yake hususani mkoani kilwa ndipo anapotoka yeye ila kwa kutafuta vipaji ataenda hadi kwenye wilaya mbalimbali za mtwara na lindi ili kusaka vipaji ambapo ana imani kabisa ataweza kuppata mrithi wake pindi atakapoa achana na ulimwengu wa sanaa za maigizo.
 AIDHA CHENI amesema licha ya kusaka vipaji hivyo mikoani pia ataweza kuwagharamia kila kiti na kuweza kufanya nao kazi moja amabayo itakua kabambe kabisa na kuweza  kuwatoa waliko na kuwa moja kati ya waigiaji wakubwa kabisa kupitia yeye hata hivyo cheni kwa sasa ansema yupo kwenye mchakato wa kuingiza filamu yake ya MAJANGA sokoni ambayo ansema itakua ni kiboko.
                                         DK CHENI AKISALIMIA NA RAIS KIKWETE
                                 DK CHENI NA SAJUKI NDANI YA ONE BY ONE

Tuesday, November 13, 2012

ROGER MUZUNGU WA FM ACADEMIA ASEMA AKIRUDI KUTOKA BELGIUM ANAKUJA NA WIMBO MKALI ZAIDI YA HESHIMA KWA WANAWAKE ALIOUTUNGA FM ACADEMIA SASA KUJA NA ALBUM YAKE BINAFSI ASEMA ITAKUA MOTO WA KUOTEA MBALI

Wengi ukiwamwambia nyimbo gani unaifahamu ya fm academia hatosita kukutajia heshima kwa wanawake ambao ulifanya vizuri sana mtunzi wake akiwa ni roger molandayi MUZUNGU ambae kwa sasa yupo nchini BELGIUMakisomea lugha ya kidutch ambapo anasema matarajio yake ya baadae ni kuja kuimba lugha tofauti tofauit na vile vile itamsaidia katika research zake za kimuziki.
                                      ROGER MUZUNGU IN BELGIUM
PIA roger amesema akirudi atakuja pia kutoa album yake binafsi ambapo tayari ameshatayarisha kibao CHA USIKU WA KIZA na kusema licha ya kuwepo kwenye album yake lakini pia kibao hicho kitapigwa kama kawaida na BAND YAKE YA FM ACADEMIA
                                        ROGER AKISIGN OUTOGRAPH
ROGER amesema mashabiki wake wajue kuwa yeye bado ni bado mwanamuziki wa fm academia na pindipo akirejea basi ataendeleza kuwa na fm academia na vile vile anatarajia kuwepo kuwepo kwenye uzinduzi wa fm academia kwenye album yao ya CHUKI YA NINI

SINTAH ASEMA HATUMII WEBSITE YAKE KUWACHAFUA WATU ILA NAITUMIA KUANDIKA UKWELI MTUPU HATA WAKATI MWINGINE YEYE MWENYEWE YANAMTOKEA NA ANAANDIKA ASISITIZA HANA BIFU NA AUNT EZEKIEL ILA ASISITIZA ALIEMPKA MAKE UP AUNT NDIO ALIVURUGA

MSANII wa kike mwenye makeke mengi katika tasnia ya filamu lakini pia ni mtayarishaji wa kipindi cha harusini na sintah na vile vile ni mmiliki wa website ya sintah.com afunguka na kusema kuwa wanaomshutumu kuwa anatumia website yake kwa ajili ya kujitetea na mambo yake na kuwachafua watu wengine sio kweli bali kama mmiliki wa blog eye anandika event na kile ambacho kinatokea kwenye jamii hata kama kina muhusu yeye,hayo alifungka hivi karibuni wakiti akiongea kwa njia ya simu na blog hii ya gmbongothaintertainer.com kwa njia ya simu kuhusiana na mambo yanatokea kwenye mtandao na kusema yeye hatafuti umaarufu kwa kuwa aliokua nao unatosha kabisa.

PIA SINTA alisema kukosoa make up ya aunt ezekil sio kwamba ana bief na aunt au alikua anataka aunt akfanye saloon yake na kusema yeye hana saloon ila anfanya kipindi cha harusini na sintah kwa hiyo alikua anafundisha maharusi ambao wanakenda kwakwe kuwa waangalie na disng ya make up kama aliyopakwa aunt ezekiel ilikua sio sawa kwa kuwa ilimuharibu muonekano wake wote.
                                       SINTAH NA HARUSINI NA SINTAH

Monday, November 12, 2012

MSANII WA FILAMU ZA KITANZANIA AKIWA BADO KITANDANI KWA MATIBABU ZAIDI NISHA ASIMULIA KISA NA MKASA WA AJALI ILIVYOMTOKEA ASEMA ANAMSHURU MUNGU MPAKA KWA HALI YAKE SASA

Msanii alieibuka kwa kasi katika tasnia ya filamu asimulia kinagaubaga jalai iliyomtokea majuzi wakati akitoka location na kusema kuwa kabla ya kupata ajali alikua mzima bukheri kabisa na laiweza kufanya kazi zake zote locationa mpaka misa ya saa saba za usiku sasa wakati nanarudi nyumbani anasema alifika sehemu alijisikia kizunguzungu na kuona kiza baada ya hapo ndipo aliposhtukia akiingia polina na gari kupinduka na kupata ajali hiyo
nisha amesema hataki kulihusisha tukio hilo na kitu chochote bali ni mipango ya mwenyezi mungu tu ndio imeweza kumfika ajali hiyo na amesema kwa sasa hali yake si nzuri sana hivyo anaomba watanzania wamuombee ili aweze kupona haraka na aweze kurejea katika shughuli zake kama kawaida
                                                  GET WELL SOON NISHA

PASHA APAGAWISHA MTWARA KWELI NYUMBANI NI NYUMBANI

Thursday, November 8, 2012

CRISTIAN BELLA AAHDI AKIRUDI KUTOKA SWEEDEN KUZINDUA ALBUM YAKE YA KING OF THE BEST MELODY ITAKAYOBEBA NYIMBO NANE JE? ATAENDELEA KUWA NA AKUDO!!?

RAIS wa masauti CRISTIAN BELLA a.k.a APTOCALPSE BELLA ambae kwa sasa yupo STOLKHOM SWEEDEN akipiga show kadhaa na tayari ameshakwisha fanya show kadhaa huku akipagawisha watu na nyimbo zake mpya kama msaliti na usilie huku yako wapi mapenzi na safari sio kifo zikitikisa sana.
                                          BELLA KATIKA MOJA YA MAONYESHO SWEEDEN
BELLA ambeye yupo nchini sweeden zaidi ya mwezi sasa anasema pindipo atakapo rejea atazindua album yake yenye nyimbo nane ambayo ameipa jina la KING OF THA BEST MELODYS ambayo itakua na nyimbo nane ikiwemo MSALITI,USILIE,TIPIKA na nyingine ambazo amesema zitakua suprise kwa mashabiki wake katika siku ya uzinduzi.
akinijibu kuhusiana na akirejea kama ataendelea kubaki akudo ama la amesema akirejea basi ndio mashabiki wake watajua inakuaje lakini kwa sasa wakae tayari na ujio mpya wa album yake ya KING OF THE BEST MELODY
                                                  CRISTIAN BELLA MASAUTI

MUUMINI CMWINJUMA ASEMA ATAKAKUONYESHA UKOCHA WA DUNIA MBIONI KUANDAA ALBUM YA TAARAB KWA AJILI YA MASHABIKI

Nguli wa muziki wa dansi nchini aliewahi kutamba na band mbali mbali nchini na kwa sasa akiwa na band ya TWANGA PEPETA,MUUMINI MWINJUMA asema yuko mbioni kuwapa zawadi mshabiki wake wa tanzania kwa kuonyesh kipaji chek kwa kuaanda album ya TAARABhuku akisema mzuka huo umempanda baada ya kuweza kuandaa album ya BAND YA FIVE STAR NA ZANZIBAR STAR kwa kiwango kikubwa sasa amekwisha andaa nyimbo kadhaa ambazo atazirekodi hivi karibuni na na kuandaa album nzima ambayo atafanya kwa kujiingiza kipato kidogo na kuwaonyesha watanzania kipaji chake.
                                          PRINCE MUUMINI MWINJUMA
NIKIMUULIZA kuhusiana na idea hiyo kuwa amechukua kama BANZA STONE ambae nae amefanya nyimbo kadhaa za taarabu amesema banza aliimba kwa kujifurahisha zaidi kwa kuwa nyimbo zake amezzisikia na hazijasimama sana ila yeye anatakakufanya kweli katika taarabu.
Akizunguma kuhusiana na ZING ZONG ya nyimbo zake alizofanya akiwa na band yake ya BWAGAMOYO SOUND amesema mpango huo ulisimama kutokana na kutaka kuitumikia twanga kwanza na baada ya hapo atazirekodi nyimbo hizo kwa kuwa zipi tu na hazifi kwakuwa ni tungo nzuri
WAKATI mkongwe ALLY CHOKI alipolalamikia vyombo vya habari hasa media kuuwa muziki wa dansi anasema nikweli na kusema watabngazaji wasasa wengi sana hawajitoi na hawajui ni maana ya muziki wa dansi na ndio maana unaelekea kufa
lAKINI pia alifafanua ujio wa nyimbo yake mpya ndani ya twanga pepeta akiupa jina la MAPAMBANO YA KIPATO ambapo ndaniyake kazungumzia vitu vingi sana kuhusiana na utafutaji wa pesa.

Wednesday, November 7, 2012

ROSE NDAUKA APANIA KUWAINUA UNDERGROUND KATIKA FILAMU KUWAPA MAFUNZO ILI KUPATA WALIOBORA ZAIDI,SASA KUFANYA KAZI CHINI YA MANAGEMENT,afunguka asema skendo ya kubakwa ilimnyima usingizi

MSANII wa kike mwenye nyota ya kupendwa kutokana ka kazi yake ya filamu ambae kwa mwaka 2012 ni mwaka mzuri kwake kwa kutoandamwa na skendo za ajabu ajabu na hii kwa mujibu wake ni kutokana na kujiheshimu amesema amepania kuwaibua maunderground katika filamu ambao wengi wao wanalalamika kuwa hawapati ushirikiano kutoka kwawasanii wakubwa ambao tayari yameshalikamata soko la filamu nchin na kusema kuna wasanii kama miungu watu
Lakini ROSE NDAUKA wakati akiongea kwa njia ya simu na blog hii ya g mbongo amesema kwa sasa anfanya kazi chini ya management ambayo itakua inamsimamia kazi zake lakini pai yeye kama rose ambae pia alisota pia mpaka kufikia alipofikia ameamua kuchukua wasanii chipukizi kama 30 ambao atakua anawatoa mmoja baada ya mwingine.
                                          ROSE NDAUKA
ROSE ambae pia katika maisha yake ya uigizaji na usuperstar ambae anasema moja kati ya skendo zilizomkosesha raha sana ni kuambia amelewa mpka amebakwa wakati muandishi wa habari hizo hakuana na uhakika vile vile siku hiyo alikua anaumwa pia

ROSE NDAUKA
ROSE amesema chini ya kampuni yake mpya kwa sasa ana mpango wa kuanza kuandaa movies zake mwenyewe na kuwatumia underground ambao watakua na uwezo huku akisisitiza pindipo underground watajitambuabasi kupitia kwake watatoka na kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi huku akisistiza kwa wale upcoming artist lazima wajielewe na kazi wanayotakakufanya wasichukulie tasnia ya filamu ni kama sehemu ya upotezea muda basi wanajidanganya ila kazi nzuri ndio itawatambulisha wao.

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...