WELCOME TO GMBONGO BLOG

To keep the body in good health is a duty... otherwise we shall not be able to keep our mind strong and clear.

TANGAZA NASI SASA

Tuwasiliane kwa Email: gmbongo.chuma@gmail.com

WE ARE HERE TO SERVE YOU

Keep you Entertained always

WE ARE HERE TO SERVE YOU

Habari na Burudani

WELCOME TO GMBONGO WORLD

Kwa habari za Burudani na zenye uhakika.

WAY

Friday, July 27, 2012

RAPA ANAEKUJA JUU TWANGA NA INASEMEKANA NDIE MRITHI WA MSAFIRI DIOF AIBUKA NA WIMBO WA WALIMWENGU UNAOTIKISA KATIKA KUMBI MBALI MBALI IKIWANI KATIKA ALBUM YA 12 YA TWANGA

HUKU akisistiza kuwa kamwe hawezi kuondoka twanga hata iweje yeye na twanga damu damu na wakati huo huo akiwa ameibuka na nyimbo ya WALIMWENGU ambyo kwa mujibu wake yeye kuwani historia ya kweli huyo ndio JUMMANNE au j4 kutoka twanga pepeta ambaye anatamba na rap kama mtu mzima ovyo lakni pia ndie mume halali wa ASHA SHARAPOVA a.k.a MAJANGA mcheza show wa twanga pepeta ambae kwa sasa ndio natikisa zaidi katika safu ya unenguaji je akizungumzia wimbo wa walimwengu amesema aliitunga wimbo huo wakati watu flani walivomtendea ubaya ingawa yeye hakuwahi kuwam baya kwao.
                                    J FOUR AKIWAJIBIKA JUKWAANI
AIDHA J4 amefunguka kuhusiana na kuhama babd hiyo na kuelekea band yoyote amesema yeye ni twanga na hajwahi kufikiria hata siku moja kuwa kama atahama band hiyo kwa kuwa wao sasa ndio kizazi kipya cha twanga daima atabaki twanga na kuwaahidi mashabiki wake kuwa anafanya kazi twanga na wasifikirie kama ataweza kutoka katika band hiyo.
                                 J4 AKIWA NA GREY WAKISHAMBULIA JUKWAA
J4 ameendelea kufunguka kuwa tayari yupo mbioni kuachia album yake binafsi aliyoipa jina la mapinduzi ambayo tayari amekwisha tengeneza nyimbo nne ambazo ataanza kuziachia moja baada ya nyingine ili kuwaonyesha mashabiki wake uwezo wake kamili. 
                                   GREY SEMSEKWA,J4 NA ANCO VENA

Wednesday, July 25, 2012

KULWA KIKUMBA a.k.a DUDE AFUNGUKA KUHUSU SAKATA LA BAADHI YA WASANII FILAMU KUMCHUKIA ASEMA LAZIMA KIUNDWE CHOMBO CHA WASANII CHA KUSIMAMIA MAADILI AZUNGUMZIA SAKATA LAKE NA FROLAH MVUNGI

Msanii aliejizolea umaarufu katika tamthilia ya BONGO DAR-ES-SALAAM ambayo ilikua inaonyeshwa kwenye televisheni ya taifa TBC KULWA KIKUMBA a.k.a DUDE amesema kinachomfanya wasanii wenzake wengi wa filamu hasa wa kike wamchukie ni kutokana na kusimamia upande wa maadili na kukasirishwa na skendo zisizo na msingi wowte na mwisho wa siku kuonekana wasanii wote walio katika tasnia ya uigizaji hawana maana kutokana baadhi yao tu kupenda kuandikwa kwa mabaya na huku akisema yote hayo yanatokana na kutokua na usimamizi maalum na utaratibu unaoeleweka katika kuingia katika tasnia ya uigzaji na mwisho wa siku hata machizi wanaweza kuingia kwenye filamu lakini kwa sasa lazima wakae chini na kiundwe chombo maalum ambacho kitaweza kusimamia maadili na kumchunguza yoyte yule anaetaka kuigia katika tasnia hii ya uigizaji na pia dude akathibitisha kuwepo kwa wale ambao wanatengeneza skendo ili kuweza kuandikwa sana kwenye magazeti na ndio unakuta hata mwezi mzima watu watakaotamba kwenye vichwa vya magazeti ya udaku ni wasanii wa filamu au maigizo wakati kuna wanamichezo wengi tu ambao ni maarufu sasa kwanini wasanii wa maigizo hii ni kutokana na wengi kupenda kuandikwa sasa hata ukimkuta mwanamuziki basi ujue ana mahusianao na muigizaji sasa kwanini waigizaji ndio iwe wao tu hii ni kutokana na kutokua na utaratibu maalum wa kuingia katika tasnia ya filamu

PIA DUDE ameeweka bayana zile shutuma za kumjia juu msanii FROLAH MVUNGI na kusema ni kweli alimchana live FROLAH kwa kuwa ni msanii wake kwa tabia yake ya kuweka mambo yao ya chumbani hadharani kati yake na IRENE UWOYA na kusema huko ni kujidhalilisha na kuidhalilisha tasnia nzima ya filamu hivyo aliweza kumwambia aachane na mabo hayo ya kutangaziana mambo yao ya ndani

AIDHA DUDE amesema sasa ana mapngo wa kutengeneza mchezo mifupi mifupi na kuiweka kwenye CD ili watu wengi waipate na waweze kujifunza kuliko hii ya kufanya kwenye tv mwengine anaweza asione na akaibiwa vile vile na amesema pia mikataba ya kuonyesha michezo hiyo kwenye televisheni kwa sasa hailipi kutokana na mikataba iliyopo kwenye matelevisheni hivyo imebidi atumie njia hiyo ya kutnengeneza michezo hiyo na kuiingiza sokoni ambayo itakua inapatikana kwenye vcd na dvd huku akitanabiasha kuja kusini mwa tanzania katika kuweza kuweka mambo sawa.

Saturday, July 21, 2012

MSANII ANAEKUJA JUU KATIKA BONGO FILM BHOKE WAMBURA WAMBURA AFUNGUKA KUHUSIANA NA SKENDO ZA KUTENGENEZA NA ASEMA JAMII ISICHUKULIE MAISHA YA FILAM KAMA NDIO MAISHA YAO HALISI

Akizungumza na KONA YA BONGO FILM ndai ya kipindi cha EXTRA AFRICA ndani ya SAFARI RADIO MTWARA TANZANIA. 
BHOKE WAMBURA anaetamba na movie kama NDANI YA GUNIA ambayo ndani yake kuna nguli wa maigizo DOTNATA,CLOUD, WOLPER ambapo ameigiza kwa umahiri wa hali ya juu pia yumo katika movie ya MY REAL MOM ya DOKII ambaye kwa mujibu wa bhoke ni moja kati ya wasanii waliomuinspire yeye kuingia kwenye filamu llicha ya binamu yake KAJALA MASANJA kuweza kumpa msukumo zaidi lakini dokii ndie alimpa saport kubwa sana ya kuingia kwenye film industries.
                                       BHOKE WAMBURA WAMBURA

 BHOKE amefunguka kuhusiana na jamii inavowachukulia kwa kile ambacho wanaigiza na kusema jamii lazima ielewe kuwa kile wanachofanya kwenye movies ni maigizo ya moja ya tabia ambazo zinapatikana katika jamii inayotuzunguka laki sio kwamba ndio tabia walionayo wao huki akitolewa mfano wa filamu mpya ambayo yeye atakua kinara ya RETURN OF THE J-LO ambayo inaandaliwa na kampuni ya STEP INTERTAIMENT ambapo ndani yake atakuwemo nguli wa kike katika filamu na mshindi wa tuzo kadhaa MONALISA,lakini pia atakuwemo mwanadada alitikisa katika tasnia ya maigizo kipindi hicho SINTA ambae kwa sasa najulikana kama J-LO wa bongo lakini pia atakuwepo mtangazaji maarufu aliegeukia filamu BEN KINYAIYA.
                                   COMING SOON THE RETURN OF THE J-LO
AIDHA BHOKE amefunguka kuhusiana na skendo ya kwamba wengine wanatengeneza stroy ili mradi kujipatia umaarufu amesema hilo sio kweli ila hilo huwa linatokea kwa marafiki au ndugu wa karibu wenye tamaa ya hela ndio huwa wanaenda kuuza pics au stroy kwenye magazeti na pia dhahiri inaonekana kwa sasa magazeti hayawezi kuuza bila wao na ndio maana wanafatiliwa sana lakini hakuna anaentengeneza ili kuweza kuwa maarufu.
Lakini pia amezungumzia filamu industries kuwa kwa sasa inakua sana tofauti na zamani ingawa wapo wengine ambao huwa hawajielewi na pia kusema wapo baadhi ambao wanachukulia filami kama kupata umaarufu na si kazi kama kazi zingine na kuna wale ambao mpka walale na producer ndio apewe sceen nzuri zaidi.BHOKE amesisitiza kuwa kwenye RETURN OF THE J-LO wategee vitu vizuri zaidi,
bhoke kwenye tasnia ya filamu si wa muda mrefu lakini kwa sasa ni mmoja kati ya wanaotikisa soko la filamu na anbayo hawajui basi bhoke ni mtu na binamu yake na KAJALA MASANJA huyo ndio  BHOKE WAMBURA WAMBURA ikitaka zaidi sikiliza mahojiano ya moja kwa moja aliyoyafanya na KONA YA BONGO FILM.
                                   BHOKE AKIWA NA KAJALA MASANJA

Friday, July 20, 2012

BAADA YA KUSHINDA SHINDANO LA MKALI WA MIC LILILOANDALIWA NA CLOUDS FM KING RAMA MAPAFU YA FARASI AFUNGUKA

Zamani alikua najulikana kama DOGO RAMA baadae ikawa VUALLA lakni kwa sasa ni KING RAMA a.k.a MAPAFU YA FARASI afunguka na kutirirka kuhusina na ushindi alioupata kaitka shindano la kumtafuta mkali wa mic na kusema kwa sasa njia ndio imefunguka na mashabiki wa rama na twanga wakae mkao wa kula kwa kupata vitu vingine vikali zaidi na pia akiwa anatumai pia katika mashindano ya kili misic awards mwakani kama yaatendeshwa kwa uhalali basi ataibuka tena kidedea kwa sababu kwa sasa wadau washajua muziki ni nin na ndio maana wakamchagua yeye kuwa mkali kushinda wasanii wanaochipukia katika muziki wa dansi
                                 KING RAMA AKIWA NA KHADIJA MNOGA
KING RAMA amewaangusha wanamuziki wengine kama kina ANCO VENA,ATANASI,CHALZ BABA,
na wengine kibao kutoka band tofauti tofauti ambao walikua zaidi ya 20.

                                 KING AKIPOKEA TUZO YA MKALI WA MIC
KING RAMA amesema kwa motisha hiyo sasa yuko mbioni kuaanda album yake nyingine baada ya kilometa 10000 ili kuwapa mashabiki kile wanachotaka na wasiweze kumsahau haraka na kusema hiyo yote ni kutokana na juhudi zake binafsi katika kufanya mziki kama kazi sio kama waliokosa kazi
king rama kwa sasa ndie roho ya TWANGA PEPETA katika uimbaji akiongozana na ANCO VENA. MUUMINI MWINJUMA,GRAYSON,J4 na wengine kibaooooo.
                                   KING RAMA a.k.a mapafu ya farasi


ANCO VENA AKUBALI KISHINGO UPANDE USHINDI WA DOGO RAMA ASEMA YEYE NDIE MKALI WA VOCAL LAKINI VIGEZO NA MASHARTI VIMEMPA DOGO RAMA

Mwimbaji mwenye sauti kali na ya kuvutia toka twanga pepeta ANCO VENA atabaisha bayana ujio wake mpya wa hivi karibuni ambapo yupo mbioni kuachia single itakayomtambulisha vizuri katika soko la muziki wa dansi na watu kujua uwezo wake zaidi huku akitabanaisha kuwa ujio huo ni ule muoendelezo wa kundi la watanzoo ambalo ni watanzania walioungana na kuumba muzki wa rhumba ambao wengi wanafikira kuwa hakuna watanzania wanoweza kufanya hivyo hivyo vijana wanne wakajiunga na kuweza kufanya kazi hizo ambapo tayari nyimbo mbili wamekwisha zitoa moja ikiwa imeanza kumtoa mwimbaji kutoka EXTRA BONGO ATANAS MONTENABE ambae kwa yuko nchini FINLAND wakifanya show na band yake ya EXTRA BONGO na ya pili ni ya MWANANGU ambayo imemtoa rapa na mtunzi wa twanga pepeta GRAYSON SEMSEKWA.na ya tatu ni yake yeye ANCO VENA ambae wiki ijayo ataibuka na wimbo wake binafsi akishirikia na kundi lake la WATANZOO
                                        ANCO VENA AKITIA VOCAL
Lakini pia anco vena amesema kwa mashabiki wa twanga wakae mako wa kula baada ya kuitambulisha nyimbo yao mpya ya muumini mwinjuma MAPAMBANO YA KIPATO amesema baada ya hapo ni ujio wke mpya kwa twanga na ss twanga ya sasa haikamatriki tena na wala haijatetereka kwani waliobaki twanga kwa sasa ni kila mmoja na uwezo wake hivyo kufanya kila nyimbo watakayotoa iwe na ubora na kupendwa sana na mashabiki wa TWANGA PEPETA.
Mbali na hilo vena akizungumzia ushindi wa dogo rama amesema maekubali kwa kuwa ni uchaguzi wa majaji lakini kwa mashabiki ndio wanajua nani mkali wa vocal na hilo hata dogo rama mwenyewe anajua kuwa yeye ndio mkali wa masauti mbali ya kuwa ameangushwa na msanii huyo anaeibuka kwa kasi ya ajabu katika tasnia ya uimbaji wa dansi kwa sasa.
na pia vena amesema amepokea ushindi huo kwa furaha kwa kuwa ni ushindi wa twanga pia kasababu ni wasanii wa band tofauti walikuwa katika shindano hilo
                                            ANCO VENA AKIWA NA KING RAMA

Tuesday, July 17, 2012

GREYSON AFUNGUKA KUHUSIANA NA UTUNZI WAKE WA SHAMBA LA TWANGA WIMBO UNAOTIKISA KWA SASA ALIZUNGUMZIA PIA KUNDI LA WATANZOO

Rap nambar moja wa TWANGA PEPETA INTERNATIONAL GREYSON SEMSEKWA amefunguka na kusema alitunga wimbo wa shamba latwanga pepeta baada ya kuona kuwa karibu kila mwanamuziki wa kitanzania anaetamba sasa lazima anakua amepitia twanga pepeta na hata wanaondoka inakua ni matunda mazuri ya twanga lakini pia amepongeza hatua hiyo ya wanamuziki kuchukuliwa na band tofauti tofauti ameipopongeza na kusema ndio chanzo cha kuweza kuibua vipaji vilivyojificha ambavyo vingi vinaibukia kutoka kundi la twanga pepeta ingawa amesema wengine wanachukua wanamuzi pasi utaratibu na mwisho wa siku wanawafukuza na kuwakosesha uelekeo wao katika muziki na familia zao pia.
GRAYSON AKIGHANI JUKWAANI
PIA GREYSON ambae kipindi cha nyuma alishwahi kukumbwa na maswahibu ya kuvimba koo na kuonekana kama ni mkono wa mtu lakini baadae amakaa vizuri na kurejea tena katika muziki amelizingumzia kundi ambali litakua linarekodi muziki wa rhumba na wako mbioni kutoa album kundi hilo linaloundwa na na yeye mwenyewe GREYSON,ATANAS kutoka EXTRA BONGO, BADI BAKULE kutoka TWANGA na tayari wamesharekodi nyimbo mbili ambazo zinatamba kwenye vituo vya radio kama vile DARAJA LA FRED NA MWANANGU ambapo ndani yake waliwashirikisha wasanii kama HAJI RAMADHANI NA ANCO VENA toka  TWANGA

                                                 GREY AND ME
AIDHA GREYSON amesema kuwa yuko mbioni kuipua wimbo mwingine ambao unaweza ukawepo kwenye album mpya ya tanga au inayokuja inayoitwa PASTOR akifafanua kwa kusema kuwa huwezi kulazima uwe pastor kwa sababu ule ni wito na kipaji toka mwenyemungu vinginevyo utaonekana wa ajabu
 huyo ndie kichaa akipewa rungu waliombeleee eeeee............ na sasa amekuja na rap mpya SI SAIZI,USIMUIGE KASUKU KUONGEA na nyingine nyingi

Monday, July 16, 2012

HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA SHOW YA DIAMOND VUNJA JUNGU MTWARA

                                          HAPA NILIANZA KUWAPANGA KWANZA RAIA
 
                                       HAPA NIKIONGEA NA MAKHIRIKHIRI TOKA DAR

                                    NAWAPANGA RAIA KWA SHOW

                           
                                  MAKHIRIKIRI NDIO WALIANZA NA MPANGO MZIMA


                                       THE SHOW IZ OVER HERE

Friday, July 13, 2012

SIKILIZA WIMBO WA Q BAND-CHUMBANI SIKIA LEAH MOUDY ALIVYOTIRIRIKA

VUNJA JUNGU DIAMOND PLATNAM KUTIKISA KUSINI LEO NA KESHO KUANZIA MASASI LEO NA KESHO NI MTWARA TOWN

MSanii wa kizazi kipya anaetikisa katika medani ya mziki wa bongoflever kwa sasa huku ngoma yake ya kizaizai ikianza kutikisa kinouma nouma kwenye vituo vya radio leo anafanya bonge moja lashow  wilyani masasi katika ukumbi wa emirates hii ikiwa ni katika kuelekea kuvunja jungu NA KESHO TAR 14 kumalizia show yake ndani ya mtwara town
 akiwan kundi lake zima la wasafi diamond ataanza show yake saa 3 za usiku mpka kuchwele ndani
                                  PLATNUM AKIWA NA WASAFII
diamond msanii ambae ni wa pili kwa gharama za kufanya baaada ya lady jay d ambae ni milioni kumi kwa show moja lakni diamonf ni milioni nane kwa show moja na ni msanii ambae kwa sasa ndie nanepiga show nyingi sana zinajaza watu
DIAMOND KWENYE POZI

KAA TAYARI KWA SHANGWE YA DIAMOND

AMIGOLASI BABAA NA SOPHII WA TWANGA AFUNGUKA KUHUSIANA NA SAKATA LA WANAMUZIKI WALIOACHWA MASHUJAA NA KUTAKA KUJIUNGA NA TWANGA NA KUSEMA KISIMA KIMEJAA PIA AELEZEA LENGO LA TWANGA ACADEMIA NA SASA WAJA NA NYIMBO NYINGINE MPYA BAADA YA SHMAMBA LA TWANGA

Meneja wa twanga pepeta kwa sasa AMIGOLASI amesema kuwa kwa sasa hawananafasi ya kuongeza wasanii twanga na wale walioachwa na mashujaa haadhani kama kuna nafasi tena ya twangwa lakini pia amsema hayo yote ni kutokana na kuendesha band kiholela na ndio maana wakurugenzi wa mashujaa wameshaanza kujikanyaga kwa kuwafukuza wanamuziki au kuwapunguza bila sababu wanamuziki kwa kuwa hawakujipanga awali wakati wanachukua wanamuziki kila mahali pasi kujua mwisho wao na uwezo wao
                                                               AMIGOLAS
lakini amesema kwa sasa twanga wanakuja tena wimbo mwingine mpya uliopewa jina la walimwengu uliotungwa na rapa chipukizi J4 au bwana harusi ikiwa maetoka kumuoa mwanamuziki mwezie wa amabaye ni mcheza show sharapova na kusema wako mbioni kuurekodi lakin kwa sasa tayari usjhaanza kupigwa katika show zao mbali mbali ambazo wanazipiga jijini dar

Wednesday, July 11, 2012

COLETER RAYMOND MWANAHABARI ANAYETIKISA KATIKA BONGO FILAMU ASEMA SOKO BOVU NDIO CHANZO CHA KUTENGENEZA MOVIES ZISIZO NA UBORA,PIA AKILI MARA NYINGI SKENDO ZA WASANII HUWA NA UKWELI NDANI YAKE LAKINI PIA AWAWAKIA MADEMU WANAOJIRAHISISHA KWA MAPRODUCER

COLETER ndio jina linalomwingizia hela lakni coleter raymond ndio jina la kuzaliwa alianzia sanaa yake katika moja ya vikundi vilivyotoa wasanii wengi kwenye filamu kwa sasa KAOLE SANAA GROUP  na ndio kundi walilotoka waigizaji wengi wazuri achilia mbali wali0onza hivi karibu hapa nawazungumzia kama kina VICENT KIGOSUII,a.k.a RAY,TEA,MAINDA,BI MWENDA,BEN,SAJUKI,MAREHEMU STIVE KANUMBA na wengine kibao akiwemo COLETER
                                                 COLETER KATIKA POZI
AKIZUNGUMZIA kwanini movie zinatoka mfululizo na je zinaubora unaohitajika? amesmea moja njaa ndio inaowafanya watoe mfululizo na wakati mwengine unakuta hata nadni ya wiki mtu keshamaliza movies mbili part one na two lakini pia wakati huo hata party two hainaulazima ili kupata walau kidogo hawana budi kufanya ivo na matokeo muvi nyingi sana zinakua na ubora mdogo ingawa amesema zipo movie ambazo kwa sasa zinaueleko na akifananisha walipotoka kod0go sasa ni auheni yaani afadhali wanapata walau kifuta jasho na zinachukua muda kutengenezwa.
                                       COLETER IN ACTION
Lakini pia masema mara nyingine maproducer wanahiyari kuwatafuta waigizaji rahi rahisi ili kukwekpa gharama na wakati mwingine hata wao huwa wanafanya kwa kuwa wananjaa hata inafika wakati unaona kabisa moivie ya kucheza kwa milion moja wanalipa laki mbili mwisho wa siku inakua ni umaarufu pasi na kuwa na kitu.
si hayo tu coleter pia  wasanii wengi ambao hawajapitia kwenye vikundi ndio waliokosa maadili na ndio wengi wanaochafua tasniia nzima ya filamu kwa kuwa hawajui wanachokifanya tofauiti na wale waliosota katika vikundi vya sanaa huku pia akithibitisha kuwa skendo nyingi zinazoandikwa kwenye magazeti ya udaku ni ukweli mtupu kwa mengi yao na ndio maana wakati mwengine wanashindwa hata kukanusha
 ILA COLETER amesema amekaa kimya kiasi fulani katika kulisoma  game na kwa mara ya kwanza mwaka huu anataka kutoka na movie yake kwa kuwa zote alizowahi kucheza alikua akishirikishwa tu kwa hivo amewataka mashabaiki wakae makao wa kula kumuona akitoka na moivie yake mwenye lakini kwa kuna movie ya CHEK BUDI mabayo na yeye yumo ndani iitwayo DIKTETA mambayo kwa sasa inapatikana madukani kote so go n buy ur copy ya moiveis ya dikteta
LAKINI PIA MASISITIZA KUW KWA SASA HAKUNAMGOGORO WOWOTE ULE NDANI YA TASNIA HIYO KUHUSIANA NA BONGO MOVIES AU CHAAMA CHA WASANII WOTE WAKO CHINI YA RAIS MMOJA TU
HUYO NDIE COLETER RAYMOND

EXTRA BONGO KUTUMIA MWEZI MZIMA KWENYE TOUR ULAYA WAKIANZIA FINLAND WATAPANDA PIPA JUMAMOSI SASA TIRIRIKA

Nikiuongea na mkurugenzi wa extra bonge le  KAMARADE ALLY CHOKI IGWE amesema mbali ya kuwa na uwanja wao wa nyumbani kwa sasa unaojulikana kama BONGO RESORT uliopo maeneo ya kimara korogwe ambapo ukumbi huo utaendeshwa na yeye mwenyewe kuanzia vinywaji chakula mpka kupiga band
                                            ME AND ALLY

lakini amesema katika kuelekea mwezi mtukufu wa ramadhani band hiyo imepata mualiko wa kwenda kufanya show kadhaa nje ya nchi wakianzia FINLAND ambapo huko mbali ya kupiga show pia watamalizia video za album yao ya sasa kwa nyimbo mbili zilozo baki ikiwa na maana kwa sasa washafanya video nne za album yao ambayo imekwisha iva bado kupakuliwa tu lakini pia watafanya remix ya nyimbo zao za zamani kwa producer aliewahi kutamba nchinni MIKA MWAMBA ambae kwa sasa anafanya shughuli za muziki huko huko finland ambapo ndio asili yake ALLY CHOKI amateja nyimbo atakazoenda kuzirekodi upya ni pamoja na duble duble,reginal mwanazanzibar,tatu mara tatu na na kuweza kuziuza katika show zingine zitakazofata huko.
                                    EXTRA BONGO NEXT LEVEL

mbali na hilo ALLY amenidokeza pia baada ya kurudi kutoka huko watafanya ziara karibu tanznaia nzima katika kuweza kuitambulisha album yao ambayo watakakuja kuizindua baaada ya ramadhani kuisha na wao kurejea nchini.
                                   ally choki wakati akimalizia video ya NEEMA

Baadhi ya nchi alizosema wataenda kupiga hizo show ni pamoja na FINLAND YENEWE.HOLLAND,USWISI,NORWAY na nchi nyingine watakayokua wamepewa mwaliko

Tuesday, July 10, 2012

MJUE MSANII CHIPUKIZI KATIKA BONGO FILAMU ANAEKUJA JUU KATIKA TASNIA HIYO HUKU AKIWASHUKIA WASANII WA KIKE WANAOJIRAHISISHA ILI WAPEWE SCEEN NA PIA WANAOJIPELEKA KWENYE VYOMBO VYA HABARI KUUZA SKENDO waanzisha kampunii ya PAPAZII ENTERTAIMENT ili kuwkomboa wasani katika usamazaji

Jina la TAIYA ODERO  jina SUZAN JUMA ODERO  ni jina geni katika filamu lakini pia ni ambalo linakuja kwa kasi sana kutokana na kipaji alichonacho  mwanadada hyuo aliengia katika tasnia ya filam mnamo mwaka jana lakini akiwa tayari akiwa ameshacheza movies mbili tatu zilizotikisa katika medani ya filamu za kiswahili nchini tanzania.
                                                          TAIYA
Kutokana na hilo blog hii iliamua kumtafuta na kufanya nae mahojiano katika kipindi cha extra africa kinachorushwa na safari radio toka mtwara tanzania na alifunguka mengi sana kuhusina na soko la filamu TANZANIA na kusema mara nyingi wasanii wa wanatengeneza filam mfululilizo na zinakua hazina ubora ni kutokana na maslahi ambayo ni madogo yanayopatikana katika soko la filamu  licha ya kuwaona wasanii ni maarufu ila wanachokipata ni tofauti sana umaarufu wao na ndio mamana wao wakaanzisha kampuni ya usambazaji wa filamu ambao watakua wanasambaza filamu 
akiongelea swala zima la tasnia ya filamu kukumbwa na kashfa za ukahaba kuwa kuna wanaofanya filamu bora mradi wameonekana na wanafanya hivyo hata mara nyigine kutembea na maproducer ili aweze kupata sehemu nzuri katika filamu huku uwezo wake ukiwa ni mdogo na ndio matokeo yake hata wengine mbali ya kufanya hivyo kwa wale wasiojielewa wanaanza kutafuta waandishi wa habari ili kutengeneza story na kuwafanya wajulikane zaidi kushinda uwezo wao wa uigizaji
lakini pia TAIYA alizungumzia kuwa na mgogoro uliopo wa kivyama mara bongo movies mara chama ch wasanii nao ni tatizo linalosumbua sana na kuwafanya wasanii kuonekana hawana msimamo inapifika wakati wa kutafuta maslahi yao kwa ujumla.

                                                        SUZAN ODERO a.k.a TAIYA ODERO
TAIYA OKERO amsema wamenzisha kampuni ya PAPAZII ENTERTAIMENT na tayari imekwisha sambaza filamu kama TIME AFTER TIME,MR PRESIDENT, lakini pia amsema filamu ambazo wanataraji kuzisambaza na zinatoka mwezi huu IVAN TEARS,69 RECORD,MY PRINCESS pamoja na kuisambaza DVD YA DIAMOND ARE FOREVER ikiwa ile show ya diamond iliyofanyika mlimani city
Lakini pia TAIYA  ametamba kwenye filamu ya GENERATION,KOSA LANGU,JUMBA BOVU na kwenye tamthilia ya RED APPLE huku akiwa mbioni kutoka na movie ambazo zitakuaja hivi karibuni za RADHI YA MKE,NA INJINIA

Friday, July 6, 2012

IBRA AWEKA BAYANA KILICHOMTOA MASHUJAA MUSICA BAND NA KUSEMA MAJUNGU NDIO YALIYOMUONDOA WAKATU HUO HUO MENEJA WA MASHUJAA MARTIN SOSPTER NAE AFUNGA KUHUSIANA NA HILO

Rap wa muda mrefu wa mashujaa hatimaye atemwa na mashujaa musica band katika ile wanayosema panga la kupunguza wingi wa wanamuziki wasio na kazi nyingi na wenye uwezo usio na ushindani
Ka mujibu wa IBRAHIM au IBRA MIRINDA AU MIRINDA NYEUSI kama wengi wanavomfahamu amesema mchanganyiko wa wasanii ndio uliofanya atoke pamoja na majungu ya watu wanaojifanyawako karibu na mkurugenzi na badala yake wamepeleka uzushi ambao mwisho wa usiku umefanya aweze kutemwa katika band bila kujali safari ndefu alipotoka nayo mpka ilipofikia na kuongeza kuwa kama mashujaa itaendelea ivo basi haitafika mbali itapotea,
                                               IBRA MIRINDA
lakini pia ibra mirinda amesema mbali ya kutemwa huko sio kwamba ni mwisho wa muziki kwake ataendelea kufanya na wiki hii inapumzika ila anafikilia kwenda kufanya kazi band kubwa ingawa hajaitaja ni band gani na amekataa kulisema hilo  na kusema ni mapeme mno.

                                POZI LA IBRA MIRNDA WKATI WA UZINDUZI DUNIA DARAJA
Kwa  upande wake meneja mpya wa mashujaa MARTIN SOSPETER ambae alikuwepo wanga kipindi hicho amesema wameamua kupunguza wanamuziki kutoka na gharama za uendeshaji zilivyo na wanachoingiza mwisho wa siku kinaishia kwa wanamuziki tu ivo wameamua kupunguza kwanza kuweza kumeji wanamuziki na dispilin pia kupunguza wanamuziki lakini nilipomuuliza kwanini ibra mirinda amesema wameamua ibra kwa kuwa yeye mwenyewe anamjua mirinda toka yupo vibrationa kabla haijanunuliwa na mashujaa na kuona uwezo wake umepungua sio kama ule wa awali na ndio manaa wamaeamua kumtema na kusema mpiga tumba pia wametupa kwa kuwa tumba anaweza kupiga mtu mmoja tu na pia ameongeza kwa kusema kuwa watazidi kuwapunguza kutokana na utendaji wa kazi za wanamuziki 

                                             MARTIN SOSPETER
                                MARTIN SOSPETER WA KWANZA KULIA WAKT WA TWANGA
MARTIN pia amefafanua yale aliyoyasema ASHA BARAKA mkurugenzi wa twanga kuwa wameshindwa kuwamaneji pamoja na kuwachukua kwa pesa nyingi sasa wanarudi kwake kumlilia njaa na kusema huo ni uongo na anataka aonekane amesema kwa kuwa amepata kwa kusemea lakni ukweli ni kwamba hakuna mwanamuziki alietoka twanga ambaye amefukuzwa mashujaa!

Wednesday, July 4, 2012

JE WAJUA MSANII ELIZABERTY CHIJUMBA KWA SASA ANAJULIKANA KAMA FATHIA CHIJUMBA ALMAARUFU NIKITA NI MOJA KATI YA WAIGIZAJI WALIOINGIA KWA MUDA MREFU KWENYE BONGO FILM NA MWENYE MAFANIKO NA TASNIA HII NA NI MSANII PEKEE ASIE KUWA NA SCANDEL ZA AJABU ANAETAMBA KWA SASA!?

Zamani alikua najulikana kama ELIZERBERT CHIJUMBA kabla ya kufunga ndoa na msanii mwenzake KHLAFANI almaarufu kama KEVIN na baadae kubadilisha jina na kuitwa FATHIA CHIJUMBA lakini pia ni maarufu sana kwa jina la NIKITA jina ambalo alilipata wakati akifanya tamthilia fupi fupi za kwenye tv ile iliyokua ikiongozwa na CHUZDAY KIHANGALA iliyokuwa ikiitwa
JUMBA LA DHAHABUambapo hapo alijizolea umaarufu mkubwa sana katika tasnia ya maigio hayo ya filamu lakini kwa mujibu wa nikita alivyozungumza na kipindi cha extra africa katika kona ya mastaa wa bongo amesema kwenye game yeye maeingia toka mwaka 2003 huku filamu yake ya kwanza ikiigiza na nguli wa sasa wa movies JACKOB STEVIN AS JB,

                                             NIKITA ALIPOPOKEA TUZO
NIKITA ambae alishawahi kupata tuzo ya muigizaji bora wa kike chipukizi  amebainisha mengi sana yanayo mkera katika tasnia ya filamu bongo ikwemo kuwepo kwa vyama visivyoeleweak ambavyo vimemfanya mpka sasa asiwe chama chocote si bongo movies wala chama chochote kilichoundwa kwa madai ya maslahi ya soko la filamu bongo
 na hivyo amajikuta akiwa nyutro zaidi zaidi akifanya kazi mtu yoyote atakae taka afanyanye nae kazi huku akisisitiza kwa mtindo huu wa kutokua na mshikamano kufika tutafika ila wamechoka sana kutokana na kutokua na maelewano mazuri katika tasnia hii na pia maezungumzia swala zima la wasichna wengi kujirahisi kwa maproducer kwa kuhofia uwezo wao kuwa mdogo sasa wakitaka kuwekwa kwenye scen kubwa katika filamu,

MBALI na hilo pia amesema kuwa scendo pia sio kigezo cha kuonekana bora kwenye filamu bali kazi kwa hiyo wanaotengeneza skendo kwa ajili ya kupanda chati anawashangaa sana na na huku akitabainisha kuwa watu au wasanii hiyo wapo wananunua page za magazeti ili kujiongezea umaarufu.

NIKITA amesema sasa yupo mbioni kuziachia filamu zake kali tatu ambazo anaamini zitamuingizia sana ingawa anasema sio kwamba wa wanapenda kutengeneza party one two hadi three hii inatokana na kuwa filamu kwa sasa hailipi  vile ambavyo watu wanafikiri ingawa yeye kupitia filamu amweza kujenga, na kwa sasa ni mama wa mtoto mmoja alizaa na halfani na anamsomesha mwanae kupitia bongo film
 zaidi listen on www.safariradiotz.com

LE GENERRALY BANZA STOE AKANA KUHAMA EXTRA BONGO NA ASEMA HAYUPO TAYARI KUTENGENEZA ALBUM YA TAARABU KAMA INAVOSEMEKANA ILA AMEREKOD TAARAAB KWA ANATAKA KUDHIHIRISHA KIPAJI CHAKE

Msanii nguli wa muziki wa dansi ambaye kwa sasa anatamba ni vibao kadhaa vya taarabu kama vile KUZALIWA MJINI NA PLAY BOY ambavyo kwa mujibu wake vimetungwa na nguli wa mashaii na mtunzi wa nyimbo za taarabu kwa sasa thabit abdul kuwa lengo la kuimba taarabu ni kuonyesha kuwa yeye ni mwanamuziki na muziki wowote anweza kufanya as long as amepewa tungo za nyimbo hizo na 
na pia ametabainaisha zaidi kuwa kuimba nymbo hizi ni kujiongezea kipato kwa sababu kazi hiyo ilikua ni kujazia album ya THABIT ABDUL  hivyo baada ya kumalliza kurekodi nyimbo kwa sasa ipo chini ya thabi abdul amaye pia ni rafiki yake wa muda mrefu sana

 Lakini pia banza alihusishwa na kuanza kazi katika kundi la mashauzi classic na kusema yeye aliweza kupanda mara moja tu katika jukwaa la mashauzi na wala hafikirii kuacha mziki wa dansi na kuingia moja kwa moja kwenye taarabu ila itakapo baina kuwa mziki wa taarabu unalipa basi na yeye hana shaka atakua mmoja kati ya wasanii wanafaidika na mziki huo lakin kwa sasa anafanya kwa kujiongezea kipato tu
Pia banza stone ameweka wazi mpango wake wa kutengeneza albam yake minafsi ambayo amesema ataita MEGA MIX ambapo atazirudia nyimbo zake zilizowahi kutamba katika kipindi cha nyumba kama vile ELIMU YA MJINGA,MTAJI WA MASKINI,EURO 2010 na nyingine kibao ambazo zitaomba na mashabi azirude basi atazirudia.

ila banza amesema mbali ya kufanya kazi extra bongo ila kwa sasa anawasaidia  wasanii wachanga hasa wabongo flever katika kuwasaidia kufanya chourus na vitu kama ivo ikiwa ni katika kujiongezea kipato pia
 na kwa sasa banza anasumbua na kibao chake alichotunga akiwa na extra bongo WATU NA FALSAFA ZA MAISHA.

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...