WELCOME TO GMBONGO BLOG

To keep the body in good health is a duty... otherwise we shall not be able to keep our mind strong and clear.

TANGAZA NASI SASA

Tuwasiliane kwa Email: gmbongo.chuma@gmail.com

WE ARE HERE TO SERVE YOU

Keep you Entertained always

WE ARE HERE TO SERVE YOU

Habari na Burudani

WELCOME TO GMBONGO WORLD

Kwa habari za Burudani na zenye uhakika.

WAY

Sunday, September 30, 2012

SHILOLE NA AUNT EZEKIEL WAFANYA BALAA KUBWA NDANI YA MAKONDE BEACH CLUB ILIKUA BONGE MOJA YA SHOW

SHOW ILIANZA KAMA MIDA YA SAAA SITA HIVI HEBU CHEKI PICHA ZA SHOW HIYO ILIVYOKUA







                                       HII NI BAADA YA SHOW KALI

Friday, September 28, 2012

SHILOLE,AUNT EZEKIEL KUITIKISA MTWARA LEO NDANI YA MAKONDE BEACH CLUB

MWANADADA anayetikisa katika game la filamu na kwa sasa nikatika music SHILOLE akisindikizwa na mwanadada nguli katika filamu AUNT EZEKIEL watakapo shikana pamoja na kupanda jukwaa moja kwa ajili ya kuwaburudishi wakazi wa mtwara na vitongoji vyake hii leo na ikumbukwe hii ni mara ya kwanza kwa msani wa filamu shilole kufanya show mkoani peke yake na kwa kujitegemea lakini hapa akisindikizwa na aunt ezekiel ambae sio mwanamuziki,
                                       KAZI ITAKUA HIVI AISEE
SHILOLE amesema kwa mara ya kwanza ndipo atakapopiga show ya zaid masaa mawili ili kudhirisha uwezo wake wa kushambulia jukwaa na kwamba hajaingia katika muziki kwa kubahatisha bali kaingia kikazi zaidi huku aunt ezekiel akiwahidi mashabiki wake kuongea nao vizuri na kucheza nao miziki ya shilole na vitu kama ivo.

MISS DODOMA APONDA WAREMBO WANAOKIMBILIA BONGO MOVIE! ASEMA SANAA HIYO ISHAPOTEZA MUELEKEO




Aliyekuwa anashikilia taji la Miss Dodoma na Miss Kanda ya kati mwaka 2009 -2010 Jackline Nitwa amesema hana mpango wa kuingia katika tasnia ya filamu nchini kwa kile kinachodaiwa tasnia hiyo inapoteza muelekeo

Anadai kuwa tasnia hiyo imekuwa ikiingiliwa na baadhi ya warembo huku wakiwa na dhana ya kufanya vizuri wakati hawana hata muelekeo wa kipaji cha kuwa waigizaji na badala yake huingia huko na kuharibu tasnia hiyo

Akizungumza hivi karibuni jijini Dar es Salaam wakati akizungumzia mikakati yake ya kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu alisema kuwa warembo wanafuatwa na waandaaji wa filamu kwa kigezo cha kuigiza lakini ndani yake wanakuwa na lengo lingine

“Mimi nimeshafuatwa sana na hao waandaaji lakini wanapokuja wanakuja na nia zao nyingine kama za kukutaka kimapenzi na kupoteza uhalisia wa kazi yenyewe, mimi siwezi kuingia katika tasnia hiyo “ alidai

Anasema kuwa hawezi kuingia katika tasnia hiyo kwani amejikita katika masomozaidi ili aweze kufanikiwa kwa kutumia elimu yake na iwe muongozo kwake.
Anadai kuwa ukiwa mrembo, jamii inakuzungumzia tofauti sana hivyo unatakiwa uishi kimaadili ili wanaokuiga waige mazuri kutoka kwao.

ROSE NDAUKA AJA NA FILAMU MBILI KWA MPIGO!


MSANII mahiri anayefanya vizuri kwenye tasnia ya filamu bongo Rose Ndauka, asema kuwa baada ya kuwa kambini kwa muda mrefu akitengeneza kazi ambazo awali alizitaja sasa zimekamilika na Octoba zinaenda sokoni ambazo ni ‘Upofu’ na ‘Special Cover’ huku zote zikiwa zimefanyika chini ya kampuni yake inayojulikana kama Ndauka Entertainment.

Awali msanii huyo alisema kuwa filamu hizo zipo kwenye mchakato wa kupigwa picha lakini sasa ameamua kuweka wazi kuwa kila kitu kimekamilika na mwezi ujao zitakuwa sokoni kwa ajili ya kuwapa uhondo mashabiki.

Ndauka alisema kuwa ameamua kutoa filamu mbili kwa mpigo kwani mashabiki wake wana hamu ya kuona kazi nyingi zaidi na nzuri kutoka kwenye kampuni yake pia malengo yake ni kujitangaza zaidi kimataifa.

“Nakumbuka niliwahi kusema Octoba nitakuja na filamu mbili kutoka kwenye kampuni yangu kazi zipo tayari hivyo kinachosuburiwa ni ratiba ifike ili mashabiki wangu waweze kuona utamu wa kazi zangu, ujio huo utakuwa ni mzuri kwani utaifanya Kampuni yangu iweze kujulikana zaidi kimataifa” alisema.


Thursday, September 27, 2012

CHALZ BABA AFUNGUKA KUHUSINA NA YALIYOANDIKWA NA GAZETI LA AMANI ETI ANATAKA KUMUOA LULU ASEMA NI UZUSHI MTUPU WANAZINGUA SANA WALA HAJUI WAMETOA WAPI MAGAZETI BWANA

MSANII NGULI wa muziki wa dansi ambae pia ndio RASI WA MASHUJAA BAND, CHALZ BABA KINGUNGE a.k.a FERNANDO TORESS amesema ameshangazwa na kilichoandikwa leo na gazeto moja la udaku la amani eti kua anataka kumuoa lulu na tayari ameshakwenda kwa mzee michael kuongea nae na kusema habri hizo ni za uongo na za upotoshaji ila kwa kuwa wameamua kuandika sawa
     HILI NDILO GAZETI LA AMANI LILIOANDIKA STORY KUHUSU CHALZ     BABA     NA LULU
Nilipo muuliza hatua gani atachukua baada ya kuona habari hii ya uongo akasema hayo yote anamuachia mungu coz gazeti ni la leo na litapita na litaenda watakua wamefurahisha nafsi zao tu lakini imemuuma sana kwa hili.
LAKINI nilipomuuliza kuwa hii ni mara ya pili anaandikwa gazetini kuhusiana na hili huku ya kwanza ikiwa ni kuhusina na kukamatwa kwake kutokana na KIFO CHA KANUMBA akasema yote wanaoyoandika hayana ukweli na kusema LULU ni rafiki ake wa kawaida tu na wala hawana mazoea hayo

SINGLE MTAMBALIKE a.k.a RICH RICH ASEMA ANACHUKIA SANA KUTENGENEZA STORY ZA ONE AND TWO ILA SOKO LIMEWALAZIMU LAKINI PIA AWAONYA WASANII WANAODHANI USANII NI KUUZA SURA KWA KUWA NI MZURI BASI UINGIE KWENYE FILAMU AAPA MWISHO WAO UNAKARIBIA KWA WALE WABABISHAJI WA SANAA MBIONI KUACHIA MOIVES YAKE MPYA YA UYOGA AKIWA NA MONALISA

MSANII  wa siku nyingi katika tasnia ya filamu RICH RICH a.k.a SINGLE MTAMBALIKE amefunguka na kusema yeye ndie msanii wa kwanza kutokupenda stykle ya movies za sasa za one and two kwa kuwa kuna story nyingine haziitaji hata party 2 na matokeo yake maproducer wanakata  story wakati kiukweli inavotakiwa story kama ni party one n 2 ziwe zinatofautina ili akiwa na maana mtu hata ukiona party moja tu uwe umekwisha elewa nini kitu gani kinachoendelea
 AIDHA RICH RICH alisema yote haya yametokana na marketing adoption ambao ilitokea baada ya wao kukaa pepmbeni kwa muda katika uigizaji na baada ya hapo walipoingia kina kanumba ray ndipo walipoingia na mtindo huo wa one and two ambao walikcopy kutoka nigeria na hivyo yeye kama ye kushindwa kuweza kuzuia hilo ingawa yeye mwenyewe ansema movies zake nyingi ni party one tu mfano ukiangalia MAHABUBA,SOLEMBA na nyinginieze nyingi.
 PIA RICH RICH alizungumiza suala la wasani wa sasa na maproducer wa filamu la kufikiri kwamba uuzaji wa sura akimaanisha uzuri wa sura ndio utafanya mtu atambulike na asikike mwisho wa siku ataishia kwenye skendo na kazi ikawa ziro au mwisho wa siku unaweza kufanya filamu ambayo inaweza kushusha kampuni nzima itakayo tengeneza filamu kutokana na kulazimisha mzuri wa sura aweze kufanya filamu kama mtu hawezi hawezi tu na ndio maana mpka sasa kuna baadhi ya wasanii wameibuka na kusema kuna ubaguzi katika sanaa kumbe ni kutokana na kiwango kidogo cha hao wasanii.

Tuesday, September 25, 2012

MAPENZI YA WASANII WA BONGO FLEVER NA BONGO MOVIES YAZIDI SHAMIRI NA SASA NI ZAMU YA JINI KABULA NA BUSHOKE, JINI KABULA AWEKA WAZI KWANINI INAKUA HIVO JE NI KUIGANA AU INATOKEA TU

MSANII wa bongo filamu mwenye vituko vingi na ambae pia anatikisa sana katika ulimwengu wa tamthilia JINI KABULA kaweka wazi mahusiano yake na mwanamuzki wa kizazi kipya RUTHA BUSHOKE na kusema ni kweli ni boyfriend wake,
na nilipomuu;liza kwanini wasanii wengi wa mastar wanatoka wao kwa wao aksema hiyo huwa inatokea kwa sababu watu wengi wa kawaida huwa wanawaogopa mastar na mwisho wa siku wanajikuta wanatembea wao kwa wao na ndio maana hata majuu unakuta kama jayz na jiga,cris brown na rihana na wengineo hii yote ni kutokana na kuogopwa.

  
mbali na hilo kabula pia kasema kwa sasa ameamua kutulia na bushoke na mambo ya kuachana yanatokea hakuna mtu anaependa kuchezwa na vitu kama hivo
pia kabula kwa sasa yuko studio akiandaa nyimbo zake akiwa na kundi lake na scopion girls ambapo kundi hilo linaundwa na mamiss watatu waliowahi kushiriki kwenye vinyang'anyiro mbali mbali  akiwemo yeye JINI KABULA, MISS KARIAKOO,ISABELA MPANDA MISS RUVUMA NA RASHIDA WANJARA MISS MARA
 

Monday, September 24, 2012

WAKATI MAPENZI KATI YA WASANII WA BONGO FLEVER YAKISHAMIRI WEMA NA DIAMOND,FROLAH MVUNGI NA H.BABA SASA NI AMANDA NA BWANA MISOSI

Akizungumza na blog hii msanii wa filamu wa kike anaetikisa kwa sasa katika tasnia hiyo AMANDA POSHY ambae ni mtoto wa kambo wa dotnata ameweka wazi mahusiano yake na msanii wa mwenzake wa midondoko ya bongo flever ambae kwa sasa nae anajiingiza katika filamu JOSEPH a.k.a BWANA MISOSI nakusema kwa sasa wao no wapenzi.

BAADA ya kumuuliza je mapnzi yao ni yale ya kutafutiana umaaruf au ni ya dhati aksema kati ya wasanii wachache wanaojiheshimu yeye ni mmoja wapo na anaamini pia hata bwana misosi anajiamini na najiheshumu pia kwa mahusiano yao ni ya kutaka kwenda mbele zaidi na kuwa na fuatere na sio kwa ajili ya kujitangaza kwa kuwa wote wamakutana na majina yao na kazi zao ndio zimewatambulisha hivyo haoini kama anaweza kuwa na mahusianao na bwana misoso kwa ababu fulani zaidi ya mapenzi
AMANDA pia kwa sasa amesema kwa sasa nanagali kazi zaidi na hivi karibuni kuna fialmu ya comedy ambayo itaingia sokoni ambayo amefanya na muigiza nguli wa comedy afrika mashariki KING MAJUTO.

FROLAH MVUNGI AFUNGA ASEMA KWA SASA HANA BIFU NA YOYTE NI ILIKUA MIGONGANO YA KAWAIDA YA BINADAAMU YEYE NA IRENE NA SASA YAMEISHA KUINGIZA FILAMU MBILI WA MPIGO SOKONI MOJA IKIITWA MAMA WA KAMBO NA NYINGINE IKIITWA MAMA WA KAMBO NA NYINGINE NI BUJORA

Msanii wa filamu anaetikisa kwa sasa FLORAH MVUNGI amefunguka na kuhusiana na kwamba yeye bado ana bifu na msanii mwenzake wa IRENE UWOYA na kusema hayo yalishaisha walishaketi na kumalizana na sasa ni marafiki wa kawaida na ile ilikua ni migongano ya kawaida na kwasasa kazi zinaendela kama kawaida na pia katoka ufafanuzi kuhusiana na kaka yake DUDE ambae nakiri ndie alimtoa kisanii na kusema aliingilia kati baada ya kuona hali inavyokwenda ni kwenda kujiharibia na si kutengeneza tena kutokana na mambo yao ya ndani kuyaweka hadharani
Hata hivyo FLORAH amesema kwa sasa ameandaa movies zake ambazo zitaingia sokoni mwezi huu kutoka kwenye kwenye kampuni yao moja ikiitwa MAMA WA KAMBO,BUJORA na nyingi ambazo ameshirikishwa kutoka katika movies za kampuni nyingine ambazo ziko sokoni kwa sasa, akizungumzia kuhusiana na soko la filamu amesema kwa sasa bado gumu kutokana na kulazimishwa na madistributer kutengeneza filamu za PART ONE&2 wakati kiukweli hakuna stori ya kitanznaia hadi sasa ambayo inatosha kufanya movies one n two.


FROLAH MVUNGI ambae pia kwa sasa ana mahusiano ya kimapenzi kwa sasa na msanii wa muziki wa kizazi kipya ambae pia amaeingia kwenye ulimwengu wa filamu H. BABA amesema kwa sasa wasanii wataanza kuhuheshimika kutokana na serikali kutaka kuingilia kati suala la movies na kuweza kuondoa ubabaishaji ambao alisema siku hizi inafikia hatua mpka watu kuwaweka ndugu zao katika filam hali ya kua hawana uwezo wa kuigiza ilmradi abane bajeti
                                    FROLAH AKIWA NA H.BABA

Saturday, September 22, 2012

SHINDANO LA KUTAFUTA VIPAJI TOFAUTI NDANI YA MTWARA LIMEFANYIKA LEO NDANI YA MAKONDE BEACH CLUB AMBAPO MCHUJO WA KWANZA UMEPITA WA KUPATA WALE WATAKAOCHUANA TENA WIKI IJAYO KUPATA MSHINDI WA KUTANGAZA,KUIMBA NA KUCHEZA

BAADHI YA WASHIRIKI WA KUSAKA VIPAJI NDANI YA MKOA WA KUSINI ILIYPEPWA JINA LA SAFARI TALENT SEARCH






Thursday, September 20, 2012

BEN BLANCO MSANII ALIEFANYA MOVIES NYINGI NA KANUMBA ASEMA YUKO MBIONI KUZIFANYA MOVIES KWA AJILI YA KUMUENZI RAFIKI YAKE ALIA NA MADISTRIBUTER KWA KUWALALIA KATIKA KAZI ZAO AAMINI KAZI NDIO INAFANYA MTU AWE MAARUFU SIO SKENDO

MSANII wa siku nyingi katika tasnia ya filamu ambae alianzia katika vikundi ambae kwa mara ya mwisho alitokea pale KAOLE SANAA GROUP,, BENI BLANCO ndie msanii alifanya mvie nyingi na msaanii nguli wa aliepotea katika ulimwengu kwa majozni makubwa na utata ambao hadi leo unasubiri kutatuliwa je ni kipi hasa kilichotokea,lakini yoyte ya yote msanii huyo amesema kwa kuwa alilopanga mungu kamwe mja huwezi kulipinga basi yaliyopita si ndwele tugange yajao msanii huyo ambae alitamba katika moivies kama BIGG DADDY na ANCO JJ na nyingine nyingi amsema kwa sasayupo katika maandalizi ya kutengeneza filamu ambayo kwa namna moja ama nyingine itakua ni katika kumuenzi rafiki yake kipenzi STEVE KANUMBA
mbali na hilo BENI pia aemesema kuwa kwa sasa watanzania washaanza kujua filamu ni nini kwa kwa wale wanaodhani kwamba filamu zao zitatoka kwa ajili ya magaezti mwisho wa siku itajulikana tu ipi pumba ipi mchele na mbali na hilo pia amesema kwa sasa serikali inaenda kuingilia kati swala la filam kwa voyvoyte hayo yote yatenda kuisha mara moja!
BEN AMESEMA kuondoka kwa steve kanumba licha ya kibanamu amemkosa rafiki mkubwa lakini hata kikazi yake ya filam pia ni pengo ambalo kuna kipindi akiwa locationa huwa na anamkumbuka kwa kusema kama angekuwepo stive lazima idea nyingine ingepatikana" lakini mbali ya yote badi ataendela kufanya kazi kwa kiwango kile kile na kujaribu kusahau.

Wednesday, September 19, 2012

MJUE MWANAMUZIKI ALIENZIA KUCHEZA SHOW NA SASA AGEUKIA UIMBAJI NI MWANADADA TOKA TWANGA PEPETA NAE ATOKA KIVYAKE AACHIA NGOMA KALI AKIMSHIRIKISHA CHID BENZ AKIITA USINIACHE YEYE ASEMA ANAFANYA KWA AJILI YA MASHABIKUI NA KUUPENDA MZIKI NYINGINE BADO ZIPO JIKONI

MWANADADA ambae alianzia tasnia ya muziki kwenye kucheza show miaka ya tisini na baadae kugeukia  muziki huo ambapo kwa sasa anaimba na bad ya twanga pepeta huyu ni JANET ISINIKA ambae ameamua kuonyesha kipaji chake dhahiri na kujipima katika muziki na kuonyesha kwa sasa ameiva katika kuweza kufanya muziki na kusema anweza kusimama hata peke yake ndipo alipoamua kutngneza muziki zouk aliyoiita USINIACHE huku akiwa amemshirikisha mwanamuziki nguli wa bongo flever na hip hop CHID BENZI na kufanya muziki huoo kuwa na ladha tofauti kabisa ya kiafrica.
                                      JANET ISINIKA KATIKA HEKA HEKA
MBALI NAHILO  janet pia amesema kwa sasa yupo njiani kumaliza album lakini baada ya kumaliza hiyo album ndio shughuli nzima ya kufanya video ndio ataianza,huku kwa sasa akisema katanguliza wimbo huo huku wimbo mwingine aliouimba katika mahadhi ya kwaito bado uko studio na anweza kuuachia very soon.
LICHA ya kufanya kazi kama solo project lakini kamwe hafikirii kutoka twanga pepeta na pindipo atakapo ondoka twanga basi ndio utakua mwisho wa maisha yake ya muziki kwa kuwa kwa sasa nafasi aliyonayo twanga na kutoka kule alikotoka anaona ni sawa na akiamini kadri siku zitakavyokua zinaenda ndivyo atazidi kuimarika zaidi kimuziki akiwa na twanga pepeta

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...