WAY

Thursday, September 13, 2012

MJUE UP COMING MOVIES STAR ALIEJIPANGA KWA KAZI NZURI BILA SKENDO NA HIVI KARIBUNI KUINGIZA SOKONI MOJA KALI NI KATIKA MIZIMU YA NYAKANGA?

JINA geni kabisa katika tasnia ya bongo mivies lakini akijiamini ki hali ya juu kwa jinsi alivyojipanga kuweza kulikabili game la movies lenye kila aina ya vibweka na vibwanga kibao zikiwemo skendo za kutosha lakini yeye amesema amejipanga vizuri zaidi kikazi na kuwekza kuwa movies star wa kazi na wala si skendo kama ilivyo kwa wengine.
                                     ABIA TELA TELA a.k.a MALKIA WA KINKWIK
ABIA ambae yupo chinii ya kampuni inayotengeneza movie za kiafrika ya KINKWIK CREATIVE SOLUTION hivi karibuni anatarajia kuibukia katika movie moja ya kiafrica zaidi iitayo MIZIMU YA NYANGAKANGA ambapo amsema hapo ndipo ambapo ameonyesha uwezo wake lakini na huku akisema huo utakua ni mwanzo tu na kazi nyingi zitazidi kuja il kuweza kuelimisha jamii kupitia sanaa na si vinginevyo.

ABI amesema amaua hasa kuingia katika tasnia ya movie za kiafrika ktuokana na movies ambazo nyingi za za sasa zinamaadili ambayo si ya mtanzania na pia hazitazamiki na rika zote lakini yeye na kampuni yake anasema wamejipanga vizuri katika kuleta mapinduzi katika tasnia ya filamu. 

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...