BAND ambayo ilitikisa sana na nyimbo zake kama mama vanesa,binadamu,safari sio kifo na nyingine nyingi ambazo vile vile hata rais wa band hiyo alishawahi kutamba na wimbo kama yako wapi mapenzi,muzamil katunzi,na sasa anatamba na usilie,
nikizungumza na makamu raisi wa band hiyo TARSIS MASELA RAIS WA FASHION amesema kuwa kwa wale waliosema akudo inapotea sio kweli kwa sababu kwa sasa bado nyimbo moja tu ambayo inasubiriwa ili waweze kuzindua album yao wimbo huo ambao amefanya na wanamuziki wapya wa band hiyo katika kuweza kuimarisha band yao na kusema kwa sasa akudo inapiga show kama kawaida na hakuna lolote kuhusiana na kuvunjika kwao na kusema kutengeneza nyimbo kama solo artist nayo ni kuweza kuipa promo band kwa sababu hata nyimbo ya solo ikitamba basi inakua sifa kwa band
AKUDO IMPACT
TARSIS amesema kuwa album yao itakua na nyimbo kumi ambazo kati hizo ni UBINAFSI,USIWAFATE WAMBEA,USILIE,PONGEZI KWA WANAWAKE,UBINADAMU,UMEJIFICHA WAPI,MWIKO,UTAMU KUZIDI ASALI, na nyingine.
Friday, September 14, 2012
Home »
» AKUDO IMPACT MBIONI KUMALIZIA ALBUM YAO YA HISTORIA NO CHANGE WAJA NA STYLE MPYA YA CHEZA MGONGO MASHABIKI MKAE TAYARI
AKUDO IMPACT MBIONI KUMALIZIA ALBUM YAO YA HISTORIA NO CHANGE WAJA NA STYLE MPYA YA CHEZA MGONGO MASHABIKI MKAE TAYARI
Related Posts:
KALALA JUNIOUR APANGA KUIGEUKIA BONGO FLEVER KWENYE ALBUM YAKE BINAFSI MBIONI KUFANYA WIMBO NA OMMY DIMPOZ KATIKA UTANGULIZI WA ALBUM YAKE AKANA KUREJEA MAPACHA WATATU KWENYE BIRTHDAY YAO Mwanamuziki mwenye vipaji vingi katika muziki lakini pia akiwa ni mchezaji mzuri wa mpira wa kikapu mtoto wa nyoka aliegeuka chatu kalala juniour ambae ambae ameshwahi kutamba na band mbalimbali nchini lakni kwa sasa akiwa a… Read More
JESHI LA POLISI LINAWASHIKILIA WATU KUMI KUHUSIKA NA MAUAJI YA MWANAHARAKATI NA MWANASHERIA DK. SENGODO MVUNGU AKIRI KUHUSIKA NA TUKIO HILO Jeshi la polisi kanda maalumu ya dar-es-salaam linamshikilia mtuhumiwa mmoja John Ikodia kwa kosa la kushiriki kikamilifu kwenye mauaji ya mwanasheria dk sengodo mvungi. Akizungumza na waandishi wa habari kamanda wa kanda … Read More
BABA LA MABABA a.k.a BABA LEVEL ATOA NGOMA KUTAMBULISHA JINA LAKE HILO JIPYA LAKINI PIA CHINI YA MH ZITTO KABWE WAKO MBIONI KUFANYA TOUR AFRIKA MASHARIKI WANA KIGOMA ALL STARS BABA LEVEL ndio jina alilokua anajuliakana sana na mashabiki wake toka aingie kwenye game akitokea kigoma na kundi lake ambalo baadae lilivunjika na kujiunga na wanaume halisi na kisha kutoka na kuunda kigoma all star kwa … Read More
ALLAN KISO MUNDELE MPIGA GITA MAARUFU TANZANIA ANAETAMBA NA BAND YA SKYLIGHT APANIA KUFANYA KAZI KIMATAIFA ZAIDI KWA KUTENGENEZA NYIMBO ZAKE MWENYEWE SASA ATAMBA NA KARUBANDI ASEMA GITA LINAMUENDESHEA MAISHA VIZURI KISO MUNDELE sio jina geni katika tasnia ya muziki wa dansi nchini sasa apania kufanya maajabu kwa kuweza kufanya kazi zake kimataifa zaidia kwa kupiga muziki wa kimataifa, asema licha ya kuweza kuisidia band yake ya skyligh… Read More
NEY WA MITEGO AFUNGUKA KUHUSIANA NA WIMBO WAKE MPYA NAKULA UJANA JE UNAJUA KAWACHANA KINA NANI HUMO ASEMA HUWA HAMUOGOPI MTU ANAPOANDIKA MISTARI YAKE MSANII mwenye hits inayotikisa kwa sasa kwenye game ya bongo flever ya SALAM ZAO ambapo ndani yake amefanya kuwataja watu waliohusika kwa njia moja ama nyingine katika matukio tofauti ya kisanii ingawa watu wameidiss sana vi… Read More
.


0 comments:
Post a Comment