WELCOME TO GMBONGO BLOG

To keep the body in good health is a duty... otherwise we shall not be able to keep our mind strong and clear.

TANGAZA NASI SASA

Tuwasiliane kwa Email: gmbongo.chuma@gmail.com

WE ARE HERE TO SERVE YOU

Keep you Entertained always

WE ARE HERE TO SERVE YOU

Habari na Burudani

WELCOME TO GMBONGO WORLD

Kwa habari za Burudani na zenye uhakika.

WAY

Friday, May 24, 2013

RAPA MACHACHARI WA TWANGA PEPETA ANAEKUJA JUU KWA SASA JUMANNE SAID MAARUFU KAMA J4 AMESEMA KUWEKWA KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA KUWANIA RAPA BORA WA MWAKA WA BENDI NI HATUA KUBWA KWAKE NA ANAJIAMINI VYA KUTOSHA KUWAPIKU WENGINE AWASIHI WADAU WASIANGALIE MAJINA WAANGALIE KAZI YA MWAKA JANA

katika kinyang'anyiro cha rapa bora wa bendi katika kilimanjaro music awards wapo FURGUSON mzee wa kisigino,kibega,maskini jeuri lakini pia yupo SAUTI YA RADI YANIK NOAH wote kutoka mashujaa lakini pia yupo GREYSON SEMSEKWA toka twanga pepeta lakini yupo JONIKO FLOWER toka skylight band pamoja na j4 kutoka twanga pepeta ambae amesema licha ya kuwekwa na wakongwe kama hao katika kinyang'anyiro hicho lakni yeye bado anaimani ataweza kuibuka mshindi kutoka na kazi aliyoifanya maka jana huku akiwasihi wadau wa kupiga kura wasiangalie majina wala kazi za kipindi hicho bali waangalie kazi ya mwaka jana alioifanya katika wimbo kama SHAMBA LA TWANGA ambapo ameshirikiana kwa uziri kabisa na geryson semsekwa ambae amesema ndie anaemhofia peke yake katika tuzo hizo
                                             rapa wa twanga pepeta jummane said(j4)
lakini mefunguka kuhusiana na wimbo wake mpya uliokatika album inayokuja ya twanga pepeta wa walimwengu na kusema ni wimbo alioutunga kwa hisia zote na utakuja kuwa wimbo bora kabisa wa dansi katika siku za baadae

Tuesday, May 14, 2013

BAADA YA UZINDUZI WA AUDIO NA VIDEO YA ALBUM YA RISASI KIDOLE SASA MASHUJAA MUSICA BAND KUPELEKA ALBUM HIZO MIKOANI KWA SHOW WATAKAZAZOFANYA

BAADA ya kufanya uzinduzi wa album yao ya risasi kidole kwa kuweza kutoa video na audio za nyimbo zilizopo kwenye album hiyo sasa mashujaa musica kuzunguka karibu kila mkoa na kufanya maonyesho kwa ajili ya kuweza kuitambulisha album hiyo mikoani pamoja na kuweza kuuza album yao ya risasi kidole yenye nyimbo nane ikiwemo RISASI KIDOLE,TIKISIKA,UNGENIELEZA,UMENINYIMA na nyinginezo
aidha mashujaa musica ndio band pekee iliyokatika categori nyingi katika kinyang'anyiro cha tuzo za kili music awards ambapo  wanamuziki wake watatu wameingia kwenye vinyang'anyiro hivyo akiwemo chalz baba mwenyewe presdent ambae yupo kwenye vipengele viwili vya mwanamuziki bora wa kiume wa band pamoja na mtunzi bora wa nyimbo za band lakini pia wapo marapa wawili ambae ni SAUTI YA RADI na FURGUSON lakini wakiingiza wimbo wa risasi kidole kuwa wimbo bora wa mwaka wa band na vile vile band bora ya mwaka
                                   PREZDAA WA MASHUJAA CHALZ BABA KAZINI

Monday, May 6, 2013

LUIZA MBUTU AFUNGUKA KUHUSIANA NA KUSOGEZA MBELE UZINDUZI WA ALBUM YAO MPYA LAKINI PIA CATEGORY MPYA YA MWANAMUZIKI BORA WA WA KIKE WA MUZIKI WA BAND ASEMA ALIOPANGWA NAO HAJUI VIGEZO VIPI VILITUMIKA KWA SABABU HAENDANI NAO SANA LAKINI AOMBA KURA ZA MASHABIKI WAKE

KIONGOZI wa twanga pepeta LUIZA NYONI MBUTU afunguka kuhusiana na category za kili music awards na kusema kuwa hajui ni sifa zipi zilitumika kuweza kumuweka katika category hiyo ya muziki wa dansi akiwekwa na na wasanii ambao ni chipukizi katika muziki wa band huku wakiwa wameachwa wasanii wakongwe ambao wapo kwenye game kwa muda mrefu kama vile kina KHADIJA MNOGA wa EXTRA BONGO au DEBORAH NYANGE  wa KALUNDE BAND lakini amesema mwisho wa siku wachaguzi wa wa mwisho ni mashabiki hivyo hata kama ni mkongwe katika category hiyo lakini bado atahitaji kura za mashabiki lakini vile ameomba watu waweze kuchagua band bora ya mwaka ya twanga pepeta na wimbo bora wa mwaka wa SHAMBA LA TWANGA
NAMBA YA KUMPIGIA LUIZA KUSHINDA NI..ANDIKA AM2 KISHA TUMA15345...
AIDHA LUIZA amesema kutokaana na kaza nyingi walizokua nazo ndio zimesababisha wapeleke mbele uzinduzi wa album yao mpya ya twanga pepeta ambayo bado haijapewa jina na kusema na kwasasa wako mbioni kuingia studio kumalizia wimbo mmoja uliotungwa na badi bakule na baada ya hapo watakamilisha video yake na mwezi huo wa sita watazindua audio pamoja na video kabisa
 

Friday, May 3, 2013

LICHA YA KUWEKWA KWENYE KUNDI MOJA NA WAKONGWE KATKA KINYANG'ANYIRO CHA MUIMBAJI BORA WA KIUME KATIKA MUZIKI WA BAND DOGO RAMA ASEMA KAZI YAKE NDIO ITAKAYOMFANYA ACHUKUE TUZO HIYO PIA APONGEZA KILI KUONGEZA CATEGORY HIYO AMBAYO HAIKUWEPO HAPO AWALI ILA AKRI BADO KUNA MAPUNGUFU

Akiwa katika kundi moja na CHALZ BABA,GERYSON SEMSEKWA,JOSE MARA,KHALID CHOKORAA, dogo rama ambae kwa sasa ndio muimbaji tegeneo twanga pepeta internationa amsema amafurahi sana kwa sasa kutambulika kwa kazi anayoifanya na sasa sio dogo tena na amekua kimuziki na ndio maana akaonekana na wadau wa muziki na kumfanya aweze kuwekwa knundi moja na wakongwe kwa kuwa kazi yake ni kubwa ambayo  inatambulika na jamii kwa sasa hivyo kwa kuwa alishawahi kuwabwaga wengine katika kinyang'anyiro cha mkali wa sauti sasa safari hii hao wengine wakae mkao wa kuambulia patupu kwa kuwa watanzania washajua kazi nzuri ni  ipi na mbaya ni ipi
                                                  dogo rama a.k.a bulldoza
aidha dogo rama amesema hivi karibuni anatarijia kuachia kazi yake mpya ambayo itakua kwenye album yake mpya ya kilometa 10000 party 2 kazi itakayokwenda kwa jina la chuki bila sababu

Wednesday, May 1, 2013

BAADA YA KUFANYA UZINDUZI WA KWANZA WA AUDIO SASA MASHUJAA MUSICA KUZINDUA AUDIO NA VIDEO YA ALBUM YAO A RISASI KIDOLE JUMAMOSI YA TAR-11 KUSINDIKIZWA NA FM ACADEMIA WAZEE WA NGWASUMA

Akiongea na blog hii leo asubuhi director wa mashuja musica band KING DODOO LA BUJE amesema kwa sasa taari album ya risasi kdole imekisha kamilika kwa kila kitu na tayari kuingia sokoni moja kwa moja ambapo tar 11 mwezi huu pale BUSNESS PARK ambapo watakwenda kutambulisha album yao ya risasi kidole upande wa video huku akiongeza kuwa kwa sasa uuzaji wa album hiyo itakua ni audio na video itafungwa kwenye kifurishi kimoja



                                                  mashujaaa kwa stage
NAE meneja wa MASHUJAA MARTIN SOSPETER amesema kuwa mbali ya uzinduzi huo lkn pia kwa kuwa katika tuzo za killi mwaka huu wameingia katika category tatu tofauti ya BAND BORA,WIMBO BRA WA BAND NA MTUNZI BORA AMBAPO WAMEWAKILISHWA NA CHALZ BABA PAMOJA NA MARAPER BORA WA DANSI AMBAPO AMENGIA SAUTI YA RADI PAMOJA NA FURGUSON kwa hiyo wadau wa muziki wajitahidi kuwapigia kura ili waweze kuibuka kidede katika tuzo hizo za mwaka huu

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...