Home »
» RAPA MACHACHARI WA TWANGA PEPETA ANAEKUJA JUU KWA SASA JUMANNE SAID MAARUFU KAMA J4 AMESEMA KUWEKWA KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA KUWANIA RAPA BORA WA MWAKA WA BENDI NI HATUA KUBWA KWAKE NA ANAJIAMINI VYA KUTOSHA KUWAPIKU WENGINE AWASIHI WADAU WASIANGALIE MAJINA WAANGALIE KAZI YA MWAKA JANA
katika kinyang'anyiro cha rapa bora wa bendi katika kilimanjaro music awards wapo FURGUSON mzee wa kisigino,kibega,maskini jeuri lakini pia yupo SAUTI YA RADI YANIK NOAH wote kutoka mashujaa lakini pia yupo GREYSON SEMSEKWA toka twanga pepeta lakini yupo JONIKO FLOWER toka skylight band pamoja na j4 kutoka twanga pepeta ambae amesema licha ya kuwekwa na wakongwe kama hao katika kinyang'anyiro hicho lakni yeye bado anaimani ataweza kuibuka mshindi kutoka na kazi aliyoifanya maka jana huku akiwasihi wadau wa kupiga kura wasiangalie majina wala kazi za kipindi hicho bali waangalie kazi ya mwaka jana alioifanya katika wimbo kama SHAMBA LA TWANGA ambapo ameshirikiana kwa uziri kabisa na geryson semsekwa ambae amesema ndie anaemhofia peke yake katika tuzo hizo
rapa wa twanga pepeta jummane said(j4)
lakini mefunguka kuhusiana na wimbo wake mpya uliokatika album inayokuja ya twanga pepeta wa walimwengu na kusema ni wimbo alioutunga kwa hisia zote na utakuja kuwa wimbo bora kabisa wa dansi katika siku za baadae
Related Posts:
JE WATAKA KUWAJUA WANAOUNDA BAND YA KITANZANIA INAYOTIKISA KATIKA MEDANI YA MUZIKI WA DANSI NCHINI-THE AFRICAN STARS- TWANGA PEPETA INTERNATIONAL a.k.a SUGUKAA TAYARI KUWAJUWA WANAOUNDA TWANGA PEPETA SUGU JE UPO TAYARI?
MJUE LUIZER NYONI MBUTU,JANET ISINIKA,KHADIJA MNOGA KIMOBITEL,AMIGOLASI BABA NA SOFII, SALEHE KUPAZA,MUUMINI MWINJUMA,CHALZA BABA,DOGO RAMA,MSAFIRI DIOF,G… Read More
BABA NA MAMA YA DOGO RAMA SASA KIDEONI Video ya wimbo wa BABA NA MAMA wa dogo rama msanii wa tegemezi wa twanga pepeta sasa umekwisha kamilika hii ikiwa ni nyimbo ya 3 kufanyiwa kutoka katika album ya DOGO RAMA iliyopewa jina la KILIOMETA 10000 nyingine zik… Read More
KAA TAYARI KUIPOKEA NYIMBO MPYA KUTOKAS KWA Q BAND-IKIONGOZWA NA MWANADADA MWENYE SAUTI YA TANZANITE LEAH MOUDY Q BAND ni band changa lakini yenye wasanii wenye malukuki ya vipaji kutoka na kup-iga nyimbo za aina zote ikiwani rhumba.sebene,kwaito,bongo flever,r n b na staily nyingine nyingi ikiwani kwa kuimba kwa kukandamizia nik… Read More
FATILIA PICHA ZA SHOW YA FM ACADEMIA KUSINI MWA TANZANIA -NDANI YA MTWARA
HIVI NDIVYO WAZEE WA NGWASUMA WALIPOFANYA BALAA LAO PALE MASASI NDANI YA BR NIGHT CLUB.
&n… Read More
UNALIJUA JEMBE LA EXTRA BONGO KWENYE DRUMS? MARTIN KIBOSHO
Kiumri ni kijana mdogo sana lakini ana jina kubwa na ana mambo ma… Read More
0 comments:
Post a Comment