WELCOME TO GMBONGO BLOG

To keep the body in good health is a duty... otherwise we shall not be able to keep our mind strong and clear.

TANGAZA NASI SASA

Tuwasiliane kwa Email: gmbongo.chuma@gmail.com

WE ARE HERE TO SERVE YOU

Keep you Entertained always

WE ARE HERE TO SERVE YOU

Habari na Burudani

WELCOME TO GMBONGO WORLD

Kwa habari za Burudani na zenye uhakika.

WAY

Thursday, March 28, 2013

Tuesday, March 12, 2013

BABY TALL WA TWANGA AFUNGUKA NA KUSEMA WACHEZA SHOW NI WANAMUZIKI KAMA WANAMUZIKI WENGINE NA NDIO MAANA KARIBU KILA BAND KUBWA LAZIMA IWE NA STAGE SHOW NA NDIO MAANA HATA WANAPATA KAZI NJE YA NCHI

STAGE show mahiri wa twanga pepeta FAIDHA KASSIM aka BABY TALL ameweka wazi kuhusiana na kazi yao ya kucheza na kwa kuwa ni kazi kama kazi nyingine na ndio maana hata mwisho wa mwezi wanachukua chao kama kawaida na hata mara nyingine kununuliwa na band zingine kwa bei kubwa na mara pia hata nje ya nchi husasi nchi za kiarabu huwa wanaenda kwa ajili ya kazi hiyo na sio vinginevyo na kusema sio kila mtu naweza kuimba basi kila mtu naweza kucheza show kwa hiyo kwa wale wasiojua na kudharau kazi hiyo wakae wakijua kucheza show nako kunatakiwa elimu ya muziki ili uweze kucheza.
                                                FAIDHA a.k,a BABY TALL
aidha baby tall amesema kuwa wacheza show wengi huwa wanakosa deal ya kucheza nje kutokana na kuogopa kupima na ndio maana wengi wao wanaishia njiani kwa sababu katika nchi hizo inatwaki uwe umepima vipimo vyote ndio uweze kupata mkataba

Monday, March 11, 2013

BAADA YA KUFANYA KAZI PEKE YAKE KWA MUDA MREFU PAPPY CATALOGUE AFUNGUKA KILICHOMRUDISHA KATIKA BAND NA KWANINI KATUA EXTRA BONGO NA SI KWINGINEKO LAKINI ASEM ATAENDELEA KUFANYA KAZI ZAKE KAMA KAWAIDA

RAPA aliewahi kutamba sana na band ya fm academia PAPPY CATALOGUE ambaye kwa saa ametua rasmi na kuanza kazi ndani ya exta bongo ameweka wazi na kusmea ameamua kurejea katika mizki ya band baaday a kugundua kuwa watu wengi wanapenda kumuona msanii akiwa katika band fulani hata kama atakua anafanyakazi peke yale lakini wakimuona anapiga katika band ndio wanaamini kuwa ni mwanamuziki wa kweli na hata wengine wanahisi kuwa ukifanya solo mmusic bila kuwa na band ni sawa na kuwa unafanya muziki kama wasanii wa bongo flver tu na ndio maana akachukua uamuzi wa kurejea katika miziki ya live ingawa amsema mtu akifanya kama solo faida inakua kubwa sana zaidi ya kufanya kwenye band
pappy aliongezxa na kusema kuwa kwa sasaa media nyingi zinajaribu kuwa mziki wa dansi lakini hilo halliwezekani kwa sababu muziki wa dansi una heshima yake tofauti na miziki mingine na ndio maana wanaweza kupiga show kila wiki tofauti na wanamuziki wengine walivyo

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...