WELCOME TO GMBONGO BLOG

To keep the body in good health is a duty... otherwise we shall not be able to keep our mind strong and clear.

TANGAZA NASI SASA

Tuwasiliane kwa Email: gmbongo.chuma@gmail.com

WE ARE HERE TO SERVE YOU

Keep you Entertained always

WE ARE HERE TO SERVE YOU

Habari na Burudani

WELCOME TO GMBONGO WORLD

Kwa habari za Burudani na zenye uhakika.

WAY

Saturday, June 30, 2012

MITANDAO YA SIMU YAAMUA KUSHINDANA KIBURUDANI KAMA PROMOTION KATIKA MIKOA YA KUSINI WEKEND HII NI AIRTEL NA ZANTEL WIKI IJAYO VODACOM WASANII SASA MAPROMOTA HOI

Mtindo wa wa mitandao ya simu kufanya promotation za mitandao yao kwa kuleta burudani za wasanii kwa kiingilio cha bure inaonyesha inauwa soko la mapromota wa mikoani waliokua wanategemea kufanya hsow na wasanii kwa kiingilio lakini mwisho wa siku mitandao ya simu inafanya ivo karibu kila mkoa mfano wiki hii leo juma mosi AIRTEL wanapromotion yao ya SUPER 5 show ambayo inafanyika katika viwanja vya wazi ambapo atakuwepo msanii JUMA NATURE,ROMA,MWASITI,WANAUME HALISI na wengineo sasa

Wakati hayo yakiendelea mtwara leo ni ile siku ya usaili wa EPIQ BONGO STAR SEARCH shindano kabambe la kutafuta kipaji cha kusini ambacho kitaenda kushinda na vipaji vingine ambavyo mshindi wa shindano hilo ni million hamsini kutoka zantel huku wakati huo huo wakifanya promotion yao ya ZANTEL MOTO ambapo pia kutakua na special guest kama kina DULLY SYKES,BANANA ZORO,PETER MSECHU na wengine kibao

Huku hayo yakiendelea wiki ijayo ni zamu ya VODACOM ambapo msanii JUMA NATURE NA ROMA watarudi tena wakifatana na kina DIAMOND PLATNUM na weingine kibao hapo sasa ndio swali linapokuja je kwa kufanya hivi kwa kuwapigisha show za bure wasanii kwa makubaliano yao na mikataba je wasanii watakua wanafaidika na mziki kukua au ndio kufa kwa show za wasanii mikoani na mapromota kufilisika au ndio kukua kwa muziki wa kizazi kipya kwa maana show hizi ni za wasanii wa bongo flever tu.
 haya bana mkazi wa kusini jus join the free show sio mpka ulipie.

Friday, June 29, 2012

MWANAMUZIKI RAPA NA MWIMBAJI MAHIRI WA MASHUJAA BAND SAUTI YA RADI a.k.a SECOND CHANCE AKANA KUELEKEA EXTRA BONGO

Kama unakumbuka vizuri DIAMOND MUSICA waliweza kutamaba sana na kibao chao cha MAPENZI NI KITU GANI basi mmoja kati ya walionogesh wimbo huo ni rapa SAUTI YA RADI na kibwagizo chake cha "ikitaka matembele utakula matembele walikula bamia wakifiri matembele judy moshi anateleza" na vitu kama hivyo na kwa sasa rapa huyo anatikisa na watoto wa MAMAA SAKINA na PAPAA MAISHA wenye maskani yao vingunguti nadni ya ya MASHUJAA PUB ndipo inapotokea band ya mashujaa musica na sasa SAUTI YA RADI anatikisa na rap yake ya "DAKIKA MOJA KWENYE SIMU GRIII EE KWENYE SIMU"

basi sauti ya radi inasemekana kwa mujibu wa mkurugenzi w extra bongo LE KAMARADE ALLY CHOKI kwa kusema kuwa kuondoka kwa furguson ndani ya band hiyo kwenda mashujaa ni makubaliano ya kubadilishana na sauti ya radi pindipo atakapo maliza kuzindua album yao ya mashujaa musica 
                                        NIKIWA NA SAUTI YA RADI
Lakini mimi kwa ufukunyuku wangu nikamtafuta SAUTI YA RADI nakumuuliza kama najua lolote kuhusu hilo lakini eye akasema huo ni uzushi na maneno ya mtaa yeye hafikirii kabisa kuondoka mashujaa labda sijui iweje ila yeye yupo mashujaa musica miaka mia moja na nilipomuuliza endapo kama yuko tayari pindipo bosi wake akisema ivo kwa mujibu wa sauti ya radi kasema hayupo tayaaari kabisaaa kuelekea extra bongo.
 Kwahi kwa wale mashabiki wa mashujaa na sauti ya radi kama ulisikia habri hizo jua dhahiri kwa kauli ya sauti ya radi kwamba bado yupo mashujaa sana tu na anamkataba na mashujaa

Thursday, June 28, 2012

WASANII WA ZAMANI WA CHUCHU SOUND NA SASA WAKO MACHOZI BAND WAKANA KUIREJESHA CHUCHU SOUND NI MAO SANTIAGO NA JONIKO FLOWER

Wakiongea na g mbongo kwa nyakati tofauti MAO SANTIAGO  ambae alishawahi kutamba sana na bend ya chuchu sound iliyokua ikipiga mitindo maridhawa ya chakacha na mduara kipindi hicho wakiwa na kina OMARY MKALI, aABABUU MWANA ZANZIBAR,YUSUPH CHUCHU  mwenyewe JONIKO FLOWER ,KING JOVANII, na wengine kibao inasemekana walirejea tena chuchu sound siku ilipozinduliwa band mpya ya muziki wa taarabu MANUARY MORDEN TAARAB lakini pia walieweza kwenda kupiga tena katika uwanja wenye mashamu shamu mengi ambao unatikisa jjiji kwa sasa DAR LIVE
Kwa mujibu wa mao santiago alisema kuwa wao walijiita wasani waliokua chuchu zamani ili kujikumbushia zile za zamani zilizoweza kutamba kama vile USIONE VYAELEA,CHANUO,UTAMU WA NDIZI na nyingine nyingi ambazo waliwahi kutamba nazo wakiwa chuchu sound kwa hiyo wao sio kwamba wamerudi chuchu sound au wameirejesha chuchu sound ila waliitwa na watu waliokuwa wanataka ladha ya chuchu sound kwa hiyo yeye kama mao santiago ataendelea kubaki machozi band mpaka hapo atakaposema yeye mwenyewe kuwa anahama lakini sio kwa mtu yoyote kusema kuwa anahama na sasa pia yuko mbioni kutengneneza wimbo mpya atakaorekodi akiwa na machozi band huku akisema kurekodi solo project kwa sasa bado kwa sababu tu hajapata msimamizi wa kuweza kuzisimamia kazi zake

 Lakini pia kwa upande wake msanii nguli mwenye sauti ya gharama na kali sana JONIKO FLOWER nae amesema yeye aliombwa tu kwenda kuimba na band hiyo lakini sio kwamba amerudi chuchu sound lakini pia yeye kama yeye baada yakumaliza album ya machozi band ambayo wako mbioni kuikamilisha yuko mbioni kutengeneza albm yake binafsi ile kuleta ladha ile wanayoitaka mashabiki wake huku akisema album yake atapiga karibu kila aina ya muziki lakini wakiafrica zikiwemo RHUMBA,CHAKACHA,SEBENE,MIDUARA,MDUNDIKO na nyingine kibao kwa hiyo mashabiki wake wakae mkao wa kula lakini pia akiwa na machozi band wamekwisha kamilisha wimbo wake mpya lakini sasa anasuburi nyimbo za wengine zikamillike ili waweze kuitoa album hiyo ya MACHOZI BAND.
                                 JONIKO FLOWER AKIWA NA WANA MACHOZI BAND

Wednesday, June 27, 2012

MWIMBAJI CHIPUKIZI WA EXTRA BONGO ATANASI MONTENABE AJIPANGA KUTOKA KIVYAKE


Moja kati ya wanamuziki hipukizi katika muziki wa dansi nchini tanzanaia anaembia EXTRA BONGO NEXT LEVEL kijana ATANASI MOTENABE amejipanga kutoka kivyake kwa kutengeneza album yake binafsi ili kujiongezea mashabaiki kuonyesha kipaji chake halisi lakini pia kujiongezea kipato nje ya kile anachokipata akiwa ndani ya extra bongo huku ikiwa tayari amekwisha tengeneza nyimbo ya ke moja ya rhumba na kusisitiza album yake itakua na rhumba tatu na sebene tatu huku akiwashirikisha  wasanii kutoka band tofauti tofauti lakiini wengi wao wakiwa watanaznia ilikunyesh kuwa na watanzania pia tunaweza kufanya mziki wa rhumba kw kiwango cha juu huku akisema katika album hiyo atwashirikisha wasanii kama CHALZ BABA KINGUNGE  toka MASHUJAA BAND BADI BAKULE TOKA TWANGA PEPETA GREYSON SEMSEKWA WA TWANGA JOSE MARA TOKA MAPACHA WATATU na wengine kibao ambao ataweza kushirikiana nae katika kutengeneza album hiyo

lakini kwa yupo mbioni kuipush single yake lakini pia nasuburi kuzindua kwanza album yao ya EXTRA BONGO mpya ambayo haijapewa jina bado lakini ndani ya album hiyo mpya pia ameonyesha uwezo wake wa rhumba kwa kuandika wimbo mmoja ambao utaachiwa hivi karibuni katika vituo vya redio uitwao NEEEMA na ukiwa na maana ya ni neema ku
mpata mpenzi atakaekuwa nae milele huku sehemu kubwa ya wimbo huo akiimba na LE KAMARADE ALLY CHOKI pamoja na baadhi ya wanamuziki wa band hiyo.

                                         NIKIWA NA ATANAS MONTENABE




.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...