msanii nguli wa bendi ya fm academia Pablo masai mashabiki wamempa jina la water yaani maji usipoyanywa utayaoga kama si ivo basi utaosha tu yupo studioni akirekodi album yake ambayo itaitia sokoni ikiwa ni solo project,
kwa mijibu wa pablo masai tayari amekwisha tayarisha nyimbo tatu za albuma hiyo huku moja tayari ikiwa inakimbiza katika vituo vya redio.
Wimbo ambao kashautia katika vituo vya radio na sasa akiwa mbioni kutengeneza video yake unaitwa majukumu ambayo amewashirikasha wasanii kama jose mara toka mapacha watatu,toscanee nzimbu na jesus ambao wanapiga wote mzigo fm academia wazee wa ngwasuma, wazee wa mujini,
pia pablo amesema maekishwa maliza nyimbo nyingine mbili ambazo bado ziko kapuni moja ikiitwa MATESO YA MAPENZI na nyingine ikiwa bado haijaipa jina bado.
Pablo masai maesmea baada ya bendi yake kumaliza kuitoa album yao inayokuja mabayo imepewa jina la CHUKI ZA NINI. kwa taarifa zaidi kuhusu album hiyo endelea kunifatilia basi yeye ataitoa ya kwake
Mr.WATER amewashirika wasanii mbalimbali katika album yake hiyo ambayo bado haijakamilika lin itakamilika kuwa wa kwanza kujuia kwa kumfatilia
G.MBONGO tha intertainer
Saturday, August 27, 2011
Home »
» KAA TAYARI KWA PABLO MASAI a.k.a Mr.WATER
KAA TAYARI KWA PABLO MASAI a.k.a Mr.WATER
Related Posts:
roma interviw wabongo hawaelewi beef la kupata pesa-hii ndio interview yangu na roma! before show jana… Read More
COLETA AIKUNGUKA KUHUSIANA NA ISHU ZA SKENDO ZA BONGO FILAMU… Read More
AFRICAN SANAA GROUP WAPANIA KUIKOMBOA KUSINI KATIKA TASNIA YA FILAMU WAANDAA MOVIES YAO IITWAYO MADUVALA HATA MIKOANI SANAA IPO SIO TU KUSINI KIKUNDI cha sanaa za maigizo,ngoma za asili,sarakasi kutoka mkoani mtwara AFRICA SANAA GROUP limepania kuikomboa kusini katika upande wa uigizaji babada ya kuandaa movie zao mbili moja ikiwa haikufanya vizuri sana sasa waja … Read More
ALLY CHOKI ALIA NA MEDIA KUUA SOKO LA MUZIKI WA DANSI ASEMA RADIO ZENGINE ZIMEAMUA KUVUNJA KABISA VIPINDI VYAO VYA MZIKI WA KIAFRICA. KUFANYA SHOW NNE MIKOA YA KUSINI MKURUGENZI NA MUIMBAJI WA EXTRA BONGO NEXT LEVEL le KAMARADE ALLY CHOKI amesema kuwa media ndizo zinazochangia soko la muziki wa dansi kufa baada ya kuzipa kipaumbele nyimbo za mbele na bongo flever na kusahau muziki wa asil… Read More
COLETA RYMOND ASEMA ANATAMASNI KUWASAIDIA UNDERGROUND WA FILAMU… Read More
.


0 comments:
Post a Comment