msanii dogo rama a.k.a vualla. a.k.a kiraka toka twanga pepeta internataional amakamilisha albam yake yenye nyimbo sita ambazo amewashirikisha wasanii mbali kutoka band mbalimbali za muziki wa dance akiwemo rogert hegga(catapila)a.k.a kilimanjaro tanzania toka extra bongo wazee wakizigo mtu kama erick cantona aka mgogo wa mazizini toka diamond musica,mwanadada mkongwe na vocalist wa twanga pepeta khadija mnoga a.k.a kimobitel toka twanga pepeta sauti ya radi toka mashujaa muzika, msafiri diof a.ka sokoine wa twanga,beno villa,amigolas
album ya kilometa 10000 kumi ya dogo rama ina nyimbo sita ambazo zimeshiba mashairi na zikiwa katika miondoka tofauti kuna nyimbo za rhumba peke yake pia sebene humo ndani utakuta nyimbo kama
KILOMETA 1000 FT MSAFIRI DIOF AND SAUTI YA RADI
SIRI YA MAPENZI FT ROGERT HEGGA NA ERIC CANTONA
CHUKI ZA NINI.
BABA NA MAMA FT KHADIJA MNOGA KIMOBITEL.
IMANI YA MAPENZI FT BENNO VILLAH ANTONY
UZURI WANGU-FT AMIGOLAS
Albam ya kilometa ya dogo rama imetengenezwa katika studio bora kabisa za muziki amoroso sound na ontime production.
sasa ladies n gentleme ma mabibi na mabwana kaeni tayari kupokea mziki wa ukweli kutoka kwa dogo rama na baada ya album kuingia sokoni ndipo mtapo waona wana kilometa wanavofanya kwenye show mbalimbali mikoani na dar-es-salaam vile vile!
na ripoti kutoka kwa dogo rama ni kwamba pia ndani ya albam ijayo ya twanga pepeta ambayo itakua na nyimbo mbili walizozifanya na bozi boziana kuna wimbo unaoitwa mtoto wa mwisho ni utunzi wa dogo rama a.k.a vualla!
hili ndio ndio kasha la kilometa 10000 ya dogo rama ukipata jingine jiulize mara mbili
dogo rama a.k.a vualla a.k.a jembee .au .apana chezea dogo
Saturday, August 27, 2011
Home »
» kilometa 10000 ya dogo rama kiraka wa twanga pepeta international ishaiva punde tu sokoni!
kilometa 10000 ya dogo rama kiraka wa twanga pepeta international ishaiva punde tu sokoni!
Related Posts:
UJIO MPYA WA NDANDA KOSOVI NA WATOTO WA TEMBO AACHIA MBILI HEWANI NA AJIPANGA NA ALBUM Nani anependa muziki wa dansi na hamjui ndanda kosovo kichaa mtaalamu wa muziki wa dansi aliewahi kutikisa nchini kwa rap na vibao tofauti tofauti toka akiwa fm academia international kipindi hicho kbla ya kutawanyika na maf… Read More
PAMOJA NA NYIMBO BAND YAKE KUWEKWA KWENYE NYIMBO BORA ZA BAND KATIKA KILI MUSIC AWARDS ALI CHOKI ASEMA HATOSHIRIKI KATIKA TUZO HIZO MKURUGENZI ambae pia ni muimbaji wa band inayotikisa jiji la bongo kwa extra bongo LE KAMARADE ALLY CHOKI aweka wazi kuwa kamwe hatoshiriki katika tuzo hizo kwa sababu kuu mbili moja ikiwa ni ubabaishaji wa waandaji na vile … Read More
LUIZA AFUNGUKA KUHUSIANA KUCHAFULIWA KWA TWANGA PEPETA NA WATU KUJIPATIA UMAARUFU KUPITIA BAND YAO JE WAJUA TWANGA NI BAND INAYOOGOPWA KUPITA ZOTE!? Kiongozi wa Twanga pepeta luiza nyoni mbutu afunguka kuhusiana na shutuma kila mwanamuziki akihama basi wa twanga pepeta hasa kuhusiana na mwanamuziki aliekuwa huru kwa muda mrefu ALLY AKIDA kuwa ametokea twanga pepeta amsem… Read More
MKALI WA MUZIKI WA KIAFRIKA TOKA KUSINI AMBAE PIA NI MLEMAVU WA MACHO(KIPOFU) WAKUZIBA INTERNATIONAL AACHIA MOJA KIDEONI IKIITWA I WANNA KNOW Mkali wa muziki wa dansi mzee wa masauti wa kusini WAKUZIBA INTERNATIONAL ambaye pia ni mlemavu wa macho kwa sasa akifanya kazi jijini dar na band tofauti tofauti kama solo artist ikiwamo fm academia,extra bongo na nyinginez… Read More
JE WAJUA ALIPO STAR WA MUZIKI WA DANSI WAZIRI SONYO BAADA YA KUTOKA JELA SASA ANARUDI KIVINGINE NA BAND NYINGINE Aliewahi kutamba na band ya T.O.T plus kipindi hicho ikiwa chini ya LE GENERAL BANZA STONE wakati huwa akiwa na TOTO TUNDU NA ABDUL MISAMBANO Band ambayo ilitikisa ulimwengu wa dansi nchini kwa vibao kama MTAJI WA MA… Read More
.


0 comments:
Post a Comment