WELCOME TO GMBONGO BLOG

To keep the body in good health is a duty... otherwise we shall not be able to keep our mind strong and clear.

WAY

Friday, February 24, 2012

MASHUJAA MUSICA WAACHIA NNE KWA MPIGO MOJA WAKIWA NA GWIJI LA MUZIKI AFRICA PAPA WEMBA

Band inayokuja kwa kasi ya ajabu katika muziki wa dansi nchini tanzania MASHUJAA MUSIC BAND imeachia nyimbo NNE mfululizo huku nyingine mbili zikiwa bado zinatamba kwenye vituo kadhaa vya radio ambazo ni HUKUMU YA MNAFIKI na UNGENIELEZA ambayo ni utunzi wa chalz baba baada ya kutua katika kundi hilo na kuiachia kama zawadi kwa mashabiki wake NNE walizoziachia ni...

Saturday, February 4, 2012

TOTOO ZE BINGWA AFUNGA KUHUSIANA NA KUZUIA ALBUM YAKE SOKONI ABUNI MBINU MPYA YA KUUZA ALBUM YAKE VILE VILE ASIMULIA KILICHOMTOA FM ACADEMIA SASA KUJA NA KIKUNDI CHA NGOMA ZA ASILI

 Rapa wa band inayotikisa katika ulimwengu wa muziki wa dansi nchini kutoka band ya AKUDO IMPACT aweka wazi kuzuia kazi aliyokwishaanza kuisambaza na kusema kulikuaa na wajanja wachace waliotakata kumzidi kete kwa kupiga kopi kifupi wanaitwa maharamia. Totoo ze bingwa amekwisha kamiliasha album yake yenye jumla ya nyimbo nane ambazo ameimba peke ake bila ya kumshirikisha...

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...