WELCOME TO GMBONGO BLOG

To keep the body in good health is a duty... otherwise we shall not be able to keep our mind strong and clear.

WAY

Friday, September 30, 2011

HUKU NDIKO ALIKOTOKA KAMARADE ALLY CHOKI MKURUGENZI WA EXTRA BONGO

    LE KAMARADE ALLY CHOKI A.K.A KIBABU CHA LOLIONDO  Alizaliwa miaka 41 katika mkoa wa pwani wilaya ya kibaha na kupatia elimu yake ya msingi akiwa ameipatia mkoa huo huo wa kibaha lakin kwa asili ni mwenyeji wa kusini mwa Tanzania  LE KAMARADE ALLY CHOKI alianza kujingiza katika tasnia ya muziki rasmi mnamo mwaka 1987 na band ya sehemu alikokulia...

Wednesday, September 28, 2011

KAA TAYARI KWA KUNDI JIPYA LA TAARABU LENYE WASANII LUKUKI WENYE VIPAJI

                NI T MOTO MORDEN TAARAB Ni kundi jipya lenye vipaji vingi katika makundi ya taarab yanayochipukia kwa kasi katika ulimwengu wa muziki wa mwambao, ni kundi ambalo liantarajiwa kuzinduliwa rasmi siku ya ijumaa ya tar 28.10.2011      TANZANIA MOTO MORDEN TAARAB inaundwa...

Monday, September 12, 2011

UNAKATA KUFAHAMU WASIFU WA WANAMUZIKI WA MUZIKI WA DANSI TANZANIA TOKA WALIPOANZIA MPAKA WALIPO SASA?

Baada ya kuona wanamuziki wengi wa muziki wa dansi kupotea bila ya kujulikana wasifu wao walipoanzia mpaka walipo sasa na hivo kufanya kwa kuwafanya wanamuziki wa dansi wa sasa wakumbukwe duniani kote basi G.MBONGO THA INTERTAINER katika mfululizo wa wasifu au wengi wamezoea kwa jina la kingereza profile za wanamuziki wa band mbali mbali zinazotamba TANZANIA hii ni katika...

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...