hapana chezea G.MBONGO TOLEKAAAAAAAAAAAA!
Monday, September 12, 2011
Home »
» UNAKATA KUFAHAMU WASIFU WA WANAMUZIKI WA MUZIKI WA DANSI TANZANIA TOKA WALIPOANZIA MPAKA WALIPO SASA?
UNAKATA KUFAHAMU WASIFU WA WANAMUZIKI WA MUZIKI WA DANSI TANZANIA TOKA WALIPOANZIA MPAKA WALIPO SASA?
Baada ya kuona wanamuziki wengi wa muziki wa dansi kupotea bila ya kujulikana wasifu wao walipoanzia mpaka walipo sasa na hivo kufanya kwa kuwafanya wanamuziki wa dansi wa sasa wakumbukwe duniani kote basi G.MBONGO THA INTERTAINER katika mfululizo wa wasifu au wengi wamezoea kwa jina la kingereza profile za wanamuziki wa band mbali mbali zinazotamba TANZANIA hii ni katika kuhakikisha wasanii wa muziki wa dansi hawapotei kama waliopotea miaka ya nyuma nikiwa kama shabiki namba moja wa muziki wa kiafrica nakuahidi kuanzia wiki hii utakuwa unapata update za muziki wa dansi na ratiba zao vile vile habari zao kupitia blog hii thanks kwa wasanii wote ambao wanashow love na mimi na kuweza kufanikisha hili nalotaka kulifanya kwa ajili ya muziki wa dansi tanzania follow ma back aluta continue vuallaaaaaa
Related Posts:
COLETER RAYMOND MWANAHABARI ANAYETIKISA KATIKA BONGO FILAMU ASEMA SOKO BOVU NDIO CHANZO CHA KUTENGENEZA MOVIES ZISIZO NA UBORA,PIA AKILI MARA NYINGI SKENDO ZA WASANII HUWA NA UKWELI NDANI YAKE LAKINI PIA AWAWAKIA MADEMU WANAOJIRAHISISHA KWA MAPRODUCER COLETER ndio jina linalomwingizia hela lakni coleter raymond ndio jina la kuzaliwa alianzia sanaa yake katika moja ya vikundi vilivyotoa wasanii wengi kwenye filamu kwa sasa KAOLE SANAA GROUP na ndio kundi walilotoka w… Read More
… Read More
EXTRA BONGO KUTUMIA MWEZI MZIMA KWENYE TOUR ULAYA WAKIANZIA FINLAND WATAPANDA PIPA JUMAMOSI SASA TIRIRIKA Nikiuongea na mkurugenzi wa extra bonge le KAMARADE ALLY CHOKI IGWE amesema mbali ya kuwa na uwanja wao wa nyumbani kwa sasa unaojulikana kama BONGO RESORT uliopo maeneo ya kimara korogwe ambapo ukumbi huo utaendeshwa … Read More
… Read More
AMIGOLASI BABAA NA SOPHII WA TWANGA AFUNGUKA KUHUSIANA NA SAKATA LA WANAMUZIKI WALIOACHWA MASHUJAA NA KUTAKA KUJIUNGA NA TWANGA NA KUSEMA KISIMA KIMEJAA PIA AELEZEA LENGO LA TWANGA ACADEMIA NA SASA WAJA NA NYIMBO NYINGINE MPYA BAADA YA SHMAMBA LA TWANGA Meneja wa twanga pepeta kwa sasa AMIGOLASI amesema kuwa kwa sasa hawananafasi ya kuongeza wasanii twanga na wale walioachwa na mashujaa haadhani kama kuna nafasi tena ya twangwa lakini pia amsema hayo yote ni kutokana na kue… Read More
.


0 comments:
Post a Comment