WAY

Sunday, January 25, 2015

MWIGIZAJI WA FILAMU ZA KISWAHILI ASHELY TOTO AZUA UTATA WA AMBER ROSE MITANDAONI PICHA ZAKE ZASAMBAA

jmmaa
Mwigizaji tena promoter wa muziki raia wa Kenya ambaye makao yake yako nchini Ujerumani, Ashley Toto, amewaacha midume vinywa wazi baada ya picha zake za kitandani kuvuja kwenye mitandao ya kijamii huku sehemu muhimu za mwili wake zikiwa wazi.
10893289_10205138225722838_1824582473_o
Ashley Toto anayetamba katika filamu ya Moyo wangu aliyo higiza pamoja na wasanii wa V.A.D Production nchini Danmark, alikuwa matembezini katika nchi ya Mweshimiwa Jakaya Kikwete kwa mipangilio ya mahandalizi ya kucheza filamu pamoja na waigizaji wa nchi hiyo ya Tanzania.

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...