
Mabasi ya Abiria yakiwa yamepaki stand kusubiri
Madereva
wa vyombo mbali mbali vya moto nchini Tanzania, wanakusudia kushiriki
mgomo wa nchi nzima siku ya Ijumaa wiki hii, kuishinikiza serikali
kuondoa kero mbali mbali zinazowakabili ikiwemo ukosefu wa ajira za
uhakika pamoja na agizo la kutaka madereva hao waende kusoma kila
wanapotaka kuhuisha leseni...