WELCOME TO GMBONGO BLOG

To keep the body in good health is a duty... otherwise we shall not be able to keep our mind strong and clear.

WAY

Wednesday, April 8, 2015

MADEREVA WA VYOMBO VYA MOTO WATISHIA KUGOMA IJUMAA KWA MADAI YA KUFANYIA UNYANYASAJI

   Mabasi ya Abiria yakiwa yamepaki stand kusubiri Madereva wa vyombo mbali mbali vya moto nchini Tanzania, wanakusudia kushiriki mgomo wa nchi nzima siku ya Ijumaa wiki hii, kuishinikiza serikali kuondoa kero mbali mbali zinazowakabili ikiwemo ukosefu wa ajira za uhakika pamoja na agizo la kutaka madereva hao waende kusoma kila wanapotaka kuhuisha leseni...

Monday, March 30, 2015

MUGABE AWATAKA VIONGZI WA AFRIKA KUACHA KUWA VIBARAKA WA MATAIFA YA ULAYA NA MAGHARIBI NA WAJISHUGHULISHE KUINUA WANANCHI WAO

     Rais wa Zimbawe na Mwenyekiti wa umoja wa Africa Robert Gabriel Mugabe Rais wa Zimbawe na Mwenyekiti wa umoja wa Africa Robert Gabriel Mugabe amewataka viongozi wa nchi za Africa kukataa kuwa vibaraka wa mataifa tajiri duniani na badala yake wajitoe katika kuwatumikia waafrika ili kufikia mafanikio ya kimaendeleo katika ustawi wa bara hili. Rais Mugabe...

Tuesday, March 24, 2015

SERIKALI KUTUNGA CHOMBO CHA KUCHUNGUZA, KUPEKUA NA KUKAMATA WATUHUMIWA WA MADAWA YA KULEVYA

            Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu sera, uratibu na bunge Mh. Jenista Mhagama Serikali leo imewasilisha mswada wa sheria ya kudhibiti na kupambana na dawa za Kulevya ya mwaka 2014, kutokana na tatizo hilo kuongezeka zaidi kuanzia mwanzoni mwa miaka ya 1980 na kutishia uhai wa taifa kutokana na vijana wengi kujiingiza katika...

Friday, March 6, 2015

WASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA KUWAUA WATU WATANO KWA KUWATUHUMU WACHAWI

     Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Mara, Philip Kalangi akizungumza na wanahabari Jeshi la polisi mkoa wa mara limewakamata watu saba wakiwemo viongozi wawili wa serikali ya kijij cha park nyigoti katika kata ya ikoma wilayani serengeti mkoani mara baada ya kutuhumiwa kuwakamata na kuwafunga vitambaa usoni...

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...