WAY

Saturday, October 15, 2011

MJUE SHARO BARO ANAETIKISA NDANI YA EXTRA BONGO-RAMA PENTAGONE

              RAMA PENTAGONE
 alizaliwa mnamo mwaka 1979 ambapo alizaliwa na kusomea elimu yake hadi kidato cha nne katika jiji la mwanza
 Rasmi alianza kujiingiza katika tasnia ya muziki mnamo miaka ya 2000 akianzia katika band ya magereza  MAGEREZA BAND kipindi hicho wanapiga bwaloni magereza
mwaka 2004RAMA PENTAGONE alijiunga na band ya DOUBLE M a.k.a WANAMSHIKEMSHIKE kipindi hicho ikiongozwa na kocha wa dunia ambapo hapo aliweza kushirika katika album mbili zilizotolewa na band hiyo kipindi hicho ikiwa ni ile ya CALL BOX ambapo nadni ya album hiyo aliweza kushiriki nyimbo mbili tu lakini album iliyofata ya TITANIC aliweza kushiriki nyimbo zote za album hiyo 
                             RAMA PENTAGONE MI NAPENDA KUMWITA SHAROBARO
Mwaka  2005 DOUBLE M iliweza kujiunga na bad nyingine ya SERENGETI BAND ambapo hapo ikaitwa SERENGETI MSHIKEMSHIKE wakati huo akiwa nawatu kama AMOROSO ambaye kwa sasa ni producer,RASHID SUMUNI,AMINA NGALUMA,KASSIM RASHID,KAWANINGA,JUMA KATUNDU  na wengineo!
  mwaka 2007 aliweza kurudi home city Mwanza na akajiunga na ban ya CARNIVAL ya jijini mwanza ikijulikana kama TAIFA STARS wakati huo akiwa na kina ALLY YAHYA,PETIT MAKAMBO,ROGAROGA,SEBA  huku ikiongozwa na mkongwe BENO VILLA ANTONY

            RAMA PENTAGONE AKIONYESHA MAVOCAL
Mwaka 2008 aliweza kujiunga na band ya MILE  LEVENT MUSICA ambapo hapo aliweza kushiriki kutoa album ya MAMA KABIBI  hukuakindika nyimbo kama MCHAKATO,LIFE JACKET na wakati huo akiwa nakina RICH MAARIFA,BOB KISSA,ATANAS NA SUZUKI
  Mwaka 2009 alijiunga rasmi na EXTRA BONGO NEXT LEVEL WAZEE WA KIZIGO ambapo aliwezac kusimama vyema kwenye album ya kwanza ya MJINI MIPANGO  aidha rama pentagone anatarajia kutoa album nyingine akiwa na wa extra bongo huku akitarajikuweka nyimbo yake ya jeolus

         RAMA PENTAGONE AKIWA NA WANA EXTRA BONGO
   RAMA PENTAGONE  kuandaa album yake binafsi  ikiwa na nyimbo kama NJIA PANDA,CHINI YA MTI,AZIZA,MKE WA MWENZIO USIMNONG'ONEZE SIKIO, aidha rama amesema mashabiki na wapenzi wa EXTRA BONGO wategemee makubwa kutoka kwake kwa kuwa anaamini ni mmoja kati ya wanamuziki wenye vipaji vya hali ya juu hapa Tanzania na mm nasaport hilo!
 kwa ushauri wowte juu  ya dogo rama mtafute kupitia 0713-541508 

                             RAMA PENTAGONE SHARO BARO NA MUREMBO RAHMA
 

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...