...
Wednesday, June 26, 2013
ABDU KIBA .a.k.a mzee wa kidela AMESEMA KWA SASA TAACHA GAME KWA MUDA KISA NINI SIKILIZA HAPA LAKINI PIA KALA JEREMIAH AFUNGUKA KUHUSIANA NA KUURIDA WIMBO WA MAREHEM MAGWEAIR MASKINI WENZANGU,ILA SIKILIZA MAKOMANDO KWANINI WAMEAMUA KUWA WANATOA NYIMBO ZAO VIDEO KWANZA KABLA YA AUDIO ALL IN www.gmbongothaintertainer.blogspot.com
Tuesday, June 25, 2013
SIKILIZA HAPA MAHOJIANO YANGU NA CRISTIANA BELLA KING OF THE MELODIES AKIFUNGUKA HISTORIA ALIYOIFANYA SWEEDEN ANASEMA AMERUDI NA ZAWADI KWA WATANZANIA ASEMA SASA KUFANYA KAZI KAMA SOLO PROJECT AAHIDI MAKUBWA KWENYE SHOW YAKE YA IJUMAA PALE MZALENDO AMBAYO ATAKARIBISHWA NA DIAMOND MUSICA ORIGINAL
...
Friday, June 21, 2013
DIAMOND MUSICA ORIGINAL WAANDAA SHOW YA KUMKARIBISHA KING OF MELODIES CRISTIAN BELLA AMBAE ALIKUA NJE YA NCHI KWA MUDA MREFU KWA KAZI ZAKE BINAFSI KUSINDIKIZWA NA WAKALI BANANA ZORO NA DULLY SYKES

BAADA ya kukaa nje nchi kwa muda mrefu sasa cristian bella amerejea nchini tanzania ambapo karibu yake imeandaliwa show kabambe na bendi ambayo ni gumzo kwa sasa jijini dar ya DIAMOND MUSICA ORIGINAL iliyo chini ya LIVER HASSAN SULTANI ambapo kwa mujibu wa kiongozi huyo amesema wameamua kuandaa show kwa ajili ya cristiani bella ni kwa ajili ya kuonyesha ushirikiano na sio...
Thursday, June 20, 2013
SKYLIGHT BAND WANA CAROLINA KUDONDOSHA SHOW SPESHO IJUMAA HII NDANI YA TIE VILEGE USIKU WALIOUPA JINA LA USIKU WA MWAFRICA ATAKAVAA KIAFRICA ZAIDI KUZAWADIWA

AKIONGEA na blog hii kiongozi wa skylight band ANETH KUSHABA amesema ijuma hi wameamua kuifanya tofauti zaidi na kuwa kama zawadi kwa mashabiki wao wanaohudhuria kila siku na kuona mabadiliko zaidi katika show watakaoifanya siku hiyo ambayo itatawalia na nyimbo za kiafrica zaidi na mavazi ya kiafrica yatatawala usiku huo huku mshindi atakae vaa kiafrica zaidi kuzawadia na...
Wednesday, June 19, 2013
BAADA YA KUTAMBA NA WIMBO WA DOLE MSANII MABESTE AJIPANGA KUIBUKA NA KAZI MPYA LAKINI PIA SIKILIZA MAN WATER AKIFUNGUKA BAADA YA KUCHUKUA TUZO YA MTAYARISHAJI WA BORA WA MUZIKI ASEMA HANA BIFU TENA NA 20 PERCENT LAKIN PIA UTAMSIKIA CHIPUKIZ CLIMAX BIBO AKIFUNGA NA YAKE JUST CLICK www.gmbongothaintertainer.blogspot.com
...
Tuesday, June 18, 2013
BAADA YA KUWASHNGAZA WAZUNGU NCHINI FINLAND TOTOO ZE BINGWA ATUA BONGO NA ALBUM YAKE ALIYOIPA JINA LA ZERO HUKU AKISEMA NI ZAWADI KWA WATANZANIA LAKINI PIA ASEMA ATAFANYA SHOW NA AKUDO LAKINI SIO MAANA YA KWAMBA AMEREJEA TENA AKUDO

GWIJI la kurap katika miziki ya dansi totoo ze bingwa aliewahi kutamba na bendi kama vile BANA BETA,FM ACADEMIA,AKUDO IMPACT na sasa akiwa anamiliki bendi yake mwenyewe na kuipa jina la SANA SANAA BAND ambayo yuko na kina alain mulumba aliewah kutamba na diamond sound pamoja nakatanyama ingawa anasema kuwa pamoja na kuwa na watu hao ila wapo huru kuipigia bendi yoyote ile...
Friday, June 14, 2013
Thursday, June 13, 2013
SIKILIZA HAPA KALA JERIMIAH AKIELEZEA KWANINI TUZO YAKE YA HIP HOPE KAIPELEKA KWA FAMILIA YA MAREHEM ALBERT MANGWAIR LAKINI PIA AELEZAKWANINI ANARUDIA WIMBO MMOJA WA MAGWAIR ILA PIA UTAMSIKIA QUICK RACK NA UJIO WAKE MPYA ILA PIAUTAWASIKIA VIJANA WANAOKUJA JUU KWA SASA KWENYE GAME YA BONGO FLVER SALMA AND SAADAT
...
Wednesday, June 12, 2013
SIKILIZA HAPA MWANAFALSAFA AKIFUNGUKA BIFU LAKE NA LADY JAY DEE NA KUSEMA WATU WANAJAJI BILA KUFIKIRI LAKINI PIA AIZUNGUMZIA SHOW YAKE YA TAR 14 LAKINI PIA VILE VILE SIKILIZA GADNER G HABASH AKIIZUNGUMZIA SHOW YA LADY JAY YA TAR 14 LAKINI JE UNAJUA LADY JAY NA MWANAFALSA NDIO WALIOFANYA COLABLE NYIMBO NYINGI ZAIDI SIKILIZA HAPA
iframe id="hulkshare-player-embed" name="hulkshare-player-embed" src="http://www.hulkshare.com/hsPlayer/embed/embed_clean.php?fn=6imtwcpu3mrk&enableDownload=1&enableCover=1&enableAdd=false&bg=undefined&fg=undefined&iconColor=undefined&backColor=undefined&outColor=undefined&overColor=undefined&textColor=undefined&tintColor=undefined&pid=&type=7&width=100%" scrolling="no" frameborder="0" allowTransparency="true" style="...
Tuesday, June 11, 2013
BAADA YA TUZO ZOTE ZA BENDI KUELEKEA KWA MSHUJAA MUSICA BENDI LUIZA MBUTU AFUNGUKA NA KUSEMA HILO NI JAMBO LISILOWEZEKANA NI UCHAKACHUAJI WA HALI YA JUU INA MAANA HATA ALIPOCHUKUA YEYE ANGEKUWEPO MWANAMUZIKI WA MASHUJAA ANGECHUKUA ASEMA WAANDAJI WAJIPANGE TENA KUZINDUA ALBUM YAO NYUMBANI NI NYUMBANI MWISHO WA MWEZI

MSANII wa twanga pekee aliepokea tuzo ya band akiwa kama mwanamuziki bora wa kike wa muziki wa bendi ambe pia ni kiongozi wa twanga pepeta luiza nyoni mbutu amsema tuzo za mwaka huu zimejaa hujuma kiasi ambacho hawezi kuamini kuwa mashujaa musica wanaweza kuchukua tuzo zote za kili ni jambo lisilo wezekana ila kuna biashara iliyofanyika katikati ili kuikuza bendi lakini kuna...
Monday, June 10, 2013
CHALZ BABA SISITIZA KUWA KAZI NDIO NDIO ZILIZOFANYA MASHABIKI KUWACHAGUA KUWA WAO BORA KWA KILA KITU NA SIO UCHAKACHUAJI SASA KUANDAA MATAMASHA YA BURE KWA AJILI YA WANANCHI
Akiwa ameibuka na tuzo mbili za muimbaji bora wa mwaka wa bendi lakini mtunzi bora wa mashairi wa bendi lakini wakati huo huo wakiwa wamechukua wimbo bora wa mwaka wa bendi lakini pia bendi bora ya mwaka nikutokana kazi nzuri walioifanya kwa mwaka mzima katika album yao ya risasi kidole ambayo imepokelwa na mshabiki kwa wingi sana mpka kuipa kura bendi hiyo inayoundwa na...
Friday, June 7, 2013
Thursday, June 6, 2013
Wednesday, June 5, 2013
HIVI NDIVYO ILIVYOKUA MISS MTWARA REGION MWAKA 2013 AMBAPO MWANADADA YVONE STEVEN ALIIBUKA KIDEDEA
HAYA NDIO BAADHI YA MATUKIO KATIKA KINYANG'ANYIRO CHA KUMSAKA MLIMBWENDE WA MKOA WA MTWARA
...
.

