WELCOME TO GMBONGO BLOG

To keep the body in good health is a duty... otherwise we shall not be able to keep our mind strong and clear.

TANGAZA NASI SASA

Tuwasiliane kwa Email: gmbongo.chuma@gmail.com

WE ARE HERE TO SERVE YOU

Keep you Entertained always

WE ARE HERE TO SERVE YOU

Habari na Burudani

WELCOME TO GMBONGO WORLD

Kwa habari za Burudani na zenye uhakika.

WAY

Tuesday, January 17, 2012

KUONDOKA KWA 33 FM ACADEMIA PREZDENT NYOSHI EL-SAADAT AFUNGUKA

Baada yakujiunga na mashujaa musica akitokea fm academia 33 ambae ni muimbaji wa sauti ya kwanza alisema kuwa kilichomtoa fm academia kuwa kulikua na kubaniwa sna katika band hiyo hivyo ameamua kutanua wigo wake na kujiunga na mashujaa ambako anafikiri anaweza kuonyesha kipaji zake zadi
33 alitambulishwa rasmi ijumaa iliyopita katika viwanja vya makumbusho ambapo zilikutana band tatu katika jukwaa moja
              MBONGO NIKIWA NA NYOSHI EL-SAADAT SAUTI YA SIMBA
lakini kiongozi wa band ya fm academia NYOSHI EL SAADAT SAUTI YA SIMBA amesema 33 ameondoka fm academia kwa kuwa mkataba wake ulikwisha na hakua anamuhitaji tena kwa kuwa hana ushirikiano wala mchango kwa badn kwa kuwa hatungi nyimbo wala kutoa aidia ivo ni bora alivyoondoka na  nyoshi amaesma kuwa kingine kilichomuondoa 33 ni kuwa alikua mtovu wa nidhamu kupita kiasi ivo asingeweza kukaa nae na alikunusha vikali kuwa kwamba fm kuna kuna kubaina wasanii wakati ndio band pekee yenye waimbaji wengi takribani 16
           HAPA NIKIFANYA INTERVIEW NA NYOSHI PAMOJA NA KING BLAISE
  HATA HIVYO NYOSHI EL SAADAT aliongeza kwa kusema kuwa ana mapngo wa kupunguza zaidi waimbaji ambao hawatakuwa na machango wowote katika band ili kupata kikosi imara zaidi kwa hiyo kuongoka kwa 33 ni moja ya mpango wake wa kupunguza wasanii mzigo katika fm academia wazee wa ngwasuma
.                     HUYU NDIE 33 ALIEJIUNGA NA MASHUJAA MUSICA
HATA hivyo nyoshi amezungumzia ujio wa album mpya na kusema sasa wanaanda filamu itakayoitwa chuki ya nini huku kinara akiwa ni PATCHO MWAMBA TAJIRI
                      HAPA NIKIWA NA PATCHO MWAMBA TAJIRI

Monday, January 16, 2012

DIAMOND MUSICA VIJANA CLASSIC OR MAVOICE PROF WAJA UPYA

Baada ya kuondokea na laiekua mkurugenzi wao P.DIDY walikaa kwa muda mrefu sana kabla ya kupata uongzozi mwingine wakiwa chini ya  LE TOP MODEL JUDY MOSHI pamoja na ALEX  sasa  diamond wafunga upya na kuanza kupiga show huku wakitakisa katika vituo tofauti vya radio na wimbo wao mpya SUPU YA KONGORO huku wakataaraji kuachia pia ABDULKARIM ambayo ipo katika mahadhi ya rhumba ya ukweli
              HAWA NDIO DIAMOND MUSICA a.k.a VIJANA CLASSIC

Wakiwa chini ya kiongozi wao ambaye pia ni nguli wa muda mrefu katika muziki wa dasnsi ambaye pia ndie muanzilishi wa rap za kiswahili kutoka kongo ALAIN MULUMBA KASHAMA a.k.a MSTAHIKI MEYA WA JIJI ambae pia ndio mztunzi wa kibao cha supu ya kongoro.
 DIAMOND musica sasa inaundwa na wakali kibao ambao pia ni wazoefu wa muziki wa dansi wengi wao wakiwa kutoka congo kuna wkali kama ERIC CANTONA a.k.a MGOGO WA MAZIZINI ambaya anatamba na kibao chake cha ACHA KULIA akiwa mamemshirikisha mwanamuziki toka fm academia MULEMULE FBI vile vile kuna raper number moja JUICE YA MACHUNGWA na mpiga drums wa siku nyingi KATANYAMA

Thursday, January 12, 2012

CHALZA BABA KUTAMBULISHWA RASMI KESHO KWENYE SHOW INAYOKUTANISHA BAND TATU

Kesho ndio kesho ni siku ambayo band tatu zitasimama jkwaa moja huku ikishudiwa chalz baba akitambulishwa rasmi kama mwanamuziki wa mashujaa musica.
show hiyo itakayo fanyika katika viwanja vya leaders itashudia band kama extra bongo,mashujaa musica .na mapacha watatu wakiwasha moto wa ajabu na kuleta burudani kwa wapenzi wa muziki wa dansi na mabadliko makubwa
 mbali ya chalz baba kutambulishwa pia mwanamuziki kutoka fm academia na kuhamia mashujaa musica 33 nae atatambulisha rasmi hiyo kesho katika show hiyo!
 MAPACHA WANASEMA WANAMTAFUTA PACHA MWENZAO,EXTRA BONGO WANAMTAKA MPWA WAO, NA MASHUJAA WANAMTAFUTA MTOTO ALIE POTEA KAZI IPO HAPO DUUUUUH! DONT MIC DA SHOW
       mshujaaa musica jukwaani hapa rapa mirinda nyeusi akipagawisha

     GMBONGO NIKIWA NA RAPA WA MASHUJAA ANAITWA MIRINDA NYEUSI

           EXTRA BONGO a.k.a WAZEE WA KIZIGO WAKIWA KAZINI

   GMBONGO NIKIWA NA LE KAMARADE CHOKI MKURUGENZI WA EXTRA
     MAPACHA WATATU WAKIPIGA MZIGO KULIA NI KHALID,JOSE NA KALALA
           GMBONGO NIKIWA NA KIONGOZI WA MAPACHA KHALID CHOKORAA

H.BABA AFUNGUKA KUHUSU NYIMBO YAKE MPYANA BANZA STONE NA MPNNGO WAKE WA 2012

Mwanamuziki wa kizazi kipya ambaye sasa naibukia katika muziki wa kiafrica baada ya kuachia kibao kikali akimshirikikisha mwanamuziki nguli wa muziki wa dansi le General banza nza stone a.k.a mwalimu wa walimu roho ya paka kinachoitwa SINA RAHA kibao ambacho kinatikisa katika stesheni mbali mbali za radio nchini tanzania.
                          H.BABA a.k.a POTEZA
H.BABA amesema baada ya kuachia nyimbo tatu kwenye ambazo ni NIPE KIDOGO,SHIKA KICHWA NA SINA RAHA ambayo ina wiki chache tangu aiachie
kwa mujibu wa h.baba anamesema ameamua kubadilika kimuziki akiwa na lengo la kungia katika muziki wa band na live mabao anaamini ndio muziki wa kweli na pia anampango wa kufanya kazi katika band za kitanzania.
huku aikizitolea mfano wa band ambazo anatamani kufanya nazo kazi kuwa ni TWANGA PEPETA au MAPACHA WATATU
                     H.BABA AKIWA KATIKA POZI NA TIPPO
PIA H.BABA amesema si kwakuwa napenda ban ya twanga au mapacha peke ake ila band yeyote itakayokuwa na dau zuri yupo tayari kufanya nayo kazi
aidha h. baba amesema mashabiki wake wawe tayari kuipokea album yake ambayo ipo mbioni kumaliza hivi karibuni
hizo ndizo za moto kuhusiana na h.baba.

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...