
Dogo rama mwanamuziki anaesimama vizuri kwa sasa ndani ya twanga pepeta katika safu ya uimbaji akishirikiana kwa ukaribu na kina kalala junior, luiza mbutu,badi bakule na wengineo anasema katika changamoto ambazo hawezi kuzisahau maishani mwake ni pamoja kuamini alikuwa anarogwa pindi tu alipifika twanga pepeta huku akiwashukuru kina Marehemu MCD,ABUU SEMHANDO lakini pia...