WAY

Monday, March 24, 2014

JONIKO FLOWER ASEMA WATU WASIFIKIRI KARUDI CHUCHU SOUND YEYE ALIWEZA KUFANYA SIKU MOJA KWA AJILI YA KUMBUKUMBU ILA HAWEZI KUPIGA TENA NAO KWA SIKU ZOTE ASEMA KITU AMBACHO HAKISAHAU KATIKA MAISHA YAKE NI WAKATI CHUCHU SOUND INAKUFA WALIWEZA KUPIGA VYOMBO VYA MZIKI KICHWANI TOKA MANZESE MPAKA MWANANYAMALA NI KITU ASICHOKISAHAU KATIKA MAISHA YAKE YA MUZIKI

Joniko flower ambae kwa sasa anaimbia band ya skylight band asema watu wasifikiri ataendelea kupiga na chuchu sound ila alifanya vile kwa kuwa kuwa ulikuwa ni  mkataba wa show ya siku moja ya kumbukumbu ya ya wenzao waliopoteza masiha kipindi hicho lakini pia kukumbuka kule walikota na chuchu sound kwa kuwa ni band iliyotengeza historia katika maisha yake,

Joniko asema kitu ambacho kinamkumbusha chuchu sound ni kitendo wakati band inaelekea kufa wanamuziki waliweza kugawana vyombo kubeba kuvirudisha kwa tajiri mwananyamala kutoka sinza huku yeye akibeba drums na wengine wakibeba vyombo vingine,nakuongeza kuwa hiyo ni changamoto ambayo amweza kukutana na na kutoisahau katika tasnia ya muziki

Aidha  joniko amefunguka kuhusiana na wanamuziki kubebwa na media wkati hawana uwezo wa kufanya kazi jukwaaani kwa kuwafurhisha watu na kusema hali hiyo imeenea sana hapa tanzania wengi wanafanya kazi kwa mazoea na sio uwezo wa kazi

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...