Mwanamuziki wa siku nyingi ambae aliondoka nchini miaka ya 90 akitokea band ya Mrquis original baada ya kutoka congo na kuweza kufanya kazi kwa muda mchache na band waliyoianzisha ya CHAMWINO JAZZ na ndipo alipovutika na mariquis na kwenda kuomba kazi na kupokelewa na mfalme NGUZA MBANGU VIKING ambapo aliweza kufanya kazi kwa mafanikio ya hali ya juu huku akiacha kumbukumbu ya wimbo mkali kama NGALLULA na ndipo alipopata deal la kwenda kurekodi nchini uingereza lakini mwisho wa siku akweza kuangukia katika nchi ya sweeden ambapo awali walianzisha band iliyoitwa MAKONDE BAND ambayo waliweza kufanya nayo sehemu tofauti ikiwemo uganda lakini baadae aliweza kujitoa na kuweza kuanzisha band yake mwenyewe ambayo ameipa jina la dekula band ingawa wa afrika mashariki wengi waishio sweeden wanapenda kukuita kwa mzee VUMBI,katika kile alichosema kuwa muziki wa tanzania kuna ladha imepotea ikiwemo ya upigaji wa tarumbeta na kusema sasa anataka kutoa album ambayo itakua na ladha zote zilizokuwa zinapigwa katika muziki wa dansi wa nezihizo tanzania,
AIDHA dekula amezitumia lawama baadhi ya media kwa kuweza kuua muziki wa dansi wakati kipindi hca nyumba walikuwa wanasapport sana kwa nguvu hivyo ameomba media ziweze kurudisha airtime za muziki wa dansi kama ilivyokuwa zamani, na kusema kwa kufanya hivyo na wanamuziki wa sasa wakiwa wabunifu basi muziki wadansi utakua kazi tosha na kurudi katika kiwango cha zamani ambapo zamani hadi nchi za kenya na uganda dansi ya swahili ilikuwa inatamba
Tuesday, March 4, 2014
Home »
» DEKULA KAHANGA 'VUMBI' APANIA KURUDISHA LADHA ZA MUZIKI WA DANSI ZILIZOPOTEA KATIKA KIZAZI KIPYA YUKO MBIONI KUACHIA ALBUM YAKE YA THE BEST OF DEKULA,ASEMA MEDIA NDIO ZILIKUZA MUZIKI WA TANZANIA NA NDIO ZINAZOKANDAMIZA MUZIKI HUO KWA SASA
DEKULA KAHANGA 'VUMBI' APANIA KURUDISHA LADHA ZA MUZIKI WA DANSI ZILIZOPOTEA KATIKA KIZAZI KIPYA YUKO MBIONI KUACHIA ALBUM YAKE YA THE BEST OF DEKULA,ASEMA MEDIA NDIO ZILIKUZA MUZIKI WA TANZANIA NA NDIO ZINAZOKANDAMIZA MUZIKI HUO KWA SASA
Related Posts:
JONIKO FLOWER ASEMA WATU WASIFIKIRI KARUDI CHUCHU SOUND YEYE ALIWEZA KUFANYA SIKU MOJA KWA AJILI YA KUMBUKUMBU ILA HAWEZI KUPIGA TENA NAO KWA SIKU ZOTE ASEMA KITU AMBACHO HAKISAHAU KATIKA MAISHA YAKE NI WAKATI CHUCHU SOUND INAKUFA WALIWEZA KUPIGA VYOMBO VYA MZIKI KICHWANI TOKA MANZESE MPAKA MWANANYAMALA NI KITU ASICHOKISAHAU KATIKA MAISHA YAKE YA MUZIKI Joniko flower ambae kwa sasa anaimbia band ya skylight band asema watu wasifikiri ataendelea kupiga na chuchu sound ila alifanya vile kwa kuwa kuwa ulikuwa ni mkataba wa show ya siku moja ya kumbukumbu ya ya wenzao wal… Read More
MSANII WA FILAMU KUTOKA KENYA ANAEFANYA SHUGHULI ZAKE NCHINI UJERUMANI AKANA KUWA DEMU WA WASANII NA AKANUSHA MADAI YA KUTAKA KUIVUNJA NDOA YA BOB JOUNIOUR ASEMA WASANII WA AAFRIKA MASHARIKI YEYE NDIO HUWA ANAWAPA SAPPORT WAFIKAPO UJERUMANI Msanii naekuja juu katika tasnia ya filamu afrika mashariki ambae anafanya shughuli zake ujerumani ASHLEY TOTOO amefunguka kuhusiana na skendo yake inayomkabili kuwa ni demu wa wasanii wa kutoka afrika mashariki ambao huwa w… Read More
BAADA YA KUIWEKA PEMBENI SUPER STARS BAND NA KUTUA KWA WANAJESHI WA RUVU STARS BAND WATAKA KURUDISHA ENZI ZA MABAND YA SERIKALI LAKINI NA USHINDANI KAMA ILIVYOKUWA ZAMANI MAGEREZA,POLIS JAZZ BAND KIMALUMALI NA NYINGINE WAACHIA TATU KWA MPIGO NI BAND INAYOUNDWA NA WANAMUZIKI WAZOEFU WA DANSI TANZANIA AKIWEMO ROGERT HEGGE CARTAPILA JE WATAWEZAA??? Band inayoundwa na wakongwe kama Rogert hegga( cartapila kilimanjaro),Amigolas,muhina panduka(toto tundu)khadija mnoga(kimobitel)waziwa kalala,jojoo jummane toka twanga pepeta,sele momba toka twanga pepeta,champion aliekuwa … Read More
DEKULA KAHANGA 'VUMBI' APANIA KURUDISHA LADHA ZA MUZIKI WA DANSI ZILIZOPOTEA KATIKA KIZAZI KIPYA YUKO MBIONI KUACHIA ALBUM YAKE YA THE BEST OF DEKULA,ASEMA MEDIA NDIO ZILIKUZA MUZIKI WA TANZANIA NA NDIO ZINAZOKANDAMIZA MUZIKI HUO KWA SASA Mwanamuziki wa siku nyingi ambae aliondoka nchini miaka ya 90 akitokea band ya Mrquis original baada ya kutoka congo na kuweza kufanya kazi kwa muda mchache na band waliyoianzisha ya CHAMWINO JAZZ na ndipo alipovutika na mar… Read More
JE WAJUA MITIHANI ALIYOPITA DOGO RAMA KATIKA MUZIKI JE WAJUA ASHAWAHI KUWA ANAPANDA JUKWAANI AKIMBA SAUTI HAITOKI NA MARA NYINGINE HATA KUKOHOA DAMU HIYO WAKATI AMEINGIA TU TWANGA PEPETA JE WAJUA ALIKUWA MPIGA DEBE NA MCHOMA CHIPS JIJINI MWANZA KUPITA BLOG HII AMEFUNGUKA Dogo rama mwanamuziki anaesimama vizuri kwa sasa ndani ya twanga pepeta katika safu ya uimbaji akishirikiana kwa ukaribu na kina kalala junior, luiza mbutu,badi bakule na wengineo anasema katika changamoto ambazo hawezi kuzi… Read More
.


0 comments:
Post a Comment