WAY

Monday, March 3, 2014

MJUE TABU MAMBO SASA MCHEZA SHOW WA ENZI HIZO ALIEGEUKIA MIC NA KUWA MKALI WA MASAUTI SASA ANAPIGA NA BAND YA HOTELI LAKINI ASEMA YUKO MBIONI KUACHIA NYIMBO ZAKE MWENYEWE ASEMA MZIKI WA DANSI UNARUDI KWA KASI

TABU MAMBOSASA si jina geni katika ulimwengu wa muziki wa dansi kam mfatiliaji ila kwa wale ambao inawezekana hawafahamu kabisa TABU ni mcheza show wa zamani(DANCER) mwanzoni mwa kiaka ya 90 hadi mwishoni mwa miaka ya 2000 ambapo alipitia kama dancer katika band nyingi ikiwemo BANTU GROUP iliyokuwa ikiongoza na komando hamza kalala lakini pia Marqus orchestre ya lakini hata baadae kumalizia show zake akiwa na band ya DOUBLE M SOUND iliyokuwa ikiongozwa na PRINCE MUUMINI MWINJUMA kipindi hicho ambapo baada ya hapo ndio aliamua kugeuka katika uimbaji na mwisho wa siku akaweza kuwa na band ya hoteli lakini ambapo anafanya kazi hiyo mpaka sasa huku akisisitiza kuwa mziki wa hoteli una uhakika wa malipo kuliko mziki wa kupiga kutegema waingiaji na yote hii ni kutokana na mziki wa dansi kipindi cha kati kushuka kutokana na media kutoka ipa kipaumbele miziki ya aina hiyo,

                                                   TABU MAMBOSASA
Aidha kuhsu ya kwamba miziku ya copy kuwa vipaji amesema sio kweli inatokana na mwanamuziki mwenyewe jinsi utakavyojiweka ndio kipaji kitakufa na kwa kusisitiza kuwa kipaji kipo ndipo hata alipoonyesha uwezo kwenye wimbo wa cheza Kidansi ambapo ndani yake wameimba wanamuziki ngulli akiwemo NYOSHI EL SADAAT,KHALIDI CHOKORA,ALAIN MULUMBA,KABATANO,MUUMINI MWINJUMA na yeye ameweza kuweka sauti yake humo na kuonyesha uhalisia kuwa licha ya kupiga mziki wa hotl lakini na filing nje ya muziki wa copy zipo bado
Pia amesema kwa sasa yuko njiani kurekodi kazi zake mwenyewd ambazo zitamtambulisha rasmi kipaji chake ambapo amesema katika nyimbo zake hizo atawashirikisha wanamuziki mbalimbali wa dansi

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...