WAY

Monday, March 5, 2012

HILI NDILO BALAA WALILOFANYA TWANGA -LINDI NA MTWARA- JAMAN MH!


Bendi kongwe nchini Tanzania na yanye mashabiki lukuki nchini pia yenye vipaji lukuki vya waimbaji wa kitanzania na na wanaopiga muziki wa kitanzania wamefanya bonge moja la show na kuwaacha watu wa kusini wakisimulia kila kukicha kumbe twanga hata aondoke nani moto wake ni ule ule fatilia picha za show hizo lindi na mtwara
        MIMI NDIO NILILIANZISHA KWA KUWATAMBULISHA WANA TWANGA

                       KAZI ILIANZA HAPA HUYU NI J4 ALIANZA KWA KUWAPANGA KWANZA
    ANCO VENA AKAMFUATA J4 KUJAZA VOCAL ZA UKWELI TWANGA BANA!
  MZUKA ULIZIDI KUPANDA BAADA YA KUPANDA RAPA GREYSON SEMSEKWA
   VOCALIST WA TWANGA DOGO RAMA ALIKUJA KUZIDISHA MASHAMBILIZI DUH!
    HAPA VIONGOZI WA TWANGA AMIGOLAS NA LUIZA WAKIWAPANGA WACHEZA  SHOW
    HAPA SASA VIONGOZI WA TWANGA NAO WAKAVAMIA KUIMARISHA MASHAMBULIZI DUH! HII NI MTWARA BANA

      Hapa sasa kuanzia kushoto kwenda kuliani ni Asha sharapova kiongozi,mary kimwana manywele,vicy buree,pamoja na maria salome walinza kushambilia jukwaa wengine wanasubiri wewe hatariiiiiiiii

         ah! dada luiza nyoni mbutu akasonga kusherehesha aisee ilikua balaaaa
     nae khadija mnoga kimobitel jembe alikamua kama kawa
      Hapo chacha akapanda tetemente grace akiwa na waziri mkuu wa shows madela mwanadada mrembo fashaaa na kiongozi wa show wakiume saidi sharooo
   hapa sasa watu wa kusini tunapenda kusema kumnogeaaaaaaaaaaaaaaaa hahahahaha
  aikutanie mtu bana mizuka ikipanda ni balaaaaaaaaaa c jui kama utaamini ilivyokua?
   mkongwe mcd handsome akizikung'uta tumba loh!
  mkongwe jojoo jumanne aki[iga kwa sataili ya aina yake bass gitaaaaaaaaa
   stage master le por du drums James kibosho akiliwa
   mkali kutoka kusini ni mlemavu wa macho lakini ni mwenye kipaji cha hali ya juu wakuziba international alikuwepo kuwasindikiza twanga

 BAADA YA HAPO SASA BALAA SI LIKAHAMIA LINDI
      BALAA LILIHAMIA OCEANIC WE ACHA TU AISEEE DUUH!@
          KAZI ILIKUA KUBWA KWELI KWELINI GRACE.SAIDI NA FASHAA NA MANDELA
     show ilikuaa bomba vibaya viabya iasee duh!
       mashabiki wa lindi wakipagawisha na shangwe la twanga ni hatari tupu
NB Twanga pepeta walizindua siongle yao ambayo bado haijapewa jina lakini wameshaanza kuiperfom kwenye stage ambayo imetungwa na raper GREYSON SEMSEKWA ITAKUWEPO KWENYE ALBUM YA KUMI NA MBILI YA TWANGA PEPETA YA KIMATAIFA DATS WATS UUUUUUUUP HAV A GUD DAY WAPENDWA


0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...