WAY

Wednesday, March 7, 2012

LUIZA AFUNGUKA KUHUSIANA KUCHAFULIWA KWA TWANGA PEPETA NA WATU KUJIPATIA UMAARUFU KUPITIA BAND YAO JE WAJUA TWANGA NI BAND INAYOOGOPWA KUPITA ZOTE!?

Kiongozi wa Twanga pepeta luiza nyoni mbutu afunguka kuhusiana na shutuma kila mwanamuziki akihama basi wa twanga pepeta hasa kuhusiana na mwanamuziki aliekuwa huru kwa muda mrefu ALLY AKIDA kuwa ametokea twanga pepeta amsema hiyo ni kutafuta biashara kupitia wao na  na sio kitu kizuri katika muziki lakini amesema yote ya yote amsema mwisho wa ubaya ni aibu kwa hayo yanaoongelea kwani mambo ya kuipaka tope twanga pepeta ingawa amesmea twanga ni kama mti wa matunda ambao watuchuma matunda lakini mwisho wa siku utazaa mengine
luiza amezungumza hayo wakati akiongea na mimi katika kiopindi cha extra africa na kusema mbinu za kuichafua zimebainika na wao wamejipanga vya kutosha ikiwamo kuongeza wanamuziki wengine na wacheza show wengine ambao wengi wao wanamaliza mikataba yao oman.
        nikiwa na kiongozi wa band ta twanga pepeta luiza nyoni mbutu kbla ya show mtwara
Aidha luizaalizungumzia kuondoka kwa dansa wa kike LILIAN INTERNET TUNGARAZA aliehamia mashujaa masema amendoka kwa kuaga na kwenda kuangalia upepo sehemu nyingine na yeye kamapa bless zote ingawa kama msanii kamamdogo ake hajapenda lakni ndio masiha ingawa pia kasema kama akiona kule hakumfai milango ya kurudi twanga pepeta ipo wazi wakati wowote kwa sababu pale ni kama kwa mama yake kwa kuwa amelelewa katika band hiyo.

      lilian internet aliehamia mashujaa mushujaa band kuimarisha safu ya ushambuliaji
aidha luiza amesema wamekwisha anza machakato wa kuandaa album ya kumi na mbili huku wakiwa tayari na nyimbo moja ambayo bado haijapewa jina lakini tayari washaanza kuperfom kwenye kumbi mbalimbali

        hao ndio wana wa kutwanga na kupepeta walipoangusha balaa mtwara ndani ya makonde.

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...