WAY

Wednesday, March 28, 2012

CHALZ BABA AZIDI KUNG'ARA SASA NDIE RAIS MPYA WA MASHUJAA MUSIC BAND

Mwanamuziki anaetikisa sasa katika ulimwengu wa music wa dansi tanzania CHALZ BABA a.k.a KINGUNGE a.k.a TORRES ameukwaa urais wa mashujaa music band katika uchaguzi uliofanyika siku ya jana katika ukumbi wa mashujaa pub uchaguzi ambao uliwahusisha wanamuziki katika upigaji kura huku uchaguzi huo ukisimamiwa na wadau wawili pamoja na mnenguaji sweet baby.chalz alipata kura 19 kati ya 26 nae chalz baba amesema ataliongoza kundi hilo kwa usawa kwa wanamuziki wote chalz baba ni rais wanne tangu kuanzishwa kwa mashujaa KAJO ambaye alichukua urais kutoka kwa JADOH hayo yamefanyika katika kwa ajili ya kuendelea kuliiiimarisha kundi linalotishia uhai wa makundi mengine nchini na tanzania na kuleta upinzani mkali kwa makundi kongwe nchini na huku moja ya mafaniko yao kwa sasa ni kuingiza nyimbo yao inayotikisa katika vituo mbalimbali vya radio na tv HUKUMU YA MNAFIKI ambao umeingia katika kinyang'anyiro cha nyimbo bora ya band wakati huo nyimbo nyingine ambayo ilitungwa na chalz baba UNGENIELEZA nayo ikiendelea kutikisa pamoja na wimbo waliomshirikisha nguli wa muziki wa dansi na wakiafrica PAPA WEMBA uliopewa jina la UMENINYIMA ukiendelea kutesa.
      LE PREZDAA OR RAIS YA MASHUJAA BAND CHALZ BABA KINGUNGE
Wakati huo huo chalza baba amweza kutoa ofa kwa walemavu wawili wa macho wenye vipaji vya kuimba kuweza kurekod wimbo ambao utawashirikisha mapacha watatu katika studio za sophia record walaemavu hao ambao nao wanatikisa kumbi mbali mbali za starehe  nao ni WAKUZIBA INTERNATIONAL PAMOJA NA MANJEGEKA ambao leo wameingia studio kurekod wimbo wao wa PIGO LA MOYO hii ikiwa ni remix ya ule wa kwanza ambao haukufanya vizuri wakuziba tarekod pamoja na khalid chokoraa pamoja na kalala jounour yote kwa udhamini wa PRESDENT CHALZ BABA
    CHALZ AKIPOKEA TUZO KUTOKA KWA KING KIKII MZEE WA KITAMBAA CHEUPE
   RAIS CHALZ BABA AKIWA NA 33 WOTE WA MASHUJAA BAND.

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...