WAY

Friday, March 9, 2012

MKALI WA MUZIKI WA KIAFRIKA TOKA KUSINI AMBAE PIA NI MLEMAVU WA MACHO(KIPOFU) WAKUZIBA INTERNATIONAL AACHIA MOJA KIDEONI IKIITWA I WANNA KNOW

Mkali wa muziki wa dansi mzee wa masauti wa kusini WAKUZIBA INTERNATIONAL ambaye pia ni mlemavu wa macho kwa sasa akifanya kazi jijini dar na band tofauti tofauti kama solo artist ikiwamo fm academia,extra bongo na nyinginezo ameachia video yake mpya kabisa ambayo itaanza kucheza katika vituo vya televishion. wimbo huo ambao ameachia akiwa na mlemavu wa macho mwenzake MANJEGEKA umeibwa kwa lugha mbili ikiwa kiswahili na lugha ya kingereza na zouk rb ambayo inapatikana katika album yao inayoitwa MWAKA WA HASARA album ambayo imejaa aina tofauti za ladha ikiwemo bongo flever,zouk.rhumba,sebene wakiwa wamtengenezea studio tofauti tofauti
          WAKUZIBA INTERNATIONAL MLEMAVU MWEYE KIPAJI CHA AJABU


album ya MWAKA WA HASARA kuna nyimbo kama PIGO LA MOYO,MWANOLA,MALAIKA,KUMUKO aliyoimba kwa mtindo wa zouk, kwa mujibu wa wakuziba anasema video yao imetengenezwa na producer zed hii ikiwa ni katikaa maandali ya kutoa album yao nyingine ambayo itawashirikisha wasanii tofauti tofauti
      WAKUZIBA AKIFANYA SHOW NA TWANGA PEPETA

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...