WAY

Friday, March 2, 2012

HABARI NJEMA KWA MASHABIKI WA CRISTINA BELLA WA AKUDO IMPACT AACHIA MOJA KALI

Mkali wa masauti na presidaa wa akudo impact cristian bela aptocalpto bela baada ya kutamba na album yake binafsi ya DONT PANIC  yenye nyimbo kali zilizotamba kama YAKO WAPI MAPENZI,MUZAMIL KATUNZI huku styl ya rap ikiwa ni BOMOA BOMOA sasa aja kivingine akimshirikisha ngili wa masauti tanzania BANANA ALY ZAHIR ZORO kutoka B BAND ngoma inayoitwa USILIE ambayo ipo kwenye staily ya rb rhumba kama mnavomjua bela na rhumba na kama unavojua rhumba lazima uwe na masauti na rb lazima uwe na masauti hapo ndipo utapoona utamu wa wimbo huo wa USILIE

         NIKIWA NA PRESIDAA YA AKUDO PRESIDAA YA MASAUTI, BELLA
      CRISTIAN BELLA AKITUMBIZA MASHABIKI

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...