Home »
» JE WAJUA ALIPO STAR WA MUZIKI WA DANSI WAZIRI SONYO BAADA YA KUTOKA JELA SASA ANARUDI KIVINGINE NA BAND NYINGINE
Aliewahi kutamba na band ya T.O.T plus kipindi hicho ikiwa chini ya LE GENERAL BANZA STONE wakati huwa akiwa na TOTO TUNDU NA ABDUL MISAMBANO Band ambayo ilitikisa ulimwengu wa dansi nchini kwa vibao kama MTAJI WA MASIKINI,ELIMU YA MJINGA lakini ukiacha yote hayo kibao kilichowahi kushika hatu ya muziki ni MASIMANGO ambacho kilitungwa na WAZIRI SONYO a,k.a KOMANDO sasa amerudi tena baada ya kutoka jela .WAZIRI SONYO alishwahi kutamba na band kama MVIKO SOUND,T.O.T PLUS,.AFRICAN REVOLUTION NA NYINGINE KIBAO KIBAO
WAZIRI SONYO ENZI ZAKE AKITIA MASAUTI
Kwa sasa WAZIRI SONYO yupo mkoani Tanga ambapo yupo na band ya NYUMBANI CLASSIC BAND ambao itakua ni band ya hotel huku wakisubiri ukumbi wao mkubwa wa jijin Dar-es-salaam uishe ili wahamishie majeshi jijini na kuanza upinzani na band zinazotamba na kutikingisha jiji lakini kwa mujibu wa waziri sonyo amesema tayari wapo mbioni kuitoa album ya nyumbani clasic band ambayo itakua na nyimbo sita ikiwamo NAZIHESABU HATUA ZANGU ambao ni utunzi wake mwenyewe huku band hiyo ikiwa na mwanadada anaejulikana kwa jina la lady ambae ni mzoefu wa nyimbo za copy inagawa vile vile akitegemea kutengeneza nyimbo ambayo itaingia katika album ya NYUMBANI CLASSIC BAND
WAZIRI SONYO AKIWA NA LE GENERAL BANZA STONE WAKIKUMBUSHIA ENZI KIDOGO KABLA SONYO HAJAPATA BAND.
SONYOamesema pamoja na mashabiki wake kummis toka alivyoenda jela lakini kwa sasa anaamini kuwa mwanzo mzuri wa kung'ara tena ndio huu na mashabiki wake wavute subira mengi mazuri yaja kwa waziri sonyo na band yake ya NYUMBANI CLASSIC.
WAZIRI SONYO a.k.a komandoo!
Related Posts:
TX MOSHI WILLIUM AKIWA SAMBAMBA NA ROMARII WAKIFANYA VITU… Read More
ISSA MUSSA .a.k.a CLOUD AIACHIA FILAMU YAKE YA PENZI LA GIZA SOKONI KWA SASA INAPATIKANA MADUKA ASEMA NI YA KIWANGO CHA HALI YA JUU
MTUNZI,MUONGOZAJI HODARI WA FILAMU ZA KITANZANIA CLOUD KUPIITIA KAMPUNI YAKE AMAIACHIA RASMI KAZI YAKE YA PENZI LA GIZA MAMBAYO KWA SASA INAPATIKA RASMI MADUKANI AMBAYO INAWAIGIZAJI AMBAO SI MAARUFU SANA ILA WAMEFANYA KAZI N… Read More
JACOB STEVEN a.k.a J.B a.k.a DJ BEN a.k.a TAX DRIVER AMESEMA WASANII WANAOCHIPUKIA WAWE NA SUBIRA SIO KUKURUPUKIA UMAARUFU AU KUTAKA KUFANYA KAZI NA WATU MAARUFU BILA KUPITA HAUA ZINAZOTAKIWA,AJIFANANISHA NA DENZEL WASHINGTON NA KUSEMA HATA YEYE HAWEZI KUTAKA KUFANYA KAZI NA DENZEL GHAFLA GHAFLA LAZIMA AHANGAIKE KWANZA HATA WAO WALISOTOA IVO IVO,ASEMA FILAMU YAKE MPYA YA UKURASA MPYA NDIO FUNGA KAZI
GWIJI wa tasnia ya maigizo nchini anaetamba na filamu za DJ BEN,TAX DRIVER,NAENDA KWA MWANANGU na hivi sasa akiwa mbioni kuingiza sokoni moive yao mpya kutoka jerusalem iitwayo UKURASA MPYA ambayo ndani yake kutakuna na msan… Read More
BAADA YA TOTOO ZE BINGWA NI ZAMU YA CRISTIAN BELLA ANADAIWA KUONDOKA BILA KUAGA NDANI YA BAND YA AKUDO IMPACT INASEMAKANA NA YEYE SIO TENA AKUDO IMPACT ILA TARSISI MASELA ASEMA AKUDO ITAENDELEA KUWEPO HATA IWEJE
Ukirudi nyumaa utaweza kukumbuka nyimbo kama SAFARI SIO KIFO,MAMA VANNESA,na nyingine nyingi zilizopigwa na akudo impact ambayo kwa siku za hivi karibun inaonekana kususa sua babada ya wanamuziki wake kila mmoja kuamua kufan… Read More
NANI ANAMKUMBUKA AMINA NGALUMA JAPANES ALIEWAHI KUTIKISA KATIKA MUZIKI WA DANSI KIPINDI CHA DOUBLE M,YUPO THAILAND AKIENDELEA KUPIGA MUZIKI,ASEMA AKIRUDI BONGO KAMA MUNGU AKIJALIA LAZIMA AANZISHE BAND YA UKWELI
KAMA unakumbuka vizuri kipindi cha DOUBLE M,AFRICAN REVOLUTION,ukimzungumiza AMINA NGALUMA ni mmoja kati ya wanawake wachache walioweza kusimama katika muziki wa band na kipindi hicho unawakuta kina JESCA CHARLS,LUIZA NYONI … Read More
0 comments:
Post a Comment