WAY

Tuesday, March 6, 2012

PAMOJA NA NYIMBO BAND YAKE KUWEKWA KWENYE NYIMBO BORA ZA BAND KATIKA KILI MUSIC AWARDS ALI CHOKI ASEMA HATOSHIRIKI KATIKA TUZO HIZO

MKURUGENZI ambae pia ni muimbaji wa band inayotikisa jiji la bongo kwa extra bongo LE KAMARADE ALLY CHOKI aweka wazi kuwa kamwe hatoshiriki katika tuzo hizo kwa sababu kuu mbili moja ikiwa ni ubabaishaji wa waandaji na vile vile yupo kwenye mkataba na kampuni ya bia ya SBL wakati tuzo hizo zinawezeshwa na kampuni ya bia TBL kwa hiyo hicho pia ni kiwazo tosha kwakwe kushiriki katika kinyang;anyiro hicho ambapo siku hizi kinakwenda kwa mtindo wa kupiga kura.
kwa mujibu wa alli choki amesmea toka tuzo hizo zianze pampja na ukali wa nyimbo zake hajawahi kupokea tuzo hata mara moja na hata wakati alipotoa album akiwa na twanga pepeta ambayo iliitwa mtaa wa kwanza na  baada kuibuka n ushindi lakini mtunzi ikaja kusemekana kuwa mtunzi wa nyimbo hiyo ni ASET kwa hiyo jina lake ni nadra sana kukubaika kwa waandaaji wa kili music awards kwa hiyo kamwe na milele daima hawezi kushiriki katika tuzo hizo labda zianzishwe nyingine.
       G.MBONGO NIKIWA NA MZEE WA KIJIKO LE KAMARADE ALLY CHOKI
lakini hata hivyo ally choki amesema amemruhusu rapa wake ferguson kushiriki tuzo hizo kwa kuwa yeye ni mwanamuziki anaejitegemea mua wowote anweza kuamua ni wapi anataka kwenda kufanya muziki lakin badn kama band haitaweza kushiriki katika tuzo hizo.
 aidha alichoki ameliongela sakata la mwanamuziki ambae ni mpiga magita yote aliekuwa twanga pepeta katika kipindi cha nyuma na aliewahi kupiga katika band yake kwa muda kuhamia mashujaa kwa mujibu wa ally kasema kuwa ALLY AKIDA aliwahi kupiga kama day worket tu lakini sio kama mwajiriwa rasmi kwa hiyo kuhamia kwake mashujaa si kutoka katika band yake bali alikua katika shughuli nyingine mbali na mziki na pia amesmea ally akida kwa sasa kiwango chake cha kupiga kimepungua snaa kutokana na kuwa nje ya muziki kwa muda mrefu
    CHOKI AKILIONGOZA KUNDI LAKE KATIKA SAFU YA UIMBAJI
Aidha kwa mujibu wa ally choki amesema ana mpango wa kuibomoa tena twanga pepeta ambapo jumatatu atwatambulisha rasmi wanamuziki hao ambao atawachukua kutoka twanga pepeta ingawa amekataa katakata kuzungumzia ni kina nai ambao atawachukua kutoka kandi band hiyo kongwe.
     LE KAMARADE ALLY CHOKI MZEE WA KIJIKO AKIWA KATIKA POZI




0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...