WAY

Sunday, December 9, 2012

FM ACADEMIA KUFANYA TAMASHA LA KUSHEHEREKEA MIAKA 15 KUZIALIKA BAND MBALIMBALI NA WANAMUZIKI WOTE WALIOWAHI KUPITIA FM ACADEMIA KUSHIRIKI KATIKA TAMASHA HILO ITAKUA NI SIKU MOJA KABLA YA KUPANDA JUKWAA MOJA NA KOFFI OLOMIDE

Band kongwe tanznia ya muziki wa dansi ambayo pia imejizolea mashabiki wengi kiasi cha kutosha wiki hii kufanya tamasha la kuadhimisha miaka 15 toka kuanzishwa kwa band hiyo ambapo  imepitia misukosuko mbali mbali moja wapo jela ambapo mapka wakaamua kujiita m academia wajelajela kabla ya kugawanyika na wengine kujiita wajelajela original na wengine wakijiita wajelajela gwaa.
                                     NIKIWA NA NYOSHI EL SAADAT
FM academia mbayo inaundwa na wanamuziki wengi wenye vipaji ila inayoongozwa na NYOSHI EL SAADAT lakini pia kuna wanamuziki kama PATCHO MWAMBA,MULE MULE,KING BLAISE,TOSCANEE NZIMBU,CHEK DAR,KALIDJO MWANA KITIKOLOLO,TOTOO KALALA,BARATEL DRUMS,EROMBEE KICHINJA NA WENGINE KIBAOOO.
 KATIKA sherehe hizo za fm academia band mbali mbali zitaweza kuhudhuria moja wapo ikiwa mapacha watatu,toto ze bingwa,na band nyingine ambazo zitatajwa hivi karibuni fm academia tyARI WANATAMBA NA ALBUM AMBAZO ZIMEKUA GUMZO SANA kama vile FREEDOM,DUNIA KIGEUGEU,VUTA NIKUVUTE LAKINI KWA SASA IPO JIKONI CHUKI ZA NINI AMBAYO ITAENDA KUTAMBULISHAWA RASMI SIKU HIYO.
                                             WAZEE WA NGWASUMA

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...