WAY

Monday, December 17, 2012

MUUMINI MWINJUMA KUITAMBULISHA RASMI VICTORIA SOUND LEO NDANI YA MTWARA ACHUKUA WANAMUZIKI TOKA,FM ACADEMIA,MASHUJAA,TWANGA,MAPACHA NA WENGINE CHIPUKIZIAMEANZA MAZOEZI LEO.

MWANAMUZIKI nguli wa muziki wa dansi ambae alishwahi kutamba na band mbali mbali za tanzania, ambapo zingine aliweza kuzimiliki yeye mwenyewe na baadae kutua twanga pepeta ambapo ndipo alipotokea sasa ametua rasmi ndani ya mtwara kwa ajili ya kuweka kambi ya  kujiandaa namahsambulizi ya kuliteka jiji tena kama alivyofanya kipindi cha double m na band zingine,ambapo amesema kwa sasa anaamini band hiyo itaweza kufanya vizuri zaidik kuliko zilizopita ambapo management yote ilikua anaiongoza yeye hivyo vitu vingine vikakosa ufanisi wa kuweza kufanya kazi na kupelekea bad hizo kuweza kufa mapema lakini kwa sasa amesema ataweza kuzirekodi na nyimbo nyingine za bwagamoyo sound band ambazo hakuweza kuzitoa kutokana na ukata ulioikumba band hiyo.
 muumini aliwataja baadi ya wanamuziki ambao wataunda band yake hiyo ni pamoja na WAZIRI SONYO,KASSIM BASS(mashujaa band)SELE MOMBA,(twanga pepeta)mpiga druma kutoka MAPACHA WATATU na wacheza show wawili kutoka fm academia COBRA NA EVA SIMBA na wengine kutoka mashujaa CHIKU NA MARIAM na wengine wengi ambao ataendelea kuwatambulisha baadae.
                             RAIS WA VICTORIA SOUND MUUMIN MWINJUMA

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...