WAY

Thursday, December 6, 2012

MUUMINI MWINJUMA KUZIVUNJA BAND KUBWA TANZANIA KUIIMARISHA VICTORIA BAND,KUJICHIMBIA KUSINI KUANDAA MASHAMBULIZI TAYARI WIMBO KADHAA KWA AJILI YA YA MASHABIKI WAKE NA VICTORIA JE BAND GANI NA GANI KUBOMOLEWA NA MUUMINI!?

Baada ya kurejea kutoka kenya bila vipaji alivyoenda kuvitafuta muumini amesema kwa sasa ili kuweza kuinda band yake iwe bora kama zingine anafanya mpnago wa kuweza kuzibomoa baadhi za band kubwa tanzania ikiwemo TWANGA PEPETA,EXTRA BONGO na nyingine ambapo amesema tayari anayotimu kilichobaki ni kuwasainisha tu halafu aweze kuiingia nao kambini aidha iringa au mtwara ambapo hivi karibu atatembmela ili aweze kupata sehemu nzuri kwa ajili ya kuweza kuweka chimbo katika kuandaa nyimbo ambazo  watakwenda kuzirekodo na kuanza nazo kazi baada ya kurejea dar-es-salaam ambapo anaamini ataweza kutikisa kwa kiwango kikubwa na kuweka band nyingine za kihistoria
LAKINI nilivyomuuliza kuhusiana na kufa kwa band ambazo alizianzisha akasema kwa mafano band ya mwisho yeye ndio alikua mkurugenzi na kila kitu kwa hiyo hakuweza kuhimili vishindo lakini kwa sasa kapata muwezeshaji sa ivi yeye ni rais wa band tu ambae anapanga mipango ya mashambuli katika muziki ila kuna muwezeshaji ambae ataweza kusimamia kwa kila kitu ambacho kitakua kinahitajika!
 aidha muumini alizitaja nyimbo ambazo zilizoandaliwa nia mpamoja na mapambano ya kipato ambayo alitokana twanga pamoja na utafiti wa mapenzi ambazo wataanza nazo katika band hiyo baada ya kupata wanamuziki anaowahitaji

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...