WAY

Thursday, December 13, 2012

KUELEKEA SHOW YA KOFFI ZENGWE LAIBUKA ALAIN MULUMBA ASHTUSHWA KUSIKIA KUNA DIAMOND MUSICA ORIGINAL ITAKAYOSINDIKIZA SHOW YA KOFFI OLOMIDE ASEMA YEYE HANA TAARIFA YOYOTE KUHUSIANA NA BAND HIYO ILA DIAMOND MUSICA BADO IPO,LAKINI SIO AMBAYO ITASINDIKIZA SHOW HIYO

                                                       ALAIN MULUMBA KASHAMA
Ikiwa ni bado siku kadhaa kuweza kushudia show ya mwanamuziki nguli  katika muziki wa kiafrica KOFFI OLOMIDE  limeibuka zengwe la band itakayosindikiza show ya kofii olomide moja wapo ikiwa ni DIAMOND MUSICA ORIGINAL ambapo kwa mujibu wa kiongozi wa band ya diamond musica international ALAIN MULUMBA KASHAMA nilivyomuuliza kuhusiana band yake kusindikiza show hiyo alishtuka na kusema kuwa band yao wenyewe hawajapewa mualiko ila anashangaa kusikia kuwa kuna diamond musica oroginal ambayo hata nyimbo zake hazijulikani hivyo watu kudhani kuwa band itakayosindikiza show hiyo itakua ni ya akina alain mulumba na hivyo na kusema kuwa hapo wamejitafutia jina la kuweza uvuma lakini ingawa hajui kabisa band hiyo ya ya diamond musica original imetokea wapi lakini amesema inawezekana kabisa imeanzishwa na aliekua mwanamuziki wa diamond zamani ambae pia aliunda band ya shegheni LIVER HASSAN SULTAN ambae pia anamiinika kuwa ndio muanzishaji wa band hiyo nyingine
                                                      LIVER HASSAN SULTAN
 PIA alain mulumba amesema kwa sasa amemua kufanya kazi zake mwenyewe ambapo kwa sasa yupo mbioni kutengenza video ya wimbo wake wa kibinda nkoi remix ambayo itakua kwa jina lake mwenyewe na si diamond musica tena ingawa wao kama wao diamond musica anasema bado wapo ila wanatafuta tu mdhamini ili kuweza kuanza kufanya tena kazi.

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...