WAY

Wednesday, December 12, 2012

MUUMINI MWINJUMA KUIVUNJA TWANGA NA MASHUJAA MUSICA AMCHUKUA MPIGA SOLO ANAETEGEMEWA KWA SASA TWANGA SELE MOMBA NA MPIGA BASS PEKEE WA MASHUJAA KASSIM BASS KUMRUDISHA KATIKA GAME WAZIRI SONYO KATIKA KUIMARISHA SAFU YA UIMBAJI VICTORIA SOUND KUWEKA KAMBI MTWARA

PRINCE MUUMINI MWINJUMA ambae pia ni rais mpya wa band ya VICTORIA BAND ambae kwa sasa amesema yuko kwenye makakati wa kusajili wanamuziki wapya wa band yake hiyo ambayo amesema itakua tishio katika medani ya muziki wa dansi na kusema kwa sasa yuko kwenye mchakato wa kusajili waimbaji chipukizi lakini tayari ameshawachukuwa wanamuziki wawili kutoka band kubwa ambapo amemchukua SELE MOMBA mpiga solo wa twanga pepeta ambae anakuja juu sana kwa sasa lakini vile vile na mpiga bass wa kutumainiwa wa MASHUJAA MUSICA,KASSIM BASS ambapo kwa mashuja mpiga bass ni mmoja tu na kuonyesha kwamba mashuja itabidi wafanye kazi ya ziada ya kuweza kumtafuta mpiga bass mwingine atakae weza kuziba pengo la kassim bass ingawa mwenyewe bado hajathibitisha kuondoka katika band hiyo.

                                                 SELE MOMBA KUTOKA TWANGA
                                    KASSIM BASS WA MASHUJAA BAND
PIA MUUMINI amesema lengo la kuweka kambi mkoani ni kwasababu ya usiriaz wa mazoezi ambayo watakua nayo kwa miezi kadhaa kwa ajili ya kutengeneza nyimbo mppya za band hiyo ambazo zitasammbazwa kwenye maradio baada ya kutka kurekodi huku kwa hiyo kambi yao inaweza kuwa ya miezi mitatu hadi minne kwa ajili ya kujiweka fiti na baada ya hapo wataweza kurejea dar kuweza kupambana na band nyingine jijini

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...