WAY

Tuesday, December 11, 2012

KUELEKEA SHOW YA KOFII OLOMIDE ZENGWE LA ASHA BARAKA KUTOTAKA MAPACHA WASHIRIKI ONYESHO HILO AFUNGUKA NA KUWEZA WAZI KUWA YEYE SIO MUAANDAJI HAWEZI KUPANGA MASHARTI YA BAND ZA KUIMBA ASEMA WASIWASI WAO KHALID CHOKORAA ASEMA BAND KUBWA HAZIJIAMINI NA PERFOMANCE ZAO NDIO MAANA WANAWAOGOPA ASEMA WATAAFANYA SHOW AMBAYO HAIJAWAHI TOKEA

WAKATI tukuelekea katika show ya KOFF OLOMIDE jumamosi ijayo mengi yameibuka kuhusiana na show hiyo ambapo kuna habari za chinichini zilizokuwa zinaungumzwa kuwa twanga wanataka kujitoa kutokana na mapacha watatu kuwepo katika show hiyo kwa aidha watoke wao au mapacha zengwe hilo nimelifatilia pande zote mbili ambapo niliweza kuongea na  DADA ASHA BARAKA ambae na yyeye ni mmoja ya waratibu wa tamasha hilo la koffi olomide na kusema yeye kapewa kazi tu ya kuratibu na si kusema band gani iimbe na band gani isiimbe kwa hiyo hilo ni swala la uongo ambalo watu wanaamua kutengeneza ili kumchafua lakini pia amesema yeye wamejiandaa kufanya hiyo show na watafanya nae show mbili nyingine watafanya nae tar 21 kilimanjaro.
                                             ASHA BARAKA MKURUGENZI WA ASET
LAKINI nae mkurugenzi wa mapacha watatu khalid chokoraa nilivyomuuliza kuhusiana hilo na akasema kuwa band nyingi zenye majina makubwa zinawaogopa kutoka na kuwa na perfmance ya chini hivo wanakuwa wanatilia zengwe ili wasiweze kushiriki katika matamamasha mbali mbali kutokana na kuogopa kufunikwa lakini hiilo lishashindikana kwa kuwa kwa sasa ndio wanapata show nyingi zaidi ya mwanzo na mungu anazidi kuwanyooshea.
                                                   WAKURUGEZNI WA MAPACHA WATATU

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...