Wednesday, November 13, 2013
Home »
» MWENYEKITI WA NCCR MAGEUZI ATOA RATIBA YA MAZISHI YA DK SENGODO MVUNGI JESHI LA POLISI LASEMA LINAWASHIKILIA WATU TISA KUHUSIANA NA TUKIO HILO
MWENYEKITI WA NCCR MAGEUZI ATOA RATIBA YA MAZISHI YA DK SENGODO MVUNGI JESHI LA POLISI LASEMA LINAWASHIKILIA WATU TISA KUHUSIANA NA TUKIO HILO
Mkurugenzi wa Katiba, Sheria
na Haki za Binadamu wa NCCR-Mageuzi, Dk Sengodo Mvungi amefariki dunia jana
alasiri nchini Afrika Kusini alipokuwa akipatiwa matibabu.
Taarifa za kifo chake
zimethibitishwa na Mwenyekiti Taifa wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia.
Akizungumuza na safari radio
leo asubuhi Mbatia amesema taratibu za mazishi zimekwishapangwa ambapo mwili wa
marehemu utawasili nchini siku ya ijumaa ya tar 15 na kusomewa ibada tar 16
katika kanisa la mt joseph jijini Dar-es-salaam
Aidha siku hiyo hiyo saa 9 na nusu utapelekwa karimjee kwa ajili ya
kupewa heshima za mwisho na viongozi pamoja na watu mbalimbali.
Mbatia ameongeza kuwa jumapili
ya tar 17 jioni mwili utasafirishwa kupelekwa mkoani Kilimanjaro katika wilaya
ya mwanga kwa ajili ya maziko yatakayofanyika tar 18.
Dk Mvungi alijeruhiwa kwa
kukatwa na mapanga kichwani Novemba 13, mwaka huu nyumbani kwake Kibamba
Msakuzi na watu wanaosadikiwa ni majambazi.
Related Posts:
JACOB STEVEN a.k.a J.B a.k.a DJ BEN a.k.a TAX DRIVER AMESEMA WASANII WANAOCHIPUKIA WAWE NA SUBIRA SIO KUKURUPUKIA UMAARUFU AU KUTAKA KUFANYA KAZI NA WATU MAARUFU BILA KUPITA HAUA ZINAZOTAKIWA,AJIFANANISHA NA DENZEL WASHINGTON NA KUSEMA HATA YEYE HAWEZI KUTAKA KUFANYA KAZI NA DENZEL GHAFLA GHAFLA LAZIMA AHANGAIKE KWANZA HATA WAO WALISOTOA IVO IVO,ASEMA FILAMU YAKE MPYA YA UKURASA MPYA NDIO FUNGA KAZI GWIJI wa tasnia ya maigizo nchini anaetamba na filamu za DJ BEN,TAX DRIVER,NAENDA KWA MWANANGU na hivi sasa akiwa mbioni kuingiza sokoni moive yao mpya kutoka jerusalem iitwayo UKURASA MPYA ambayo ndani yake kutakuna na msan… Read More
TX MOSHI WILLIUM AKIWA SAMBAMBA NA ROMARII WAKIFANYA VITU… Read More
NANI ANAMKUMBUKA AMINA NGALUMA JAPANES ALIEWAHI KUTIKISA KATIKA MUZIKI WA DANSI KIPINDI CHA DOUBLE M,YUPO THAILAND AKIENDELEA KUPIGA MUZIKI,ASEMA AKIRUDI BONGO KAMA MUNGU AKIJALIA LAZIMA AANZISHE BAND YA UKWELI KAMA unakumbuka vizuri kipindi cha DOUBLE M,AFRICAN REVOLUTION,ukimzungumiza AMINA NGALUMA ni mmoja kati ya wanawake wachache walioweza kusimama katika muziki wa band na kipindi hicho unawakuta kina JESCA CHARLS,LUIZA NYONI … Read More
HIVI NDIVYO MSONDO NGOMA WALIVYOFANYA MTWARA WEEKEND HII KUMBEE MZEE GURUMO BADO YUMO SANAAA AWAKONGA MASHABIKI NYOYO MZEE MAALIM SALEH… Read More
MTOTO WA TX MOSHI, HASSAN MOSHI AKIFATA NYAYO ZA BABA YAKE HEBU TIZAMA A...… Read More
.


0 comments:
Post a Comment