WELCOME TO GMBONGO BLOG

To keep the body in good health is a duty... otherwise we shall not be able to keep our mind strong and clear.

WAY

Wednesday, February 26, 2014

CHALZ BABA AJITAPA KUCHUKUA TENA TUZO TANO KWENYE KILI ASEMA USHAMBA MZIGO NA THAMANI YA MTU NI KAZI TOSHA KWA KUIBUKA KIDEDEA MWAKA HUU MBIONI KUKAMILISHA ALBUM NYINGINE AMBAYO WATAIZUNDUA KUANZIA MWEZI WA SABA

Rais wa mashujaa musica band amesema kwa mwa huu mfululizo watachukua tuzo tano tena kutoka kill music award kwa kuwa anaamini toka mwaka jana hakuna band iliyoweza kufanya vizuri zaidi yao tena na wameachia nyimbo mbili ikiwemo USHAMBA MZIGO pamoja na THAMANI YA MTU ambapo amesema nyimbo hizo mbili zinatosha kabisa kuweza kuwafanya kuwa vinara katika tuzo za kill award tanzania...

Monday, February 24, 2014

VIJANA GWASUMA KUZINDUA TAR 28 BAADA YA WIMBO WAO WA WALE WALE KUJA NYINGINE KALI WASEMA JINA LA MATRIX MUSIC HALIKUSOUND VIZURI NDIO MAANA WAKAAMUA KUJIITA VIJANA GWASUMA!!!!

Ile band ya inayoundwa na vijana wengi waliojiengua kutoka band ya fm academia wazee wa ngwasuma na kuunda band ambayo waliita vijana ngwasuma ambayo inaundwa na wasanii waliotka fm academia kama vile BEN BIAVANGA,TOSCANE NZIMBU,CHEKDAR,PAPPY CATALOGY,KAMANYOLA na wengine ambao wameongeza katika kuweza kuipa nguvu band hiyo nakufanya kufika jumla ya wanamuziki 15 ambao ndio...

Friday, February 21, 2014

WAKIWA WANAELEKEA KWENYE UZINDUZI WA MTENDA AKITENDEWA KESHO ALLY CHOKI AFUNGUKA KUHUSU REDOCK MAUZO NA KABATANO ASEMA HAJAFANYA LOLOTE NDANI YA EXTRA BONGO NA HAWEZI KUWAZUNGUMZIA ASEMA NI WATU WASIOKUMBUKA FADHILA TAMAA ZA PESA ZA MARA MOJA NDIO ZIMEWAPONZA ASEMA SASA TIMU ALIYONAYO NDIO KIKOSI CHA MAANGAMIZI WATU WASUBIRI SUPRISE KWENYE UZINDUZI KAMA KAWAIDA YAKE

Mkurugenzi wa extra bongo nextlevel LE KAMARADE ALLY CHOKI MZEE WA KIJIKO IGWEE amefunguka kuhusiana na sakata la wanamuziki waliondoka kwenye band yake na kwenda kufanya show za nje bila ruhusa yake ingawa wao wanasema aliwaruhusu ila dakika za mwisho ndio akawakatalia kwanza kabisa choki alisema hawezi kuongea kuhusu kabatano kwa sababu hakuna kikubwa alichokifanya extra...

BAADA YA KUKATAA BARUA YA KUOMBA MSAMAHA URUDI EXTRA BONGO REDOCK MAUZO AREJEA T.O.T ASEMA YALIYOPITA YAMEPITA SASA WANAANZA UPYA KUIZUNDUA BENDI RASMI BAADA YA MAONYESHO KADHAA YA CCM KATIKA BAADHI YA MIKOA ASEMA CHOKI ALIWAGEUKA DAKIKA ZA MWISHO

Aliekua mwanamuziki wa band ya extra bongo next level REDOCK MAUZO ambae yeye na mwenzake KABATANO waliweza kusimamishwa katika band hiyo baada ya kusemakana kuwa wamekiuka mkataba wao wa kufanya kazi nje ya band yao bila ruhusa ya kiongozi wa band amefunguka baada ya kumuuliza ilikuaje ameshindwa kuandika barua ya kuomba msamaha kama alivyoagizwa na mkurugenzi wake anasema...

Thursday, February 20, 2014

BAADA YA CHIMBO LA MUDA MREFU SASA ANCO VENA DIGITAL ALIEKUWA MWIMBAJI WA TWANGA PEPETA SASA AKABIDHIWA BAND NA JESHI LA POLISI IKIITWA SUPER KWATA INTERNATIONAL TAYARI WASHAKAMILISHA MBILI MBIONI KUITAMBULISHA RASMI

Aliekua  muimbaji kinara wa twanga pepeta ANCO VENA DIGITAL ambae alitoweka katika mazingira ya utata na hatimaye tukasikia kuwa yupo katika mafunzo ya jeshi la polisi sasa aibukia huko na kukabidhiwa band ya jeshi hilo mjini moshi ikiitwa SUPER KWATA INTERNATIONAL ambayo tayari wameshaanza kuingia studio na tayari wamekwisha kamilisha nyimbo mbili ambazo wataingia kurekodi...

Tuesday, February 18, 2014

ZAGREB BUTAMU SURA MVUTO WA AKUDO IMPACT AKAMILISHA ALBUM YAKE YA KIFUA MBELE ASEMA ATAZINDUA BAADA YA UZINDUZI WA ALBUM YAO YA AKUDO IMPACT KAA TAYARI

Mwanamuziki wa muda mrefu wa akudo impact ameweza kuibuka na kusema amewisha kamilisha ablum yake binafsi nje ya akudo impact ambayo kwa amesema kwa juhudi zake binafsindio maana amechukua muda kuitoa album hiyo na kusema tayari nyimbo sita zimekwisha kamilika huku akiendelea kuzifanyia video ili aweze kuanza kuzisambaza katika vituo mbalimbali vya televishen na kuahidi pia...

WASANII nchini wametakiwa kujiunga katika mfuko wa pesheni kwa watumishi wa umma –PSPF-ili waweze kujiwekea akiba kwa maaisha yao ya baadae.

2 WASANII nchini wametakiwa  kujiunga  katika  mfuko wa  pesheni  kwa watumishi wa  umma –PSPF-ili  waweze  kujiwekea  akiba kwa maaisha  yao  ya  baadae. Hayo  yamesemwa leo  jijini Dar es Salaam na  Meneja  msaidizi  mpango  wa uchangiaji wa hiari –PSPF-Matilda  Nyallu wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa  habari  kuhusiana na ...

Thursday, February 6, 2014

AKUDO IMPACT KUTAMBULISHA WANAMUZIKI KUMI WAPYA SIKU YA ONYESHO LAO LA NO BIF TUPENDANEWAKIWEMO WANNE WALIOTOKA MALAIKA BAND SASA KUANDAA ALBUM NYINGINE BAADA ILE YA HISTORIA NO CHANGE AMBAYO WASANII WENGI HAWAPO TARSIS ASEMA HAWAWEZI KUTAMBULISHA NYIMBO WAKATI NYINGINE HATA WALIOIMBA HAWAPO ASEMA MWAKA HUU NI KUWASHA MOTO WANAANZA NA NO BIF TUPENDANE NA MAPACHA

Akiongea na blog hii kiongozi na rais wa Akudo impact  TARSIS MASELA JOTO ambae alikuwa akizungumzia show yao ya tar 14 na mapacha watatu walioipa jina la NO BIF TUPENDANE amesema siku hiyo watatambulisha wanamuziki kumi wapya wakiwemo waliachishwa malaika band na kusema kuwa walienda kuomba kazi kwao na wamewachukua kwa kuwa ni wafanyakazi wazuri na wanaweza kuifanya...

Wednesday, February 5, 2014

BAADA YA KUFANYA WIMBO AMBAO HAUKUFANYA VIZURI KAMA WALIVYOTARAJIA SASA SKYLIGHT BAND KUURIDOA WIMBO WA KARIAKOOO NA SASA VIDEO YA WIMBO HUO IPO KATIKA HATU ZA MWISHO KUTOKA BAADA YA ULE WA KWANZA KUWA NA KASORO KATIKA USIKUVU NI AFRO POP YENYE SEBENE KALI

Akiongea na blog hii kiongozi wa band ya skylight Aneth kushaba amesema wako katika hatua za mwisho za kukamilisha marudio ya wimbo wa kariakoo ambao waliutoa mwaka jana  lakini haukufanya vizuri sokoni kutokana na mixing zake kuwa mbovu lakini pia kuwana promo ndogo katika media sasa wameama kushirikiana na mameneja wa wanamuziki wa kizazi kipya kama BABU TALE ili kuweza...

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...