WAY

Monday, February 24, 2014

VIJANA GWASUMA KUZINDUA TAR 28 BAADA YA WIMBO WAO WA WALE WALE KUJA NYINGINE KALI WASEMA JINA LA MATRIX MUSIC HALIKUSOUND VIZURI NDIO MAANA WAKAAMUA KUJIITA VIJANA GWASUMA!!!!

Ile band ya inayoundwa na vijana wengi waliojiengua kutoka band ya fm academia wazee wa ngwasuma na kuunda band ambayo waliita vijana ngwasuma ambayo inaundwa na wasanii waliotka fm academia kama vile BEN BIAVANGA,TOSCANE NZIMBU,CHEKDAR,PAPPY CATALOGY,KAMANYOLA na wengine ambao wameongeza katika kuweza kuipa nguvu band hiyo nakufanya kufika jumla ya wanamuziki 15 ambao ndio wanawasimamisha vijana ngwasuma,
Wakiwa tayari wameshachia wimbo wao wa WALE WALE sasa wako katika mpango wa uzinduzi utakaoenda kufanya mwishoni mwa mwezi huu wa pili ikiwa ni utambulisha rasmi wa band lakini baada ya hapo project nyingine za kurekodi nyimbo zinafanyika huku uzinduzi huo wakipewa shavu na bosi kubwa RUGE MUTAHABA


                      ME AND CHEK DAR

Akizungumza kwanini kwa mara ya kwanza walijiita matrix music na baadae sasa kuibukia kwenye jina la vijana ngwasuma mmoja wanamuziki wa band hiyo toscanee nzimbu amesema kuwa waliwasikiliza mashabiki na kupendekeza jina la vijana ngawasuma ndio jina ambalo litakua vizuri zaidi kwa kuwa wao wametoka kwenye band ya fm academia WAZEE WA NGWASUMA,

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...