WAY

Friday, February 21, 2014

BAADA YA KUKATAA BARUA YA KUOMBA MSAMAHA URUDI EXTRA BONGO REDOCK MAUZO AREJEA T.O.T ASEMA YALIYOPITA YAMEPITA SASA WANAANZA UPYA KUIZUNDUA BENDI RASMI BAADA YA MAONYESHO KADHAA YA CCM KATIKA BAADHI YA MIKOA ASEMA CHOKI ALIWAGEUKA DAKIKA ZA MWISHO

Aliekua mwanamuziki wa band ya extra bongo next level REDOCK MAUZO ambae yeye na mwenzake KABATANO waliweza kusimamishwa katika band hiyo baada ya kusemakana kuwa wamekiuka mkataba wao wa kufanya kazi nje ya band yao bila ruhusa ya kiongozi wa band amefunguka baada ya kumuuliza ilikuaje ameshindwa kuandika barua ya kuomba msamaha kama alivyoagizwa na mkurugenzi wake anasema mpka dakika za mwisho mkurugenzi huyo alikua amewaruhusu kwenda kufanya kazi na JOHN KOMBA lakini wakiwa wamekwisha chukua hela ya komba ndio siku chache tu kabla ya kwenda kufanya hiyo show ndipo choki alipowaambia wasiende katika maonyesho hayo lakini wenyewe kwa kuwawalikua wameshachukua pesa kutoka kwa boss huyo wa T.O.T ilibidi waende na ndipo waliporejea wakawa wameshongea na komba mwenyewe kuanzisha t.o.t mpya ambayo itakua inapiga hotel pamoja na kumbi zingine tofauti tofauti.pia redo aliongeza kuwa kila mwanamuziki anapenda maisha mazuri sasa kwa kuwa wameahidiana mambo mazuri na komba wameona bora waendelee na john komba katika kuanzisha band hiyo iliyokufa katika medani ya muziki.
                                                 REDOCK MAUZO
Redo amesema kwa sasa yuko katika mpango wa kukamilisha nyimbo yake lakini pia katika mpango wa kutafuta wanamuziki wengine ambao wataungana pamoja katika kuendeleza band hiyo amesema
Nilivyomuuliza kuhusu mikasa iliyowakuta wakati wapo T.O.T amesema kwa kuwa manegment imebadilika basi hawana budi kukubali kurudi hapo kwa kuwa watakuwa na maslah napo

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...