Home »
» CHALZ BABA AJITAPA KUCHUKUA TENA TUZO TANO KWENYE KILI ASEMA USHAMBA MZIGO NA THAMANI YA MTU NI KAZI TOSHA KWA KUIBUKA KIDEDEA MWAKA HUU MBIONI KUKAMILISHA ALBUM NYINGINE AMBAYO WATAIZUNDUA KUANZIA MWEZI WA SABA
Rais wa mashujaa musica band amesema kwa mwa huu mfululizo watachukua tuzo tano tena kutoka kill music award kwa kuwa anaamini toka mwaka jana hakuna band iliyoweza kufanya vizuri zaidi yao tena na wameachia nyimbo mbili ikiwemo USHAMBA MZIGO pamoja na THAMANI YA MTU ambapo amesema nyimbo hizo mbili zinatosha kabisa kuweza kuwafanya kuwa vinara katika tuzo za kill award tanzania ambapo mwaka jana walichuku tuzo za BAND BORA YA MWAKA,WIMBO BORA WA DANSI,MUIMBAJI BORA WA KIUME,MTUNZI BORA WA MASHAIRI NA RAPA BORA WA BAND wote walitoka ndani ya mashujaa musica band hku akisemma na mwaka huu itakuna ni vile vile zaidi akiwaomba mashabiiki wao waendelee kuwapa sapoti kwa kuendelea kuwapigia kura.
CHALZ BABA KINGUNGE
Aidha CHALZ baba amesema wako katika maandalizi ya kumalizia kurekodo album yao ambapo nyimbo karibia zote ziko tayari kasoro kurekodi na kusema mpka ikifika mwezi wa saba watakuwa wameshakamilisha na itakua tayari kwa kufanya uzinduzi na kusema kuwa pia mwaka huu uzinduzi hautafanyika dar-es-salaam peke bali hata baadhi ya mikoa itaweza kushuhudia zinduzi za album hiyo ambayo haijapewa jina bado
Related Posts:
ISSA MUSSA .a.k.a CLOUD AIACHIA FILAMU YAKE YA PENZI LA GIZA SOKONI KWA SASA INAPATIKANA MADUKA ASEMA NI YA KIWANGO CHA HALI YA JUU
MTUNZI,MUONGOZAJI HODARI WA FILAMU ZA KITANZANIA CLOUD KUPIITIA KAMPUNI YAKE AMAIACHIA RASMI KAZI YAKE YA PENZI LA GIZA MAMBAYO KWA SASA INAPATIKA RASMI MADUKANI AMBAYO INAWAIGIZAJI AMBAO SI MAARUFU SANA ILA WAMEFANYA KAZI N… Read More
BAADA YA TOTOO ZE BINGWA NI ZAMU YA CRISTIAN BELLA ANADAIWA KUONDOKA BILA KUAGA NDANI YA BAND YA AKUDO IMPACT INASEMAKANA NA YEYE SIO TENA AKUDO IMPACT ILA TARSISI MASELA ASEMA AKUDO ITAENDELEA KUWEPO HATA IWEJE
Ukirudi nyumaa utaweza kukumbuka nyimbo kama SAFARI SIO KIFO,MAMA VANNESA,na nyingine nyingi zilizopigwa na akudo impact ambayo kwa siku za hivi karibun inaonekana kususa sua babada ya wanamuziki wake kila mmoja kuamua kufan… Read More
KUTOA MIMBA KWA WASANI WA BONGO MOVIE NI KAMA FASHION-MAINDA
Msanii wa kike asiye na skendo mjini hapa MWANAIDI SUKA (MAINDA) amefunguka na kusema kitendo cha kutoa mimba kwa wasanii wa kike ni cha kawaida kabisa kwani usipofanya hivyo unaonekana hauko kwenye fashion,,,,… Read More
BAADA YA KUFANYA SHOW YA VODACOM KARIBU MIKOA YOTE YA TANZANIA KWA MAFANIKIO MAPACHA WATATU WASASA WAREJEA DAR LEO KUTAMBULISHA WANAMUZIKI WATATU WAPYA VIPAJI TOKA MIKOANI WAKISINDIKIZWA NA ISHA MASHAUZI NDANI YA MANGO GARDEN
Mapacha watatu baada ya ziara mikoani ktk kuitangaza vodacom m-pesa..sasa
wamerudi dar kwa kishindo kwa kuandaa bonge la show
ya utambulisho wa wanamuziki wapya ambao ni..samaduu,john cena,papii
pamba,hw… Read More
JACOB STEVEN a.k.a J.B a.k.a DJ BEN a.k.a TAX DRIVER AMESEMA WASANII WANAOCHIPUKIA WAWE NA SUBIRA SIO KUKURUPUKIA UMAARUFU AU KUTAKA KUFANYA KAZI NA WATU MAARUFU BILA KUPITA HAUA ZINAZOTAKIWA,AJIFANANISHA NA DENZEL WASHINGTON NA KUSEMA HATA YEYE HAWEZI KUTAKA KUFANYA KAZI NA DENZEL GHAFLA GHAFLA LAZIMA AHANGAIKE KWANZA HATA WAO WALISOTOA IVO IVO,ASEMA FILAMU YAKE MPYA YA UKURASA MPYA NDIO FUNGA KAZI
GWIJI wa tasnia ya maigizo nchini anaetamba na filamu za DJ BEN,TAX DRIVER,NAENDA KWA MWANANGU na hivi sasa akiwa mbioni kuingiza sokoni moive yao mpya kutoka jerusalem iitwayo UKURASA MPYA ambayo ndani yake kutakuna na msan… Read More
0 comments:
Post a Comment