WAY

Wednesday, February 26, 2014

CHALZ BABA AJITAPA KUCHUKUA TENA TUZO TANO KWENYE KILI ASEMA USHAMBA MZIGO NA THAMANI YA MTU NI KAZI TOSHA KWA KUIBUKA KIDEDEA MWAKA HUU MBIONI KUKAMILISHA ALBUM NYINGINE AMBAYO WATAIZUNDUA KUANZIA MWEZI WA SABA

Rais wa mashujaa musica band amesema kwa mwa huu mfululizo watachukua tuzo tano tena kutoka kill music award kwa kuwa anaamini toka mwaka jana hakuna band iliyoweza kufanya vizuri zaidi yao tena na wameachia nyimbo mbili ikiwemo USHAMBA MZIGO pamoja na THAMANI YA MTU ambapo amesema nyimbo hizo mbili zinatosha kabisa kuweza kuwafanya kuwa vinara katika tuzo za kill award tanzania ambapo mwaka jana walichuku tuzo za BAND BORA YA MWAKA,WIMBO BORA WA DANSI,MUIMBAJI BORA WA KIUME,MTUNZI BORA WA MASHAIRI NA RAPA BORA WA BAND wote walitoka ndani ya mashujaa musica band hku akisemma na mwaka huu itakuna ni vile vile zaidi akiwaomba mashabiiki wao waendelee kuwapa sapoti kwa kuendelea kuwapigia kura.



                       CHALZ BABA KINGUNGE
Aidha CHALZ baba amesema wako katika maandalizi ya kumalizia kurekodo album yao ambapo nyimbo karibia zote ziko tayari kasoro kurekodi na kusema mpka ikifika mwezi wa saba watakuwa wameshakamilisha na itakua tayari kwa kufanya uzinduzi na kusema kuwa pia mwaka huu uzinduzi hautafanyika dar-es-salaam peke bali hata baadhi ya mikoa itaweza kushuhudia zinduzi za album hiyo ambayo haijapewa jina bado

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...