WAY

Thursday, February 20, 2014

BAADA YA CHIMBO LA MUDA MREFU SASA ANCO VENA DIGITAL ALIEKUWA MWIMBAJI WA TWANGA PEPETA SASA AKABIDHIWA BAND NA JESHI LA POLISI IKIITWA SUPER KWATA INTERNATIONAL TAYARI WASHAKAMILISHA MBILI MBIONI KUITAMBULISHA RASMI

Aliekua  muimbaji kinara wa twanga pepeta ANCO VENA DIGITAL ambae alitoweka katika mazingira ya utata na hatimaye tukasikia kuwa yupo katika mafunzo ya jeshi la polisi sasa aibukia huko na kukabidhiwa band ya jeshi hilo mjini moshi ikiitwa SUPER KWATA INTERNATIONAL ambayo tayari wameshaanza kuingia studio na tayari wamekwisha kamilisha nyimbo mbili ambazo wataingia kurekodi moja ikiiwa DONT TRUST ANY ONE na nyingine ikiitwa JULIANA,


Akizungumzia ujio wake mpya amesema watu wasubiri mambo makubwa baada ya kukaa kimya muda mrefu huku wengine wakifikira kuwa maeacha muziki na kusema mashabiki wake wasiwe na wasiwasi kwa sababu bendi ya super kwata itakua kama band nyingine za ushindani kwa kuweza kurekodi na kuingiza sokoni na kufanya show tofauti tofauti pia katika maeneo tofauti tofauti pia
huku akiongeza kuwa sasa wapo kambini kwa ajili ya kuweza kukamilisha album kabisa

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...