WAY

Thursday, February 6, 2014

AKUDO IMPACT KUTAMBULISHA WANAMUZIKI KUMI WAPYA SIKU YA ONYESHO LAO LA NO BIF TUPENDANEWAKIWEMO WANNE WALIOTOKA MALAIKA BAND SASA KUANDAA ALBUM NYINGINE BAADA ILE YA HISTORIA NO CHANGE AMBAYO WASANII WENGI HAWAPO TARSIS ASEMA HAWAWEZI KUTAMBULISHA NYIMBO WAKATI NYINGINE HATA WALIOIMBA HAWAPO ASEMA MWAKA HUU NI KUWASHA MOTO WANAANZA NA NO BIF TUPENDANE NA MAPACHA

Akiongea na blog hii kiongozi na rais wa Akudo impact  TARSIS MASELA JOTO ambae alikuwa akizungumzia show yao ya tar 14 na mapacha watatu walioipa jina la NO BIF TUPENDANE amesema siku hiyo watatambulisha wanamuziki kumi wapya wakiwemo waliachishwa malaika band na kusema kuwa walienda kuomba kazi kwao na wamewachukua kwa kuwa ni wafanyakazi wazuri na wanaweza kuifanya akudo kuwa mpya kabisa akizungumzia wanamuziki hao kuwa ni FADY DIPIRONE,DADY DIPIRONE,COCO NGEMBA. na wengine watakao watambulisha ni sauti ya ng'ombe ambae ametokea morogoro,na wanamuziki engine ambao wamewachukua kutoka congo
Tarsisi amesema wameamua kuimarisha band yao na sasa wapo katika harakati ya kuweza kurekodi na wanamuzikik hao ili kuweza kutengeneza album nyingine baada ya ile ya kwanza wanamuziki wengi walifanya baadani ya nyimbo kuwa hawapo kama vile CRISTIAN BELLA,TOTOO ZE BINGWA,ANDREA SEKEDIA ambao ndio wameunda MALAIKA BAND,KANAL TOP ambae yupo nje ya nchi kwa shughuli zake binafsi sasa  tarsis amesema kwa wanamuziki watakao watambulisha siku hiyo ndio wanatarji kutengeneza album nyingine ambapo tayari wameshatengeneza wimbo wa penzi lako linazidi asali



                       CHOKORAA,TARSIS,JOSE MARA
 lakini tarsis amesema kuwa siku ya show hiyo pia watatambulisha wimbo wao mwingine unaitwa watu
NA amesema wameamua kufanya na mapacha watatu kwa sababu ni kweli no bif na sio kwamba wanabif na band nyingine ila ni kutokana na ratiba za band nyinginee kwa siku hiyo na kwa kuwa wanapiga uwanja wa nyumbani wa mapacha ambao wanapiga kila ijumaa

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...