WELCOME TO GMBONGO BLOG

To keep the body in good health is a duty... otherwise we shall not be able to keep our mind strong and clear.

WAY

Tuesday, August 19, 2014

BAADA YA KUJIFUNZA MENGI AKIWA NDANI YA TWANGA PEPETE HAJI RAMADHANI MAARUFU KAMA HAJI BBS AANZA KUONYESHA UWEZO AANDIKA WIMBO WA KWANZA NDANI YA TWANGA PEPETA KUTOKA HIVI KARIBUNI AUITA MAPENZI YANAUMIZA

                                   HAJJI RAMADHANI Mwanamuzi ambaye kipaji chake kiliweza kuibuka katika mashindano ya kusaka vipaji BBS,miaka ya hvi karibun Hajji Ramadhani wengi wakimjua Haji BSS ambae...

Wednesday, August 13, 2014

LICHA YA KUIMBA COPY KWENYE MAHOTEL GROUP O BAND YA JIJINI MWANZA WAACHIA SINGLE MOJA HEWANI-NI QUEEN SHEDA

                        MIMI NA HUSNA WA GROUP O Waimbaji wawili wa muziki wa kiafrica ambao muda mwingi wametumia kuimba miziki yao nje ya nchi kwenye mahotel tofauti ikiwemo Oman, Uholanzi, Saudia Arabia na kwingine na sasa wakiwa nchi Tanzania ambapo wameweka...

Tuesday, August 12, 2014

LICHA YA KUREJEA BAND YA WAJASILIAMALI MALU MUIMBAJI WA BAND HIYO JANUARY ELEVEN APIGA SHOW KWENYE SHREHE TOFAUTI ZA MAHARUSI MAKUBWA NA BIRTHDAY ZA MAANA

                                                               JANUARY ELEVEN  Muimbaji...

Friday, August 8, 2014

MUIMBAJI WA AKUDO IMPACT ZAGREB BUTAMU SURA MVUTO MBIONI KUACHIA VIDEO MBILI KATIKA UTANGULIZI WA ALBUM YAKE BINAFSI YA KIFUA MBELE ASEMA ITAFANYA MAPINDUZI KATIKA MUZIKI

                            ZAGREB BUTAMU NA G MBONGO Mwanamuziki wa Siku nyingi wa Band ya Akudo impact Zagreb butamu a.k.a Sura mvuto amekamilisha video za nyimbo zake mbili ambazo ataziachia hivi karibuni ili kusindikiza maandalizi...

Thursday, August 7, 2014

MUIMBAJI WA SIKU NYINGI WA FM ACADEMIA KING BLAISE KUTOKA NA NYIMBO ZA INJILI YAANI 'GOSPEL SONG'AKAMILISHA MOJA INAITWA MAARIFA

                                 KING BLAISE Mwanamuziki muda mrefu wa band Kongwe ya muziki wa Dansi ya Kizazi cha sasa FM academia King blaise ambae ni mmoja wa viongozi wa band hiyo ameamua kufanya kazi nje ya bandhiyo ambayo atamuimbia...

Wednesday, August 6, 2014

PINDA AWATAKA WAFUGAJI KUFUGA KISASA ILI KUJIKWAMUA KIUCHUMI

      WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA Waziri mkuu Mizengo Pinda amewataka watendaji wa halmashauri kuhakikisha wanabadili fikra za ufugaji ili kuwawezesha kuendehsa ufugaji wa kisasa na wa kibiashara ili kukabiliana na umaskini kwa wafugaji. Mh.Pinda amesema ni lazima Wizara ibadili mfumo huo kwa maendeleo ya taifa na kuongeza kuwa elimu ya ufugaji bora...

JUKWAA LA KATIBA LASIKITISHWA NA BUNGE MAALUMU LA KATIBA KUANZA BILA UKAWA

                               Deus Kibamba Jukwaa la katiba nchini Tanzania limesikitishwa na namna Bunge Maalumu la Katiba linavyotaka kunyamazisha sauti na mijadala ya wananchi, kuhusu kasoro zinazojitokeza katika...

WAKAZI MILIONI 2 VIJIJINI KUNUFAIKA NA HUDUMA YA MAJI SAFI NA SALAMA

     Waziri wa maji Pr.Jumanne Maghembe Kufuatia msaada wa pound za uengereza Milioni 150 zilizotolewa na serikali ya Uengereza kwa serikali ya Tanzania katika kuboresha huduma ya maji vijijini wakazi wa vijijini wapato milioni 2 hapa chini wanatarajiwa kuanza kunufaika na huduma ya maji safi na salama ifikapo desemba mwaka 2015. Akizungumza mara...

Tuesday, August 5, 2014

KING OF BEST MELODY CHRISTIAN BELLA a.k.a OBAMA KUFANYA ONYESHO MAALUM LA KUWAHAMASASHA WANAWAKE KUPITA "NANI KAMA MAMA"

Akiwa anafanya vyema na wimbo wake uliotokea kutamba katika vituo vya redio nchini Tanzania 'Nani kama Mama', mwanamuziki nyota wa miondoko ya dansi na Bongofleva Christian Bella amepanga kufanya onyesho kubwa la kuwahamasisha wanawake kupitia wimbo huo mpya jijini Dar es Salaam. Christian Bella ambaye naye ni miongoni mwa wasanii anayewapa kipaumbele kwa akina mama...

SUPER KWATA BAND CHINI YA ANCO VENA YAACHIA FANYA UJE SASA KUFANYA LISTEN PARTY KWA AJILI YA ALBUM YAO NI KWA MARA YA KWANZA KWA BAND ZA TANZANIA KUFANYA LISTEN PARTY

BAND inayomilikiwa na  Jeshi la polisi nchini Tanzania ambayo inaongozwa na kijana mwenye kipaji cha hali ya juu katika utunzi na uimbaji ANCO VENA ambae amewahi kutamba na band kama BWAGAMOYO SOUND na TWANGA PEPETA na band hiyo yenye makazi yake mjini moshi imetanguliza kwa mshabiki wimbo wa mpya uliombwa na Anco vena kwa stale ya Rumba la aina yake wakiupa wimbo...

Monday, August 4, 2014

MTOTO WA HEMED MANET KUMUENZI BABA YAKE KWA TAMASHA KUBWA LITAKALOWAKUTANISHA MANGULI WA DANSI YA ZAMANI NCHINI NI KHEIRATY MANET ANAEIMBA NA VIJANA JAZZ KWA SASA

Mtoto wa Aliekua nguli wa muziki wa dansi nchini tanzania mwenye sauti ya pekee na kubatizwa jina la sauti ya chiriku na yeye akijulikana kama mtoto wa chiriku Kheiraty Maneti ambae kwa sasa anaimba na band ya mwisho kuimbia baba yake ya Vijana JAZZ  ameandaa Tamasha kubwa la kuenzi baba yake mnamo  tarehe 07/08/2014.                             ...

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...