WAY

Tuesday, August 5, 2014

SUPER KWATA BAND CHINI YA ANCO VENA YAACHIA FANYA UJE SASA KUFANYA LISTEN PARTY KWA AJILI YA ALBUM YAO NI KWA MARA YA KWANZA KWA BAND ZA TANZANIA KUFANYA LISTEN PARTY


BAND inayomilikiwa na  Jeshi la polisi nchini Tanzania ambayo inaongozwa na kijana mwenye kipaji cha hali ya juu katika utunzi na uimbaji ANCO VENA ambae amewahi kutamba na band kama BWAGAMOYO SOUND na TWANGA PEPETA na band hiyo yenye makazi yake mjini moshi imetanguliza kwa mshabiki wimbo wa mpya uliombwa na Anco vena kwa stale ya Rumba la aina yake wakiupa wimbo huo jina la 'Fanya uje'

Vena amasema Program inayofata baada ya kuachia wimbo huo nifanya listen party kwa wadau mbalimbali ambao wataweza kuisikiliza album yao ambayo ipo tayari ili waweze kuitolea mawazo ya ya kuijenga kabla ya kuipeleka album hiy kwa mashabiki wa band hiyo.

Vena ameongeza kuwa Licha ya band hiy kumiliwa na jeshi la polisi lakini wanampango wa kuweza kufanya maonyesho sehemu mbalibmali nchini Tanzania na dunianni kwa ujumla katika kuelta mapinduzi ya kuweza kurdisha band zilizokuwa  zikitamba wakati huo kama Polis Jazz,na nyingine nyingi za Enzi hizo

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...